Friday , 29 September 2023

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwabukusi ataja sababu 3 kukata rufaa kupinga hukumu kesi DP World

  WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza kukata rufaa kupinga hukumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama kuu yabariki mkataba DP World, yadai haujakiuka Katiba

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Abiria ABOOD walionusurika ajalini, wazua timbwili, Mbunge Abood ang’aka

KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...

Habari Mchanganyiko

MAFUNDI wawili wa mashine za kieletroniki za EFD, na mwanamke mmoja msimamizi wa gereji, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na...

Habari Mchanganyiko

JKT kuwanoa vijana wa BBT kwa mwezi mmoja

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema zaidi ya vijana 800 wanaotarajiwa kuhitimu mafunzo ya BBT mwaka huu wanatarajiwa kunolewa kuhusu masuala ya uzalendo...

Habari Mchanganyiko

Ruvuma kinara uzalishaji mazao ya nafaka

Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi ya pili na kutanguliwa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo akagua ujenzi miradi ya maji

MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali jimboni humo.Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wakuu wa nchi, Serikali SADC ngazi ya wataalaam waanza Angola

TANZANIA inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa leo tarehe 08...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza benki kupunguza riba kwa wakulima

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezitaka benki zote nchini zinazotoa mikopo, kupunguza riba ili kutowaumiza wakulima wenye nia ya kuendeleza kilimo...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Uzalishaji chakula umezidi kuimarika

Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameelezwa na...

Habari Mchanganyiko

Vijana 420 wawezeshwa kutengeneza vihenge kuthibiti sumu kuvu

JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa ajili ya kuwatengenezea wakulima vihenge vitakavyowasaidia...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waanika faida matumizi mfumo T-HAKIKI, waita wenzao kujisajili

WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo wa kuhakiki mbegu kiteknolojia T-HAKIKI...

Habari Mchanganyiko

RC Singida atahadharisha wafanyabiashara kukopa katika taasisi zilizosajiliwa

WAFANYABIASHARA wanaotarajia kukopa ili kuendesha biashara wameshauriwa kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na Benki Kuu (BoT). Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Bunge yatembelea Banda la NMB Nane Nane jijini Mbeya

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imetembelea Banda la Benki ya NMB katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo...

Habari Mchanganyiko

GGML yadhibitisha dhamira yake ya kuendeleza wahandisi wanawake

KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika...

Habari Mchanganyiko

THRDC yalia ukata wasaidizi wa kisheria, yataka wafike gerezani

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), imesema kuna uhaba wa watu wanaotoa msaada wa kisheria, kitendo kinachopelekea wananchi kukosa haki...

Habari Mchanganyiko

DC Mgeni awatolea uvivu viongozi vichomi

Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji wenye tabia ya kutengeneza migogoro hasa ya ardhi,...

Habari Mchanganyiko

Matinyi: Uwekezaji bandari Dar neema kwa ICD

MKUU wa Wilaya ya Temeke Mobhare Matinyi, amesema uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam unaenda kuchochea mafanikio kwenye Bandari Kavu (ICD). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Bahi waomba wawekezaji sekta ya kilimo, mifugo

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee amuangukia Majaliwa kutekwa kwa mwanaye, “bora nife”

KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...

Habari Mchanganyiko

Watu 4 akiwemo Mhadhiri Mzumbe wafariki kwa ajali Bagamoyo

  WATU wanne akiwemo aliyekuwa Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Dar es Salaam, Nora Msuya, wamefariki dunia katika ajali ya...

Habari Mchanganyiko

JKT lahimiza wananchi kujifunza shughuli za kilimo

  JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya na mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo...

Habari Mchanganyiko

GGML: Tupo tayari kushirikiana na TANESCO

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme gridi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yashinda tuzo 3 za Kimataifa, yatajwa benki bora Tanzania 2023

  BENKI ya NMB imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni Benki Bora Tanzania 2023, benki bora ya wateja maalum kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uhaba wa dola wapaisha bei ya petroli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aanika mikakati kuimarisha sekta ya kilimo

MAKAMU wa Rais nchini Dk. Philip Mpango ameweka wazi mipango ya serikali ya kuimarisha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuongeza thamani...

