RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepunguza Kodi ya Mshahara (PAYE), kutoka asilimia tisa hadi nane. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeMay 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa pole wafanyakazi waliokuwa na matarajio ya nyongeza ya mishahara na kuwaahidi kufanya hivyo Mei Mosi...
By Mwandishi WetuMay 1, 2021KATIBU Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aboreshe maslahi ya watumishi wa umma, kama...
By Mwandishi WetuMay 1, 2021NASHON Bidyanguze, Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), amehoji lini watumishi waliohamishiwa halmashauri ya Uvinza kutoka Kigoma Vijijini watalipwa stahiki zao. Anaripoti Jemima...
By Masalu ErastoApril 30, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, amesema atashirikiana na viongozi wa chama hicho, kupitia upya sera na miongozo...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021DANIEL Chongolo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, amethibitishwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021MWENYEKITI mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho, kutekeleza vyema Ilani ya Uchaguzi...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo baada ya kuondokewa na wenyeviti wawili wa kanda na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Regina MkondeApril 30, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemchagua kwa asilimia 100, Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa Mwenyekiti wa chama...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021JUMLA ya wanachama wa 1,862 Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, wamehudhuria mkutano huo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 30, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Phillip Mangula, amewaomba wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho, kumchagua Rais...
By Kelvin MwaipunguApril 30, 2021KAIMU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rodrick Mpogolo, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Hayati Dk. John Magufuli, amekiwezesha chama...
By Regina MkondeApril 30, 2021HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...
By Danson KaijageApril 29, 2021WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ametengua uamuzi wa mtangulizi wake, Dk. Hamis Kigwangalla, wa kufuta umiliki wa kitalu cha...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021TAARIFA ya uchunguzi maalumu wa upotevu wa fedha kiasi cha Sh. 90 Bilioni, aliyonayo Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inadaiwa...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma amesema, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu yake wamejilipa Sh.600 milioni, fedha...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021SERIKALI imetenga Sh. 500 Milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Busega, Simiyu. Anaripoti Jemima Samwel DMC …...
By Masalu ErastoApril 29, 2021KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeshauri Mabaraza ya Kata yaunganishwe kwenye mfumo wa mahakama, ili kudhibiti mianya ya rushwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 29, 2021PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria, amewataka Watanzania kutoingilia kati sakata la Masheikh 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeokoa Sh.132.24 bilioni, baada ya kushinda kesi mbalimbali za ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021BONNA Kamoli, Mbunge wa Segerea, jijini Dar es Salaam (CCM), ameihoji Serikali, lini itaongeza vituo vya afya katika jimbo hilo, ili kuondoa...
By Masalu ErastoApril 28, 2021SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpata mwenyekiti mpya wa chama hicho, imeanza rasmi jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 28, 2021WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imewahimiza wananchi walio karibu na hifadhi za wanyamapori, kutumia mbinu mbadala ili kuwadhibiti wasiingie kwenye...
By Masalu ErastoApril 28, 2021AIDA Khenani, Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amehoji lini Serikali itapeleka fedha jimboni humo, kwa ajili...
By Mwandishi WetuApril 28, 2021SERIKALI imepanga kuendeleza ujenzi na matengenezo ya barabara nchini ikiwemo Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, kadri ya upatikanaji wa fedha. anaripoti Jemima Samwel...
By Mwandishi WetuApril 27, 2021CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitampima Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu ustahimilivu wake katika masuala ya kisiasa, kwa kufanya mikutano ya hadhara....
By Mwandishi WetuApril 27, 2021WIZARA ya Maliasili na Utalii, imejikuta katika wakati mgumu baada ya kuhojiwa kwa nini wananchi wanaoingiza mifugo katika hifadhi za wanyama pori,...
By Mwandishi WetuApril 27, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.8.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mirefeji ya maji katika maeneo ya Mbweni mkoani Dar es Salaam....
By Masalu ErastoApril 27, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa msamaha kwa wafungwa 5,001 waliokuwa wakikabiliwa na adhabu ya vifungo mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuApril 26, 2021MWENYEKITI wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania, John Shibuda, amesema, kuna ombwe la makada wa kuendeleza siasa za utaifa na...
By Mwandishi WetuApril 26, 2021RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameagiza fedha zilizopangwa kufanya sherehe za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika...
By Regina MkondeApril 26, 2021MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amewaonya watu wanaobeza muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulioasisiwa tarehe 26 Aprili 1964. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 26, 2021MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Getrude Mongella, amewataka Watanzania kutokuwa na wasiwasi juu ya uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania,...
By Hamisi MgutaApril 26, 2021ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametaka kuhakikishiwa usalama wake na serikali, ili aweze kurejea nchini....
By Mwandishi WetuApril 25, 2021LUSUBILO Mwakabibi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na Nyangi Msemakweli, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, wamesimamishwa kazi. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaApril 25, 2021JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema amesema, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, amekubali wito wa...
By Hamisi MgutaApril 25, 2021MBUNGE wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, ameshauri wabunge viti maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waondolewe bungeni....
By Hamisi MgutaApril 24, 2021TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, amesema alitarajia kuona Rais Samia Suluhu Hassan, anatumia muda mrefu kuzungumzia...
By Mwandishi WetuApril 24, 2021JESCA Kishoa, mbunge wa Viti Maalumu (asiyekuwa na chama), ameuthibitishia ulimwengu, kuwa kuwako kwake bungeni, ni kinyume na amefutwa uanachama katika Chama...
By Regina MkondeApril 23, 2021MBUNGE wa Mahonda, Unguja, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdullah Mwinyi, ameshauri sheria zinazokandamizi misingi ya demokrasia na utawala bora, zirudishwe bungeni kwa...
By Mwandishi WetuApril 23, 2021WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewataka wahandisi na wakandarasi kujiandaa na mabadiliko yatakayofanyika yenye lengo la kuboresha ufanisi. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...
By Masalu ErastoApril 23, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 23, 2021MBUNGE wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, ameitaka Serikali ya Tanzania, iunde tume maalum ya kuchunguza madai na stahiki...
By Mwandishi WetuApril 23, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Uteuzi huo, umetangazwa jana Alhamisi,...
By Masalu ErastoApril 23, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, ameonya Watanzania wanaotumia mitandao ya kijamii kuchonganisha watu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Kiongozi huyo wa Tanzania...
By Regina MkondeApril 22, 2021MAMA Samia Suluhu Hassan, Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania, amewataka wabunge kuikosoa serikali yake, pale inapofanya vibaya. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 22, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, wale wanaodhani usimamizi wa rasilimali za nchi, ukwepaji kodi, rushwa vimekwenda na Hayati John Magufuli,...
By Kelvin MwaipunguApril 22, 2021RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, amesema anapanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa, ili kujadili namna ya kuiendesha...
By Regina MkondeApril 22, 2021RAIS WA Tanzania, Samia Suluhu Hassa, amesifu uongozi wa kutukuka wa mtangulizi wake, Hayati John Magufuli huku akimtaja Rais Mstaafu wa Zanzibar,...
By Kelvin MwaipunguApril 22, 2021