KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia makubaliano kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka...
By Mwandishi WetuApril 19, 2024TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa...
By Mwandishi WetuApril 19, 2024BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye...
By Mwandishi WetuApril 19, 2024Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio kikubwa kwenye mkutano...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, wamesaini hati ya makubaliano ya kufanya biashara ya hewa ukaa...
By Masalu ErastoApril 18, 2024CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuua mke wake, Mariam Ulacha (42), chanzo...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024SERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000 katika sekta mbalimbali, ikiwemo 12,000 katika sekta ya elimu na zaidi ya 10,000...
By Regina MkondeApril 18, 2024DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa katika...
By Mwandishi WetuApril 17, 2024DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa...
By Mwandishi WetuApril 17, 2024JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuuwa mke wake, Mariam Ulacha (42),...
By Mwandishi WetuApril 17, 2024SERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia vikao na mikutano ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) ambapo sekta binafsi...
By Gabriel MushiApril 16, 2024SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa kilimo ikolojia kutoa elimu kuhusu kilimo hicho ambacho kina tija kwenye soko na...
By Mwandishi WetuApril 16, 2024SERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada ya baadhi ya hospitali za rufaa za mikoa kutoa msamaha wa matibabu kwa...
By Regina MkondeApril 16, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu ya Soka ya Yanga wamezindua kadi za kimataifa za uanachama wa klabu hiyo...
By Mwandishi WetuApril 15, 2024UONGOZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, unaendelea na vikao vya kuandaa mpango wa wafanyabiashara kutekeleza shughuli zao usiku na mchana (saa 24)....
By Mwandishi WetuApril 15, 2024KUFUATIA ajali ya basi la shule ya msingi ya Ghati Memorial, iliyogharimu maisha ya wanafunzi nane, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu...
By Regina MkondeApril 15, 2024MAKUSANYO ya Serikali katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 yameongezeka kwa Sh. 3.582 trilioni, hadi kufikia Sh. 41.880 trilioni, kutoka Sh. 38.398 trilioni...
By Regina MkondeApril 15, 2024WATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu, basi wafuatilie kuona ilivyofunga masikio yake kusikiliza malalamiko ya wananchi zaidi ya 1,800...
By Regina MkondeApril 15, 2024Shirika la Amend Tanzania kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi linatarajiwa tena kuanza kutoa mafunzo ya elimu ya usalama barabara ni kwa madereva...
By Mwandishi WetuApril 15, 2024MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Khamis Katimba amesema wananchi wakilipa tozo na kodi vizuri, wanakuwa wameishaidia serikali kutekeleza majukumu yake kwao. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 15, 2024Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeunga mkono jitihada za Serikali katika kuchangia matibabu ya wagonjwa wa saratani...
By Mwandishi WetuApril 14, 2024KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya Oryx kwa ajili...
By Mwandishi WetuApril 13, 2024MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Amani, ameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya dola kuwashughulikia watu wanaofanya ubadhirifu wa...
By Mwandishi WetuApril 12, 2024SERIKALI ya Tanzania imetoa tathmini ya athari ya mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa inayonyesha mfululizo katika baadhi ya mikoa nchini, ikisema yameua...
By Mwandishi WetuApril 12, 2024WANAFUNZI saba wanahofiwa kupoteza maisha, huku watatu wakinusurika katika ajali ya gari la shule ya msingi Ghati Memorial, lililotumbukia katika korongo lililopo...
By Mwandishi WetuApril 12, 2024WAZAZI na walezi wameagizwa kuwalea watoto wao katika maadili mema yenye kuwa na hofu ya Kimungu pamoja na wanafamilia hao kuishi kwa...
By Danson KaijageApril 11, 2024MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita...
By Mwandishi WetuApril 10, 2024Mwenyekiti wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) Devotha Mrope amezindua mafunzo maalumu yanayolenga kujenga uwezo wa kitaaluma kwa wataalamu...
By Mwandishi WetuApril 10, 2024WATU 30 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kughushi nyaraka za mafao ili kujipatia fedha...
By Regina MkondeApril 9, 2024Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ametoa rai kwa menejimenti ya wizara ya madini kuhakikisha inachukua hatua za dhati katika kutatua changamoto...
By Mwandishi WetuApril 9, 2024MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amewataka waumini wa dini kiislam na dini nyingine katika madhehebu tofauti wilayani Kilosa kulinda...
By Yusuph KayandaApril 9, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali itatekeleza programu ya Mining for a Brighter (MBT) kwa lengo la kuwainua wachimbaji wanawake na vijana....
By Gabriel MushiApril 8, 2024JUMLA ya abiria 17 kati ya 27 waliozama na meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, wameokolewa huku juhudi za kuendelea kuwatafuta...
By Gabriel MushiApril 8, 2024WATU 15 wamefariki dunia kuanzia tarehe 1 hadi 7 Aprili 2024, kwa kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini...
By Mwandishi WetuApril 8, 2024ELIMU ya Usalama barabarani inayotolewa na Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania imewafikia madereva bodaboda wa Wilaya ya...
By Mwandishi WetuApril 8, 2024MAMLAKA ya Hali Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya hali ya kupatwa kwa jua tukio linalohusisha kivuli cha mwezi kuangukia juu ya uso wa...
By Mwandishi WetuApril 8, 2024MAAFISA wanaotekekeza Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania REGROW wamesisitizwa kuendelea kuteleza majukumu yao kwa kufuta...
By Yusuph KayandaApril 8, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...
By Gabriel MushiApril 7, 2024Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...
By Gabriel MushiApril 7, 2024MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza, ametoa chakula kwaajili ya fukari kwa waumini wa dini ya kiislamu kwa Misikiti...
By Mwandishi WetuApril 7, 2024Mtandao wa wanawake watetezi wa haki za binadamu Tanzania (CWHRDs TZ), umeendesha mkutano wake mkuu uliolenga kuweka mikakati ya kuimarisha harakati za kundi...
By Regina MkondeApril 6, 2024Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kuhakikisha wanawahudumia wananchi kwa uadilifu na upendo...
By Gabriel MushiApril 6, 2024KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amewaagiza watumishi wa mamlaka hiyo kuwa mfano bora kwa wengine kwa kuzingatia...
By Mwandishi WetuApril 6, 2024MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amefanya ukaguzi wa ujenzi wa Tuta la kuzuia maji yanayotapika nje ya Mto Mkundi...
By Yusuph KayandaApril 6, 2024Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiza Mamlaka za Maji Nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha...
By Gabriel MushiApril 6, 2024Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (CCM) amewataka viongozi wa dini kuhimiza amani, mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania kwa ustawi wa maendeleo...
By Gabriel MushiApril 5, 2024MKUU wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga amaipongeza kampuni ya Kilimanjaro one Travel and Tours kwa kuunga mkono kwa vitendo juhudi za...
By Mwandishi WetuApril 5, 2024WATU wanaopewa fedha na wapenzi wao kwa ajili ya matumizi mbalimbali, wametakiwa kutunza kumbukumbu ili kutojiweka katika hatari ya kufunguliwa kesi za uhujumu...
By Regina MkondeApril 5, 2024SERIKALI kupitia wizara ya Maliasili na utalii imezitaka Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero katika...
By Masalu ErastoApril 5, 2024