WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza kukata rufaa kupinga hukumu...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023MAFUNDI wawili wa mashine za kieletroniki za EFD, na mwanamke mmoja msimamizi wa gereji, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema zaidi ya vijana 800 wanaotarajiwa kuhitimu mafunzo ya BBT mwaka huu wanatarajiwa kunolewa kuhusu masuala ya uzalendo...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi ya pili na kutanguliwa...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali jimboni humo.Anaripoti Mwandishi...
By Regina MkondeAugust 9, 2023TANZANIA inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa leo tarehe 08...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezitaka benki zote nchini zinazotoa mikopo, kupunguza riba ili kutowaumiza wakulima wenye nia ya kuendeleza kilimo...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameelezwa na...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa ajili ya kuwatengenezea wakulima vihenge vitakavyowasaidia...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo wa kuhakiki mbegu kiteknolojia T-HAKIKI...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023WAFANYABIASHARA wanaotarajia kukopa ili kuendesha biashara wameshauriwa kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na Benki Kuu (BoT). Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageAugust 8, 2023KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imetembelea Banda la Benki ya NMB katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), imesema kuna uhaba wa watu wanaotoa msaada wa kisheria, kitendo kinachopelekea wananchi kukosa haki...
By Regina MkondeAugust 7, 2023Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji wenye tabia ya kutengeneza migogoro hasa ya ardhi,...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2023MKUU wa Wilaya ya Temeke Mobhare Matinyi, amesema uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam unaenda kuchochea mafanikio kwenye Bandari Kavu (ICD). Anaripoti...
By Seleman MsuyaAugust 6, 2023HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...
By Danson KaijageAugust 4, 2023KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...
By Gabriel MushiAugust 3, 2023WATU wanne akiwemo aliyekuwa Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Dar es Salaam, Nora Msuya, wamefariki dunia katika ajali ya...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2023JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya na mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme gridi...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2023BENKI ya NMB imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni Benki Bora Tanzania 2023, benki bora ya wateja maalum kutoka...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2023Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2023MAKAMU wa Rais nchini Dk. Philip Mpango ameweka wazi mipango ya serikali ya kuimarisha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuongeza thamani...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2023WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo kwa ubunifu wake wa...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2023MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...
By Danson KaijageJuly 31, 2023WAUMINI 14 wa Kanisa la KTMK, Kijiji cha Ichigondo, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, wamefariki dunia, huku 14 wakijeruhiwa baada ya mitumbwi waliyokuwa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Sheikh wa Msikiti wa Idrisa, Karikoo, jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2023SERIKALI inakusudia kuanza kuzipa uhuru baadhi ya taasisi za umma, ili kuongeza ufanisi wa utendaji wake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo...
By Regina MkondeJuly 31, 2023SERIKALI imesema inafanyia kazi maombi ya wadau kuhusu uboreshaji mazingira ya hedhi salama kwa watoto wa kike. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....
By Regina MkondeJuly 30, 2023MAONESHO makubwa ya Siku ya wakulima Nane nane yanayotarajiwa kuzikutanisha zaidi ya nchi 30 jijini Mbeya yamepewa sapoti kubwa na Benki ya NMB...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2023KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuhakikisha mabasi ya mwendokasi yanarejeshwa katika njia...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2023MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), mkoani Dar es Salaam, yametakiwa kufuatia sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu Yao, ili kulinda maadili ya...
By Regina MkondeJuly 29, 2023JESHI la Polisi kupitia kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania limefanikiwa kukamata tani 13 .717 za dawa za...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2023WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...
By Danson KaijageJuly 29, 2023JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa limeendelea kupokea maswali toka kwa wanahabari na wananchi wa kada mbalimbali kufuatia matamshi ya Abdulrahman Kinana, Makamu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2023KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya usawa, Kampuni ya Geita Gold Mining...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2023MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yameomba kuonana na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ili kumkabidhi changamoto zao zilizoshindwa kutatuliwa na Mamlaka ya Mapato...
By Regina MkondeJuly 28, 2023BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...
By Danson KaijageJuly 28, 2023AFISA ustawi wa jamii manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaama, Naamini Nguve ametoa wito kwa wanandoa nchini kujitahidi kumaliza migogoro yao ili...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2023CHAMA cha waagizaji na wasambazaji mafuta Tanzania (TAOMAC) kimekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kudai kuwa waagizaji na wasambazaji wa mafuta wamekaa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2023SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...
By Regina MkondeJuly 27, 2023SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...
By Regina MkondeJuly 27, 2023TANZANIA kupitia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Shirika la...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama amewapongesa watoto Abel Mussa na Rebbeca Damian wenye umri wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2023SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...
By Danson KaijageJuly 26, 2023VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...
By Danson KaijageJuly 25, 2023JUMLA ya simu 108,395 na vifaa vingine vya mawasiliano vimezuiliwa kwa kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuhusishwa na vitendo vingi vya jinai,...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2023