LICHA ya “vitimbi” vya wafuasi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya...
By Bupe MwakitelekoNovember 30, 2019KOCHA wa Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji amethibitisha kuvunjwa kwa mkataba wake na klabu hiyo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea). Baada ya...
By Masalu ErastoNovember 30, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania umakamu...
By Regina MkondeNovember 30, 2019JOHN Pambalu, Diwani Kata ya Butimba jijini Mwanza, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha). Anaripoti Kelvin Mwaipungu...
By Kelvin MwaipunguNovember 30, 2019MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwamba chama chake hakina dhamira ya kushika...
By Faki SosiNovember 30, 2019GHARAMA kubwa za matibabu zilizowekwa na Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF), zitaumiza wengi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo tarehe...
By Kelvin MwaipunguNovember 29, 2019HURUMA Shahidi, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, ameahirisha kesi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama ch...
By Faki SosiNovember 29, 2019VIONGOZI wawili wa Chadema, mkoani Songwe wameachwa huru, huku wawili wakifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe, kwa tuhuma za kujaribu kumuua kwa...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2019NDEGE iliyoshikiliwa nchini Canada kutokana na amri ya mahakama kufuatia kesi ya madai iliyofunguliwa na Hermanus Steyn, inataraji kuwasili Tanzania wakati wowote. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2019TUNDU Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki yupo nchini Kenya, akisubiri ‘amri’ ya kuingia nchini endapo atahakikishiwa usalama wake. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2019FREDRICK Tluway Sumaye, ameshindwa katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, kufuatia kupigiwa kura nyingi za Hapana. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2019WAKURUGENZI wa halmashauri nchini, wameagiza kurejesha fedha walizokopa kwenye taasisi za fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Agizo hilo limetolewa...
By Regina MkondeNovember 28, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeahirisha shauri namba 112/2019, linalowakabili viongozi tisa wa Chadema, kutokana na kutetereka kwa afya...
By Faki SosiNovember 28, 2019FREDERICK Sumaye, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani amewataka wagombea kwenye kanda hiyo, kutojenga chuki pale wanaposhindwa. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 28, 2019SHUGHULI za utafutaji nishati ya kupikia nyumbani (kuni) kwenye misitu zinapaswa kubadilika na kutafuta kwenye shamba binafsi jambo litakalosaidia kuendeleza uhifadhi wa misitu...
By Christina HauleNovember 28, 2019WAFANYABIASHARA ndogondogo ‘Machinga’ wa kata tatu Kingo, Sabasaba na Chamwino, Morogoro wamepokea misaada ya vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 3 milioni kutoka...
By Christina HauleNovember 28, 2019CHAMA Chama Mapinduzi (CCM), kina hofu na Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa zilifikia mtandao...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2019PATRICK Ole Sosopi, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayemaliza muda wake, amesema hana mpango wa kugombea...
By Regina MkondeNovember 28, 2019WATU wengi wanaona tatizo la kukoroma usingizini, ni jambo la kawaida, lakini linapokomaa, madhara yake ni makubwa. Anaandika Hamis Mguta…(endelea). Dk. Elisha Madebere,...
By Hamisi MgutaNovember 27, 2019RAIS John Magufuli amesema, hakuna vya bure, na kwamba ili upate fedha, lazima ufanye kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kiongozi huyo wa nchini,...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2019MADAI ya Tume Huru ya Uchgauzi yanayotolewa na wanasiasa wa vyama vya upinzani nchini, yanakinzana na mtazamo wa Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu...
By Kelvin MwaipunguNovember 27, 2019UBALOZI wa Palestina nchini Tanzania umelaani mauaji ya wafungwa katika magereza ya Israel. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na...
By Masalu ErastoNovember 27, 2019CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Onyo hilo limetolewa leo...
By Regina MkondeNovember 27, 2019JAJI Mstaafu, Joseph Sinde Warioba ameingiwa na hofu kutoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, uliofanyika tarehe 24 Novemba 2019. Anaripoti...
By Regina MkondeNovember 27, 2019WIZARA ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imefumua mfumo wa uongozi wa vyuo vya afya vidogo, ili kuboresha utoaji...
By Kelvin MwaipunguNovember 26, 2019WAJUMBE 40 wa vituo vya taarifa na maarifa nchini wametunukiwa vyeti vya heshima vya elimu ya ajira kwa wanawake na vijana kwa kuanzisha...
