Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne
ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne

Spread the love


BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa 2023, huku likisema ufaulu umeongezeka. Anaripoti Regina Mkonde …(endelea).

Akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Said Ally Mohamed, amesema ufaulu wa Mitihani wa kidato cha pili umeongezeka kwa asilimia 0.13 ambapo watahiniwa 592,741 (85.31%) wamepata daraja kuanzia la kwanza hadi la nne.

Aidha, Dk. Mohammed amesema watahiniwa 28 wa mtihani wa kidato cha pili wamefutiwa matokeo kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo udanganyifu na kuandika matusi.

Kwa upande wa mtihani wa darasa la nne, Dk. Mohammed amesema ufaulu umeongezeka hadi kufikia asilimia 0.39, ambapo watahiniwa 1,287,934 (83.34%), wamefaulu kuendelea darasa la tano huku wengine 178 wakifutuwa matokeo.

Tazama hapa matokeo kidato cha pili.

Tamaza hapa matokeo ya darasa la nne 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walimu 5000 Songwe waililia CWT kuwanyima sare

Spread the loveZaidi ya walimu 5000 ambao ni wanachama wa Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

error: Content is protected !!