Saturday , 27 April 2024

Afya

Afya

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali kwenye sekta ya afya, wataalam wake wataendelea kuanzisha huduma za ubingwa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

SERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kwa kuanza kutoa mafunzo ya wahudumu wa afya ngazi ya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

SHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika kabla ya mwisho wa mwezi Aprili 2024, baada ya vifungu muhimu kuwasilishwa katika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

SERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha Sh. 980 bilioni na Serikali ya Marekani, kwa ajili kuongeza nguvu katika mapambano...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

WANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa zahanati kwa nguvu zao, ili kukwepa adha ya...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...

AfyaBiashara

Meridianbet yatoa msaada zahanati ya Mwenge

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Mwenge na kutoamsaadfa katika Zahanati inayopatika katika eneo hilo Mlalakuwa. Kama ilivyo kawaida...

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Matende, mabusha tishio Kinondoni, wananchi waitwa kupata kinga tiba

MAGONJWA yasiyopewa kipaumbele ya Mabusha na Matende, bado yanaendelea kusumbua kata 10 za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, kutokana...

Afya

Mkurugenzi NHIF atembelea hospitali ya Regency.

UJUMBE wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) umetembelea hospitali ya Regency ya Upanga jinjini Dar es Salaam na kuzungumza na...

AfyaHabari Mchanganyiko

Maambukizi ya UKIMWI Lindi yapungua

Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yamepungua katika Manispaa ya Mkoa wa Lindi kutoka asilimia mbili hadi asilimia 1.7 mwaka 2023 hali ambayo imewezesha...

AfyaTangulizi

Kitita cha NHIF kuanza Ijumaa, kuwapa wanachama nafuu zaidi

  MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuanza kutumika kwa maboresho mapya ya Kitita cha Mafao kwa wanachama ambapo yatataanza...

Afya

Dk. Biteko aagiza uboreshaji huduma za afya kwa wazee

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameagiza wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali zote nchini kuhakikisha wanayasimamia...

AfyaTangulizi

Wanawake walalamikia ukubwa kondomu za kike, waomba zipunguzwe

Wataalamu wa afya wilayani Ileje mkoani Songwe wameagizwa kuanza kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu za kike ambazo zimelalamikiwa na  baadhi ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Madaktari wazawa watenganisha watoto mapacha walioungana

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa mara nyingine imeandika historia kwa kufanya upasuaji mkubwa wa kuwatengenisha watoto mapacha waliokuwa wameungana sehemu ya tumbo na...

Afya

DC Mpanda aagiza maji ya visima yapimwe kudhibiti kipindupindu

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameziagiza mamlaka za afya na maji kushirikiana ili kuainisha idadi ya visima vilivyopo ndani ya wilaya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Kisa mitihani kuvuja, watahiniwa 1,330 wa uuguzi, ukunga wafutiwa matokeo

Wizara ya Afya imefuta matokeo yote ya mtihani wa usajili na leseni wa wauguzi na wakunga kwa watahiniwa 1,330 wa Stashahada baada ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Shanga yatolewa katika mapafu ya mtoto, wazazi waaswa

Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na maskioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali...

AfyaKimataifa

Corona yaua 10,000 sikukuu za Krismasi, mwaka mpya

Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema mikusanyiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka imesababisha kasi...

Afya

Kenya yaiomba Tz msaada dawa za TB

Waziri wa Afya nchini Kenya, Wafula Nakhumicha amesema Serikali ya Kenya imeomba msaada kutoka Tanzania ili kukabiliana na uhaba wa dawa za Kifua...

AfyaKimataifa

Kipindupindu chasababisha shule kutofunguliwa Zambia

Serikali ya Zambia imetangaza kuahirisha kuanza kwa muhula mpya ya masomo kwa wiki tatu zaidi kutokana mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaua...

AfyaTangulizi

Serikali yasitisha bei mpya kitita cha NHIF

Serikali ya Tanzania imesitisha bei mpya za kitita cha matibabu kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambazo zilipangwa kutekelezwa kuanzia...

Afya

Biteko azindua zahanati Ilala, 12,000 kufaidika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dk. Doto Biteko amezindua Zahanati ya Bungoni iliyopo mtaa wa Mafuriko Ilala  jijini Dar es...

Afya

Hospitali binafsi zamwomba Rais Samia asitishe bei mpya ya matibabu

WAMILIKI wa hospitali binafsi nchini wametishia kugomea kutibu wagonjwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), iwapo bei mpya zilizotangazwa na...

Afya

Wananchi walia ujenzi kituo cha afya kukwama kwa miaka 8

Wananchi wa kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani humo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa kituo cha afya Ileza ambacho...

Afya

Wafanyakazi NMB watoa mil. 11 matibabu ya watoto JKCI

WAFANYAKAZI wa Idara ya Wateja Wadogo na Biashara ya Benki ya NMB, wameikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ya Dar es...

