Tuesday , 30 April 2024

Month: January 2024

Biashara

Apata msaada wa chakula kutoka Meridianbet, cheza kasino ushinde.

  SAFARI ya kuelekea maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam kuzishika mkono familia zenye halingumu ya kimaisha, ilianzia makao makuu yakampuni...

Habari za Siasa

Makamba anadi fursa za biashara, uwekezaji Italia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amenadi fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana nchini katika mkutano wa...

Biashara

TARURA yaonya matumizi vivuko vilivyozuiliwa

Watumiaji wa barabara mkoani Dar es Salaam wameshauriwa kutotumia barabara au vivuko ambavyo vimewekwa vizuizi katika kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha nchini....

Tangulizi

Serikali kufanya tathmini athari za kimazingira

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wizara za kisekta imeanza kufanya tathmini nchi nzima kubainisha maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho...

Biashara

NEEC yawapa mbinu wanawake, vijana kujikwamua kiuchumi

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), BengI Issa, amewataka wanawake na vijana kutumia vizuri na kwa nidhamu fedha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Madaktari wazawa watenganisha watoto mapacha walioungana

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa mara nyingine imeandika historia kwa kufanya upasuaji mkubwa wa kuwatengenisha watoto mapacha waliokuwa wameungana sehemu ya tumbo na...

Michezo

Ushindi unaanzia na kubashiri na Meridianbet

  MERIDIANBET inasema hivi, mechi za EPL leo zinaendelea na wewe bado una nafasi ya kukusanya maokoto yako kama wikendi hukubahatika kujipigia mkwanja...

Habari za Siasa

Samia akabidhi boti 160 za uvuvi, vizimba vya kufugia samaki

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka wizara ya mifugo na uvuvi kushirikiana na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri kudhibiti na kutokomeza vitendo vya uvuvi...

Habari za Siasa

Haya hapa majina ya madiwani 5 walioteuliwa na NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Madiwani Wanawake wa Viti Maalum watano kujaza nafasi wazi katika Halmashauri tano za Tanzania Bara. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati: Isiwe lazima wakurugenzi kusimamia uchaguzi

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imependekeza kwamba sheria ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani isiweke ulazima kwa...

Habari za Siasa

Vigogo 51 kikaangoni kwa kufuja fedha za miradi 274

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema katika kipindi cha Julai 2022 hadi Desemba...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, faida yapaa hadi bil. 775

BENKI ya NMB imeweka rekodi mpya ya ufanisi kiutendaji kwa kutengeza faida kabla ya kodi ya TZS bilioni 775 na kupata mafanikio mengine...

Biashara

Ingia jangwani kusaka dhahabu kwenye kasino ya Gold Oasis

  GOLD Oasis, mchezo mwingine wa sloti  kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge kuanza na miswada 3 ya uchaguzi

Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 uliopangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia kesho tarehe 30 Januari hadi tarehe 16 Februari...

Biashara

2023: Mwaka wa ubunifu na uendelevu kwa SBL

  KATIKA harakati za kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja, Serikali imedhamiria kupambana na umasikini kwa kujenga Uchumi wa Kiushindani wa Viwanda. Serikali imeweka...

Habari za Siasa

Utoaji hati wasitishwa Arusha

KAMISHNA wa Ardhi mkoani Arusha, Geofrey Msomsojo amezuia zoezi la utoaji hati za umiliki wa ardhi, katika eneo la ekari sita, lililopo kata...

Habari za Siasa

Ujenzi bomba la mafuta safi Dar – Ndola Zambia waiva

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Masuala ya Nishati wa Zambia, Peter Kapala wamefanya kikao...

Michezo

Mashindano ‘NBC Waitara Trophy 2024’ yang’ara

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy 2024’ yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa huku mdhamini mkuu wa mashindano hayo, benki ya NBC ikiahidi kuendelea...

Biashara

Afisa Mkuu wa Fedha – AngloGold Ashanti atembelea GGML

Afisa Mkuu wa masuala ya fedha (CFO) kutoka Kampuni ya AngloGold Ashanti inayomiliki Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Gillian Doran wiki...

Habari za Siasa

Tanzania kunufaika na trilioni 14 za miradi Italia

Tanzania imechaguliwa kuwa moja ya nchi nane za Afrika zitakazopewa kipaumbele na Italia kupitia mpango mpya wa kimkakati wa Mattei (Mattei Plan) ambapo...

Habari za Siasa

Bawacha wamng’ang’ania Spika Tulia sakala la kina Mdee

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (Bawacha), limesema iwapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas yakabidhi mitungi 700 kwa waziri Jafo

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Selemani Jafo wamekabidhi ...

Habari za Siasa

Makamba amwakilisha Samia mkutano wakuu wa nchi Italia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewasili Roma, Italia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajifungia kuchagua watendaji wa mikoa, majimbo

IKIWA umesalia takribani mwezi mmoja kwa Chama cha ACT-Wazalendo kufanya uchaguzi wake mkuu, chama hicho kimefanya kikao cha kuteua makatibu wa mikoa na...

Habari za Siasa

Gekul aitwa mahakamani, Nondo mkalia kooni

MAHAKAMA Kuu Tanzania Masjala ndogo ya Manyara imetoa wito kwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na  Mbunge wa Babati Mjini, Pauline...

