Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Bombadier iliyokamatwa Canada, kuwasili nchini
Habari Mchanganyiko

Bombadier iliyokamatwa Canada, kuwasili nchini

Moja ya ndege za Bombadier inayomilikiwa na Tanzania
Spread the love

NDEGE iliyoshikiliwa nchini Canada kutokana na amri ya mahakama kufuatia kesi ya madai iliyofunguliwa na Hermanus Steyn, inataraji kuwasili Tanzania wakati wowote. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa hiyo imetolewa jana tarehe 28 Novemba 2019 na Injinia Isack Kamwelwe, Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi.

Kamwelwe ameeleza kuwa, mazungumzo kuhusu suala hilo yamekamilika, na kuwa, ndege hiyo aina ya Bombadier Q 400, itawasili wakati wowote, ingawa hakutaja siku.

Aidha, Kamwelwe amewataka Watanzania kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho juhudi za kuikomboa ndege hiyo zikiendelea.

Ndege hiyo mali ya serikali kwa ajili ya matumizi ya Kampuni ya Ndege ya Taifa (ATCL) imeshikiliwa nchini Canada, baada ya Steyn kufungua kesi katika mahakama ya nchi hiyo, akidai fidia ya mali zake zilizotaifishwa na serikali ya Tanzania mwaka 1980.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!