Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu, Kubenea kuchuana umakamu mwenyekiti Chadema
Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Kubenea kuchuana umakamu mwenyekiti Chadema

Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania umakamu mwenyekiti wa chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Lissu amechukua na kurejesha fomu ya kugombea umakamu uenyekiti, leo tarehe 30 Novemba 2019, kwa njia ya mtandao, wakati Kubenea akirejesha fomo hiyo katika Ofisi za Chadema, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema unatarajiwa kufanyika, tarehe 18 Desemba 2019.

Na leo Jumamosi, ndio mwisho kwa wanachama wa Chadema wanaotaka kugombea nafasi hizo, kurudisha fomu zao kugombea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!