Friday , 29 September 2023

Habari Mchanganyiko

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Zaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS inayomiliki maabara ya upimaji wa sampuli za madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili...

Habari Mchanganyiko

Somo la dini: Waislamu waishukia Serikali, wizara yatoa kauli

JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetupia lawama Serikali ikidai imevunja ahadi yake ya kuwapa umiliki wa mitaala ya somo la elimu ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijijini wa awamu ya...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Kutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato la Taifa, Wizara ya madini inatarajiwa kufanya utafiti wa kina kwa kurusha ndege...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini zinazojihusisha na uchimbajin wa madini kuzingatia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

WANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara, kitendo kinachoimarisha shughuli zao...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kununua mitambo 15 ya kuchoronga miamba

Serikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya uchorongaji wa miamba kwa ajili ya utafiti wa kina wa madini. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mtanzania aweka rekodi kimataifa kwa kiwanda cha kusafisha dhahabu

IMEELEZWA kuwa Kiwanda cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kinachomilikiwa na Mwekezaji Mtanzania, Sarah Masasi kimeiweka Tanzania katika Soko la Kimataifa...

Habari Mchanganyiko

MAIPAC kusaidia Kompyuta shule ya Arusha Alliance

Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi kutoa msaada wa kompyuta kwa shule ya msingi ya Arusha Alliance ambayo inamilikiwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi GGML wajitokeza kuchunguzwa saratani

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) leo Ijumaa wamejitokeza katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita na kupatiwa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko aacha alama sekta ya madini

Dk. Biteko aacha alama sekta ya madini Imeelezwa kuwa, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk.  Doto Biteko ameacha alama kubwa katika...

Habari Mchanganyiko

ATCL yataja sababu kusitisha safari za ndege China

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetoa ufatanuzi kuhusu mabadilko ya ratiba zake za safari za China kwa abiria wake kuwa zimetokana na ndege...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yatoa msaada wa vifaa tiba kuboresha afya Geita

KATIKA jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya afya mkoani Geita, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa msaada wa vifaa tiba kwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Mtwara Girls waondokana na changamoto ya maji

  WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana mkoani Mtwara (Mtwara Girls High School), wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa...

Habari Mchanganyiko

Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya bilioni 224 Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba amesema Mwenge wa Uhuru ambao umetoa mkoani humo kutokea Tabora, unatarajiwa kuzindua miradi yenye thamani ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgogoro wa ardhi Kiteto: Wakulima wadaiwa kutwanga risasi ng’ombe wa wafugaji Kiteto

MGOGORO kati ya wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Lembapuli, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara umechukua sura mpya baada ya wakulima kudaiwa kuvamia...

Habari Mchanganyiko

Wadau wakutana kujadili mpango kazi wa uwekezaji miundombinu ya hali ya hewa

  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) kama Mshauri...

BiasharaHabari Mchanganyiko

RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aiagiza PURA kuharakisha zoezi la kunadi vitalu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuharakisha mchakato wa kunadi vitalu vya mafuta na gesi...

Habari Mchanganyiko

CP Suzan Kaganda atoa taarifa ya mkutano wa IAWP

  KAMISHNA wa Polisi wa kamisheni ya Utawala na manejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewasilisha taarifa ya Mkutano wa Jumuiya ya...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni

  JESHI la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi,...

Habari Mchanganyiko

Hima yajitosa mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia

  SHIRIKA la Hima Organization Tanzania, limeanza kutoa mafunzo kwa makundi mbalimbali, juu ya namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Polisi waahidi ushirikiano kwa waandishi wa habari, wataka masilahi ya Taifa yalindwe

MSEMAJI wa Jeshi la polisi Tanzania David Misime SACP amewataka waandishi wandishi wa habari kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kukuza maslahi...

Habari Mchanganyiko

Serikali imeweka mikakati kukabiliana na ukatili wa kijinsia- Msigwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia hususan kwa Wanawake kwenye maeneo mbalimbali nchini,...

Habari Mchanganyiko

Kesi kampuni ya ngumi kuidai fidia Azam Media yapigwa kalenda

  KESI iliyofunguliwa na kampuni inayoandaa mapambano ya ngumi za kulipwa, Hall of Fame Boxing and Promotion, kuidai fidia ya zaidi ya Sh....

Habari Mchanganyiko

Askari wa kike Tanzania washiriki Mkutano wa Mwaka 2023 New Zealand

  ASKARI wa Kike kutoka Nchini Tanzania wameshiriki Mkutano wa mwaka 2023 wa Mtandao wa Polisi Wanawake Duniani (IAWP) Nchini New Zealand. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wanawake waislamu waomba msaada ujenzi makao makuu, Bihimba atoa matofali 1,000

BARAZA Kuu la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, limewaomba wadau kuchangia ujenzi wa makao makuu yake yaliyopo maeneo ya Kivule, jijini Dar es Salaam....

