Tuesday , 3 October 2023
Home gabi
1167 Articles123 Comments
Elimu

Green Acres kuwakatia bima wanafunzi wote

Shule ya Green Acres imejipanga kufanya mambo makubwa kwa mwaka 2023 / 2024 ikiwemo kuwakatia bima wanafunzi wa shule hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Biashara

BRELA watoa elimu urasimishaji biashara maonesho madini

KATIKA kuongeza wigo kwa wawekezaji na wafanyabiashara kurasimisha biashara zao, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni  nchini (BRELA) umetoa wito kwa wafanyabiashara...

AfyaHabari Mchanganyiko

Magonjwa yasiyoambukiza tishio, vyombo vya habari vyatakiwa kuelimisha umma

VYOMBO vya habari vimetakiwa kuongeza jitihada katika elimu ya kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza (NCD’s) ili kukabiliana na janga hilo ambalo sasa likadiriwa...

ElimuHabari

Wanafunzi wa vipimo na viwango CBE waula

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hii ndio sura halisi ya Rais Samia

KILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais Samia Suluhu Hassan na kitabu anachotumia ni tofauti na kilichotumiwa na mtangulizi wake...

Biashara

Serikali yakanusha madai GGML ku-blacklist vijana nchini

SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa sababu mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Watu 3,000, nchi 70 kushiriki AGRF

ZAIDI ya watu 3,000 kutoka nchi 70 duniani wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa siku nne wa Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), unaotarajiwa kuanza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee amuangukia Majaliwa kutekwa kwa mwanaye, “bora nife”

KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kuhusu mitaji kwa wakulima, ushirika

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke katika lugha rahisi andiko juu ya upatikanaji wa mitaji na pembejeo kwa wakulima na...

Biashara

NMB yatenga bilioni 20 BBT, yamwaga mikopo kwa wakulima

KATIKA kuuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT), Benki ya NMB imetenga jumla...

Habari MchanganyikoTangulizi

Papa Fransisco amteua Askofu Mkuu Rugambwa kuwa Kardinali

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francisco amemteua Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu la Tabora, Protase Rugambwa kuwa kardinali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Drone kutumika ulinzi wa bomba la TAZAMA

NDEGE ndogo zisizo na rubani (drone) zinatarajiwa kutumika katika ulinzi wa bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaanza mchakato wa kuiuzia Zambia gesi asilia, “mawaziri 6 kujifungia”

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amesema Serikali za Tanzania na Zambia zipo katika mazungumzo jinsi ya kujenga bomba jipya la mafuta pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi azindua huduma ya bima ya Takaful, aipongeza ZIC

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amezindua huduma ya Bima inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu (Takaful)...

Kimataifa

Marekani, Urusi kubadilisha wafungwa

NCHI mahasimu Marekani na Urusi zinajadili uwezekano wa kubadilishana wafungwa ambao unaweza kumhusisha mwandishi wa gazeti la Wall Street Journal, Evan Gersh-kovich, ambaye...

Habari Mchanganyiko

Makamu Rais Zanzibar awataka wahariri kuweka misingi kukuza kiswahili, “mbwembwe zinatia dosari”

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah ametoa rai kwa wahariri wa vyombo vya habari kuweka misingi imara ya kukuza...

Michezo

NMB, Yanga SC. waingia makubaliano kuimarisha huduma za kidijitali, kusajili wanachama

KWA kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, Benki ya NMB imeingia makubaliano na timu ya Yanga SC. na kuwa benki ya kwanza...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam amlipua Dk. Slaa… “ni kizabizabina”

MFANYABISHARA wa Kimataifa ambaye pia ni mwanasiasa, Rostam Aziz amejibu Balozi Dk. Wilbrod Slaa ambaye alimtuhumu kwa mambo mbalimbali na kusisitiza kwamba Katibu...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam Aziz: Sihusiki na uwekezaji wa DP World

MFANYABIASHARA wa kimataifa nchini, Rostam Aziz amesema hahusiki lakini pia kampuni zake hazihusiki wala hazina uhusiano wowote na Kampuni ya DP World kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje, Makamba watikisa Bunge likipitisha bajeti kuu

WABUNGE wa viti maalumu Nusrat Hanje, Salome Makamba ambao ni sehemu ya wabunge 19 waliotimuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari Mchanganyiko

ATE yapata mwenyekiti, wajumbe wapya

WANACHAMA wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamemchagua Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Morgage Refinance Company Limited – TMRC, Oscar Mgaya kuwa mwenyekiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yaonya waajiri kutopendelea ‘cheap labour’

NAIBU Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amewatahadharisha waajiri kutopendelea kuwalipa masilahi duni wafanyakazi wao kwani hali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji Mwangesi: Wanao-park STK baa tupeni taarifa tuwashughulikie

KAMISHNA wa Maadili Jaji Sivangilwa Mwangesi ametoa wito kwa Watanzania kutoa taarifa pindi wanapobaini kiongozi wa umma anatumia vibaya mali za umma kwa...

Elimu

Tanzania inatarajia kutundika satelite kulinda nchi

KATIKA kuimarisha mifumo ya ulinzi nchini, Tanzania inatarajia kutundika satellite yake ya kwanza angani itakayotumika pia katika kuboresha huduma za mawasiliano. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaTangulizi

Bandari za Tanga na Mtwara hazihusiki uwekezaji DP World

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano...