Habari Mchanganyiko

Bihimba atoa msaada ujenzi wa madrasa

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa madrasa iliyopo katika msikiti wa Aisha, Kivule jijini...

Habari za Siasa

Rais Samia aadhimisha ‘birthday’ kwa tukio hili

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameadhimisha kumbumbuku ya siku ya kuzaliwa (Birthday) kwa kushiriki kupanda miti inayotarajiwa 4720, katika eneo la ekari 35.7...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba asema upatikanaji katiba mpya mfupa mgumu

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema mapambano ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ni mfupa...

Biashara

Meridianbet wagawa miamvuli kwa wafanyabiashara wa Mbagala rangi 3

MERIDIANBET wameendelea kurejesha kwenye jamii kama ilivyo kawaida yao huku leo hii siku ya Jumamosi wamerudi tena Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa...

Habari Mchanganyiko

Watalii 534,065 waingiza bil. 123 Ngorongoro

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Richard Kiiza amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongeza kasi...

Habari Mchanganyiko

PAC: OSHA itumike kuainisha viwango vya usalama, afya katika ununuzi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri serikali kuutumia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuainisha...

Habari za Siasa

Biteko akagua mtambo wa Umeme Pangani, atoa maagizo TANESCO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko amefanya ukaguzi wa mitambo ya umeme inayokarabatiwa katika kituo cha umeme cha...

Habari Mchanganyiko

NMB yaandika historia kukuza uchumi wa Taifa kidijitali

BENKI ya NMB imeingia makubaliano na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kushirikiana katika uundaji na uboreshaji wa mifumo ya Tehama...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi apangua baraza la mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya mabadiliko ya Baraza la Mapinduzi kwa kuteua mawaziri wapya...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano NMB Foundation, NGO’s kunufaisha Watanzania

NMB Foundation imesaini makubaliano ya kushirikiana na asasi mbili kubwa za kiraia nchini yenye lengo la kuendeleza ustawi wa jamii na kutekeleza mipango...

Michezo

Beti na Meridianbet utimize ndoto zako sasa

NDUGU mteja unajua kuwa sehemu sahihi ya wewe kupiga mkwanja ni moja tuu?. Basi mimi nataka kukujuza kuwa Meridianbet ndio wanaweza kukupatia mkwanja...

Biashara

Kutana na kisa cha mfalme na vijakazi wake, kasino ya Fashion Night 

  HADITHI za kale zina mafundisho mengi sana ndani yake, baadhi ya tungo hizo zilikuwa na lengo la kubadili mitazamo ya watu na...

Habari za Siasa

Waziri mkuu atoa agizo wasimamizi mji wa serikali

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wasimamizi na wataalamu wa ujenzi wa Mji wa Serikali jijini Dodoma wahakikishe matarajio ya ujenzi huo yanafikiwa kama...

Habari za Siasa

Maimamu Tz waipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel ICJ

SHURA ya Maimamu Tanzania, imewasilisha pongezi zake kwa Serikali ya Afrika Kusini, kufuatia uamuzi wake wa kuishtaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya...

Kimataifa

Kiongozi chama kikuu cha upinzani ang’atuka

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uanachama wa Chama cha Citizens Coalition for Change...

Habari za Siasa

Kinara wa mtandao wa dawa za kulevya akamatwa Boko

Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imemkamata kinara wa mtandao wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya aina ya Cocaine....

Biashara

Aliyeshinda Epic Jackpot TZS 550m Meridianbet Kasino alifanya haya 

  ULIMWENGU huu wenye matajiri wengi bado kuna watu wanatanua na kula maisha kwa namna tofauti. Huko nchini Australia kuna mfanyabiashara mmoja na...

Habari Mchanganyiko

EBN yatoa gari Burunge WMA kusaidia kupambana na ujangili

KAMPUNI ya Uwindaji wa Kitalii ya EBN Hunting Safari Ltd ambayo inafanya shughuli zake katika kitalu cha uwindaji cha Hifadhi ya Jamii ya...

Biashara

Uzalishaji wa kuwajibika: Dira ya SBL 2030 kwa dunia iliyo safi

  WAKATI dunia ikijumuika pamoja kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Nishati Safi Serengeti Breweries Limited (SBL), sehemu ya makampuni ya Diageo, inajivunia kuwa...

Habari za Siasa

Tanzania, Indonesia zasaini mikataba minne ya ushirikiano

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zimesaini mikataba minne ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

RC Mongela awaaga 818 wanaohama Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewahakikishia wananchi wanaohama kwa hiari kutoka ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kwenda maeneo mengine nje ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shule za serikali zang’ara matokeo kidato cha nne, 102 wafutiwa matokeo

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, ambapo watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya huduma kwa jamii vyaanza kutumika Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imekamilisha ujenzi wa vituo 30 vya huduma kwa jamii (Public Sanitary Service...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watinga UN, RPC Dar ampa maelekezo Lissu

HATIMAYE Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetinga katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN), jijini Dar es Salaam, baada ya kuandamana Kwa...

Biashara

Zama baharini kusaka utajiri kwenye kasino ya Lucky Dolphin

  UNAAMBIWA bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa...

error: Content is protected !!