Saturday , 27 April 2024

Maisha

Maisha

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali kwenye sekta ya afya, wataalam wake wataendelea kuanzisha huduma za ubingwa...

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi ya uzalishaji wahitimu katika taaluma ambazo nafasi za ajira zimepungua ikiwemo walimu,...

BurudikaMichezo

Kizz Daniel aunguruma na EP mpya ‘Thankz alot’

MKALI wa muziki nchini Nigeria, Kizz Daniel ametoa EP yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Thankz Alot’, ambayo inakwenda kuthibitisha ubora wake katika...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

SERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kwa kuanza kutoa mafunzo ya wahudumu wa afya ngazi ya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

SHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika kabla ya mwisho wa mwezi Aprili 2024, baada ya vifungu muhimu kuwasilishwa katika...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Naibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha unaoishia 2023/2024, Serikali imepanga...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

SERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha Sh. 980 bilioni na Serikali ya Marekani, kwa ajili kuongeza nguvu katika mapambano...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

WANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa zahanati kwa nguvu zao, ili kukwepa adha ya...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...

AfyaBiashara

Meridianbet yatoa msaada zahanati ya Mwenge

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Mwenge na kutoamsaadfa katika Zahanati inayopatika katika eneo hilo Mlalakuwa. Kama ilivyo kawaida...

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Matende, mabusha tishio Kinondoni, wananchi waitwa kupata kinga tiba

MAGONJWA yasiyopewa kipaumbele ya Mabusha na Matende, bado yanaendelea kusumbua kata 10 za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, kutokana...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Mkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na mienendo ya kesi zinazowahusu watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi na kukatisha masomo yao,...

Afya

Mkurugenzi NHIF atembelea hospitali ya Regency.

UJUMBE wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) umetembelea hospitali ya Regency ya Upanga jinjini Dar es Salaam na kuzungumza na...

AfyaHabari Mchanganyiko

Maambukizi ya UKIMWI Lindi yapungua

Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yamepungua katika Manispaa ya Mkoa wa Lindi kutoka asilimia mbili hadi asilimia 1.7 mwaka 2023 hali ambayo imewezesha...

AfyaTangulizi

Kitita cha NHIF kuanza Ijumaa, kuwapa wanachama nafuu zaidi

  MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuanza kutumika kwa maboresho mapya ya Kitita cha Mafao kwa wanachama ambapo yatataanza...

Afya

Dk. Biteko aagiza uboreshaji huduma za afya kwa wazee

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameagiza wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali zote nchini kuhakikisha wanayasimamia...

Elimu

Takukuru wambana Mwalimu mkuu, atema bungo

Mwalimu Mkuu wa shule msingi Hanihani, kata ya Igunga wilayani Igunga mkoani Tabora, Joseph Luyega aliyekuwa anatuhumiwa na baadhi wa wazazi wanaosomesha watoto...

ElimuHabari za Siasa

Prof Muhongo ataka ubunifu mitaala mipya ya elimu

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha  maarifa, ujuzi, uvumbuzi na udadisi vinazingatiwa kwenye mitaala mipya ya elimu ili kupata wahitimu watakaoweza kushindana katika soko la ajira...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa saidizi kwa walimu, wanafunzi wenye ulemavu Ilala

BENKI ya NMB, imekabidhi msaada wa vifaa saidizi kwa walimu na wanafunzi wenye ulemavu wa Shule za Msingi Mzambarauni na Uhuru Mchanganyiko na...

Elimu

St. Mary’s Mbezi Beach High School yafanya maajabu kidato cha nne

  WANAFUNZI waliomaliza  kidato cha nne kwenye shule ya sekondari St Mary’ s Mbezi Beach na kufaulu kwa daraja la kwanza wamepewa zawadi...

AfyaTangulizi

Wanawake walalamikia ukubwa kondomu za kike, waomba zipunguzwe

Wataalamu wa afya wilayani Ileje mkoani Songwe wameagizwa kuanza kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu za kike ambazo zimelalamikiwa na  baadhi ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Madaktari wazawa watenganisha watoto mapacha walioungana

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa mara nyingine imeandika historia kwa kufanya upasuaji mkubwa wa kuwatengenisha watoto mapacha waliokuwa wameungana sehemu ya tumbo na...

