Tuesday , 30 April 2024

Month: January 2021

Habari za SiasaTangulizi

Makamo wa  Kwanza wa Rais Zanzibar, athibitika kuugua Corona

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amepata maambukizi ya virusi hatari vya Corona (Covid 19). Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Serikali: JPM atakuwa mkali zaidi

  WATUMISHI wa serikali na wale wanaopewa kazi na serikali, wametakiwa kuzifanya kwa ufanisi mkubwa kwa kuwa, Rais John Magufuli atakuwa mkali zaidi...

Habari za Siasa

COVID-19: Serikali ‘hatuwezi kuepuka’

  SERIKALI imeeleza kwamba, kutokana na muingiliano na mataifa mengine duniani, haiwezi kuepuka tahadhari juu ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Habari za Siasa

JPM: Hakuna vya bure

  RAIS John Magufuli amewaambia wakazi wa Bahi, Dodoma na Tanzania kwa ujumla kwamba, ‘hakuna vya bure.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Bawacha wajipanga ‘kuwazika’ Mdee na wenzake

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), linapanga mkakati mzito unaolenga kumzika kabisa kisiasa, aliyekuwa mwenyekiti wao wa taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi unaoaminika, hauwezi kusimamiwa na wanaotiliwa shaka – Dk. Amani Karume

  WIKI mbili zilizopita, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume, alizungumzia kwa kirefu historia ya Mapinduzi Visiwani. Akakumbusha jinsi mwafaka wa...

Afya

Jafo atangaza siku 7 kupiga nyungu

  WAZIRI Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Seleman Jaffo ametangaza msimu wa tatu wa kujifukiza nyungu, ili kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu...

Makala & UchambuziTangulizi

Matatizo sekta ya afya ni zaidi ya hili

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura...

Makala & UchambuziMichezoTangulizi

Taifa Stars imeshindwa kuendelea, ilipoishia

  MARA baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kwenye hatua ya makundi, timu ya...

Michezo

Kocha TP Mazembe avutiwa na kiungo wa Simba

  KOCHA wa kikosi cha TP Mazembe, Felix Mwamba ameonekana kuvutiwa na kiwango cha kiungo wa klabu ya Simba Laary Bwalya mara baada...

Michezo

Kocha mpya Simba awapandisha mizuka wachezaji

  NAHODHA msaidizi wa klabu ya Simba, Mohammed Hussein amesema kuwa ujio wa kocha wao mpya umeongeza mzuka kwa wachezaji katika kutimiza malengo...

AfyaHabari za Siasa

Magufuli aagiza madaktari waliokimbia kazini watafutwe

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari wanaopangiwa ajira katika hospitali za umma kisha wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kwa kigezo cha masilahi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Shoo azungumzia corona “tusimjaribu Mungu”

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo, amewataka viongozi wa kanisa hilo, kuwaelimisha waamini wake, kuchukua...

Michezo

Simba kuanza kiporo na Dodoma Jiji

  BODI ya Ligi Tanzania Bara imetoa ratiba ya michezo iliyohairishwa kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi, ambapo klabu ya Simba itaanza kushuka...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi awakumbusha wajibu wao wateule wake

  RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amewasisitiza viongozi aliowateua kwenda kwa wananchi kuwasikiliza changamoto walizonazo na kuyatafutia ufumbuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bakwata yazungumzia tahadhari ya corona

  BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), linaendelea kufanya tathimini za athari ya maambukizi ya corona (COVID-19), kisha itatoka na msimamo ya nini...

Habari za Siasa

COVID-19: CUF, ACT-Wazalendo ‘waifuata’ serikali

  SIKU chache kupita baada ya viongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania kutoa mwongozo kuhusu kujikinga na maambukizi mapya ya virusi vya corona, Chama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgunduzi alama wenye ulemavu amwangukia JPM

  JUTORAM Kabatele Mahala, ni Mtanzania aliyebuni alama sita za barabarani kwa ajili ya kuwalinda makundi ya watu wenye walemavu barabarani ambazo zinatumika...

Habari Mchanganyiko

Miaka mitano ya mateso kijiji cha Kongo

  NI vuta nikuvute kwa miaka mitano sasa, kati ya wakazi wa Kijiji cha Kongo, Kata ya Yombo wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani na...

Habari za Siasa

Madiwani CCM wabaini uchafuzi mazingira Makurumla, Mzimuni

  MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Makurumla Manispaa ya Ubungo, Bakari Kimwanga na mwenzake wa Mzimuni Manispaa ya Kinondoni, Manfred Lyoto...

Habari za Siasa

Chadema: Hatujapokea hata senti moja ya ruzuku

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimekana taarifa kuwa kimekuwa kikipokea ruzuku ya mamilioni ya shilingi kutoka serikalini, tangu kumalizika kwa...

Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja...

Habari za Siasa

Magufuli ampongeza Waziri Aweso, amuonya ‘ningekufukuza’

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kutowachekea wakandarasi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Takukuru yaitunuku tuzo MwanaHALISI TV

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeitunuku tuzo Kampuni ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), kwa kutambua mchango katika...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vitambulisho vipya vya machinga 1 Aprili, Ma-RC, DC wapewa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, vitambulisho vipya vya Wamachinga vilivyofanyiwa maboresho vikiwa na picha ya muhusika na baadhi ya kumbukumbu...

