Saturday , 2 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Chande aliyeng’olewa TANESCO kwenda TTCL apelekwa Posta
Habari za SiasaTangulizi

Chande aliyeng’olewa TANESCO kwenda TTCL apelekwa Posta

Spread the love

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawaasiliano  Tanzania (TTCL), Maharagande Chande, kuwa Postamasta wa Shirika la Posta Tanzania, ikiwa ni siku mbili tangu alivyomuondoa Mkugugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa Leo Jumatatu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, ikiwa ni siku mbili tangu Rais Samia ateua viongozi 27, tarehe 23 Septemba 2023.

“Rais amemdoa Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania, kabla ya uteuzi Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL,” imesema taarifa ya Yunus.

Taarifa ya Yunus imesema kuwa, Chande anachujua nafasi ya Macrice Mbodo, ambaye atapanguwa kazi nyingine.

Baada ya Chande kuhamishwa TTCL, Rais Samia amemteua Mhandisi Peter Ulanga, kuendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo.

“Uteuzi huu unaanza mara moja na Balozi mteule Ulanga ataapishwa arehe 26 Septemba 2023, Ikulu jijini Dar es Salaam,” imesema taarifa ya Yunus.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwalimu jela miaka mitatu kwa rushwa

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu...

Habari za Siasa

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Spread the loveRais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua programu ya...

Habari za Siasa

AG aiagiza kamati ya maadili kuwashughulikia mawakili wanaokiuka maadili

Spread the loveMWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, ameagiza Kamati...

Habari za Siasa

Jaji avunja ukimya sakata la Mpoki kusimamishwa uwakili

Spread the loveJAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amekitaka Chama cha...

error: Content is protected !!