Saturday , 20 April 2024

Habari Mchanganyiko

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia makubaliano kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio kikubwa kwenye mkutano...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, wamesaini hati ya makubaliano ya kufanya biashara ya hewa ukaa...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuua mke wake, Mariam Ulacha (42), chanzo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

SERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000 katika sekta mbalimbali, ikiwemo  12,000 katika sekta ya elimu na zaidi ya 10,000...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa katika...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

  DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

  JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuuwa mke wake, Mariam Ulacha (42),...

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

SERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia vikao na mikutano ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) ambapo sekta binafsi...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa kilimo ikolojia kutoa elimu kuhusu kilimo hicho ambacho kina tija kwenye soko na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapata hasara 113 milioni hospitali kuwapa misamaha wagonjwa wasiostahili

SERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada ya baadhi ya hospitali za rufaa za mikoa kutoa msamaha wa matibabu kwa...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu ya Soka ya Yanga wamezindua kadi za kimataifa za uanachama wa klabu hiyo...

Habari Mchanganyiko

Biashara kuanza kufanyika saa 24 Dar

UONGOZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, unaendelea na vikao vya kuandaa mpango wa wafanyabiashara kutekeleza shughuli zao usiku na mchana (saa 24)....

Habari Mchanganyiko

Serikali yatakiwa kutunga sheria kudhibiti ajali mabasi ya shule

KUFUATIA ajali ya basi la shule ya msingi ya Ghati Memorial, iliyogharimu maisha ya wanafunzi nane, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu...

Habari Mchanganyiko

Makusanyo ya Serikali mwaka 2022/2023 yapaa kwa 9%

MAKUSANYO ya Serikali katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 yameongezeka kwa Sh. 3.582 trilioni, hadi kufikia Sh. 41.880 trilioni, kutoka Sh. 38.398 trilioni...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

WATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu, basi wafuatilie kuona ilivyofunga masikio yake kusikiliza malalamiko ya wananchi zaidi ya 1,800...

Habari Mchanganyiko

AMEND warejea kuwanoa madereva bodaboda

Shirika la Amend Tanzania kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi linatarajiwa tena kuanza kutoa mafunzo ya elimu ya usalama barabara ni kwa madereva...

Habari Mchanganyiko

DED Msalala: Tukilipa kodi, tumeisaidia serikali

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Khamis Katimba amesema wananchi wakilipa tozo na kodi vizuri, wanakuwa wameishaidia serikali kutekeleza majukumu yake kwao. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yawafariji wagonjwa wa saratani Ocean Road, Amana

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeunga mkono jitihada za Serikali katika kuchangia matibabu ya wagonjwa wa saratani...

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas, ASAS wawafuta machozi waathiriwa mafuriko Rufiji

KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya Oryx kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Askofu ataka mafisadi, wauza mihadarati washughulikiwe kumuenzi Sokoine

  MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Amani, ameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya dola kuwashughulikia watu wanaofanya ubadhirifu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mafuriko yaua 33 Morogoro, Pwani

  SERIKALI ya Tanzania imetoa tathmini ya athari ya mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa inayonyesha mfululizo katika baadhi ya mikoa nchini, ikisema yameua...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 7 wahofiwa kufariki gari la shule likitumbukia korongoni

  WANAFUNZI saba wanahofiwa kupoteza maisha, huku watatu wakinusurika katika ajali ya gari la shule ya msingi Ghati Memorial, lililotumbukia katika korongo lililopo...

Habari Mchanganyiko

Wazazi, walezi watakiwa kuwa karibu na watoto wao

  WAZAZI na walezi wameagizwa kuwalea watoto wao katika maadili mema yenye kuwa na hofu ya Kimungu pamoja na wanafamilia hao kuishi kwa...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita...

Habari Mchanganyiko

TRAMPA yawajengea uwezo watunza kumbukumbu na nyaraka nchini

Mwenyekiti wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) Devotha Mrope amezindua mafunzo maalumu yanayolenga kujenga uwezo wa kitaaluma kwa wataalamu...

Habari Mchanganyiko

Watu 30 mbaroni tuhuma kughushi nyaraka za mafao kupata fedha NSSF

WATU 30 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kughushi nyaraka za mafao ili kujipatia fedha...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa aagiza menejimenti kutatua changamoto za wafanyakazi wizara ya madini

Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ametoa rai kwa menejimenti ya wizara ya madini kuhakikisha inachukua hatua za dhati katika kutatua changamoto...