Michezo

Diamond: Nalipwa milioni 220 kwa mwezi

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnum’ amesema, kiwango cha fedha anachoingiza kwa mwezi, kutokana na mikataba mbalimbali ya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Maambukizi ya corona: Taifa njia panda

  MKANG’ANYIKO wa taarifa juu ya virusi hatari vya corona (Covid-19), nchini Tanzania, unazidi kuwaweka wananchi njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Ziara ya JPM: DED Kahama anusurika, aipandisha hadhi

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemsamehe kumfuta kazi, Anderson Msumba, Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga aliyetuhumiwa kununua gari kinyume...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 314 uhamiaji wakamatwa Dar

VYOMBO vya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, imewakamata watuhumiwa 314 wa uhamihaji haramu, ambao watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma...

Habari Mchanganyiko

Waziri Gwajima awanyooshea kidole wezi wa dawa, asema…

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima amewaonya watumishi wa afya wanaoiba dawa, wakibainika watafukuzwa kazi pamoja na kunyang’anywa taaluma zao. Anaripoti...

Michezo

Bumbuli: Sijaridhika na hukumu, nitakata rufaa

  MARA baada ya kufungiwa miaka mitatu kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu ndani na nje ya nchi na Kamati ya Maadili...

Afya

Rais Magufuli aahidi makubwa sekta ya Afya

  RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli amesema serikali yake itaendelea kuboresha sekta ya afya ili wananchi wapate huduma bora za afya. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wajifungia Zanzibar, Kina Mdee…

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, kimejifungia Visiwani Zanzibar, kuweka mkakati wake wa kisiasa, ili kuweza kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi...

MichezoTangulizi

Taifa Stars ‘out’ CHAN

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars ) imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) baada...

Michezo

Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3

  AFISA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu baada ya...

Michezo

Simba yashusha viingilio mchezo dhidi ya TP Mazembe

  UONGOZI wa klabu ya Simba umeamua kushusha viingilio kutoka Sh. 3,000 mpaka Sh. 2,000, kwenye mchezo wao dhidi ya TP Mazembe kutoka...

MichezoTangulizi

Morrison ateka Show ya Simba Dar

  DAKIKA tatu zilizotosha kumfanya Bernard Morisson kuibuka mchezaji bora wa mechi mara baada ya kupachika mabao mawili kwenye mchezo wa Kombe la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hofu ya COVID-19: Maaskofu Katoliki waungana

  YUDA Thaddaeus Ruwa’ichi, Askofu Mkuu Mwandamizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam nchini Tanzania, amewaomba waumini kuchukua tahadhari juu ya...

Habari Mchanganyiko

Tukikukamata tutakutandika faini – DED Temeke

  MTU yeyote atakayekamatwa akitupa takataka katika Mamispaa ya Temeke, jijini Dar es Salaam, atatozwa faini.Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea)....

Michezo

Nizar Khalfan amrithi Mwambusi Yanga

  NIZAR Khalfan, ametangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Mabingwa wa Michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar, Yanga ya jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania....

Habari za Siasa

Mbatia: Tuchukue tahadhari ya corona

  JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, ameshauri wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi...

Habari Mchanganyiko

Magufuli abadilisha jina shamba la Chato

  MSITU wa Chato mkoani Geita, kama ambavyo umekuwa ukitambulishwa toka awali, sasa utaitwa Msitu wa Silayo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Corona: JPM ‘hatutegemei kujifungia’

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema, hana mpango wa kuifungia nchi (lock down), kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki watahadharisha maambukizi ya corona

  BARAZA la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limetoa tahadhari kwa wananchi kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona na ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Maambukizo ya Corona yafikia milioni 100 dunia

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 100.34, waliofariki kwa ugonjwa huo ni milioni 2.15 na waliopona milioni 72.39. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Watanzania 64 wahukumiwa kulipa milioni 25 au jela mwaka 1

  WATANZANIA 64 wamehukumiwa kulipa faini zaidi ya Sh.25 million au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la kwenda nje ya nchi bila...

Michezo

Simba yasajili beki kitasa cha Zimbabwe

  KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa beki wa kati, Peter Muduhwa raia wa Zimbabwe ambaye alikuwa kwenye michuano ya kombe la Mataifa...

Kimataifa

Kiongozi wa kiroho amshughulikia Rais Kenyatta

KIONGOZI wa kiroho wa Kanisa Katoliki la All Saints Cathedral, Nairobi nchini Kenya, Sammy Wainaina amemshangaa Rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta kwa...

Habari

Rais Mwinyi ‘afagia’ wahasibu 80 Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amewaondoka kazini zaidi ya wahasibu 80 kwa tuhuma za kuchezea rafu mifumo ya ukusanyaji wa mapato. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asamehe wafungwa, mahabusu 1,787 wa Ethiopia

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ametangaza msahama wa wafungwa na mahabusu 1,789 wa Ethiopia wanaoshikiliwa katika mahabusu na magereza mbalimbali nchini...

error: Content is protected !!