Shule ya Green Acres imejipanga kufanya mambo makubwa kwa mwaka 2023 / 2024 ikiwemo kuwakatia bima wanafunzi wa shule hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...
By Gabriel MushiSeptember 25, 2023KATIKA kuongeza wigo kwa wawekezaji na wafanyabiashara kurasimisha biashara zao, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni nchini (BRELA) umetoa wito kwa wafanyabiashara...
By Gabriel MushiSeptember 24, 2023VYOMBO vya habari vimetakiwa kuongeza jitihada katika elimu ya kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza (NCD’s) ili kukabiliana na janga hilo ambalo sasa likadiriwa...
By Gabriel MushiSeptember 16, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji...
By Gabriel MushiSeptember 15, 2023KILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais Samia Suluhu Hassan na kitabu anachotumia ni tofauti na kilichotumiwa na mtangulizi wake...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2023SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa sababu mbalimbali...
By Gabriel MushiSeptember 8, 2023ZAIDI ya watu 3,000 kutoka nchi 70 duniani wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa siku nne wa Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), unaotarajiwa kuanza...
By Gabriel MushiSeptember 3, 2023KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...
By Gabriel MushiAugust 3, 2023WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke katika lugha rahisi andiko juu ya upatikanaji wa mitaji na pembejeo kwa wakulima na...
By Gabriel MushiAugust 3, 2023KATIKA kuuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT), Benki ya NMB imetenga jumla...
By Gabriel MushiAugust 3, 2023KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francisco amemteua Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu la Tabora, Protase Rugambwa kuwa kardinali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJuly 9, 2023NDEGE ndogo zisizo na rubani (drone) zinatarajiwa kutumika katika ulinzi wa bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam...
By Gabriel MushiJuly 7, 2023Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...
By Gabriel MushiJuly 6, 2023WAZIRI wa Nishati, January Makamba amesema Serikali za Tanzania na Zambia zipo katika mazungumzo jinsi ya kujenga bomba jipya la mafuta pamoja na...
By Gabriel MushiJuly 6, 2023RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amezindua huduma ya Bima inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu (Takaful)...
By Gabriel MushiJuly 6, 2023NCHI mahasimu Marekani na Urusi zinajadili uwezekano wa kubadilishana wafungwa ambao unaweza kumhusisha mwandishi wa gazeti la Wall Street Journal, Evan Gersh-kovich, ambaye...
By Gabriel MushiJuly 5, 2023Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah ametoa rai kwa wahariri wa vyombo vya habari kuweka misingi imara ya kukuza...
By Gabriel MushiJuly 4, 2023KWA kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, Benki ya NMB imeingia makubaliano na timu ya Yanga SC. na kuwa benki ya kwanza...
By Gabriel MushiJuly 1, 2023MFANYABISHARA wa Kimataifa ambaye pia ni mwanasiasa, Rostam Aziz amejibu Balozi Dk. Wilbrod Slaa ambaye alimtuhumu kwa mambo mbalimbali na kusisitiza kwamba Katibu...
By Gabriel MushiJune 26, 2023MFANYABIASHARA wa kimataifa nchini, Rostam Aziz amesema hahusiki lakini pia kampuni zake hazihusiki wala hazina uhusiano wowote na Kampuni ya DP World kutoka...
By Gabriel MushiJune 26, 2023WABUNGE wa viti maalumu Nusrat Hanje, Salome Makamba ambao ni sehemu ya wabunge 19 waliotimuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
By Gabriel MushiJune 26, 2023WANACHAMA wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamemchagua Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Morgage Refinance Company Limited – TMRC, Oscar Mgaya kuwa mwenyekiti...
By Gabriel MushiJune 22, 2023NAIBU Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amewatahadharisha waajiri kutopendelea kuwalipa masilahi duni wafanyakazi wao kwani hali...
By Gabriel MushiJune 22, 2023KAMISHNA wa Maadili Jaji Sivangilwa Mwangesi ametoa wito kwa Watanzania kutoa taarifa pindi wanapobaini kiongozi wa umma anatumia vibaya mali za umma kwa...
