Tuesday , 30 April 2024

Month: April 2023

Burudika

Mr Eazi, DJ Edu kuachia ngoma mpya ya Wena

BAADA ya kutangaza habari kubwa za ujio wa project ya Afrodance Soundsystem, wasanii wakubwa wa muziki, Mr Eazi na DJ Edu wameachia ngoma...

HabariHabari Mchanganyiko

TCRA yawataka wasafirishaji wa vipeto kujisajili na wengine kuhuisha leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu, kanuni na sheria...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akagua maandalizi sherehe Mei Mosi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maandalizi kuelekea sherehe za siku ya wafanyakazi duniani zitakazofanyika kesho Mei 1, 2023 kitaifa Mkoani Morogoro...

Habari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho ya OSHA, yaibuka benki kinara yenye sera bora ya usalama, afya mahali pa kazi

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi duniani yanayoratibiwa kitaifa na Wakala wa Afya na Usalama Mahali pa kazi...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Mwanga wazindua tawi jipya Arusha

BENKI ya Mwanga Hakika (MHB) imezindua tawi jipya na la kisasa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kutanua mtandao wake wa...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Rais Samia amewaunganisha Watanzania

  RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaunganisha watanzania katika sekta zote nchini ili kuhakikisha wananufaika na rasilimali mbalimbali zilizopo pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Watoto 37 wafariki kwa kusombwa na maji, Polisi watoa onyo

  JESHI la Jeshi la Polisi Tanzania limetanga kuwa watoto 37 wamepoteza maisha katika matukio ya kusombwa na maji katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari Mchanganyiko

Tamisemi yafunguka usiri ajali ya Naibu Waziri, Dk. Mpango amjulia hali

  HATIMAYE Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetoa taarifa rasmi kuhusu hali ya kiafya ya Naibu Waziri wake, Dk. Festo Dugange, aliyepata ajali jijini...

Habari Mchanganyiko

Barrick yang’ara maonesho ya OSHA- 2023, yatwaa tuzo 6, mshindi wa jumla

KAMPUNI ya Barrick Tanzania imenyakua tuzo sita katika kilele cha maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayofanyika katika Viwanja...

Habari Mchanganyiko

NMB yajitosa sherehe za Mei Mosi, yatoa milioni 50

WAKATI Watanzania wakiungana na wafanyakazi wengine duniani kusherekea sikukuu ya wafanyakazi maarufu ‘Mei Mosi,’ Benki ya NMB imejitosa kufadhili sherehe hizo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu matatani tuhuma za ubakaji mwanafunzi

  MWALIMU Tunu Broun (37) wa shule ya msingi Senjele wilayani Mbozi mkoani Songwe amedaiwa kutokomea kusikojulikana akikwepa mkono wa sheria baada ya ...

Habari Mchanganyiko

DC Momba awataka madiwani kubuni mbinu za ukusanyaji mapato

  MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe, Fakii Lulandala amewataka watendaji na madiwani kupanga mbinu mpya za kuhakikisha wanabuni vyanzo vipya vitakavyoongeza...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri Dodoma yadaiwa kuwaliza bilioni 2 wafanyabiashara soko la Majengo

  KWA kipindi cha miezi 16 mpaka sasa wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo Jijini Dodoma wamedai kupata hasara ya zaidi ya Sh...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo aitahadharisha serikali utoaji leseni za uchimbaji madini mapya

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amezitaka Serikali kuwa makini katika utoaji leseni za uchimbaji madini mapya ya kimkakati, ili yanufaishe...

Habari Mchanganyiko

11,580 wasota mahabusu kusubiri kesi zao kusikilizwa

  MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu amesema kuwa mpaka kufikia Aprili mwaka huu, takwimu...

Kimataifa

Hofu ya ukosefu wa ajira yatanda China

  WAKATI Serikali ya Kikomonisti nchini China ikiweka mkakati wa kukuza ajira hofu ya vijana kukosa ajira mijini imeongezeka. Imeripotiwa na Bloomberg …...

