ZAIDI ya watu 3,000 kutoka nchi 70 duniani wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa siku nne wa Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), unaotarajiwa kuanza...
By Gabriel MushiSeptember 3, 2023KANISA Katoliki la Mt. Bernadetha wa Lurdi, lilioko Parokia ya Nyakati Buzirayombo, Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, limefungwa kwa muda wa siku 30, kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 3, 2023SERIKALI imesema wastaafu wote wameboreshewa pensheni zao za kila mwezi, ambapo kiwango cha chini kwa sasa ni Sh 100,000. Anaripoti Maryam Mudhihiri…(endelea) Kauli...
By Mwandishi WetuSeptember 1, 2023BENKI ya NMB imemuahidi Samia Suluhu Hassan kwamba itaendelea kuwa mdau kinara wa Serikali yake katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya...
By Mwandishi WetuSeptember 1, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ametembelea ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kizimkazi kilichopo Mkoa wa Kusini Unguja kinachojengwa na Serikali kwa kushirikiana na...
By Mwandishi WetuAugust 31, 2023NAIBU Waziri wa Fedha, Hamadi Chande amesema serikali inatarajia kuja na mpango wa kuwezesha wafanyabiashara wa Tanzania na China kutumia sarafu ya Tanzania...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2023MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pamoja na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimeungana kwa lengo la kutoa rasilimali za mawasiliano bila...
By Seleman MsuyaAugust 30, 2023MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi...
By Mwandishi WetuAugust 29, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA, Mkoa wa Kikodi wa Kariakoo wamebandika stika maalumu kwaajili ya uzinduzi rasmi wa kuhamasisha wafanyabiashara kutoa risiti pale...
By Mwandishi WetuAugust 28, 2023Ubalozi wa Tanzania nchini India umetoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania, Sayuni Eliakim aliyedaiwa kushindwa kusaidiwa ubalozini hapo kupata hati ya kusafiria ili arudi Tanzania,...
By Mwandishi WetuAugust 28, 2023MADIWANI wa Halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama, Mkoa wa Geita, wametuma ujumbe wa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kutokana na Serikali yake...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2023JESHI la Uganda limedai kumuua mmoja wa makamanda wa kundi la waasi wa ADF lenye mafungamano na wanamgambo wa dola la Kiislamu nchini...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2023SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuzimwa kwa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 220 Kidatu -Kihansi kwa tarehe 26 hadi...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2023Wajumbe wa Mkutano Mkuu 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamemchagua Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dk. Alex...
By Mwandishi WetuAugust 25, 2023MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za juu ya wastani hadi wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mikoa ya...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2023JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa muda wa siku saba kwa wananchi na wafanyabiashara nchini kusalimisha mavazi ya jeshi hilo...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2023KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Ladislaus Chang’a amewasisitiza waandishi wa habari nchini kuisaidia mamlaka hiyo kutoa...
By Mwandishi WetuAugust 23, 2023MKURUGENZI Msaidizi (Operesheni na Uratibu), Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Bunge na Uratibu), Luteni Kanali Selestine Masalamado...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2023RAIS wa Jamhuri ya Indonesia, Joko Widodo anatarajiwa kuwasili nchini leo Jumatatu kwa ziara ya siku mbili itakayoanza leo na kesho Jumanne...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2023SERIKALI imeamua kufufua mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika Bonde la Bwigema, Musoma Vijijini mkoani Mara, ulioasisiwa na Baba wa Taifa, Hayati...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2023WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wametakiwa kujiepusha na makanisa yaliyoibuka hivi karibuni, yanayodaiwa kutoa mafundisho ya kitapeli kinyume...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2023SERIKALI imebainisha kuwa Raia wa India nchini Tanzania wamekuwa mstari wa mbele katika kukuza uchumi kwa uwekezaji wa biashara na madini na...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2023BARAZA la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), limepinga mkataba wa usimamizi na uendelezaji wa bandari nchini, kati ya Tanzania na kampuni ya...
By Masalu ErastoAugust 18, 2023BALOZI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Luteni Jenerali Mstaafu Yacoub Hassan Mohamed amewasilisha hati...
By Masalu ErastoAugust 17, 2023ASKARI wa Jeshi la Polisi kutoka chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam wametoa msaada wa vifaa Tiba katika Zahanati ya Jeshi...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesikitishwa na tukio lililofanywa na vijana wa Kimasai (morani) zaidi ya 200 katika Kata ya Enduleni, wilayani Ngorongoro...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2023JESHI la Polisi kupitia chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) kimeandaa mashindano ya Polisi Jamii yatakayoshirikisha wananchi pamoja na...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2023MTENDAJI wa Kijiji cha Huzi Kata ya Huzi Wilayani Chamwino mkoani Dodoma, Sospeter Ngalongwa amewataadharisha baadhi ya watu wanaoingia kijijini hapo kununua ardhi...
By Danson KaijageAugust 15, 2023KATIKA jitihada za kutambua ufanis na utoaji wa huduma bora katika sekta ya bima nchini, Shirika la Bima la Taifa, NIC, imepokea...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2023NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya...
By Seleman MsuyaAugust 15, 2023KWA mujibu wa kifungu cha 39 (1) cha Kanuni ya Adhabu (Penal Code), mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2023TAMKO la Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu uwekezaji katika Rasilimali Watu uliofanyika jijini Dar Es Salaam mwezi Julai 2023, litakuwa...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2023WANAKIJIJI cha Chimati, wilayani Musoma, Mkoa wa Mara, wamefufua ujenzi wa zahanati uliokwama tangu 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea). Kwa mujibu wa taarifa...
By Mwandishi WetuAugust 13, 2023Jeshi la Polisi nchini limethibitisha kuwakamata Wakili Boniface Mwabukusi na Mpaluka Said Nyagali maarufu kama Mdude kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi....
By Mwandishi WetuAugust 12, 2023UTOAJI huduma za Afya katika Hospitali Kuu ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, umezinduliwa rasmi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea). Taraifa ya uzinduzi huo uliofanywa...
By Regina MkondeAugust 12, 2023WADAU 100 kutoka nchi 25 duniani wanakutana jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kujadiliana juu ya mbegu za asili ambazo zina mchango...
By Seleman MsuyaAugust 12, 2023JUMLA ya watendaji 18 wa kata, 92 wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa mafunzo maalumu kuhusu matumizi...
By Mwandishi WetuAugust 11, 2023JESHI la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza wadau wenye mapanzi mema na...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza maandamano yasiyo na ukomo...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza kukata rufaa kupinga hukumu...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2023KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023MAFUNDI wawili wa mashine za kieletroniki za EFD, na mwanamke mmoja msimamizi wa gereji, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema zaidi ya vijana 800 wanaotarajiwa kuhitimu mafunzo ya BBT mwaka huu wanatarajiwa kunolewa kuhusu masuala ya uzalendo...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi ya pili na kutanguliwa...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali jimboni humo.Anaripoti Mwandishi...
By Regina MkondeAugust 9, 2023TANZANIA inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa leo tarehe 08...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezitaka benki zote nchini zinazotoa mikopo, kupunguza riba ili kutowaumiza wakulima wenye nia ya kuendeleza kilimo...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameelezwa na...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa ajili ya kuwatengenezea wakulima vihenge vitakavyowasaidia...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2023