Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kuhakikisha wanawahudumia wananchi kwa uadilifu na upendo kwani hayo ndio maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ili kumaliza shida za watanzania katika ardhi zinaisha. Anaripoti Mwandishi Wetu …. (endelea).
Naye Waziri wa Nchi Ofisi Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Iftariliyoandaliwa na Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Dar es salaam amesema kupitia wizara yake, alisema atahakikisha anashirikiana na wizara ya ardhi ili kumaliza kero za ardhi.
Iftar hiyo iliandaliwa jana Ijumaa kwa lengo lengo la kuwakutanisha pamoja watumishi wa sekta ya ardhi, wananchi wa Jijini Dar es salaam pamoja viongozi mbalimbali wa chama na Serikali katika viwanja vya ofisi ya Kamishna wa Ardhi mkoa wa Da es salaam Dar Es Salaam.
Leave a comment