BAADA ya kutangaza habari kubwa za ujio wa project ya Afrodance Soundsystem, wasanii wakubwa wa muziki, Mr Eazi na DJ Edu wameachia ngoma...
By Mwandishi WetuApril 30, 2023Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu, kanuni na sheria...
By Mwandishi WetuApril 30, 2023WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maandalizi kuelekea sherehe za siku ya wafanyakazi duniani zitakazofanyika kesho Mei 1, 2023 kitaifa Mkoani Morogoro...
By Mwandishi WetuApril 30, 2023KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi duniani yanayoratibiwa kitaifa na Wakala wa Afya na Usalama Mahali pa kazi...
By Mwandishi WetuApril 30, 2023BENKI ya Mwanga Hakika (MHB) imezindua tawi jipya na la kisasa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kutanua mtandao wake wa...
By Mwandishi WetuApril 30, 2023RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaunganisha watanzania katika sekta zote nchini ili kuhakikisha wananufaika na rasilimali mbalimbali zilizopo pamoja na...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023JESHI la Jeshi la Polisi Tanzania limetanga kuwa watoto 37 wamepoteza maisha katika matukio ya kusombwa na maji katika maeneo mbalimbali nchini...
By Mwandishi MaalumApril 29, 2023HATIMAYE Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetoa taarifa rasmi kuhusu hali ya kiafya ya Naibu Waziri wake, Dk. Festo Dugange, aliyepata ajali jijini...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023KAMPUNI ya Barrick Tanzania imenyakua tuzo sita katika kilele cha maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayofanyika katika Viwanja...
By Gabriel MushiApril 29, 2023WAKATI Watanzania wakiungana na wafanyakazi wengine duniani kusherekea sikukuu ya wafanyakazi maarufu ‘Mei Mosi,’ Benki ya NMB imejitosa kufadhili sherehe hizo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023MWALIMU Tunu Broun (37) wa shule ya msingi Senjele wilayani Mbozi mkoani Songwe amedaiwa kutokomea kusikojulikana akikwepa mkono wa sheria baada ya ...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe, Fakii Lulandala amewataka watendaji na madiwani kupanga mbinu mpya za kuhakikisha wanabuni vyanzo vipya vitakavyoongeza...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023KWA kipindi cha miezi 16 mpaka sasa wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo Jijini Dodoma wamedai kupata hasara ya zaidi ya Sh...
By Danson KaijageApril 29, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amezitaka Serikali kuwa makini katika utoaji leseni za uchimbaji madini mapya ya kimkakati, ili yanufaishe...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu amesema kuwa mpaka kufikia Aprili mwaka huu, takwimu...
By Danson KaijageApril 29, 2023WAKATI Serikali ya Kikomonisti nchini China ikiweka mkakati wa kukuza ajira hofu ya vijana kukosa ajira mijini imeongezeka. Imeripotiwa na Bloomberg …...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023MKUU wa Wilaya ya Uyui, Zakaria Mwansasu amewataka wananchi wa kijiji cha Malongwe kutoa ushirikiano kwa timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023JAMII imetakiwa kujikita katika uzalishaji wa taulo za kike za kufua ‘Pedi’, ili kuimarisha hedhi salama kwa watoto wa kike, pamoja na kuhifadhi...
By Regina MkondeApril 29, 2023KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayoratibiwa na Wakala wa afya na usalama mahali pa kazi (OSHA), Kampuni...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Afrika (DUA), Freeman Mbowe, amezitaka nchi za Afrika kutumia vyema rasilimali watu ili kukomboa...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa sim mpya ya Infinix toleo la HOT 30 pamoja na kampeni ya...
By Mwandishi WetuApril 29, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako amewataka waajiri wote nchini kuchukua hatua ya...
By Gabriel MushiApril 28, 2023KATIKA kuadhimisha siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani – 2023 ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Morogoro, Kampuni ya Geita Gold Mining...
By Mwandishi WetuApril 28, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji mstaafu Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili kuanzia tarehe 24 Aprili 2023. Jaji mstaafu...
By Mwandishi WetuApril 28, 2023BENKI ya NMB ipo mbioni kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa kumaliza changamoto ya upungufu wa meza na viti kwa walimu wa shule ya...