By Gabriel MushiJune 21, 2023KATIKA kuimarisha mifumo ya ulinzi nchini, Tanzania inatarajia kutundika satellite yake ya kwanza angani itakayotumika pia katika kuboresha huduma za mawasiliano. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 21, 2023Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Gabriel MushiJune 10, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano...
By Gabriel MushiJune 8, 2023BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewatoa hofu Watanzania kuhusu uhaba wa fedha za kigeni hususani Dola za Marekani na kubainisha kuwa mbali na...
By Gabriel MushiJune 6, 2023KAMISHNA wa Idara ya Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema msukumo wa kuunda taasisi hiyo ulitokana na kuwepo...
By Gabriel MushiMay 16, 2023MFANYABIASHARA maarufu nchini, Rostam Azizi kupitia Kampuni yake ya Taifa Group, ameungana na kampuni ya Generation Capital Limited (GCL) kutoka Mauritius kuanzisha mradi...
By Gabriel MushiMay 15, 2023JUMUIYA ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei...
By Gabriel MushiMay 12, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama amesema kabla ya mwaka huu 2023 kumalizika, Serikali itakuwa imepeleka...
By Gabriel MushiMay 8, 2023KAMPUNI ya Barrick Tanzania imenyakua tuzo sita katika kilele cha maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayofanyika katika Viwanja...
By Gabriel MushiApril 29, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako amewataka waajiri wote nchini kuchukua hatua ya...
By Gabriel MushiApril 28, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema litaendelea kutumia njia za diplomasia kuhamasisha maoni ya wadau yaliyoachwa katika Muswada wa maboresho ya Sheria...
By Gabriel MushiApril 28, 2023KATIKA kupunguza gharama na kurahisisha utoaji wa huduma zinazotolewa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeanza kutoa huduma kwa njia ya...
By Gabriel MushiApril 3, 2023KATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini, Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma, (PSSSF) umewekeza kwa ubia katika viwanda...
By Gabriel MushiMarch 31, 2023MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nyumba na viwanja vinavyouzwa na mfuko kwa njia mbalimbali ili...
By Gabriel MushiMarch 31, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na wenyeji wake Halmashauri ya Mji Geita, Wilaya ya Geita pamoja...
By Gabriel MushiMarch 21, 2023JUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia katika vijiji vya Bulinda na Butayaibega vilivyopo kata ya Maruku na Kanyangereko wilaya ya Bukoba vijijini...
By Gabriel MushiMarch 16, 2023MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imesema katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji mapato, imeanza kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo...
By Gabriel MushiMarch 16, 2023MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesababisha...
By Gabriel MushiMarch 8, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeeleza kuridhishwa na juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuvutia wawekezaji na kuboresha sekta ya madini...
By Gabriel MushiMarch 5, 2023OFISI ya Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, Mwanafamilia ya Kifalme ya Dubai kutoka Falme za Kiarabu, imesaini mkataba wa makubaliano (MOU) na Serikali...
By Gabriel MushiFebruary 25, 2023WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amesema hali ya upatikanaji umeme nchini sasa ni sawa na hali ya barabara zilizokuwa zinatumika katika usafiri mwaka...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ameshuhudia utiaji saini mikataba 26 yenye thamani ya Sh trilioni 1.9 ambayo itakwenda kuimarisha upatikanaji wa umeme...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, mkoani Lindi, kimeishauri Serikali kuweka utaratibu mzuri wa ugawaji vyakula vya ruzuku kwa wananchi walioko katika vijiji vinavyokabiliwa na uhaba...
By Gabriel MushiFebruary 13, 2023UAMUZI wa Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuhifadhi Pori la Akiba la Pololeti lenye ukubwa wa kilomita 1,500 umewezesha kuongeza...
By Gabriel MushiFebruary 6, 2023WATU 14 ni wa familia moja kati ya 17, wamefariki dunia na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Magira...
By Gabriel MushiFebruary 4, 2023JUMLA ya Sh bilioni 120.7 zimetumiwa na Halmshauri ya Jiji Ilala katika uboreshaji wa miundombinu ikiwamo ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilometa...
By Gabriel MushiFebruary 2, 2023