Habari Mchanganyiko

Prof. Kabudi afuturisha waumini wa dini y kiislam Kilosa, asisitiza amani

  MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amewataka waumini wa dini kiislam na dini nyingine katika madhehebu tofauti wilayani Kilosa kulinda...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Madini yaja na programu ya kuinua wachimbaji vijana, akina mama

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali itatekeleza programu ya Mining for a Brighter (MBT) kwa lengo la kuwainua wachimbaji wanawake na vijana....

Habari MchanganyikoTangulizi

Meli yenye abiria 27 yazama Ziwa Tanganyika, 17 waokolewa

JUMLA ya abiria 17 kati ya 27 waliozama na meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, wameokolewa huku juhudi za kuendelea kuwatafuta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaua 15 ndani ya wiki moja

WATU 15 wamefariki dunia kuanzia tarehe 1 hadi 7 Aprili 2024, kwa kusombwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari Mchanganyiko

Uswisi, Amend watoa elimu ya usalama barabara kwa bodaboda

ELIMU ya Usalama barabarani inayotolewa na Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania imewafikia madereva bodaboda wa Wilaya ya...

Habari Mchanganyiko

Jua kupatwa leo Aprili 8, 2024, TMA yatoa elimu, Tanzania haitashuhudia

MAMLAKA ya Hali Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya hali ya kupatwa kwa jua tukio linalohusisha kivuli cha mwezi kuangukia juu ya uso wa...

Habari Mchanganyiko

Maafisa wa Regrow watakiwa kuzingatia weredi katika kazi

  MAAFISA wanaotekekeza Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania REGROW wamesisitizwa kuendelea kuteleza majukumu yao kwa kufuta...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aainisha mikakati kumaliza migogoro Mirerani

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji inayojitokeza katika eneo la machimbo ya madini...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na...

Habari Mchanganyiko

Dk. Rweikiza atoa futari kwa Misikiti 113 Wilaya ya Bukoba Vijijini

MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza, ametoa chakula kwaajili ya fukari kwa waumini wa dini ya kiislamu kwa Misikiti...

Habari Mchanganyiko

CWHRDs kuweka mikakati kuimarisha harakati za wanawake wanaotetea haki

Mtandao wa wanawake watetezi wa haki za binadamu Tanzania (CWHRDs TZ), umeendesha mkutano wake mkuu uliolenga kuweka mikakati ya kuimarisha harakati za kundi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Silaa awataka watumishi ardhi kuzingatia uadilifu

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kuhakikisha wanawahudumia wananchi kwa uadilifu na upendo...

Habari Mchanganyiko

Kidata awataka watumishi TRA kuzingatia maadili, uaminifu

  KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amewaagiza watumishi wa mamlaka hiyo kuwa mfano bora kwa wengine kwa kuzingatia...

Habari Mchanganyiko

Mil 30 zatumika kujenga tuta la mto Mkundi kusaidia mafuriko kutofikia wakazi wa Dumila

  MBUNGE wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amefanya ukaguzi wa ujenzi wa Tuta la kuzuia maji yanayotapika nje ya Mto Mkundi...

Habari Mchanganyiko

Aweso ahimiza ufungaji wa mita za malipo ya kabla

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiza Mamlaka za Maji Nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Mavunde kufadhili mil. 10 kwa mshindi mashindano ya Quran

Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (CCM) amewataka viongozi wa dini kuhimiza amani, mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania kwa ustawi wa maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya Kilimanjaro One yapongezwa kukuza utalii wa kiutamaduni Bariadi

  MKUU wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga amaipongeza kampuni ya Kilimanjaro one Travel and Tours kwa kuunga mkono kwa vitendo juhudi za...

Habari Mchanganyiko

Wanaohongwa na wapenzi hatarini kwa utakatishaji fedha

WATU wanaopewa fedha na wapenzi wao kwa ajili ya matumizi mbalimbali, wametakiwa kutunza kumbukumbu ili kutojiweka katika hatari ya kufunguliwa kesi za uhujumu...

Habari Mchanganyiko

Tembo 45 warejeshwa hifadhini, Serikali yatoa maagizo

  SERIKALI kupitia wizara ya Maliasili na utalii imezitaka Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero katika...

error: Content is protected !!