Tuesday , 30 April 2024

Month: October 2022

Habari za SiasaTangulizi

Matokeo ya Sensa 2022: Idadi ya watu Tanzania yafikia Mil. 61.7

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa idadi ya Watanzania imefikia milioni 61.7 kufikia tarehe 31 Oktoba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

ElimuHabari

Dk. Mwinyi mgeni rasmi kongamano la uchumi na biashara la CBE

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la maendeleo ya biashara na uchumi ambalo linatarajaiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein...

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia aungwe mkono bila kujali itikadi za kisiasa

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema ni jukumu la Watanzania wote kumuunga...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aanika idadi ya majengo, yapo ya shule na afya

  NCHI ya Tanzania, ina majengo 14,348,372 (milioni 14.3), ambapo Bara kuna majengo 13,907,951 na Zanzibar 440,421. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

 Takwimu za sensa zitaondoa masharti magumu ya mikopo

  MKURUGENZI wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Daktari Albina Chuwa, amesema takwimu za sensa ya watu na makazi za 2022, zitasaidia...

Habari za Siasa

Makinda: Matokeo ya sensa yataendelea kutolewa

  KAMISAA wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, Anna Makinda, amesema matokeo ya zoezi hilo yataendelea kutolewa baada ya Rais Samia...

Habari Mchanganyiko

THRDC:Marekebisho ya sheria za habari yataiheshimisha TZ kimataifa

MCHAKATO wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari nchini, umetajwa kuirudisha heshima ya Tanzania kimataifa, katika masuala ya ulinzi wa uhuru wa...

Habari Mchanganyiko

Wanusurika kifo kwa kuchomwa moto kisa wivu wa mapenzi

  WINIFRIDA Wambura, na watoto wawili, wamenusurika kufariki dunia baada ya mkwe wake, Naim Byabato, kuchoma moto nyumba kwa sababu ya wivu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Nilimwombea mama asife hadi aone naapishwa kuwa Rais

  KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameoneshwa shahuku na ndoto aliyonayo ya kuwa Rais wa Tanzania, baada kusimulia alivyokuwa akimfariji mama yake kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wahudhuria uzinduzi makao makuu ya ACT-Wazalendo

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehudhuria uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya Chama cha ACT-Wazalendo lililopewa jina la Maalim Seif...

Habari Mchanganyiko

Zawadi NMB MastaBata kuwakwamua wateja kiuchumi

MSIMU wa nne wa kampeni ya NMB MastaBata tayari umeanza baada ya promosheni hiyo ya kuchagiza malipo kidijitali kuzinduliwa Mbeya huku sehemu ya...

Habari za Siasa

Haya hapa majina 10 madiwani viti maalumu walioteuliwa na NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzo leo tarehe 30 Oktoba, 2022 imetangaza majina 10 ya madiwani wanawake wa viti maalumu walioteuliwa kujaza nafasi 10...

Kimataifa

Wanandoa mbaroni kwa utapeli wa bilioni 14, ni kupitia sarafu ya kidijitali

JESHI la Polisi nchini Sri Lanka limeanzisha uchunguzi kuhusu udanganyifu mpya wa fedha ambao hadi sasa umehusisha utapeli wa Sh bilioni 14 huku...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi wa Bodi TMA aipongeza kwa kutekeleza mikataba ya Baraza la Wafanyakazi

  MWENYEKITI  wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi ameipongeza TMA kwa kutekeleza Mkataba waBaraza kwa kuhakikisha wajumbe wa Baraza wanakutana mara...

Michezo

Morrison aibeba Yanga mbele ya Geita

BAO la mkwaju wa penalti ambalo limefungwa na winga machachari, Bernard Morrison wa klabu ya Yanga katika dakika ya 45 limetosha kuwaandikia Wana-jangwani...

Habari Mchanganyiko

ACT wazalendo: Watanzania kukosa maji ni uzembe wa Serikali

WAKATI mjadala wa uhaba wa maji nchini ukiendelea kushika kasi Chama cha ACT-Wazalendo kimesema  Tanzania haipaswi kukumbwa na changamoto hiyo kwa kuwa kuna...