AfyaTangulizi

Fedha za TASAF zamaliza kero ya huduma ya mama na mtoto Njombe

  MGANGA Mfawidhi wa Hospitali ya Kibena, iliyopo katika Halmashauri ya Njombe, Dk. Helena Msese amesema kabla ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

Afya

Haya ndio maboresho ya kitita cha mafao – NHIF

KATIKA kuboresha huduma za matibabu nchini na kuendana na bei halisi ya utoaji wa huduma hizo, Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya...

AfyaTangulizi

Wajawazito wadaiwa kujifungulia sakafuni, Serikali yatoa kauli

BAADHI ya akina mama wajawazito katika Kituo cha Afya cha Buzuruga, kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wanadaiwa kujifungulia chini kwenye...

Afya

Manumba: Bilioni 4.7 zimebadili afya Kigoma DC

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluh Hassan imetoa zaidi ya Sh bilioni 4.7 katika kuboresha huduma za afya halmashauri...

Afya

NMB yamwaga vifaa 750 vya kujifungulia Kigamboni

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali 750 vya kujifungulia vyenye thamani ya Sh milioni 15.3 ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

NBC, Taasisi ya Benjamini Mkapa wazindua ufadhili mafunzo ya ukunga kwa wauguzi 50

Benki ya NBC kwa kushirikiana na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation wamezidua rasmi utekelezaji wa mpango wa ufadhili wa masomo ya ukunga kwa...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

KATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ileje, Nuru Kindamba kumpatia majina ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa mchango wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na...

AfyaMichezo

GGML yatoa milioni 17 kung’arisha ATF Marathon

KATIKA kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kukabiliana na maambukizi ya Virus Vya Ukimwi (VVU), Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa...

Afya

‘Ambulance’ yawarejeshea tabasamu wananchi Mkuyuni

Wananachi wa  Tarafa ya Mkuyuni, Halmashauri ya Morogoro mkoani Morogoro, wameepukana na adha ya kukodi magari ya kubebea wagonjwa kwa gharama kubwa kutoka...

Afya

573 wafariki kwa kipindupindu

Takriban watu 573 kati ya 11,640 walioambukizwa kipindupindu nchini Nigeria wamepoteza maisha tangu mlipuko wa ugonjwa huo uanze Desemba 2022. Inaripoti Mitandao ya...

Afya

Majaliwa aagiza Songwe kuitumia hospitali ya rufaa kuchochea utalii

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Songwe ili kuimarisha huduma...

Afya

Nape ataka mifumo ya taarifa za hospitali iunganishwe

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hospitali zimekuwa na mifumo mingi ambayo haisomani kiasi ambacho imechangia kuongezeka kwa...

Afya

Wananchi Ileje waiangukia serikali ukamilishaji wa zahanati

Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao ili kupunguza...

Afya

Serukamba aagiza kaya Singida kujenga vyoo bora kudhibiti kipindupindu

Mkuu wa  mkoa wa Singida, Peter Serukamba amewaagiza viongozi na watendaji mkoani humo kuhakikisha kaya zote zinakuwa na vyoo bora na kuchukua hatua...

Afya

Majengo ya mil. 500 kuanza kutoa huduma za afya mwezi huu Manyoni

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange amesema katika mwaka wa fedha 2023 Serikali imetoa kiasi cha Sh. 500 milioni kwa ajili...

Afya

RAS Songwe ashangaa ujenzi zahanati kukwama kwa miaka miaka 4

Katibu tawala mkoani Songwe, Happiness Seneda ametoa siku saba kwa uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kupitia idara ya Afya...

Afya

Watanzania watakiwa kupima afya mara kwa mara kudhibiti saratani

INAKADIRIWA kuwa Watanzania 14,028 sawa na asilimia 33.3   kila mwaka hupata ugonjwa kwa saratani. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Kwa mujibu wa Takwimu...

AfyaHabari Mchanganyiko

DICOCO, SINAI wapima afya za wanachama DCPC

TAASISI inayojuhusisha na Utoaji Elimu ya Kisukari kwa Jamii (DICOCO) kwa kushirikiana na Hospitali ya SINAI wametoa huduma ya kupima kisukari, shinikizo la...

Afya

Mikoa inayoongoza kwa mimba za utotoni yatajwa, Samia atoa neno kwa watumishi

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema licha ya vifo vitokanavyo na uzazi na vya watoto chini ya umri wa miaka mitano, kupungua,...

Afya

Rais Samia: Magari ya wagonjwa 213 mabovu, halmashauri 33 zaathirika

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema magari ya kubebea wagonjwa 213 kati ya 444 ni mabovu, huku halmashauri 33 zikiwa hazina hata...

Afya

Vituo vya afya, zahanati vyaongezeka

  IDADI ya vituo vya afya kuanzia 2017 hadi 2023, vimeongezeka kutoka 535 hadi kufikia 788, wakati zahanati zikiongezeka kutoka 4,127 hadi kufikia...

error: Content is protected !!