Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi
Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Prof. Ibrahim Lipumba
Spread the love

 

MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim Lipumba, amekiwakilisha kituo hicho katika mkutano maalum wa kuvishawishi vyama vya siasa nchini Burundi, kujiunga katika baraza la siasa nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa Chama cha Wananchi (CUF), Mhandisi Mohamed Ngulangwa, mkutano huo umefanyika leo Jumamosi, nchini Burundi.

Prof. Lipumba ambaye pia ni Mwenyekiti wa CUF Taifa, ameshiriki mkutano huo ili kuvishawishi vyama vya siasa ambavyo havijajiunga katika Baraza la Vyama vya Siasa Burundi, kujiunga.

Taarifa hiyo imesema baraza hilo lilianzishwa 2009 lakini hadi sasa vipo baadhi ya vyama havijajiunga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!