WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo na kuliomba Bunge liridhie na kupitisha makadirio ya Sh...
By Gabriel MushiApril 30, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema hajafanya makosa kumuita Mzanzibar Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...
By Mwandishi WetuApril 30, 2024Mitaa iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri nakasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge mkono chama chake cha zamani, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika...
By Gabriel MushiApril 29, 2024Watoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa makazi Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kutokana na athari za mafuriko yaliyotokana na...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka wa fedha wa 2024/25 ya kiasi cha Sh. 441.2 bilioni....
By Mwandishi WetuApril 29, 2024SERIKALI imeandaa rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Kutoa Elimu ya Katiba na Uraia kwa Umma, ili kuhakikisha wananchi wanafahamu haki na...
By Regina MkondeApril 29, 2024Jisajili na Meridianbet kisha uwe wa kwanza kupata taarifa ya promosheni mpya kila siku, Bonasi za kasino na michezo ya kasino ya...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi ame tumia sherehe za siku ya Muungano wa Tanganyika kutaja mafanikio ya miaka mitatu...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa wananchi ngazi ya vijiji kata na wilaya ili kudhibiti ukondefu na udumavu....
By Mwandishi WetuApril 29, 2024MIONGONI mwa burudani zinazidi kupata umaarufu ulimwenguni, kubeti katika michezo ni mojawapo ambapo watu wengi wanatafuta mbinu za kuongeza uwezekano wao wa...
By Mwandishi WetuApril 29, 2024Benki ya NBC imepata tuzo ya Mwezeshaji Bora wa Pamoja wa Mikopo ya Serikali Kuu nchini katika Bara la Afrika kwa mwaka 2023...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya...
By Gabriel MushiApril 28, 2024ALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu Dk. Fredrick Shoo amewataka viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo kuendelea kupigania maslahi ya...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameagiza waajiri kuhakikisha hakuna kifo chochote cha mfanyakazi kinachotokea mahali pa kazi...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia leo ndio siku ya kupiga pesa kirahisi sana kwani huku kuna kila kitu kuanzia...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024BODI ya Maji Bonde la Wami Ruvu, imeendelea kuchua hatua stahiki katika kuhakikisha inatekeleza agizo la Makamu wa Rais, Dk. Philipo Isory...
By Yusuph KayandaApril 28, 2024KUPNGA ni kuchagua, chagua kuwa mshindi kila siku kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kila siku kuna bonasi kibasi na michezo sana...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai Mining Company Limited kutimiza masharti ya mkataba wa ubia wa uwekezaji wa kutoa...
By Gabriel MushiApril 28, 2024WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Selemeni Jafo ameipongeza Kampuni ya Oryx Gas Tanzania kwa kuendelea kuunga...
By Mwandishi WetuApril 28, 2024MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili na Utalii Bw. Abdallah Mvungi leo Mkoani Morogoro ameongoza kikao kazi cha Wataalam...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi, Sauti ya Watanzania, kimesema kimechagua kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaachia kwa masharti, Mkurugenzi wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na kada wa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024TUNAKULETEA mchezo wa kasino wa kufurahisha sana ambapo unapewa fursa ya kukusanya vito na madini. Ikiwa unakusanya kwa wingi, utapata ushindi wa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia leo ndio siku ya kupiga pesa kirahisi sana kwani huku kuna...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia zimekubaliana kuibua maeneo mapya ya kimkakati ya ushirikiano ili kudumisha mahusiano ya kidiplomasia...
By Masalu ErastoApril 27, 2024JESHI la Polisi limekanusha tuhuma zilizoibuliwa dhidi yake kwamba limekawia kuuchukua mwili wa aliyekuwa mpiga picha wa televisheni mtandao ya Ayo Tv, Noel...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), liko mbioni kufufua gazeti lake litakalokuwa linatoa habari za wafanyakazi nchini, ambalo litatambulika mtaani kwa jina...
By Regina MkondeApril 27, 2024KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli zao, Kampuni...
By Mwandishi WetuApril 27, 2024CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya waongoza watalii nchini. Anaripoti Faki Sosi, Kilimanjaro … (endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe...
By Faki SosiApril 26, 2024MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim Lipumba, amekiwakilisha kituo hicho katika mkutano maalum wa kuvishawishi vyama vya siasa nchini...
By Mwandishi WetuApril 26, 2024ORB of Destiny ni mchezo wa sloti kutoka kwa Hacksaw Gaming. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, unaleta mshangao mzuri. Kuna...
By Mwandishi WetuApril 26, 2024Rais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendeleza Muungano kwa kuitekeleza falsafa ya maridhiano, ustahmilivu, kuleta mageuzi na kujenga nchi yetu (4R). Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 26, 2024Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo maalumu kwa...
By Mwandishi WetuApril 26, 2024UTAANDAA matunda yako unayotaka kutumia unaweza kutumia Strawberry, Cantaloupe ni jamii ya matunda ya limao, embe, parachichi, halafu kwenye kusaga usitumie maji...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali kwenye sekta ya afya, wataalam wake wataendelea kuanzisha huduma za ubingwa...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa kwamba, zawadi wanazopeana wakati wa furaha, ni marufuku kunyang’anyana wakiwa katika mifarakano. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 25, 2024MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea kuishauri Serikali ijikite katika vyanzo vya umeme vinavyotokana na nishati jadidifu akisema vinaweza...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024BENKI ya Exim imekabidhii seti ya vitanda kwa Shule ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyopo Moshi, mkoani Kilimanjaro kama sehemu ya mchango...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024Benki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) iliyopo Moshi mkoani Kilimanjaro ikilenga kuboresha mazingira ya maladhi...
By Mwandishi WetuApril 25, 2024KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinatekeleza miradi ya kimaendeleo kwa kufuata sheria na kuzingatia...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024JE, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet Kasino ya...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi pendwa kabisa nchini Uingereza, Lakini pia ligi kuu nchini Ufaransa itapigwa michezo kadhaa...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Dola za Kimarekani 70,000 (Sh....
By Mwandishi WetuApril 24, 2024MAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa shauri la rufaa lililokatwa na Benki ya Equity Tanzania Limited na...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024BENKI ya Exim kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP), imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa wanawake...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametaja vipaumbele saba vya bajeti ya wizara yake ambavyo ni pamoja na...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024BAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani Geita wamesema zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa ajili ya kuwasitiri...
By Mwandishi WetuApril 24, 2024