Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto: Nilimwombea mama asife hadi aone naapishwa kuwa Rais
Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Nilimwombea mama asife hadi aone naapishwa kuwa Rais

Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)
Spread the love

 

KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameoneshwa shahuku na ndoto aliyonayo ya kuwa Rais wa Tanzania, baada kusimulia alivyokuwa akimfariji mama yake kuwa hatofariki hadi aone anaapishwa kuwa Rais. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Zitto ambaye amewahi kuwa mbunge wa Kigoma Mjini, amesimulia mkasa huo leo Jumapili tarehe 30, Oktoba, 2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya chama chake.

Amesema katika kumfariji mama yake ambaye hivi sasa ni mrehemu, alimtakia maneno hayo na kuongez akuwa angetamani angalau mama yake angeshuhudia uzinduzi wa ofisi hizo zilizopo Magomeni Mtaa wa Mbweni.

“Wenzangu huwa mnaa wasiwasi sana ninapopanda kwenye majukwaa ya kisiasa wanasema niko emotional na kweli leo nipo emotional na nahisi naweza hata nikakufuru nitaomba Mungu anisamehe,” amesema Zitto.

“Mama yangu alipokuwa mgonjwa, limtia moyo kuwa hutakufa atasubiri uone nikiapishwa kuwa Rais lakini alikufa na leo nikawa najiuliza kwanini hakusubiri hata aone hili,” amesema Zitto

2 Comments

  • Asante ndugu zitto lakini uwelewe hatoingia ikulu kama rais isipokuwa utaigia ikulu kama mgeni mwaliko watanzania wanamuelewa mtu asiyetosheka na hafai kuwa kiongozi wa taifa isipokuwa anafaa kuwa kiongozi wa chama chake alichokianzisha mwenye

  • Ndugu zitto unapoteza muda umeshindwa kuwa rais wa chadema jalibu.kuongea yenye.maana kwa watu wenye maana

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!