Habari Mchanganyiko

DC Uyui awataka wananchi kutoa ushirikiano zoezi utwaaji ardhi

  MKUU wa Wilaya ya Uyui,  Zakaria Mwansasu amewataka wananchi wa kijiji cha Malongwe kutoa ushirikiano kwa timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa azindua kampeni ya Mama Samia, atembelea banda la NMB

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu...

Habari Mchanganyiko

Wahamasisha uzalishaji ‘Pedi’ za kufua kupunguza gharama, uharibifu mazingira

JAMII imetakiwa kujikita katika uzalishaji wa taulo za kike za kufua ‘Pedi’, ili kuimarisha hedhi salama kwa watoto wa kike, pamoja na kuhifadhi...

Habari Mchanganyiko

GGML yaibuka muonyeshaji bora katika maonyesho ya OSHA- 2023

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi  yanayoratibiwa na Wakala wa afya na usalama mahali pa kazi (OSHA), Kampuni...

Habari za Siasa

Mbowe ataka rasilimali watu ikomboe Afrika kiuchumi

  MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Afrika (DUA), Freeman Mbowe, amezitaka nchi za Afrika kutumia vyema rasilimali watu ili kukomboa...

Habari Mchanganyiko

Infinix, Vodacom wazindua Infinix Hot 30 na chemsha Bongo ya Tech kwa wanachuo 

KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa sim mpya ya Infinix toleo la HOT  30 pamoja na kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

Prof. Ndalichako awataka waajiri kuzingatia sheria ya afya, usalama mahali pa kazi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,  Prof. Joyce Ndalichako amewataka waajiri wote nchini kuchukua hatua ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesha ya afya na usalama mahali pa kazi

KATIKA kuadhimisha siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani – 2023 ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Morogoro, Kampuni ya Geita Gold Mining...

Habari za Siasa

Samia ateua Mwenyekiti mpya baraza la maadili

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji mstaafu Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili kuanzia tarehe 24 Aprili 2023. Jaji mstaafu...

Habari Mchanganyiko

NMB yaahidi neema ya meza, viti shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

 BENKI ya NMB ipo mbioni kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa kumaliza changamoto ya upungufu wa meza na viti kwa walimu wa shule ya...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wa Tigo wapata mafunzo ya usalama kazini

  WAFANYAKAZI zaidi ya 400 wa kampuni ya simu za mkononi TIGO wamepewa mafunzo ya usalama na Afya mahali pa kazi mwanzoni mwa...

Habari Mchanganyiko

TEF yataja hatua itakayochukua maoni yakiachwa Muswada Sheria ya Habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema litaendelea kutumia njia za diplomasia kuhamasisha maoni ya wadau yaliyoachwa katika Muswada wa maboresho ya Sheria...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awataka wananchi kuitumia kampeni ya Samia Aid kutokomeza ukatili

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi watumie huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid Campaign), kutokomeza vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wa barcodes, Qrcodes mkombozi kwa wafanyabiashara na nyaraka muhimu

  WAFANYABIASHARA nchini wameshauliwa kulinda bidhaa zao na kuziongezea ubora wa  thamani kwa kutumia mfumo wa Barcodes huku watumiaji wa nyaraka muhimu ambazo...

Habari Mchanganyiko

Watu milioni 2.9 hufariki dunia wakiwa sehemu za kazi

  SERIKALI imesema kuwa takwimu zilizokusanywa mwaka 2022 zinaonesha jumla ya watu milioni 2.9 hupoteza maisha duniani wakiwa katika mazingira ya kazini huku...

Habari Mchanganyiko

NMB yatenga bilioni 1 kuwawezesha wabunifu wanaochipukia

BENKI ya NMB imeendelea kuunga mkono juhudi ya Serikali kupitia Wizara ya Sayansi, Elimu na Teknolojia, kwa kutenga kiasi cha bilioni moja kwa...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kuthamini bunifu za ndani

  MKURUGENZI  Mkuu wa  COSTECH, Dk. Amos Nungu amewataka watanzania kuziamini na kuzitumia bunifu zinabuniwa na vijana wa kitanzania ikiwemo kuzinunua na kurejesha...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dodoma waua wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi

JESHI la Polisi mkoani Dodoma limewathibiti na kuwaua majambazi wanne wa kiume ambao majina yao bado hayajatambulika wenye umri kati ya miaka kati...