Afya

DC Mpanda aagiza maji ya visima yapimwe kudhibiti kipindupindu

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameziagiza mamlaka za afya na maji kushirikiana ili kuainisha idadi ya visima vilivyopo ndani ya wilaya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Kisa mitihani kuvuja, watahiniwa 1,330 wa uuguzi, ukunga wafutiwa matokeo

Wizara ya Afya imefuta matokeo yote ya mtihani wa usajili na leseni wa wauguzi na wakunga kwa watahiniwa 1,330 wa Stashahada baada ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Shanga yatolewa katika mapafu ya mtoto, wazazi waaswa

Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na maskioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali...

ElimuHabari Mchanganyiko

CBE yaanza kutoa mafunzo wahudumu wa mabasi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa mafunzo kwa wahudumu wa kwenye mabasi ya abiria ili kuifanya kazi hiyo kuheshimika kama zilivyo...

AfyaKimataifa

Corona yaua 10,000 sikukuu za Krismasi, mwaka mpya

Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema mikusanyiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka imesababisha kasi...

Afya

Kenya yaiomba Tz msaada dawa za TB

Waziri wa Afya nchini Kenya, Wafula Nakhumicha amesema Serikali ya Kenya imeomba msaada kutoka Tanzania ili kukabiliana na uhaba wa dawa za Kifua...

ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...

AfyaKimataifa

Kipindupindu chasababisha shule kutofunguliwa Zambia

Serikali ya Zambia imetangaza kuahirisha kuanza kwa muhula mpya ya masomo kwa wiki tatu zaidi kutokana mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaua...

AfyaTangulizi

Serikali yasitisha bei mpya kitita cha NHIF

Serikali ya Tanzania imesitisha bei mpya za kitita cha matibabu kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambazo zilipangwa kutekelezwa kuanzia...

ElimuHabari za Siasa

NBC yaunga mkono ufaulu somo la hesabu Ubungo

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, kwa kufadhili mpango wa kuchochea...

Afya

Biteko azindua zahanati Ilala, 12,000 kufaidika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dk. Doto Biteko amezindua Zahanati ya Bungoni iliyopo mtaa wa Mafuriko Ilala  jijini Dar es...

Afya

Hospitali binafsi zamwomba Rais Samia asitishe bei mpya ya matibabu

WAMILIKI wa hospitali binafsi nchini wametishia kugomea kutibu wagonjwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), iwapo bei mpya zilizotangazwa na...

Afya

Wananchi walia ujenzi kituo cha afya kukwama kwa miaka 8

Wananchi wa kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani humo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa kituo cha afya Ileza ambacho...

Afya

Wafanyakazi NMB watoa mil. 11 matibabu ya watoto JKCI

WAFANYAKAZI wa Idara ya Wateja Wadogo na Biashara ya Benki ya NMB, wameikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ya Dar es...

AfyaTangulizi

Fedha za TASAF zamaliza kero ya huduma ya mama na mtoto Njombe

  MGANGA Mfawidhi wa Hospitali ya Kibena, iliyopo katika Halmashauri ya Njombe, Dk. Helena Msese amesema kabla ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

Afya

Haya ndio maboresho ya kitita cha mafao – NHIF

KATIKA kuboresha huduma za matibabu nchini na kuendana na bei halisi ya utoaji wa huduma hizo, Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya...

AfyaTangulizi

Wajawazito wadaiwa kujifungulia sakafuni, Serikali yatoa kauli

BAADHI ya akina mama wajawazito katika Kituo cha Afya cha Buzuruga, kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wanadaiwa kujifungulia chini kwenye...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2024

Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza...

Afya

Manumba: Bilioni 4.7 zimebadili afya Kigoma DC

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluh Hassan imetoa zaidi ya Sh bilioni 4.7 katika kuboresha huduma za afya halmashauri...

Afya

NMB yamwaga vifaa 750 vya kujifungulia Kigamboni

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali 750 vya kujifungulia vyenye thamani ya Sh milioni 15.3 ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya...

ElimuHabari za Siasa

Mwalimu mkuu aomba kuhamishwa kisa uchakavu wa shule

MKUU wa shule ya sekondari Udinde iliyopo kijiji na kata ya Udinde katika Halmashauri ya wilaya Songwe mkoani Songwe, Mwalimu Amani Kilagoa amemuomba...

Elimu

Wananchi waomba msaada ukamilishaji ujenzi wa sekondari

WANANCHI wa Kijiji cha Muhoji, wilayani Musoma Mkoa wa Mara, wamewaangukia wadau wakiwaomba wawasadie michango ya hali na mali ili wakamilishe ujenzi wa...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

RAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni katika uzinduzi wa taasisi ya Professa Jay Foundation pamoja na kuahidi kumgharamia matibabu...

error: Content is protected !!