WAZIRI wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuzichukuliwa hatua kampuni za mawasiliano ya simu...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MBUNGE wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Mpina, ameliomba Bunge kuitisha mchakato wote wa manunuzi wa mkataba wa mkandarasi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kuwasilisha bungeni taarifa ya watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema muitikio mkubwa wa wanachama wa chama hicho katika mikutano ya hadhara,...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka tume aliyoiunda kuangalia jinsi ya kuboresha taasisi za haki jinai nchini, kukamilisha kazi hiyo ndani ya miezi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MBUNGE wa kuteuliwa na Rais, Dk. Bashiru Ally, ameitaka Serikali kuja na mikakati ya kutatua changamoto ya mfumuko wa bei za vyakula huku...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023BAADHI ya wananchi wakazi wa wilaya ya Ulanga, wamepongeza uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kumuondoa mkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023UBALOZI wa Ufansa umefungua ofisi ndogo mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada zinazaofanywa na Serikali, kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023JESHI la Polisi Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wameshirikiana na wananchi kufanya usafi, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KATIKA azma yake ya kuchangia ujumuishi wa kifedha nchini kupitia huduma za bima, Benki ya NMB imezindua msimu wa tatu wa kampeni ya...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeutaka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), iwachukulie hatua za kisheria wapangaji wake wanaodaiwa malimbikizo ya...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imelitaka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kuajiri watangazaji au wasanii wenye vipaji badala ya kuajiri wenye...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Daktari Hussein Mwinyi, amewataka wafanyabiashara visiwani humo, kupunguza bei za bidhaa hususan vyakula, ili kuwasaidia wananchi wasiokuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameisisitiza Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) kumsimamia kikamilifu mkandarasi anaye jenga kwa kiwango cha...
By Christina HauleJanuary 31, 2023MBUNGE wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amekataa kupokea taarifa ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, iliyoeleza kwamba mfumuko...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka Tume ya kuangalia namna ya kuboresha taasisi za haki jinai, ikapitie mchakato kisheria wa makubaliano ya kukiri...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema hapo awali alikuwa anaogopa kuingia katika majengo ya mahakama na polisi, akieleza kuwa alihisi huenda akageuziwa kibao...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023SHIRIKA la Legal Services Facility (LSF), limezindua mradi wa kuwawezesha kiuchumi wanawake jamii ya kimasai waishio wilayani Longido, Mkoa wa Arusha, ambapo...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023WATEJA wanaotumia mtandao wa simu wa Vodacom kupitia M-Pesa sasa wanaweza kupokea fedha kutoka katika nchi za Marekani, Uingereza, Ujerumani na nchi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023SERIKALI imesema inakamilisha Muswada wa Sheria utakaoanzisha chombo cha kusimamia sekta ya milki (Real estate Regulatory Authority), kwaajili ya kusimamia na kulinda maslahi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023HATUA iliyotangazwa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), ya kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora katika matokeo ya mitihani...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Chama hicho hakiko tayari kuacha kuhoji na kufuatilia kwa Ukaribu Miradi mbalimbali...
By Christina HauleJanuary 30, 2023KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemuagiza Waziri wa Nishati, Januari Makamba kuhakikisha umeme wa REA unawaka mwezi...
By Christina HauleJanuary 30, 2023KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amempa siku 7 Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kufika katika Kijiji Cha Mvumi...
By Christina HauleJanuary 30, 2023MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Shinyanga imemuhukumu kifungo cha maisha jela Hamza Butondo (32) baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mwanafunzi...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023IMEELEZWA kuwa mgodi wa EBR and Partners maarufu Baraka uliopo katika kijiji cha Lyulu – Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita tangu...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023WAKATI idadi ya watu wa nchi China inapungua, Beijing inatathmini upya sera za wafanyakazi kwa kuwa nguvu kazi kubwa imepungua. Imeripotiwa na...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema Serikali haitazuia wakulima kuuza mazao yao kwa bei wanayotaka kwa kuwa kitendo hicho kinaminya maslahi yao. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023NAIBU Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel amesema kwa sasa Tanzania imepiga hatua katika kupambana na ugonjwa huo na wagonjwa wanaopatikana siyo maambukizi...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amewataka waganga wakuu wa Hospitali za Mikoa na Wilaya ambao unafanyika ubadhirifu katika vituo vyao...
By Danson KaijageJanuary 30, 2023MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Juma Duni Haji amesema chama chake kitaitumia mikutano yahadhara kuisema Serikali kuhusu yale wanayopaswa kuyafanya kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amesema, Rais wa Urusi, Vladimir Putin alimtishia kwa shambulizi la kombora katika simu isiyo ya kawaida...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023BAADA ya jitihada za kumtafuta Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha NCCR-Mageuzi, Jovine Clinton, aliyepotea tangu tarehe 24 Januari 2023 kugonga...
By Gabriel MushiJanuary 30, 2023CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) kimepata viongozi wapya ambao wataongoza chama hicho kwa miaka mitatu katika mkutano Mkuu uliofanyika...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023WATU takribani 175 wamepatiwa huduma ya msaada wa kisheria na Shirika la Services Facility (LSF), katika wiki ya Sheria iliyofanyika kwenye Viwanja vya...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amesema ipo haja ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kutembelea na kutatua mgogoro...
By Christina HauleJanuary 29, 2023OFISI ya Mkurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchni Kenya imetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina kuhusu madai ya muungano wa Azimio...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023KAMPUNI ya Huawei Tanzania imetajwa kuwa mwajiri bora nchini na kuthibitisha hadhi yake ubora kiutendaji na usimamizi katika muktadha wa ndani wa ya...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023WAZIRI wa Masuala ya Uchumi wa Finland, Mika Tapani Lintilä amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 29 Januari...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023WATAHINIWA wa shule 415,844 sawa na asilimia 79.92 ya watahiniwa 520,558 wenye matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2022 wamepata daraja F...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumapili limetangaza kuyafuta matokeo yote ya watahiniwa 333 (1 wa QT na 332 wa CSEE) ambao...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza kuondoa utaratibu wa kutangaza shule 10 bora na watahiniwa 10 bora kwa matokeo ya mitihani mbalimbali...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023BODI ya Usajili wa Makandarasi (CRB), imeonya makandarasi wanaofanya kazi za ubia kwa ujanja ujanja na imeahidi kuwachukulia hatua kali wote watakaobainika...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumapili limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne yaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022,...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2023BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumapili limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne yaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022,...
By Gabriel MushiJanuary 29, 2023MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla leo tarehe 28 Januari 2023 ameongoza zoezi la usafi wilayani ya Temeke katika eneo...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023JESHI la Polisi nchini limeombwa kufanya uchunguzi wa kina utakaosaidia kupatikana kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Jovine Clinton,...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023WAASI wa M23 wamedai kuuteka mji muhimu wa Kitshanga/Kitchanga katika eneo la Masisi nchini DR Congo baada ya siku tatu za mapigano. Inaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023FAMILIA za baadhi ya masheikh zaidi ya 100 waliobaki katika mahabusu za magereza mbalimbali nchini, wakikabiliwa na tuhuma za ugaidi, wamemuomba Rais Samia...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mapendekezo ya uboreshaji Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, yamefikishwa katika...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023