Habari za Siasa

DP yaja na ‘Mlete Mzalendo Twende Pamoja’

CHAMA cha Democratic (DP) kimekuja na ‘Kampeni ya Mlete Mzalendo Twende Pamoja’ yenye lengo la kujenga chama na kuhakikisha kinafanya vizuri katika uchaguzi...

Habari Mchanganyiko

RC Makala azindua tawi la NBC Kigamboni

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amezindua tawi jipya la Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) lililopo eneo la Kibada...

Kimataifa

Ripoti: Chanjo za Corona zinaweza kuathiri hedhi

  WATAALAM kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya barani Ulaya (EMA) wameonya kuwa baadhi ya chanjo za Covid 19 zinaweza kusababisha akina...

Kimataifa

Mumewe Spika avamiwa, atwangwa nyundo

  IMEELEZWA kuwa Paul Pelosi, mume wa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi, amepata nafuu kutokana na upasuaji baada ya...

Habari za Siasa

Majaliwa awafunda Watanzania ughaibuni

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania wanaoishi ughaibuni kuwa mabalozi wazuri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi wanazoishi ili kujenga taswira...

Afya

Watumishi 139 kada ya afya kusomeshwa ubingwa, ubobezi

  JUMLA ya watumishi wa afya 139 wamechaguliwa kwaajili ya kupewa ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi katika fani zao. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aeleza tume huru uchaguzi ilivyogonga mwamba kikosi kazi cha Rais

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema baadhi ya mapendekezo yaliyotolewa na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika Kikosi Kazi cha Rais...

AfyaHabari

Hospitali KAM Musika yapima bure saratani tezi dume

KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya KAM Musika ya Kimara...

Kimataifa

Mtoto wa Museveni aandaa kongamano la mapinduzi, aalika viongozi kimataifa

  LUTENI Jenerali, Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema baba yake ameruhusu kufanyika kwa kongamano la vijana wazalendo, lenye...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawapa matumaini wanahabari kuhusu sheria kandamizi

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema mchakato wa marekebisho ya sheria za habari unakwenda vizuri na kwamba hivi karibuni Waziri wa...

Michezo

Tanzania kuandaa mpango kuhakikisha inashiriki Kombe la Dunia 2030

  WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerwa amesema Wizara hiyo inaandaa mpango mkakakati kuhakikisha 2030 Tanzania inashiriki kombe la Dunia, huku...

Habari Mchanganyiko

  Uwekezaji Kidijitali – NMB yaendelea kukuza Uchumi wa Buluu

BENKI ya NMB imekuwa mstari wa mbele kwa ubunifu katika sekta ya TEHAMA kwa kutoa masuluhisho mbalimbali kwa wateja wake wa nyanja zote. NMB...

Michezo

Tanzania mwenyeji mashindano ya dunia ya urembo kwa viziwi

  TANZANIA imekuwa mwenyeji wa mashindano ya dunia ya utanashati, urembo na mtindo ya watu wenye tatizo la kusikia ‘viziwi’ (Miss & Mister...

Habari MchanganyikoTangulizi

Daraja jipya la Wami laanza kutumika

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu Magari kuanza kutumia daraja jipya la wami kufuatia Ujenzi wake kukamilika kwa asilimia...

Habari Mchanganyiko

Rungwe amuangukia Rais samia uhuru wa habari

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chauuma), Hashimu Rungwe amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuzifuta sheria zote kandamizi kwa vyombo vya...

Tangulizi

CRB yawanoa makandarasi kuhusu biashara na fedha

MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje nchi. Na Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Watanzania sasa kutuma na kupokea Pesa nchi za SADC

  KAMPUNI ya simu za Mkononi ya Vodacom imezindua huduma  ya Vodacom M-Pesa inayoitwa “Dunia Kijiji, Afrika ni M-Pesa” ambayo inawawezesha Watanzania kutuma...

