Tuesday , 26 September 2023

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Watu 3,000, nchi 70 kushiriki AGRF

ZAIDI ya watu 3,000 kutoka nchi 70 duniani wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa siku nne wa Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), unaotarajiwa kuanza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kanisa Katoliki Ngara lafungwa baada ya wasiojulikana kuvunja, kulinajisi

KANISA Katoliki la Mt. Bernadetha wa Lurdi, lilioko Parokia ya Nyakati Buzirayombo, Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, limefungwa kwa muda wa siku 30, kwa...

Habari Mchanganyiko

Nyongeza ya pensheni kiwango cha chini 100,000

SERIKALI imesema wastaafu wote wameboreshewa pensheni zao za kila mwezi, ambapo kiwango cha chini kwa sasa ni Sh 100,000. Anaripoti Maryam Mudhihiri…(endelea) Kauli...

Habari Mchanganyiko

NMB yamuahidi makubwa Rais Samia akifunga Tamasha la Kizimkazi 2023

  BENKI ya NMB imemuahidi Samia Suluhu Hassan kwamba itaendelea kuwa mdau kinara wa Serikali yake katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Rais Samia akagua ujenzi wa kituo cha afya Kizimkazi kinachojengwa na Serikali, NBC

RAIS Samia Suluhu Hassan ametembelea ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kizimkazi kilichopo Mkoa wa Kusini Unguja kinachojengwa na Serikali kwa kushirikiana na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaandaa mpango Watanzania kutumia Shilingi China

NAIBU Waziri wa Fedha, Hamadi Chande amesema serikali inatarajia kuja na mpango wa kuwezesha wafanyabiashara wa Tanzania na China kutumia sarafu ya Tanzania...

Habari Mchanganyiko

TCRA, COSTECH kuinua teknolojia ya kidijiti

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pamoja na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimeungana kwa lengo la kutoa rasilimali za mawasiliano bila...

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti wa Bodi ya TMA akagua ofisi, kituo cha tahadhari ya Tsunami

  MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi...

Habari Mchanganyiko

TRA yazindua kampeni ya kuhamasisha wafanyabiashara kutoa risiti

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA, Mkoa wa Kikodi wa Kariakoo wamebandika stika maalumu kwaajili ya uzinduzi rasmi wa kuhamasisha wafanyabiashara kutoa risiti pale...

Habari Mchanganyiko

Balozi atoa ufafanuzi binti Sayuni kutimuliwa ubalozini India

Ubalozi wa Tanzania nchini India umetoa ufafanuzi kuhusu Mtanzania, Sayuni Eliakim aliyedaiwa kushindwa kusaidiwa ubalozini hapo kupata hati ya kusafiria ili arudi Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Madiwani Msalala wamtumia ujumbe Rais Samia

MADIWANI wa Halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama, Mkoa wa Geita, wametuma ujumbe wa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kutokana na Serikali yake...

Habari Mchanganyiko

Kiongozi wa waasi ADF aliyeuawa adaiwa kua Mtanzania

JESHI la Uganda limedai kumuua mmoja wa makamanda wa kundi la waasi wa ADF lenye mafungamano na wanamgambo wa dola la Kiislamu nchini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikoa 16 kupata umeme kwa mgawo kuanzia leo

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO)  limetangaza kuzimwa kwa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 220 Kidatu -Kihansi kwa tarehe 26 hadi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Alex Malasusa mkuu wa KKKT mpya mteule

Wajumbe wa Mkutano Mkuu 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamemchagua Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dk. Alex...

Habari MchanganyikoTangulizi

TMA yatabiri uwepo wa mvua za juu ya wastani hadi wastani msimu wa vuli katika maeneo mengi ya nchi

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za juu ya wastani hadi wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mikoa ya...

Habari Mchanganyiko

Wasanii kitanzini, JWTZ yatoa siku 7 wanaovaa, kuuza sare za jeshi hilo

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa muda wa siku saba kwa wananchi na wafanyabiashara nchini kusalimisha mavazi ya jeshi hilo...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari wasisitizwa kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wakati

  KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Ladislaus Chang’a amewasisitiza waandishi wa habari nchini kuisaidia mamlaka hiyo kutoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sekta mbalimbali zatakiwa kuchukua hatua stahiki uwepo wa El Nino

MKURUGENZI Msaidizi (Operesheni na Uratibu), Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Bunge na Uratibu), Luteni Kanali Selestine Masalamado...

Habari Mchanganyiko

Rais Indonesia kutua nchini leo kwa ziara ya siku 2

  RAIS wa Jamhuri ya Indonesia, Joko Widodo anatarajiwa kuwasili nchini leo Jumatatu kwa ziara ya siku mbili itakayoanza leo na kesho Jumanne...

Habari Mchanganyiko

Serikali kufufua mradi wa umwagiliaji ulioachwa na Mwalimu Nyerere

  SERIKALI imeamua kufufua mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika Bonde la Bwigema, Musoma Vijijini mkoani Mara, ulioasisiwa na Baba wa Taifa, Hayati...

Habari MchanganyikoTangulizi

KKKT yalia utapeli makanisa ya kisasa

  WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wametakiwa kujiepusha na makanisa yaliyoibuka hivi karibuni, yanayodaiwa kutoa mafundisho ya kitapeli kinyume...