Habari Mchanganyiko

Halima Bulembo amkosha Waziri Mabula kutatua migogoro ya ardhi             

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo kwa ubunifu wake wa...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma: Nane nane iwe na tija kwa wakulima, wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mitumbwi 2 yazama Ziwa Victoria, 14 wafariki dunia

WAUMINI 14 wa Kanisa la KTMK, Kijiji cha Ichigondo, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, wamefariki dunia, huku 14 wakijeruhiwa baada ya mitumbwi waliyokuwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amlilia Sheikh Basaleh

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Sheikh wa Msikiti wa Idrisa, Karikoo, jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuanza kuzipa meno taasisi za umma

SERIKALI inakusudia kuanza kuzipa uhuru baadhi ya taasisi za umma, ili kuongeza ufanisi wa utendaji wake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasikia kilio changamoto hedhi salama, yatoa ahadi

SERIKALI imesema inafanyia kazi maombi ya wadau kuhusu uboreshaji mazingira ya hedhi salama kwa watoto wa kike. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa milioni 80 maonyesho ya Nanenane

MAONESHO makubwa ya Siku ya wakulima Nane nane yanayotarajiwa kuzikutanisha zaidi ya nchi 30 jijini Mbeya yamepewa sapoti kubwa na Benki ya NMB...

Habari Mchanganyiko

Chongolo: Mabasi DART Mbagala yarejeshwe

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuhakikisha mabasi ya mwendokasi yanarejeshwa katika njia...

Habari Mchanganyiko

Serikali yazipa maagizo NGO’s

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), mkoani Dar es Salaam, yametakiwa kufuatia sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu Yao, ili kulinda maadili ya...

Habari Mchanganyiko

Tani 13 za dawa za kulevya za kamatwa na watuhumiwa 4,983 hapa nchini

  JESHI la Polisi kupitia kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania limefanikiwa kukamata tani 13 .717 za dawa za...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma awataka Watanzania kutumia gesi badala ya mkaa

WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda watakiwa wafuate sheria iliyopo sasa

JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa limeendelea kupokea maswali toka kwa wanahabari na wananchi wa kada mbalimbali kufuatia matamshi ya Abdulrahman Kinana, Makamu...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa msaada wa madawati 8,823 mkoani Geita

KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya usawa, Kampuni ya Geita Gold Mining...

Habari Mchanganyiko

NGOs zabisha hodi kwa Rais Samia

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yameomba kuonana na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ili kumkabidhi changamoto zao zilizoshindwa kutatuliwa na Mamlaka ya Mapato...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bundi atua kanisa la Kakobe, mchungaji atimuliwa

BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...

Habari Mchanganyiko

Wanandoa watakiwa kutatua migogoro kudhibiti wimbi la watoto mitaani

AFISA ustawi wa jamii manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaama, Naamini Nguve ametoa wito kwa wanandoa nchini kujitahidi kumaliza migogoro yao ili...

Habari Mchanganyiko

TAOMAC: Hatuna mtafaruku na EWURA

CHAMA cha waagizaji na wasambazaji mafuta Tanzania (TAOMAC) kimekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kudai kuwa waagizaji na wasambazaji wa mafuta wamekaa...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Chang’a achaguliwa Makamu Mwenyekiti jopo la Sayansi ya mabadiliko ya tabianchi

  TANZANIA kupitia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Shirika la...

Habari Mchanganyiko

Watoto walioweka rekodi GGML KiliChallenge, wang’ara siku ya mashujaa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama amewapongesa watoto Abel Mussa na Rebbeca Damian wenye umri wa...

Habari Mchanganyiko

Watoto 900 kunufaika na mradi LFTW

SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za  kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...

Habari Mchanganyiko

Viongozi washauriwa kutopandikiza chuki za udini

VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...

Habari Mchanganyiko

TCRA yazuia vifaa 108,395

JUMLA ya simu 108,395 na vifaa vingine vya mawasiliano vimezuiliwa kwa kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuhusishwa na vitendo vingi vya jinai,...

error: Content is protected !!