Habari Mchanganyiko

Korea yaipatia Tanzania mkopo wa bilioni 310

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa Sh bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amburuza Selasini kortini, amdai fidia ya Bil. 3

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amemfungulia kesi Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la chama hicho, Joseph Selasini, katika Mahakama Kuu,...

Habari Mchanganyiko

Msajili wa Hazina akusanya bilioni 853

OFISI ya Msajili wa Hazina imekusanya zaidi ya Shilingi bilioni 852.98 ikiwa ni mapato yasiyokuwa na kodi kutoka katika mashirika mbalimbali ambayo yanasimamiwa...

Habari Mchanganyiko

Huduma za fedha za simu za mkononi zinaweza kukuza kiwango cha uchumi wa taifa

UTAFITI mpya umeonesha kuwa matumizi fanisi ya huduma za fedha za simu za mkononi yana mchango wa moja kwa moja katika ukuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Kukabiliana na ukame, Bodi ya Maji yasitisha vibali 12 vya watumia maji

BODI ya maji Bonde la Wami Ruvu katika kulinda vyanzo vya maji imelazimika kusitisha vibali 12 vya watumiaji maji mkoani Morogoro ili kupunguza...

Habari Mchanganyiko

Benjamini Mkapa yaokoa bilioni 3.881 matibabu ya kibingwa

HOSPITALI ya Benjamini Mkapa iliyopo Jijini Dodoma imeokoa kiasi cha Sh. bilioni 3.881 tangu ilipoanza kutoa huduma ya upandikizaji wa figo, upanuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuleta neema ya 16.5 trilioni kupitia mradi wa LNG

UTAFITI wa Benki ya Stanbic umebaini kuwa mradi wa kuchakata gesi asilia (LNG) uliofufuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan utaingiza zaidi ya dola...

Kimataifa

Kukutana kwangu na baba wa Xi Jinping nimejifunza haya

  KHEDROOB Thondup mtoto wa Mwanadiplomasia Gyalo Thondup, kaka mkubwa wa Dalai Lama na mwakilishi wake wa kibinafsi wa zamani nchini China, amepata...

Michezo

Nyota wanne Simba kuikosa Azam kesho

KLABU ya Soka ya Simba inatarajiwa kuwakosa nyota wake wanne kuelekea mchezo wa kesho tarehe 27 Oktoba 2022 ambapo Simba watakuwa wageni wa...

Habari Mchanganyiko

TMA tangaza utabiri wa msimu wa mvua za Mwaka, watoa ushauri

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza utabiri wa Msimu wa Mvua za Mwaka unaotarajiwa kuanza mwezi Novemba 2022 na kumalizika Aprili...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ashauri kuondoshwa Tozo kwenye Korosho

  MBUNGE wa Ndanda Cecil Mwambe ameishauri Serikali kufuta tozo zilizokuwepo kwenye utaratibu za maozo ya kurosho ghafi ili kunusuru bei ya korosho...

Habari Mchanganyiko

Waliofukuzwa kwa vyeti feki kuanza kurejeshewa michango ya hifadhi ya jamii Novemba Mosi

  KUANZIA Novemba Mosi, 2022 utekelezaji wa ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwarejeshea michango yao wale wote waliofukuzwa kazi kwasababu ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndumbaro: Wanahabari wakati ni huu

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewataka wadau wa habari nchini kupambana ili kubadili sheria za habari nchini huku akieleza...

Kimataifa

Aliyekaa nusu karne bila kuoga afariki baada ya kuoga

  MTU mchafu zaidi duniani Amou Haji aliyekaa zaidi ya miaka 50 bila kuoga amefariki duniani miezi michache baada ya kuogeshwa kwa lazima....

Tangulizi

Kamati ya Makamu Wakuu wa Vyuo yataka mikopo iongezwe

KAMATI ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu nchini (CVCPT), imeishauri serikali kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ili...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya madiwani Ngorongoro: Mahakama yaipa siku 14 Jamhuri

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeuamrisha upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya madiwani wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani...

error: Content is protected !!