ILIKUWA ni mwanzoni mwa Aprili mwaka 2017 ambapo taarifa za Asma Juma, kuibiwa mtoto katika Hospitali ya rufaa ya Temeke ziliposambaa, anaandika Hamisi Mguta....
By Hamisi MgutaJune 30, 2017SHUGHULI za kijamii na kiuchumi zimesimama jijini Mwanza, kwa zaidi ya saa sita kutokana na baadhi ya barabara za katikati ya Jiji kufungwa...
By Moses MsetiJune 30, 2017Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge, amejiapiza kutoruhusu wabunge wanaotumikia adhabu mbalimbali kurejea Bungeni hata kama wataenda kupinga suala hilo katika mamlaka zingine...
By Danson KaijageJune 30, 2017MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kuwa kuanzia tarehe Mosi Julai, 2017 bei ya mafuta itashuka kwa Sh. 37 kutokana na kushuka kwa gharama za usafirishaji wa mafuta katika soko...
By Mwandishi WetuJune 30, 2017CLIFFORD Tandari, Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro amewataka watafiti wa zao la miwa kuhakikisha wanapata mbegu zinazostahimili kilimo cha milimani ili kuachana na...
By Christina HauleJune 30, 2017FRANK Mwakajoka, Mbunge wa Jimbo la Tunduma mkoani Songwe, amesababisha vicheko na miguno ndani ya ukumbi wa Bunge, mjini Dodoma, baada ya kuisifia...
By Danson KaijageJune 30, 2017CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimeitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama, ikiwa ni jitihada za kutaka kujiokoa na ‘rungu’ la serikali,...
By Mwandishi WetuJune 30, 2017SERIKALI imesema kuwa kila mwananchi aliyeomba kiwanja kwa iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuwa kiwanja chake hakitapotea baada ya mamlaka hiyo...
By Danson KaijageJune 29, 2017UTAWALA wa Rais Donald Trump wa Marekani umeweka masharti mapya ya maombi ya kibali ‘Visa’ kutoka kwa mataifa sita ya Kiislamu pamoja na...
By Hamisi MgutaJune 29, 2017KUNDI la watu wasiofahamika, limevamia na kuvunja Kanisa la Mwanza City Center International Church Tanzania Reveland, lililopo Butimba mkoani Mwanza na kuanza kutembeza kichapo...
By Moses MsetiJune 29, 2017MBUNGE wa Kibamba John Mnyika (Chadema) amepinga kitendo cha rais Dk.John John Magufuli kupeleka hati ya Dharura ya kupitisha mswada wa sheria ya...
By Danson KaijageJune 29, 2017MUDA mchache baada ya Baraza la Wazee Chadema kujitokeza kupinga kauli ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ya kutaka Rais Magufuli awe Rais...
By Mwandishi WetuJune 29, 2017WAZEE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamemtaka John Magufuli, Rais wa Tanzania kujitokeza na kutoa msimamo wake kuhusu kauli ya Rais...
By Mwandishi WetuJune 29, 2017JAMAL Malinzi (57), Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), anatarajiwa kufikishwa mahakamani mchana huu jijini Dar es Salaam, kujibu tuhuma za matumizi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2017George Pell, Kadinali wa kanisa katholiki ameshitakiwa na Polisi nchini Australia kwa makosa kadhaa ya kuwanyanyasa watoto kingono, anaandika Hamis Mguta. Kadinali huyo...
By Hamisi MgutaJune 29, 2017BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewatengea wabunge wanawake wenye watoto eneo maalum la kunyonyeshea watoto wao ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha...
By Danson KaijageJune 28, 2017WANAFUNZI wa shule ya msingi Magwalisi wilayani Mbarali mkoani Mbeya, wanatumia chumba kimoja, kwa wakati mmoja wakati wa kufundishwa wanafunzi wa madarasa wa...
By Mwandishi WetuJune 28, 2017CUF imetangaza rasmi leo kwamba Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuwa ni “mgomvi” mwingine katika mgogoro wa uongozi unaokikabili chama hicho...
By Jabir IdrissaJune 28, 2017AMOS Makalla, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ameshangazwa na hatua ya serikali kuu kupeleka fedha Sh. 9.6 bilioni kwa uongozi wa Chuo cha...
By Masalu ErastoJune 28, 2017SELEMANI Jafo, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), amewataka wakuu wa mikoa na wilaya...
By Danson KaijageJune 28, 2017BARAZA la Usalama la Taifa jijini Washington, Marekani limesema linachunguza shambulio kubwa la kimtandao ambalo limekumba mifumo ya kompyuta duniani kote, anaandika Hamis...
By Hamisi MgutaJune 28, 2017TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imethibitisha kuwachunguza Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na Katibu...
By Mwandishi WetuJune 28, 2017NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT –Wazalendo imemtaka Rais John Magufuli atengue kauli yake kuhusu marufuku ya wanafunzi wanaopata ujauzi kurejea masomoni...
By Pendo OmaryJune 24, 2017JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia hali ya usalama na amani wakazi, wananchi wa jiji la Dar es Salaam katika...
