Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Tukikukamata tutakutandika faini – DED Temeke
Habari Mchanganyiko

Tukikukamata tutakutandika faini – DED Temeke

Spread the love

 

MTU yeyote atakayekamatwa akitupa takataka katika Mamispaa ya Temeke, jijini Dar es Salaam, atatozwa faini.Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea).

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 27 Januari 2021, na Lusubilo Mwakabibi, Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake.

Amewataka wakazi wa manispaa hiyo na wale wanaotumia barabara ndani ya manispaa yake, kuhakikisha wanaweka mazingira safi sambamba na utunzaji wa barabara.

“Tumetengeneza barabara za kisasa ili zichukue miaka mingi ijayo, hatutakubali Temeke kuwa eneo la kutupa takataka barabarani.

“Mtanzamia yeyote atakayepanda daladala, bodaboda, bajaji au usafiri binafsi, ukionekana umetupa takataka yoyote utakamatwa na kutandikwa faini,” amesema Mwakabibi.

Pia mkurugenzi huyo amewataka wakazi wa manispaa huyo kulipia ushuru wa takataka katika magari yanayofanya kazi ya kukusanya taka hizo.

1 Comment

  • Asante mkurugezi kwa kauli njema lakini tunakuomba utuweke sehem ya kuifadhi taka mitaani na sehem za wazi ukiwa utayatimiza hapo kweli mtupa taka ovyo anastaili kuchukuliwa hatua za kisheria

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!