Tuesday , 21 May 2024

Month: January 2023

Kimataifa

Idadi watu China yapungua kwa mara ya kwanza tangu 1961

  IDADI ya watu nchini China imepungua kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 60, huku kiwango cha uzazi nchini humo kikifikia...

Kimataifa

Mwanasiasa wa upinzani Eswatini auawa kwa kupigwa risasi

  WATU wenye silaha nchini Eswatini wamedaiwa kumuua mwanasiasa mashuhuri wa upinzani na mwanasheria wa haki za binadamu, Thulani Maseko nyumbani kwake juzi...

Habari Mchanganyiko

Saba wakamatwa tuhuma za mauji ya hakimu Mwakyolo

JESHI La Polisi mkoani Mbeya linawashukilia watu saba kwa tuhuma za mauji ya Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Handeni, Joakim Mwakyolo yaliyotokea...

Habari Mchanganyiko

Igalula waomba umeme kupunguza gharama za mafuta mgodini

MKURUGENZI Mtendaji wa Mgodi wa Igalula uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Makubi ameiomba serikali kupitia Wizara ya Nishati kuwaletea...

Habari Mchanganyiko

Vipengele vyenye utata vyaondolewa muswada bima ya afya kwa wote

MWAKILISHI wa kikosi kazi cha Serikali kinachoshughulikia Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, Bernard Konga amesema katika marekebisho yanayofanywa kwenye muswada huo,...

Habari Mchanganyiko

Tume ya haki za binadamu Afrika kufanya ziara Tanzania

  TUME ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR), inafanya ziara Tanzania kuanzia tarehe 23 hadi 27 Januari 2023 kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB yagawa vifaa tiba Arusha

SEKTA ya afya ni sekta muhimu kwa maendeleo ya jamii na kwa kulitambua hilio, Benki ya NMB imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya...

Michezo

Arsenal waipopoa Manchester United

KLABU ya Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu England imewatandika Mashetani Wekundu ‘Manchester United’ jumla ya bao 3- 2 katika mchezo uliopigwa leo jijini London...

Habari za Siasa

Chadema: CCM wanatuogopa kufa, dhambi lazima waibebe

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara kwa kipindi cha miaka saba cha uongozi wa Rais Dk. John...

Kimataifa

Aliyekuwa msaidizi wa Rais DRC apelekwa gerezani

Fortunat Biselele, aliyekuwa msaidizi wa Rais Felix Tshisekedi wa Kongo DRC, amepelekwa katika Gereza Kuu la Makala jijini Kinshasa, baada ya malumbano ya...

Habari za Siasa

Sugu ataka Rais asiwe msimamizi ardhi yote “raia wamiliki ardhi”

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema umefika wakati kila raia amiliki ardhi yake badala ya Rais kupewa mamlaka...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yahoji lini mchakato Katiba Mpya, Tume huru utaanza

KAMATI Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imeitaka Seriakali kutoa ratiba ya mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya na ule wa kupata Tume...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo kuwasilisha kwa Rais Mwinyi maamuzi yake kuhusu SUK

KAMATI Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imeazimia kuwasilisha kwa Maakmu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ambaye pia...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Stamico wapigwa msasa maadili, Waziri Biteko atoa maagizo

WAZIRI wa Madini Dk. Doto Biteko ameitaka Bodi ya Wakurugenzi na Uongozi wa Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuwafikisha kwenye...

Habari za Siasa

Mbowe: Najivika mabomu kumpongeza Samia “angeendeleza kiburi cha mtangulizi wake”

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema anatambua kuwa ni vigumu kuwaeleza Watanzania na dunia kwamba anampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali...

Habari za SiasaTangulizi

Kashfa ya kununuliwa CCM yamtesa Mbowe, ‘mwenye ushahidi ajitokeze’,

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe leo Jumamosi amesema kashfa ya kutuhumiwa kuwa amekula rushwa au amelamba asali ili kushiriki maridhiano ya kitaifa...

AfyaHabari za Siasa

Heche amvaa Ummy Mwalimu kisa bima ya afya

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche amemtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuacha kulazimisha watu kujiunga na mpango wa bima...

Habari za SiasaTangulizi

Sugu: Nampongeza Samia kwa ujasiri, hoja tunazo

  ALIYEKUWA kuwa Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amempongeza Rais Samia Suluhu...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yatangaza nafasi za ajira 320

  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yatangaza nafasi za ajira 320

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye...

Habari Mchanganyiko

NMB yaingia makubaliano na Serikali Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

BENKI ya NMB imeingia makubaliano na Mamlaka ya Hifadhi Mji Mkongwe, chini ya usimamizi wa Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale ya...

Kimataifa

Wagombea urais watukanana hadharani

  WAGOMBEA urais nchini Nigeria wamemaliza kampeni zao huku kila mmoja akitoa wito wa kukamatwa kwa mwenzio na wakishtumiana kwa kashfa za zamani...

