WANANCHI wametakiwa kuwaripoti askari polisi wanaowaomba fedha za mafuta ya gari kwa ajili ya kufika maeneo ya matukio, ili wachukuliwe hatua za kisheria....
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023WIMBI la wanawake wanaotelekeza watoto wao kwa kina baba na kuwabambikia kesi, linadaiwa kuongezeka siku za hivi karibuni, huku chanzo kikitajwa kuwa ni...
By Regina MkondeSeptember 30, 2023SERIKALI ya Urusi imefungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na teknolojia, kwa mataifa ya Afrika, huku ikiahidi kutoingilia masuala yake ya ndani....
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) imeibuka kidedea kwa kuwa mshindi wa pili wa jumla katika Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023KAMPUNI ya Meridianbet kama ilivyo kawaida yao kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii kile kidogo walichovuna, Leo mapema wamefika Zahanati iliyopo Sinza na kutoa...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo Jumamosi ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi na wafanyakazi kutoka taasisi...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023SERIKALI imeanza kutekeleza maombi ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo (CCM) ya kupeleka vifaa tiba na watumishi katika kituo kipya cha...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023Basi Jeshi la Magereza lenye namba MT 0040 limegonga treni ya abiria namba YD16 yenye injini namba 9015 iliyokuwa ikitokea mikoa ya Bara...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023WADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani mwezi Mei mwaka huu. CNN inaripoti …(endelea). Msemaji wa idara ya Serikali ya...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023KAMISHNA wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewataka askari Polisi wanawake kuchangamkia fursa za elimu ili kuongeza ujuzi...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023MWEZI wa Oktoba wengi hupenda kuuita mwezi wakutoboa wakiwa na maana ya kwamba, maokoto yanakuwamengi sana, huenda ikawa ni kweli lakini nataka nikuibiesiri...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade), wameandaa maonyesho makubwa ya kimataifa ya viwanda ambapo...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Ally Senga Gugu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amepokea Mwenge wa Uhuru...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023PROGRAMU ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti Breweries Limited (SBL) ya kuwawezesha zaidi ya vijana 400 Hanang kupitia stadi muhimu na...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023MAONESHO ya Teknolojia ya Madini yamezidi kuwa darasa kwa wadau mbalimbali baada ya wageni kutoka Wizara ya Madini ya Serikali ya Uganda kushiriki...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...
By Danson KaijageSeptember 29, 2023WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi za kusoma vyuo vikuu ndani...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, amefungua milango ya ushirikiano kwa vikundi vya kijeshi vya kujitolea ,ili kuongeza nguvu katika vita kati yake na...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023WATU takribani 50 wamefariki dunia huku wengine 50 wakijeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na msikiti nchini Pakistan, wakati wakisherehekea sikukuu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewataka watumishi wa umma wanaofanya makosa ya rushwa, uhujumu uchumi na ufisadi, waache mara moja kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia mitaa ya Tandika jijini Dar-es-salaam na kufanya uzinduzi wa duka jipya ambalo litatoahuduma zote...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023Zaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS inayomiliki maabara ya upimaji wa sampuli za madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imetoa mafunzo kwa wakulima ili waweze kutumia viuatilifu vilivyosajiliwa kwa usahihi. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amesema nchi ya China ni ya kutolewa mfano bora kutokana na mchango...
By Seleman MsuyaSeptember 28, 2023SERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani na umoja, ili kuleta maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa na...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023CHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro inayopelekea ndoa nyingi kuvunjika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 28...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023MFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi wa fedha za umma, akisema kitendo cha kuwaacha huru kinawaibua wengine. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetupia lawama Serikali ikidai imevunja ahadi yake ya kuwapa umiliki wa mitaala ya somo la elimu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi hizo zipo kwaajili ya kukupatia pesa yani kukufanya uione hii Dunia ni yako...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza kuuza jezi ya mchezaji wa kitanzania Mbwana Samatta Nahodha wa timu ya taifa...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023BENKI ya NMBimekabidhi misaada mbalimbali yenye thamani ya Sh 40 milioni kwa Hospitali ya Wilaya ya Mafia, zahanati tano na shule moja ya...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia ya ulaghai kwenye shughuli zake za biashara katika muongo mmoja uliopita. Anaripoti Mwandishi...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2023WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki dunia kwa ajali ya moto iliyotokea usiku wa jana Jumanne, katika ukumbi waliokuwa...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijijini wa awamu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023SERIKALI imesema uwekezaji unaofanywa na Sino-Tan katika Kongani ya Viwanda iliyopo Kwala, wilayani Kibaha mkoani Pwani utafanikisha ujenzi wa viwanda 200 vitakavyogharimu zaidi...
By Seleman MsuyaSeptember 26, 2023ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande, ameondolewa katika Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) ndani ya muda...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, amalize changamoto ya...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni ya Mali ya China ya Oceanwide Holdings Imeripotiwa na South China Morning Post...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023KAMPUNI ya simu ya Infinix leo imetangaza uzinduzi wa simu mpya ya Infinix ZERO 30 5G, simu mahiri ya kwanza kwa kampuni...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje ya uwanja na ndani, mfano Uingereza kuna Man Utd vs Man City (Manchester...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023Kutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato la Taifa, Wizara ya madini inatarajiwa kufanya utafiti wa kina kwa kurusha ndege...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini zinazojihusisha na uchimbajin wa madini kuzingatia...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu dhamira yake ya kufanikisha ustawi wa biashara baina ya Tanzania na Afrika kusini kwa kuwawezesha...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawaasiliano Tanzania (TTCL), Maharagande Chande, kuwa Postamasta wa Shirika la Posta...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023WANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara, kitendo kinachoimarisha shughuli zao...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023BENKI ya NMB imezindua rasmi programu mpya yenye hati fungani zenye thamani ya jumla ya Sh. trilioni moja, huku ikitajwa kuwa ya kwanza...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023