Saturday , 27 April 2024
Home gabi
1245 Articles148 Comments
Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Kampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya Akmenite Limited Lithuania, inatarajia kutumia dola za Marekani milioni 15 (Sh 38.9 bilioni)...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha  Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kwa kazi nzuri ya uwakilishi ambayo inaonekana kwa...

Habari Mchanganyiko

OSHA watakiwa kuwa wakali kwa waajiri, wawekezaji wasiozingatia sheria

WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), umetakiwa kuwa wakali na kuhakikisha sheria, taratibu na kanuni za usalama na afya mahali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Wakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi kufikia Dola za Kimarekani bilioni moja (Sh trilioni 2.5), ndani ya mwaka mmoja...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa kufanikiwa kukamilisha wa mchakato wa ununuzi wa hisa za Kampuni ya Ore Corp...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu kuanzia kesho Ijumaa kutokana na kifo cha Mkuu wa Majeshi nchini hiyo CDF-...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

SERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha uhusiano wenye manufaa kwa pande zote mbili ili kuendelea kufungua milango ya fursa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Baraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili kwa ukubwa nchini Uturuki linatarajiwa kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atua Uturuki kwa ziara ya siku 5

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amewasili nchini Uturuki kwa ziara ya kitaifa yenye lengo la kukuza uhusiano wa diplomasia ya siasa, uchumi...

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

SERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia vikao na mikutano ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) ambapo sekta binafsi...

Habari za Siasa

CAG: TAWA imegawa vibali vya uwindaji bila idhini ya waziri

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka 2022/2023 imbeinisha kuwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ilitoa hati...

Habari za Siasa

Ubovu barabara Kigamboni: Tanroad, mkandarasi wapewa maagizo

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza meneja wa Wakala wa barabara mkoa wa Dar es Salaam kufika katika barabara ya Gomvu – Kimbiji...

Habari za Siasa

Chumi aibana Serikali wahitimu kidato cha IV, VI wajiunge JKT

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Stargomena Tax amesema Juni mwaka huu wizara hiyo kwa kushirikiana na wizara ya fedha inatarajia...

Habari za Siasa

Shabiby ‘ampeleka shule’ John Heche

MBUNGE wa Gairo, Ahamed Shabiby (CCM), amesisitiza hoja yake kuwa njia rahisi ya kuwawezesha watanzania wote kuwa na Bima ya Afya (NHIF) ni...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM afariki ghafla, Bunge laahirishwa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametangaza msiba wa Mbunge wa Kwahani, Ahmed Yahya Abdulwakil (CCM), aliyefariki...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Madini yaja na programu ya kuinua wachimbaji vijana, akina mama

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali itatekeleza programu ya Mining for a Brighter (MBT) kwa lengo la kuwainua wachimbaji wanawake na vijana....

Habari MchanganyikoTangulizi

Meli yenye abiria 27 yazama Ziwa Tanganyika, 17 waokolewa

JUMLA ya abiria 17 kati ya 27 waliozama na meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, wameokolewa huku juhudi za kuendelea kuwatafuta...

Habari za Siasa

WMAs zatakiwa kuwa na matumizi sahihi ya fedha

Serikali imewataka viongozi wa Jumuiya za Hifadhi Wanyamapori (WMAs) kuzingatia matumizi sahihi ya fedha ili kuwanufaisha wananchi wa vijiji wanachama pia kuzingatia mikataba...

Habari za Siasa

Salim aibana Serikali umiliki msitu wa hewa ukaa Ulanga

SERIKALI imesema ipo katika hatua za mwisho kisheria kukamilisha mchakato wa umiliki wa Msitu wa Hewa ya Ukaa uliopo Kituti hadi Mgolo kwa...

Habari za Siasa

Biteko ataka Watz kumuenzi Sokoine kwa kufanya kazi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema Watanzania wanapaswa kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine kwa kufanya kazi kwa bidii...

Habari za Siasa

Wabunge: Magari ya serikali yazuiwe sehemu za starehe

WABUNGE wameitaka Serikali kuzuia magari yanayotumiwa na viongozi wake katika sehemu za starehe muda wa usiku pamoja na kuchukua hatua pindi yanapovunja sheria...

Habari za Siasa

Mbunge Tarimo ataka TFDA irejeshwe

Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo (CCM) ameitaka wizara ya afya kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na kamati mbalimbali za Bunge kwamba iliyokuwa Mamlaka ya...

Habari za Siasa

Kabati aikaba koo Serikali ubovu wa barabara Kilolo

Serikali kupitia wakala ya barabara za vijijini na mijini (TARURA) mwaka wa fedha 2023/2024 imetenga kiasi cha Sh 61 milioni kwa kazi za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aainisha mikakati kumaliza migogoro Mirerani

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...