Michezo

Meridianbet yatoboa siri ya kushinda kirahisi kupitia BlackJack Live

MOJA kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ambapo huu unakuwa...

Habari Mchanganyiko

Halmshauri Tunduma yacharuka, yataka vikundi 50 kurejesha bilioni 1.2 za mikopo

  HALMASHAURI ya mji Tunduma, wilayani Momba mkoani Songwe imevitaka vikundi vyote vilivyokopa mikopo ya asilimia 10 kurejesha kwa wakati wakati wakiendelea kusubiri...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi yaridhishwa na mazingira ya biashara, demkkrasia na utawa bora nchini

  BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer ameeleza kuridhishwa na mazingira ya biashara na uwekezaji, demokrasia, haki za binadamu na utawala...

Habari za Siasa

Tunduma yatenga bilioni 4 kujenga barabara

  HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe inatarajia kutumia fedha zake za mapato ya ndani Sh bilioni nne kujenga barabara zenye...

Kimataifa

Al-Bashiru bado anashikiliwa na jeshi

  MAMLAKA ya kijeshi nchini Sudan limesema, aliyekuwa rais wa taifa hilo aliyepinduliwa Omar Hassan al-Bashir, bado yuko mikononi mwa jeshi. Aidha, jeshi...

Habari za Siasa

Serikali iwarejeshe nchini wafungwa Watanzania

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwarejesha Watanzania wanaoshikiliwa na waliokutwa na makosa ya jinai katika mataifa ya nje. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Michezo

Cheza Titan Dice kushinda karahisi

  KASINO mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa fedha nyingi kirahisi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia: Miaka 59 ya Muungano imekuwa ya umoja, amani

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema miaka 59 ya Muungano imekuwa yenye umoja, amani na ustawi wa Taifa kama ilivyokuwa ndoto za waasisi...

Habari Mchanganyiko

Kampuni yashusha neema kwa wakulima wa tumbaku Tabora

  KAMPUNI ya Mkwama imejitosa katika ununuzi wa zao la tumbaku mkoani Tabora na kuwataka wakulima wa mkoa huo kulima kwa wingi zao...

Kimataifa

Joe Biden atangaza kuwania urais muhula wa pili

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa mwaka 2024. Biden mwenye umri wa miaka 80...

Habari Mchanganyiko

Wabunge watoa mbinu za kuongeza mapendekezo yaliyoachwa kwenye Muswada wa Habari

  WADAU wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wameshauriwa kuwasilisha hoja nzito zitakazoshawishi wabunge kuwasilisha bungeni maoni yao yaliyoachwa katika Muswada wa Sheria...

Habari Mchanganyiko

Mradi mpya wa AMDT, TARI wazalisha tani 40 za mbegu za alizeti

  MFUKO wa Maendeleo ya Masoko ya Kilimo (AMDT) kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) umeanza kutekeleza mradi endelevu...

Habari Mchanganyiko

Makamba: Maji Bwawa la Nyerere yamefikia mita za ujazo bilioni 6

WAZIRI wa Nishati January Makamba ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujazaji maji Bwawa la kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere Hydro Power. Kwa sasa...

Habari za Siasa

Raia 200 wa Tanzania waliokwama Sudan kurejea nchini

  SERIKALI imesema kuwa Watanzania 200 waliokwama nchini Sudan wakati huu ambako taifa hilo likiwa kwenye machafuko wapo njiani kurejea nyumbani. Anaripoti Faki...

Habari Mchanganyiko

Wabunge wapokea maoni yaliyoachwa kwenye muswada wa habari

  BAADHI ya wabunge wameanza kupokea mapendekezo ya wadau wa habari yaliyoachwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma ya Habari ya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa wahisani

  TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa nane wa mtandao unaojishughulisha na masuala ya utoaji misaada kwa jamii, East African Philanthropy network...

error: Content is protected !!