Tuesday , 30 April 2024

Month: February 2023

Habari Mchanganyiko

Wananchi wamkataaa mwenyekiti wa kijiji kisa hekari 50

WANANCHI wa kijiji cha Shinji kata ya Mbebe wilayani Ileje mkoani Songwe wamesema hawana imani na Mwenyekiti wa kijiji hicho, Ali  Kalinga kutokana...

Habari Mchanganyiko

Washindi NMB MastaBata ‘Kote Kote’ wapaa Dubai

WASHINDI saba wa kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kadi iliyoondeshwa na Benki ya NMB ‘NMB MastaBata – Kote Kote’ wameagwa na kukabidhiwa tiketi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Makonda yaiva

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza shauri la jinai, lililofunguliwa na mwanahabari mahiri nchini, Saed Kubenea, dhidi ya Paul Makonda,...

Kimataifa

Uchaguzi Nigeria: Tinubu wa chama tawala aongoza matokeo ya awali

  MGOMBEA wa chama tawala Bola Ahmed Tinubu anaongoza uchaguzi mkuu wenye ushindani mkali zaidi nchini Nigeria tangu nchi hiyo irejee kwa demokrasia...

Habari Mchanganyiko

Kanisa Katoliki Geita lililonajisiwa lafungwa kwa muda

  KANISA Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita, limefungwa kuanzia jana Jumatatu hadi tarahe 18 Machi 2023, kwa ajili ya kusubiri...

Kimataifa

Sababu Elon Musk kurejea kuwa tajiri namba moja duniani

  ELON Musk amerejea katika nafasi ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani, baada ya kupoteza kwa muda mfupi taji kwa Bernard Arnault wa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa asema hana chama “nikialikwa CCM, ACT, CHADEMA nitakwenda”

  BAADA ya kuibua mjadala kufuatia hatua yake ya kuhutubia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Arusha, Balozi Dk. Wilbroad...

Habari Mchanganyiko

GGML yang’ara tuzo za ATE, Majaliwa aahidi makubwa

JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuwajengea uwezo wahitimu wa vyuo vikuu kwa kuwapatia mafunzo kazini zimeendelea kuonekana baada ya...

Habari Mchanganyiko

Kampuni za kibiashara kuwania tuzo SDGs, Shayo asema hakuna atakayebaki nyuma

Shirika la UN Global Compact Network Tanzania limezindua mchakato wa kutafuta mshindi wa tuzo zitakazokuwa zinatolewa kila mwaka kwa makampuni ya kibiashara yaliyoonesha...

Habari Mchanganyiko

Huawei yajiunga na mpango wa UNESCO wa kusoma na kuandika

  KAMPUNI ya Huawei imejiunga na UNESCO Global Alliance for Literacy (GAL) kama sehemu ya maandalizi ya kampuni hiyo kuongoza Kongamano la Simu...

Kimataifa

Kamati ya Bunge la Marekani yaiagiza FBI kujibu uwepo wa vituo polisi vya China nchini humo

MWENYEKITI wa Kamati teule ya Baraza la Wawakilishi la Marekani inayoangazia China, ametuma barua kwa Shirika la Upelelezi (FBI) akitaka majibu kuhusu madai...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja sababu panga pangua viongozi wa Serikali

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kutoelewana miongoni mwa viongozi wa Serikali na wasaidizi wao ndiyo sababu kubwa ya kupangua safu ya...

Habari za Siasa

Chadema yaomba miaka mitano kuiongoza Tanzania “tutawaondoa kwenye umasikini”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewaomba Watanzania wakipe ridhaa ya kuiongoza nchi kupitia sanduku la kura, kwani kitawaondoa katika umasikini ndani ya...

Habari za Siasa

Jeshi la Polisi lamshangaza Mbowe

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kulinda mikutano ya hadhara ya vyama...

Habari za Siasa

Wazee wa Chadema Njombe wampoza machungu Mbowe

BAADHI ya Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Njombe, wamempa zawadi Mwenyekiti wao Taifa, Freeman Mbowe, kwa kutambua mchango wake...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi aishukuru AfDB kwa kuunga mkono maendeleo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ally Mwinyi , ameishukuru Benki ya Maendeleleo ya Africa (AfDB) kwa kuunga...

