Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Aweso ahimiza ufungaji wa mita za malipo ya kabla

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesisitiza Mamlaka za Maji Nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Mavunde kufadhili mil. 10 kwa mshindi mashindano ya Quran

Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (CCM) amewataka viongozi wa dini kuhimiza amani, mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania kwa ustawi wa maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya Kilimanjaro One yapongezwa kukuza utalii wa kiutamaduni Bariadi

  MKUU wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga amaipongeza kampuni ya Kilimanjaro one Travel and Tours kwa kuunga mkono kwa vitendo juhudi za...

Habari Mchanganyiko

Wanaohongwa na wapenzi hatarini kwa utakatishaji fedha

WATU wanaopewa fedha na wapenzi wao kwa ajili ya matumizi mbalimbali, wametakiwa kutunza kumbukumbu ili kutojiweka katika hatari ya kufunguliwa kesi za uhujumu...

Habari Mchanganyiko

Tembo 45 warejeshwa hifadhini, Serikali yatoa maagizo

  SERIKALI kupitia wizara ya Maliasili na utalii imezitaka Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero katika...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yafuturisha wabunge, watoto wenye mahitaji maalum Dodoma

WAKATI waumini wa dini ya Kiislamu wakiendelea na mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Benki ya NMB imejumuika na wabunge wa Bunge la...

Habari Mchanganyiko

Balozi Shelisheli, Oryx Gas wagawa mitungi 400 Mkuranga

BALOZI wa Heshima wa Shelisheli nchini Tanzania, Maryvonne Pool kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas, wamegawa mitungi ya gesi 400 kwa wanawake...

Habari Mchanganyiko

BRELA watakiwa kufungua mlango wa kuelimisha umma

MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dk. Sheikh Abubakar Zubeir bin Ali Mbwana ameitaka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni, (BRELA) kutoa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

BoT yatangaza kupanda kwa riba kutoka 5.5% hadi 6%

Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imepandisha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate-CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 72 mbaroni kwa dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ikiwemo Wakala wa Misitu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mama aingukia Serikali akidai kutishiwa maisha kisa kupigania haki yake

BERTHA Mabula Kinungu, mama mjasiriamali mkoani Shinyanga, ameiangukia Serikali akiiomba iingilie kati ili  alipwe fedha zake kiasi cha Sh. 295 milioni, anazodai amedhulumiliwa...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Kapele-Ndalambo warahisishiwa kufika Tunduma

Ukarabati wa barabara ya Kakozi – Ilonga yenye urefu wa kilomita 49.6 umeelezwa kuondoa adha kwa wananchi wa kata ya Kapele na Ndalambo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Watu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba nchi ya Taiwan leo Jumatano...

Habari Mchanganyiko

TRA yatoa taarifa ya makusanyo ya kodi katika robo tatu ya mwaka

  KATIKA kipindi cha robo ya tatu ya Mwaka wa fedha 2023/24, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh. 6.63...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Bangi mpya yatua nchini, Majaliwa aonya watumiaji wanakuwa vichaa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameonya uwepo wa aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kwa jina la ‘Cha Arusha’ pamoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

12 Z’bar walidakwa kwa bangi sio kula hadharani

JESHI la Polisi visiwani Zanzibar, limesema halijawakamata watu 12 kwa sababu ya kula hadharani wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, bali...

Habari Mchanganyiko

Karafuu yageuka neema Morogoro yaingi bil. 36

IMEELEZWA kuwa katika msimu wa 2023 mkoa wa Morogoro umefanikiwa kuzalisha tani 2,000 za karafuu zenye thamani ya Sh bilioni 36. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji awapa mbinu Watz kutunza amani

Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT) Usharika wa Nyakabanga, Johanitha Yona amewataka watanzania na jamii kwa ujumla wake kujenga...

Habari Mchanganyiko

Watano watupwa jela miaka saba kwa wizi wa pombe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mbozi imewahukumu watu watano kifungo cha miaka saba jela kila mmoja kwa kukutwa na hatia ya kuvunja...

Habari Mchanganyiko

TANROAD waanika namna Samia anavyoifungua Morogoro

WAKATI tunaadhimisha miaka mitatu madarakani ya Rais Samia Suluhu Hassan, Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), mkoa wa Morogoro, umefanikiwa kutekeleza miradi miwili mikubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Kikwete aipongeza NBC kwa ukuaji, ushirikiano na wateja

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete ameelezea kuridhishwa kwake na kasi ya ukuaji pamoja na uimara wa taasisi za fedha...