Biashara

BoT: Akiba fedha za kigeni inaweza kuagiza bidhaa miezi minne

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewatoa hofu Watanzania kuhusu uhaba wa fedha za kigeni hususani Dola za Marekani na kubainisha kuwa mbali na...

Habari Mchanganyiko

Kafulila awapa darasa wahariri kuhusu idara ya PPP

KAMISHNA wa Idara ya Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema msukumo wa kuunda taasisi hiyo ulitokana na kuwepo...

Habari Mchanganyiko

Rostam aungana na wawekezaji kuleta mageuzi ya nishati Zanzibar, bilioni 330 kutumika

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Rostam Azizi kupitia Kampuni yake ya Taifa Group, ameungana na kampuni ya Generation Capital Limited (GCL) kutoka Mauritius kuanzisha mradi...

Habari Mchanganyiko

Balile, Kalinaki waula jumuiya ya wahariri EAC

JUMUIYA ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei...

Habari za Siasa

Mabadiliko sheria ya uchaguzi, vyama vya siasa kutua bungeni mwaka huu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama amesema kabla ya mwaka huu 2023 kumalizika, Serikali itakuwa imepeleka...

Habari Mchanganyiko

Barrick yang’ara maonesho ya OSHA- 2023, yatwaa tuzo 6, mshindi wa jumla

KAMPUNI ya Barrick Tanzania imenyakua tuzo sita katika kilele cha maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayofanyika katika Viwanja...

Habari Mchanganyiko

Prof. Ndalichako awataka waajiri kuzingatia sheria ya afya, usalama mahali pa kazi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,  Prof. Joyce Ndalichako amewataka waajiri wote nchini kuchukua hatua ya...

Habari Mchanganyiko

TEF yataja hatua itakayochukua maoni yakiachwa Muswada Sheria ya Habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema litaendelea kutumia njia za diplomasia kuhamasisha maoni ya wadau yaliyoachwa katika Muswada wa maboresho ya Sheria...

Kabidhi Wasii Mkuu na Mtendaji Mkuu wa RITA, Angela Anatory.
Habari Mchanganyiko

RITA waja kidijitali, wasajili watoto milioni 8

KATIKA kupunguza gharama na kurahisisha utoaji wa huduma zinazotolewa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeanza kutoa huduma kwa njia ya...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

KATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini, Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma, (PSSSF) umewekeza kwa ubia katika viwanda...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nyumba na viwanja vinavyouzwa na mfuko kwa njia mbalimbali ili...

Habari Mchanganyiko

GGML, halmashauri za Geita zasaini makubaliano ya CSR ya thamani ya Sh bilioni 19

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

JUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya Bulinda na Butayaibega vilivyopo kata ya Maruku na Kanyangereko wilaya ya Bukoba vijijini...

Habari Mchanganyiko

TRA – Chunya yaja kidijitali makusanyo ya kodi kwenye madini

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imesema katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji mapato, imeanza kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo...

Makala & Uchambuzi

Uthubutu, uwezeshaji kielimu unavyopaisha wanawake GGML

MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesababisha...

Habari Mchanganyiko

GGML yaahidi kuendelea kushirikiana na serikali, yachangia 40% mapato ya dhahabu

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeeleza kuridhishwa na juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuvutia wawekezaji na kuboresha sekta ya madini...

Habari Mchanganyiko

Mwanamfalme Dubai asaini mkataba na Tanzania kusambaza mbolea nchini

OFISI ya Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, Mwanafamilia ya Kifalme ya Dubai kutoka Falme za Kiarabu, imesaini mkataba wa makubaliano (MOU) na Serikali...

Habari Mchanganyiko

Makamba: Umeme wa sasa kama barabara miaka ya 1990

WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amesema hali ya upatikanaji umeme nchini sasa ni sawa na hali ya barabara zilizokuwa zinatumika katika usafiri mwaka...

Habari Mchanganyiko

Samia ashuhudia utiaji saini mikata 26 ya trilioni 1.9

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ameshuhudia utiaji saini mikataba 26 yenye thamani ya Sh trilioni 1.9 ambayo itakwenda kuimarisha upatikanaji wa umeme...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yataka utaratibu mzuri uuzaji vyakula vya bei ya ruzuku

CHAMA cha ACT-Wazalendo, mkoani Lindi, kimeishauri Serikali kuweka utaratibu mzuri wa ugawaji vyakula vya ruzuku kwa wananchi walioko katika vijiji vinavyokabiliwa na uhaba...

Habari Mchanganyiko

Uhifadhi waongeza wanyama Pololeti

UAMUZI wa Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuhifadhi Pori la Akiba la Pololeti lenye ukubwa wa kilomita 1,500 umewezesha kuongeza...

Habari Mchanganyiko

14 familia moja wafariki katika ajali iliyoua 17 Tanga

WATU 14 ni wa familia moja kati ya 17, wamefariki dunia na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Magira...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 120 za DMDP zaibadilisha Ilala, wananchi watoa ya moyoni

JUMLA ya Sh bilioni 120.7 zimetumiwa na Halmshauri ya Jiji Ilala katika uboreshaji wa miundombinu ikiwamo ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilometa...

error: Content is protected !!