By Mwandishi WetuApril 28, 2023WAFANYAKAZI zaidi ya 400 wa kampuni ya simu za mkononi TIGO wamepewa mafunzo ya usalama na Afya mahali pa kazi mwanzoni mwa...
By Christina HauleApril 28, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema litaendelea kutumia njia za diplomasia kuhamasisha maoni ya wadau yaliyoachwa katika Muswada wa maboresho ya Sheria...
By Gabriel MushiApril 28, 2023WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi watumie huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid Campaign), kutokomeza vitendo vya...
By Mwandishi WetuApril 28, 2023WAFANYABIASHARA nchini wameshauliwa kulinda bidhaa zao na kuziongezea ubora wa thamani kwa kutumia mfumo wa Barcodes huku watumiaji wa nyaraka muhimu ambazo...
By Danson KaijageApril 28, 2023SERIKALI imesema kuwa takwimu zilizokusanywa mwaka 2022 zinaonesha jumla ya watu milioni 2.9 hupoteza maisha duniani wakiwa katika mazingira ya kazini huku...
By Danson KaijageApril 28, 2023BENKI ya NMB imeendelea kuunga mkono juhudi ya Serikali kupitia Wizara ya Sayansi, Elimu na Teknolojia, kwa kutenga kiasi cha bilioni moja kwa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2023MKURUGENZI Mkuu wa COSTECH, Dk. Amos Nungu amewataka watanzania kuziamini na kuzitumia bunifu zinabuniwa na vijana wa kitanzania ikiwemo kuzinunua na kurejesha...
By Danson KaijageApril 28, 2023JESHI la Polisi mkoani Dodoma limewathibiti na kuwaua majambazi wanne wa kiume ambao majina yao bado hayajatambulika wenye umri kati ya miaka kati...
By Danson KaijageApril 27, 2023MOJA kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ambapo huu unakuwa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2023HALMASHAURI ya mji Tunduma, wilayani Momba mkoani Songwe imevitaka vikundi vyote vilivyokopa mikopo ya asilimia 10 kurejesha kwa wakati wakati wakiendelea kusubiri...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer ameeleza kuridhishwa na mazingira ya biashara na uwekezaji, demokrasia, haki za binadamu na utawala...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe inatarajia kutumia fedha zake za mapato ya ndani Sh bilioni nne kujenga barabara zenye...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023MAMLAKA ya kijeshi nchini Sudan limesema, aliyekuwa rais wa taifa hilo aliyepinduliwa Omar Hassan al-Bashir, bado yuko mikononi mwa jeshi. Aidha, jeshi...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwarejesha Watanzania wanaoshikiliwa na waliokutwa na makosa ya jinai katika mataifa ya nje. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Faki SosiApril 26, 2023KASINO mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa fedha nyingi kirahisi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amesema miaka 59 ya Muungano imekuwa yenye umoja, amani na ustawi wa Taifa kama ilivyokuwa ndoto za waasisi...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023KAMPUNI ya Mkwama imejitosa katika ununuzi wa zao la tumbaku mkoani Tabora na kuwataka wakulima wa mkoa huo kulima kwa wingi zao...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023RAIS wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa mwaka 2024. Biden mwenye umri wa miaka 80...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023WADAU wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wameshauriwa kuwasilisha hoja nzito zitakazoshawishi wabunge kuwasilisha bungeni maoni yao yaliyoachwa katika Muswada wa Sheria...
By Mwandishi WetuApril 26, 2023MFUKO wa Maendeleo ya Masoko ya Kilimo (AMDT) kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) umeanza kutekeleza mradi endelevu...
By Danson KaijageApril 26, 2023WAZIRI wa Nishati January Makamba ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujazaji maji Bwawa la kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere Hydro Power. Kwa sasa...
By Mwandishi WetuApril 25, 2023SERIKALI imesema kuwa Watanzania 200 waliokwama nchini Sudan wakati huu ambako taifa hilo likiwa kwenye machafuko wapo njiani kurejea nyumbani. Anaripoti Faki...
By Faki SosiApril 25, 2023BAADHI ya wabunge wameanza kupokea mapendekezo ya wadau wa habari yaliyoachwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma ya Habari ya...
By Mwandishi WetuApril 25, 2023TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa nane wa mtandao unaojishughulisha na masuala ya utoaji misaada kwa jamii, East African Philanthropy network...
By Mwandishi WetuApril 25, 2023