By Christina HauleNovember 26, 2019SHIRIKA la Kutetea Haki za Wanawake na Watoto (Kivulini) mkoani Mwanza, limebaini vijana wengi wa vyuo vikuu hususan wa mwaka wa kwanza, wamekuwa...
By Moses MsetiNovember 26, 2019ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, ameibuka na kusema, uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...
By Regina MkondeNovember 26, 2019FREEMAN Mbowe, mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kupumzika kutokana na hali ya afya yake...
By Faki SosiNovember 26, 2019MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Ndanda, mkoani Mtwara, Cecil Mwambe, amejitosa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ndani ya...
By Regina MkondeNovember 26, 2019VYAMA vya upinzani vilivyojitoa katika kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vimepewa nafasi 163 kati ya 332,160, zilizokuwa zinashindaniwa katika uchaguzi huo. Anaripoti...
By Danson KaijageNovember 25, 2019WADAU wa misitu wameomba mabadiliko ya Sheria na Sera za misitu ili ziwekwe vizuri, kusaidia kuondoa uharibifu wa misitu nchini. Anaripoti Christina Haule,...
By Christina HauleNovember 25, 2019RAIS John Magufuli, Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, ameyataka majeshi nchini kutokubali kuwekewa vikwazo, katika utekelezaji wa majukumu yake. Anaripoti Martin Kamote…(endelea) Rais...
By Kelvin MwaipunguNovember 25, 2019SERIKALI ya China imepanga kutoa Yuan RMB 300 Milioni (Tsh. 98,084,910,435.8), kwa ajili ya kuimarisha ulinzi nchini ikiwemo, ujenzi wa Makao Makuu ya...
By Regina MkondeNovember 25, 2019KATIKA mitaa 565 jijini Dar es Salaam, kwa mujibu wa tovuti ya mkoa huo, mitaa isiyozidi mitano, iliyoripotiwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji...
By Mwandishi WetuNovember 25, 2019WAPENZI wa mchezo wa ngumi nchini watepata fulsa ya kushuhudia mpambano wa kimataifa utakaowakutanisha Bondia Hassan Mwakinyo wa Tanzania dhidi ya mpinzani wake...
By Kelvin MwaipunguNovember 25, 2019RAIS John Magufuli, amezipa siku 60 taasisi, mashirika na kampuni 187 za umma, ziwasilishe gawio serikalini. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Ametoa agizo hilo leo...
By Hamisi MgutaNovember 24, 2019UHASAMA na siasa za makundi vimeanza kushika kasi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia baadhi ya viongozi wandamizi wa chama...
By Regina MkondeNovember 24, 2019WAJUMBE wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) wamemchukulia Halima Mdee, Mbunge wa Kawe, fomu ya kugombea uenyekiti wa baraza hilo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu...
By Kelvin MwaipunguNovember 23, 2019VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Songwe, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha Vwawa, kwa tuhuma za kumjeruhi...
By Regina MkondeNovember 23, 2019NDEGE aina ya Bomberdier Q 400 iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania, inashikiliwa nchini Canada, kwa amri ya mahakama. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeNovember 23, 2019JULIUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, amewaonya watendaji watakaokwamisha minada ya korosho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Mtatiro ametoa onyo...
By Regina MkondeNovember 23, 2019LAZARO Mamabosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Saalam amesema upigaji wa debe ni marufuku katika vituo vya daladala. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 22, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amesema, chombo hicho cha kutunga sheria, kipo kwenye mjadala mzito wa kutafuta majina ya utambulisho kwa...
By Danson KaijageNovember 22, 2019JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Halima Juma (23), Mkazi wa Chalinze kwa tuhuma za wizi wa fedha kupitia...
By Hamisi MgutaNovember 22, 2019HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, Huruma Shaidi ameahirisha kesi ya uchochezi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe kutokana...
By Faki SosiNovember 22, 2019THOMAS Simba, Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemtaka Tundu Lissu kufika katika mahakama hiyo tarehe 19 Desemba...
By Faki SosiNovember 22, 2019MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Faustine Bee, amewachongea baadhi ya wahadhiri wenzake katika chuo hicho kwa Rais John Pombe...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2019BARAZA Kuu la Uongozi wa Taifa la CUF, limeeleza kuguswa na yaliyomo ndani ya kitabu cha Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa ‘Maisha Yangu, Kusudio...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2019UONGOZI wa klabu ya Yanga amesema uuzaji wa jezi feki ni moja ya kitu kinachowapa Yanga unyonge kutokana na kukosa mapato na kunufaika...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2019