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika Iftar iliyoandaliwa na Kampuni hiyo huku ikitumia nafasi hiyo kuwaomba Watanzania kuendelea kuwaunga...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso la kuwarudishia...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na hivyo...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

MTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuimarisha shughuli zao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000 iliyotolewa na Kampuni ya Taifa Gas...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

UJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou nchini China umeeleza kwamba umeridhia kufanya uwekezaji wa zaidi ya dola za Marekani...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

WANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wako mbioni kuondokana na changamoto ya ukosefu wa maji safi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Kiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza nepi kwa ajili ya watoto wachanga nchini humo na badala yake kitaangazia soko...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Dar, Majaliwa azitaka Serikali za Mitaa, Taasisi zijifunze kwao

BENKI ya NMB imewafuturisha wateja wake walio kwenye Mfungo wa Mwezi Ramadhani jijini Dar es Salaam, pamoja na kutoa misaada kwa vituo vya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba aomba msaada kuzika miili ya familia yake iliyofunga bila kula kuonana na Mungu

WAKATI Mamlaka nchini Kenya, ikiendelea kukabidhi miili ya watu waliofariki kutokana na njaa baada ya kupokea maelekezo ya mchungaji mwenye utata Paul McKenzie,...

Habari Mchanganyiko

Simba wapungua kwa asilimia 45 Uganda

WIZARA ya utalii na wanyamapori ya Uganda imesema nchi hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa idadi ya simba kufuatia kupungua kwa asilimia 45...

Habari Mchanganyiko

Bihimba awavunjia ukimya wanaharakati

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, amewataka wanaharakati kujikita zaidi katika kuisaidia jamii na kuwataka baadhi yao ambao wanatumia majukwaa yao vibaya kuacha mara moja....

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

SERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha Sh. 980 bilioni na Serikali ya Marekani, kwa ajili kuongeza nguvu katika mapambano...

Habari Mchanganyiko

Ubomoaji Msimbazi Bondeni kuanza Aprili 12, bilioni 52 zalipwa

Zoezi la ubomoaji wa nyumba zilizofidiwa na Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Msimbazi linatarajiwa kuanza rasmi tarehe 12 Aprili 2024, na litawahusu...

Habari Mchanganyiko

Waandishi wa habari Lindi wafariki ajalini, Nape awalilia

AJALI ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia tarehe leo 26 Machi 2024, maeneo ya Nyamwage mkoani Pwani, imekatisha maisha ya waandishi wa habari...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waeleza kunufaika na mradi wa ‘Beyond Cotton’

  WAKULIMA wa zao la pamba Wilayani Magu Mkoa wa Mwanza wameeleza kunufaika na mradi wa uongezeaji tija na thamani katika zao la...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yatoa vifaa vya maunganisho mapya Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea na zoezi la utoaji wa vifaa vya maunganisho mapya ya huduma...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yapandishwa uwezo wake wa kukopa Kimataifa

  TANZANIA imepandishwa kwenye orodha ya kimataifa ya viwango vya nchi vya kukopa kutokana na kuimarika kwa uchumi wake ndani ya uongozi wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Unguja, Pemba, SMZ yaahidi ushirikiano

BENKI ya NMB imeendeleza utamaduni wa kufuturisha wateja wake walioko kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, baada ya kufanya hafla mbili tofauti...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Zaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na sekondari Kuriga waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Mgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ambao ulifanyika jana Jumapili baada...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanne walioishambulia Urusi washtakiwa kwa ugaidi

Watu wanne wanaotuhumiwa kwa kufanya shambulizi lililotokea kwenye ukumbi wa tamasha nchini Urusi ambalo limeua watu 137 wamefikishwa mahakamani mjini Moscow. Inaripoti Mitandao...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

WANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa zahanati kwa nguvu zao, ili kukwepa adha ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Matinyi aanika mafanikio sekta ya utalii miaka mitatu ya Samia, Tz kinara Afrika

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, utalii ndio sekta inayoongoza...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wateja 20,000 NBC walamba mikopo ya bil. 28 kupitia La Riba

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanikiwa kutoa jumla ya mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 28 kwa wateja zaidi 20,000 katika maeneo...

Habari Mchanganyiko

Chuo Kikuu Marekani champa udaktari wa heshima Dk. Rose Rwakatare

MWENYEKITI wa Wazazi Mkoa wa Morogoro (CCM), Dk. Rose Rwakatare ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PhD) na Chuo Kikuu cha All Nations...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zagawiwa

Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la wachimbaji wadogo wilayani Songwe kwa...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Hali ya Hewa Duniani, Tanzania yachukua tahadhari mabadiliko ya hali ya hewa

  SERIKALI ya Tanzania imeungana na nchi wanachama wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) kuchukua hatua za kukabiliana na athari mabadiliko...

Habari Mchanganyiko

Muliro: Waandishi, polisi zingatieni sheria

WAANDISHI wa habari na askari polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wameshauriwa kutenda kazi kwa kuheshimu misingi ya kisheria, haki za binadamu,...

error: Content is protected !!