Habari Mchanganyiko

IRUWASA yafunga mita za maji 6,700 za malipo ya kabla

  MAMLAKA ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Iringa (IRUWASA) imefanikiwa kufunga dira za maji 6700 za malipo ya kabla...

Habari Mchanganyiko

ACT yataka TAKUKURU iingilie kati gharama ukarabati MV-Magogoni

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), kutafakari upya kuhusu bei ya ukarabati wa Kivuko cha MV Magogoni, kikidai...

Elimu

Katibu Mkuu CCM awataka wahitimu vyuo vikuu wasichague kazi

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ametoa wito kwa vijana wanaohitimu vyuo vikuu, wafanye shughuli nyingine za kujitafutia kipato...

Elimu

Rais Samia ateua Katibu Mtendaji NECTA

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ahimiza Watanzania kuwekeza kwenye chikichi

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amewahimiza wakazi wa Kigoma na watanzania kuwekeza katika zao la mchikichi na kusisitiza ndio fursa ya kukuza uchumi...

Habari Mchanganyiko

NMB yapata ufadhili bilioni 572 kutoka Ulaya

BENKI ya NMB imepata mikopo miwili ya muda mrefu na dhamana ya kukopesha kutoka taasisi tatu za fedha za Jumuiya ya Ulaya (EU)...

Habari za SiasaTangulizi

Wazanzibari waoneshwa ya 2035

CHAMA cha ACT Wazalendo kimebuni utaratibu mpya wa kujisogeza kwa umma mapema hata kuliko kawaida ya uendeshaji siasa nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko viongozi wa Serikali: Rais Samia afyeka, ateua wapya, wengine wahamishwa

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba katika...

Michezo

Watanzania wang’ara Kilimanjaro International Marathon

WANARIADHA wa kitanzania wameng’ara katika mbio za 21 za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, baada ya kufanya vizuri katika mbio za Km 42...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zalia na masharti fedha za wafadhili

CHANGAMOTO ya upatikanaji wa fedha za wafadhili imetajwa kukwamisha shughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na asasi za kiraia zinazotetea haki za...

Elimu

Wahitimu wa kidato cha sita watakiwa kuwa ndoto na mipango madhubuti

KAMISHNA wa Utawala na Raslimali watu wa Jeshi la Polisi nchini, C.P Suzan Kaganda amewataka vijana  hasa wasichana ambao ni wahitimu wa kidato...

ElimuHabari

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi,Majaliwa ataka uwekezaji kwenye rasilimali watu

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa...

Habari Mchanganyiko

Mwanamfalme Dubai asaini mkataba na Tanzania kusambaza mbolea nchini

OFISI ya Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, Mwanafamilia ya Kifalme ya Dubai kutoka Falme za Kiarabu, imesaini mkataba wa makubaliano (MOU) na Serikali...

ElimuHabari

CBE yazindua klabu ya ujasiriamali sekondari ya Temeke Wailes

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimezindua klabu ya ujasiriamali kwa shule ya sekondari Temeke Wailes iliyoko Wilaya ya Temeke jijini Dar es...

Habari Mchanganyiko

Mashirika yanayotetea wanawake yatakiwa kujipanga ushiriki mchakato katiba mpya

  MTANDAO wa Wanawake, Katiba na Uongozi umezitaka asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake na watoto kuungana pamoja katika kuwasilisha ajenda za...

ElimuHabari

Vyuo Vikuu bora vya Cyprus, India, Uturuki na Uingereza kufanya maonyesho Dar na Zanzibar

VYUO vikuu bora kutoka  nchi za India, Cyprus, Uingereza, Malaysia na Uturuki vimeleta wawakilishi wake nchini kwaajili ya kuonyesha shughuli zao kwa watanzania...