Habari Mchanganyiko

Waziri Silaa awataka watumishi ardhi kuzingatia uadilifu

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kuhakikisha wanawahudumia wananchi kwa uadilifu na upendo...

Habari Mchanganyiko

Aweso ahimiza ufungaji wa mita za malipo ya kabla

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiza Mamlaka za Maji Nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha...

MichezoTangulizi

Samia aipa tano Yanga

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga licha ya kutolewa na Mamelodi Sundowns katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya ligi...

Habari Mchanganyiko

Mavunde kufadhili mil. 10 kwa mshindi mashindano ya Quran

Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (CCM) amewataka viongozi wa dini kuhimiza amani, mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania kwa ustawi wa maendeleo...

Habari za Siasa

Sima ataka ujenzi soko la kisasa Singida kutoathiri wafanyabiashara

MBUNGE wa Singida Mjini, Mussa Sima ameitaka Serikali kuweka mipango imara itakayohakikisha shughuli za wafanyabiashara wanaotumia Soko Kuu la Ipembe haziathiri wakati ujenzi...

Habari za Siasa

Shigongo ataka udhibiti wa mamba sehemu za kuchota maji

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM), ameitaka Serikali kutoa elimu kwa jamii kuhusu udhibiti wa mamba pamoja na kuendelea kujenga uzio katika sehemu...

Habari za Siasa

Mavunde ateta na Mwenyekiti wa bodi EITI

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekutana na kufanya kikao kifupi na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI Rt. Helen Clark katika Ofisi Ndogo za...

Habari Mchanganyiko

BRELA watakiwa kufungua mlango wa kuelimisha umma

MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dk. Sheikh Abubakar Zubeir bin Ali Mbwana ameitaka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni, (BRELA) kutoa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

BoT yatangaza kupanda kwa riba kutoka 5.5% hadi 6%

Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imepandisha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate-CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rai ya Majaliwa kwa Watanzania

TAREHE 2 Aprili 2024, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alizindua mbio za Mwenge wa Uhuru mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kutokana na umuhimu wa historia...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yatoa vifaa vya maunganisho mapya Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea na zoezi la utoaji wa vifaa vya maunganisho mapya ya huduma...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Matinyi aanika mafanikio sekta ya utalii miaka mitatu ya Samia, Tz kinara Afrika

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, utalii ndio sekta inayoongoza...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 349 wapata mafunzo TGC

KITUO cha Jemolojia Tanzania (TGC) kimejipanga kuwa Kituo bora cha mafunzo ya utambuzi, uthaminishaji, ukataji madini ya vito, uchongaji wa vinyago vya vito...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: CDF Mabeyo amepasua masikio yetu

MJADALA kuhusu safari ya mwisho ya maisha ya Hayati Rais John Magufuli umeendelea kupamba moto baada ya Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa...

Habari Mchanganyiko

NEEC, taasisi za wanawake kumpongeza Rais Samia

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa kushirikiana na Taasisi mbalimbali za wanawake hapa nchini kesho Jumapili wameandaa hafla maalumu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo ateuliwa mkuu wa mkoa Songwe

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM, Daniel Godfrey Chongolo kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe. Chongolo amechukua nafasi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mtoto wa Mzee Mwinyi amwaga machozi

Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee mwinyi alikuwa mwanademokrasia wa kweli

Mtoto wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi amesema baba yao alikuwa mwanademokrasia wa kweli lakini pia hakuwa akitishika na mawazo...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete: Mwinyi alinianzishia safari yangu ya kisiasa

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka na kumshukuru Hayati Ali Hassan Mwinyi kwakuwa ndiye aliyemuanzishia safari yake ya kisiasa...

Habari za Siasa

Mzee Mwinyi alivunja baraza la mawaziri mara 2

RAIS Mstaafu Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka  Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa kiongozi msikivu na mwenye maamuzi magumu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za Siasa

“Viongozi wa dini ndio wanafanya nchi itawalike”

MCHANGO wa viongozi wa dini katika kuwashauri na kuwasimamia viongozi wa Serikali na kisiasa, ndiyo unaofanya nchi itawalike kwa amani. Anaripoti Mwandishi Wetuy,...

Makala & Uchambuzi

Vijana wanavyoandaliwa kuziba pengo la ujuzi sekta ya madini

MOJAWAPO ya sekta ambazo katika miaka ya 2000 hazikuwa na vijana wenye ujuzi wa kutosha kutekeleza shughuli mbalimbali, ni ya uchimbaji wa madini....

Habari za Siasa

84 mbaroni kuuza sukari bei ghali

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe leo Alhamisi amesema jumla ya wafanyabiashara 84 wamekamatwa kutokana na kupandisha bei ya sukari. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

KimataifaTangulizi

Rais wa Namibia amefariki dunia

HAGE Gengob, Rais wa Namibia, amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Makamu wa...

error: Content is protected !!