By Mwandishi WetuJune 23, 2017WALIOKUWA wafanyakazi waandamizi wa iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA), huenda wasipangiwe majukumu mapya katika idara na mamlaka za umma, iwapo...
By Danson KaijageJune 23, 2017HUSSEIN Bashe, Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini, mkoani Tabora ameitaka Serikali kutoa kauli juu ya Sh. 200 milioni ambazo Disemba 2016, Rais...
By Danson KaijageJune 23, 2017MSIMAMO wa Rais John Magufuli kuhusu katazo la watakaopata mimba katika utawala wake kutopata haki ya kurudi shuleni imeibua mjadala mpana mitandaoni, sehemu...
By Pendo OmaryJune 23, 2017Rais John Magufuli amesema anaunga mkono hoja ya Mama Salma Kikwete, Mbunge wa kuteuliwa na Rais kuhusu Serikali kutoruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea...
By Charles WilliamJune 22, 2017MFULULIZO wa mauaji yanayoendelea wilayani Kibiti Mkoa wa Pwani yamewatikisa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuombaratiba ya leo...
By Danson KaijageJune 22, 2017KIKOSI cha wachezaji 22 wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, kinaondoka leo Alhamisi Juni 22, 2017 kwenda Afrika Kusini katika michuano ya kuwania...
By Mwandishi WetuJune 22, 2017KITENDO cha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumtambulisha Isihaka Juma Karanda kuwa ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, ilikuwa ni kumdanganya...
By Mwandishi WetuJune 22, 2017MSEMAJI wa Kambi Rasimi ya Upinzani Bungeni, wa masuala ya fedha na uchumi David Silinde, ameitaka serikali kuchukua hatua dhidi ya askari wa...
By Danson KaijageJune 22, 2017BONIFACE Jacob, Meya wa Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Ubungo, amewataka viongozi na wanachama...
By Mwandishi WetuJune 22, 2017CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeingia katika mgogoro zaidi. Hatua ya chama hicho kupitia kundi la viongozi wanaomtii Profesa Ibrahim Lipumba, kutangaza mabadiliko ya...
By Jabir IdrissaJune 21, 2017RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa ya kifo cha shabiki maarufu...
By Mwandishi WetuJune 21, 2017WABUNGE wa kambi ya upinzani bungeni, jana waliamua kumsusia futari, Spika wa Bunge, Job Ndugai, anaandika Mwandishi Wetu. Taarifa kutoka kiongozi mmoja mwandamizi...
By Mwandishi WetuJune 21, 2017MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amepeleka ombi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, akiomba kumshtaki Job Ndugai,...
By Danson KaijageJune 20, 2017SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewaagiza mawaziri kutopeleka fedha katika majimbo ya wapinzani kutokana na kuikataa bajeti kwa kupiga kura ya hapana, anaandika...
By Danson KaijageJune 20, 2017JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa tamko la kulaani kitendo cha Dk. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kulifungia gazeti...
By Mwandishi WetuJune 20, 2017SERIKALI imeendelea kupata kigugumizi juu ya ufufuaji wa kiwanda cha General tyre, kilichopo mkoani Arusha licha ya kutoa ahadi ya kukifufua kiwanda hicho...
By Danson KaijageJune 20, 2017UONGOZI wa hospitali ya Mafia, iliyopo mkoa wa Pwani umeiomba serikali na wadau wa maendeleo kusaidia upatikanaji wa vifaa tiba kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuJune 20, 2017JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kukamata jumla ya wahalifu 284 katika operesheni iliyochukua siku 20, anaandika Yasinta Francis....
By Mwandishi WetuJune 20, 2017SIKU tatu baada Jeshi la Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuonekana wakiwaadhibu watu wenye ulemavu waliokuwa wakifanya maandamano kupinga kuzuiwa...
By Mwandishi WetuJune 19, 2017JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limekosa ushahidi kuhusu watu waliovamia mkutano wa Chama cha Wananchi – CUF, tarehe...
By Hamisi MgutaJune 19, 2017JOHN Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), amesema haogopi kuunganishwa katika kesi ya wananchi wa Tarime waliovamia mgodi wa North Mara kufuatia tamko...
By Danson KaijageJune 19, 2017WANAWAKE wanaojishughulisha na uchimbaji kokoto katika kijiji cha Kibaoni kata ya Chokaa Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya wameelezea adha wanazokumbana nazo katika kazi...
By Mwandishi WetuJune 19, 2017MBIO za kuwania nafasi Urais wa Shirikisho la Mpira Miguu Tanzania (TFF), zinazidi kushika kasi ambapo watu mashuhuri katika medani hiyo wanaendelea kujitokeza,...
By Mwandishi WetuJune 19, 2017NAPE Moses Nnauye, Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, ameitaka serikali kutopuuza hoja na ushauri unaotolewa na wabunge wa upinzani kwani ushauri...
By Danson KaijageJune 19, 2017PATRICK Ole Sosopi, makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, akituhumiwa kufanya mkusanyiko...
By Charles WilliamJune 19, 2017GEORGE Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), amesema wakuu wa wilaya na mikoa wanatakiwa...
By Danson KaijageJune 19, 2017