Habari Mchanganyiko

Wahindi vinara wa uwekezaji nchini Tanzania

  SERIKALI imebainisha kuwa Raia wa India nchini Tanzania wamekuwa mstari wa mbele katika kukuza uchumi kwa uwekezaji wa biashara na madini na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kanisa Katoliki ‘lashusha kombora’ DP World

  BARAZA la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), limepinga mkataba wa usimamizi na uendelezaji wa bandari nchini, kati ya Tanzania na kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

Balozi wa Tanzania – UAE awasilisha hati za utambulisho

  BALOZI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Luteni Jenerali Mstaafu Yacoub Hassan Mohamed amewasilisha hati...

Habari Mchanganyiko

Askari waliotimiza miaka 18 kazini watoa msaada zahanati ya DP

ASKARI wa Jeshi la Polisi kutoka chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam wametoa msaada wa vifaa Tiba katika Zahanati ya Jeshi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jukwaa la wahariri lasikitishwa waandishi kushambuliwa, laonya wasiasa kuhamasisha vurugu

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesikitishwa na tukio lililofanywa na vijana wa Kimasai (morani) zaidi ya 200 katika Kata ya Enduleni, wilayani Ngorongoro...

Habari Mchanganyiko

Mashindano ya Polisi Jamii Cup DPA kuchangia damu

  JESHI la Polisi kupitia chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) kimeandaa mashindano ya Polisi Jamii yatakayoshirikisha wananchi pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Genge la matapeli latua Chamwino, wananchi watahadharishwa

MTENDAJI wa Kijiji cha Huzi Kata ya Huzi Wilayani Chamwino mkoani Dodoma, Sospeter Ngalongwa amewataadharisha baadhi ya watu wanaoingia kijijini hapo kununua ardhi...

Habari Mchanganyiko

NIC yatunukiwa cheti cha Superbrand kwa mafanikio sekta ya bima

  KATIKA jitihada za kutambua ufanis na utoaji wa huduma bora katika sekta ya bima nchini, Shirika la Bima la Taifa, NIC, imepokea...

Habari Mchanganyiko

NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya...

Habari Mchanganyiko

Ijue sheria: Hili ndilo kosa la uhaini

KWA mujibu wa kifungu cha 39 (1) cha Kanuni ya Adhabu (Penal Code), mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa...

Habari Mchanganyiko

SADC yajadili umuhimu wa rasilimali watu, fedha katika maendeleo ya viwanda

TAMKO la Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu uwekezaji katika Rasilimali Watu uliofanyika jijini Dar Es Salaam mwezi Julai 2023, litakuwa...

Habari Mchanganyiko

Wanakijiji wafufua ujenzi wa zahanati, mbunge achangia saruji 200

WANAKIJIJI cha Chimati, wilayani Musoma, Mkoa wa Mara, wamefufua ujenzi wa zahanati uliokwama tangu 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea). Kwa mujibu wa taarifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi: Tumemkamata Mwabukusi, Mdude kwa mahojiano

Jeshi la Polisi nchini limethibitisha kuwakamata Wakili Boniface Mwabukusi na Mpaluka Said Nyagali maarufu kama Mdude kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi....

Habari Mchanganyiko

Hospitali Kuu Musoma vijijini yazinduliwa

UTOAJI huduma za Afya katika Hospitali Kuu ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, umezinduliwa rasmi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea). Taraifa ya uzinduzi huo uliofanywa...

Habari Mchanganyiko

Nchi 25 kujadili mbegu asili Dar

WADAU 100 kutoka nchi 25 duniani wanakutana jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kujadiliana juu ya mbegu za asili ambazo zina mchango...

Habari Mchanganyiko

Watendaji kata, vijiji wanolewa matumizi mfumo wa kihasibu

JUMLA ya watendaji 18 wa kata,  92 wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa mafunzo maalumu kuhusu matumizi...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi litaendelea kushirikisha Jamii kutokomeza uhalifu

JESHI la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza wadau wenye mapanzi mema na...

Habari Mchanganyiko

Wakili Mwabukusi atoa siku 14 kwa Bunge, atangaza maandamano yasiyo na ukomo

  WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza maandamano yasiyo na ukomo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwabukusi ataja sababu 3 kukata rufaa kupinga hukumu kesi DP World

  WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza kukata rufaa kupinga hukumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama kuu yabariki mkataba DP World, yadai haujakiuka Katiba

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Abiria ABOOD walionusurika ajalini, wazua timbwili, Mbunge Abood ang’aka

KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...

Habari Mchanganyiko

MAFUNDI wawili wa mashine za kieletroniki za EFD, na mwanamke mmoja msimamizi wa gereji, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na...

Habari Mchanganyiko

JKT kuwanoa vijana wa BBT kwa mwezi mmoja

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema zaidi ya vijana 800 wanaotarajiwa kuhitimu mafunzo ya BBT mwaka huu wanatarajiwa kunolewa kuhusu masuala ya uzalendo...

Habari Mchanganyiko

Ruvuma kinara uzalishaji mazao ya nafaka

Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi ya pili na kutanguliwa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo akagua ujenzi miradi ya maji

MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali jimboni humo.Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wakuu wa nchi, Serikali SADC ngazi ya wataalaam waanza Angola

TANZANIA inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa leo tarehe 08...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza benki kupunguza riba kwa wakulima

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezitaka benki zote nchini zinazotoa mikopo, kupunguza riba ili kutowaumiza wakulima wenye nia ya kuendeleza kilimo...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Uzalishaji chakula umezidi kuimarika

Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameelezwa na...

Habari Mchanganyiko

Vijana 420 wawezeshwa kutengeneza vihenge kuthibiti sumu kuvu

JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa ajili ya kuwatengenezea wakulima vihenge vitakavyowasaidia...

error: Content is protected !!