Habari za Siasa

Jaffar Haniu ashiriki Baraza la Madiwani Busokelo, akagua miradi ya maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ameshiriki Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe sambamba na kukagua miradi mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Mwanajeshi aliyemsukuma Trafiki kwa gari kizimbani

  ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), MT 89487 CPL, Hamis Ramadhan, anayedaiwa kumsukuma askari wa usalama barabarani kwa kutumia gari lake,...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia atengua wawili, Mchechu wa NHC awa Msajili wa Hazina

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Msajili wa Hazina, Mgonya Benedicto na Mkurugenzi Mtendaji wa...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo: Ukosefu ajira ni hatari zaidi ya UVIKO-19

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kimeomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, itekeleze kikamilifu sera...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aboresha zaidi sekta ya mifugo

SERIKALI ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imeahidi kuboresha zaidi sekta ya mifugo kupitia njia mbalimbali. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Maleko awataka wanawake kupaza sauti ulawiti watoto wa kiume

  MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Kilimanjaro, Esther Maleko, amewataka wanawake nchini kupaza sauti katika kupinga vitendo vya kikatili na ulawiti kwa...

Habari za Siasa

CUF yafunguka sakata la wanachama 374 kuhama kisa Prof. Lipumba

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimekana kuwatambua wanachama 374 waliotangaza kujivua uanachama, kikidai katika kundi hilo wanachama wake hawazidi 60 na kwamba wengi...

Habari Mchanganyiko

Wateja NHIF kutambuliwa kwa sura, alama za vidole

  KATIKA kurahisisha utambuzi wa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika vituo vya kutolea huduma na kudhibiti vitendo...

Michezo

Masanja wa Simba aaga dunia gerezani China

  KIONGOZI mwandamizi klabu ya soka ya Simba ya Tanzania, Marco Masanja, aliyekuwa kifungoni nchini China, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Wamachinga Songwe wataka ujenzi soko la Majengo kuharakishwa

  WAFANYABIASHARA ndogo ndogo (Wamachinga) wameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa soko la kisasa linalojengwa kata ya Majengo Halmashauri ya Mji Tunduma mkoani Songwe...

Habari Mchanganyiko

LSF yatoa ruzuku Sh. 3.1 bilioni uimarishaji haki nchini

SHIRIKA la Legal Services Facility (LSF), limetoa ruzuku ya kiasi cha Sh. 3.1 bilioni kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji haki nchini hususan kwa...

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu yakosoa ukamataji walioachiwa huru na Mahakama

  WAKATI Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kuchunguza taaisisi za haki jinai ikiendelea kukusanya maoni ya wadau, Shura ya Maimamu Tanzania...

Kimataifa

Ujumbe wa Bunge la Marekani wafanya ziara nchini Taiwan

  MWAKILISHI wa Marekani, Ro Khanna ameongoza msafara wa wajumbe wa Bunge la nchi hiyo nchini Taiwan wikiendi hii kwa lengo la kuimarisha...

ElimuHabari

CBE yaja na klabu za ujasiriamali mashuleni

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanga kuanzisha vilabu vya ujasiriamali kwa shule za sekondari mkoani Dar es Salaam na kwa kuanzia kimezindua...

Habari Mchanganyiko

GGML yang’ara tuzo za PRST, yanyakua tuzo 2

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendelea kufanya vyema kwenye nyanja mbalimbali zinazogusa jamii na serikali kwa ujumla baada ya Meneja Uhusiano...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 7 za TARURA kuwanufaisha wananchi Berega

SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) inatarajiwa kutumia zaidi ya Sh bilioni saba katika ujenzi wa daraja jipya la Berega...

Habari Mchanganyiko

TMA yatangaza mwelekeo wa mvua za masika

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania  (TMA), imetangaza mwelekeo wa msimu wa mvua za masika mwaka huu takribani mikoa 11, inatarajia kunyesha...

Elimu

Toufiq kutatua changamoto Shule ya Msingi Buigiri

  MBUNGE wa Viti maalum Dodoma (CCM), Fatma Toufiq, ameahidi kushughulikia changamoto ambazo zinaikabili shule ya msingi maalum ya Buigiri iliyopo Chamwino mkoani...

error: Content is protected !!