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF (KHGIVF), kimeendesha mafunzo kwa madaktari wa hospitali mbalimbali kuhusu namna bora ya upandikizaji mimba....

AfyaHabari Mchanganyiko

Magonjwa yasiyoambukiza tishio, vyombo vya habari vyatakiwa kuelimisha umma

VYOMBO vya habari vimetakiwa kuongeza jitihada katika elimu ya kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza (NCD’s) ili kukabiliana na janga hilo ambalo sasa likadiriwa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda awataka wanawake waislamu washiriki masuala ya kitaifa

KATIBU wa Shura ya Maimsmu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewataka wanawake wa kiislamu washiriki katika masuala ya kitaifa ikiwemo ujenzi wa Maendeleo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa malezi, makuzi ya mtoto wapigwa msasa

WADAU wanaoshughulika na malezi na makuzi ya watoto wametakiwa kushirikiana ili kufanikisha malengo ya Programu Jumuishi ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya awali...

Habari Mchanganyiko

OMUKA HUB, NDI wafanikisha majadiliano Jukwaa la wanawake katika siasa

SHIRIKA la Omuka Hub ambalo kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Marekani National Democratic Institute – (NDI) wameandaa majadiliano kwa Jukwaa la...

Habari Mchanganyiko

Watafiti wasisitizwa ushiriki jopo la kimataifa la sayansi ya mabadiliko ya hali ya hewa

  KAIMU Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya...

Habari Mchanganyiko

AICC, JNICC yajipanga kukusanya bilioni 120

MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), Ephraim Mafuru amesema malengo yao ya mwaka 2023/2024 ni kukusanya Sh 120...

ElimuHabari Mchanganyiko

Kiswahili sasa kuanza kufundishwa Cuba

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Cuba zimesaini hati za makubaliano ya kushirikiana katika sekta ya elimu...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataja tamu, chungu utekelezaji maendeleo endelevu

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikiongeza juhudi katika utekelezaji wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDG’s), ombwe la umasikini kati ya wananchi wa mijini...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kuhamasisha kilimo hai

SERIKALI imeshauriwa kuweka mkazo katika kilimo hai kwa kuwa ndio kinazalisha chakula safi na salama kwa afya ya viumbe hai na mazingira. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

Hospitali Kuu ya Jeshi la Polisi yanufaika na mafunzo kutoka Marekani

  HOSPITALI Kuu ya Jeshi la Polisi iliyopo wilaya ya Temeke Barabara ya Kilwa Mkoa wa Dar es Salaam itanufanika na mafunzo ambayo...

Habari Mchanganyiko

Makamba akabidhiwa Ofisi, apewa zigo la diplomasia ya uchumi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amekabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dk. Stergomena...

Habari Mchanganyiko

Sheria mpya za habari zawaibua EALS kuwaandaa waandishi kuzikabili

CHAMA cha Wanasheria Afrika Masharika (EALS) kimetoa wito kwa waandishi wa habari kusoma na kuzielewa sheria zinazoongoza sekta hiyo ili kuamka na kupaza...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabia ya nchi, shughuli za kibinadamu zahatarisha Bwawa la Ning’hwa

MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA), Mhandisi Yusuph Katopola, amesema jitihada kubwa zinahitajika katika kutoa elimu juu...

Habari Mchanganyiko

Askofu aonya Watanzania kufanya kazi badala ya kutegemea misaada

ASKOFU Mkuu wa kanisa la Glory to God Ministry for All Nations lenye makao makuu Mailimbili Jijini Dodoma, Dk. Benson Rutta amewataka watanzania...

Habari Mchanganyiko

Vitambulisho vya NIDA hadi Machi 2024

SERIKALI imesema wananchi waliokwisha kuandikwa na kutambuliwa kwenye mfumo wa Kitambulisho cha Taifa, watapatiwa vitambulisho vyao ifikapo Machi 2024. Anaripoti Isaya Temu, TUDARCo…...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Bilioni 650 kumaliza changamoto ya mbegu

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema inahitajika uwekezaji wa shilingi bilioni 650, ili kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na salama. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wasiojiweza waishukuru SHUWASA kuwapatia huduma ya maji bure

WATU wasiojiweza wakiwemo vikongwe, wameishukuru Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga(SHUWASA), kwa kuwapatia huduma ya maji bure kila mwezi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Tanzania yapigwa kumbo tuzo ya Chakula Afrika, Kikwete awaibia mbinu…

RAIS mstaafu Jakaya Kikwete, amezishauri taasisi za utafiti wa kilimo nchini, kuwasilisha tafiti zao kwenye Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (AFP), ili...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Ulega: Kaya milioni 2.2 zinajihusisha na ufugaji

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema kaya milioni 2.2 nchini Tanzania zinajihusisha na sekta hiyo na kuchangia ukuaji wa uchumi. Anaripoti...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea kulifadhili na kuliunga...

Habari Mchanganyiko

Akamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu na kuiibia maji SHUWASA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, imemkamata Michael George Clement, mkazi wa Ndala Manispaa...

error: Content is protected !!