Kimataifa

Wanawake, watoto 60 waliotekwa waachiwa huru

  ZAIDI ya wanawake na watoto 60 waliotekwa nyara wiki iliopita na watu wanaoshukiwa kuwa ni wanajihadi, huko kaskazini mwa Burkina Faso wameachiliwa...

Habari Mchanganyiko

Mshindi NMB MastaBata Kote-Kote akabidhiwa pikipiki

MSHINDI wa kampeni la NMB MastaBata Kote-Kote inayoendeshwa na Benki ya NMB, Emmanuel Marumbo kutoka mkoani Tabora amekabidhiwa rasmi Pikipiki yake aina ya...

Habari za Siasa

Mwenezi mpya CCM aanza na vishikwambi kwa walimu

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Sophia Mjema, ametoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na...

Elimu

Musoma Vijijini wafanya harambee posho za walimu, ujenzi wa sekondari

  WAKAZI wa Jimbo la Musoma Vijijini, wakiongozwa na Mbunge wao, Profesa Sospeter Muhongo, wamefanya harambee ya kuchangisha fedha za kukamilisha ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

Binti wa miaka 17 ajinyonga kisa mzazi mwenzie kugomea matunzo ya mtoto

  WINFRIDA Mandindile (17), amejinyonga kwa madai ya mzazi mwenzie kugoma kutoa fedha za matumizi ya mtoto wao mwenye umri wa mwaka mmoja....

Habari Mchanganyiko

Mufti aunda Tume ya watu saba kuchunguza mali, madeni ya BAKWATA

  MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, ameunda tume ya watu saba kwaajili ya maboresho ya Baraza Kuu la...

Gazeti

Mkandarasi aeleza changamoto ujenzi soko la Tandale

MKANDARASI Kampuni ya NAMIS Corporate Ltd anayejenga soko la Tandale ameelezea changamoto za kutokamilika kwa wakati kwa soko hilo ikiwemo kutokulipwa kwa wakati....

Habari za SiasaTangulizi

Mamilioni yakusanywa kugharamia mapokezi ya Lissu

  MWITIKIO wa wanachama na Watanzania wanaojitokeza kuchangia gharama za mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, umezidi kuongezeka ambapo hadi...

Kimataifa

Usain Bolt alaghaiwa zaidi ya TSh 27 Bil.

BINGWA wa Olimpiki Usain Bolt analenga kurejesha zaidi ya $12.7m sawa na zaidi ya Tsh 27 Bilioni ambazo wakili wake anasema amepoteza baada...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Mpango aweka jiwe la msingi mradi wa maji Ziwa Victoria

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amezitaka Mamlaka za Maji pamoja na wadau wengine wa sekta hiyo kuongeza weledi katika usimamizi wa...

Afya

Asilimia 86 wenye umri zaidi ya miaka 18 wapata dozi kamili ya Uviko-19

  KWA kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2022 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya...

Michezo

Mchezaji Singida apoteza maisha mazoezini

  MCHEZAJI na kapteni wa timu ya vijana ya Singida Big Star (U17), Mohammed Banda leo tarehe 19 Januari, 2023 amefariki dunia baada...

Habari Mchanganyiko

Biteko: Ushirikiano kati ya Tanzania, Canada umeimarisha sekta ya madini

  WAZIRI wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Canada katika sekta ya madini umeendelea kuimarika hususan katika...

Habari Mchanganyiko

PPRA yafanya utafiti matumizi ya kikosi kazi katika miradi ya maendeleo

MAMLAKA ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma nchni (PPRA) imeeleza kuwa utumiaji wa utaratibu wa kikosi kazi “ Force Account “katika utekelezaji wa miradi...

Kimataifa

Focusing on 4T technologies, helping thousands of industries transform from energy consumers to energy producers

Huawei has demonstrated its commitment to Africa’s energy transition, while also showcasing the full range of its latest solar PV and green home...

Habari Mchanganyiko

TEF yaendelea kumng’ang’ania Nape epeleke muswada wa habari bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema linatarajia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, atatimiza ahadi yake ya kupeleka...

Habari za Siasa

Simbachawene acharuka ufanyaji kazi wa mazoea

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amewataka watumishi wa ofisi yake kufanya kazi zenye ufanisi...

Habari za Siasa

CUF: Hakutakuwa na ACT-Wazalendo Zanzibar uchaguzi 2025

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeeleza kuwa kimejipanga kurejesha heshima yake visiwani Zanzibar, ifikapo 2025 kwa kuunda Serikali au kushiriki Serikali ya Umoja...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema:Tutakuwa wajinga kukataa ruzuku kwa mazingira ya sasa

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kiko tayari kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini, kutokana na maridhiano yanayofanywa na Rais Samia...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu ampa kibarua Rais Samia, aanika atakachoanza nacho akiwasili

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema usalama wake pindi atakaporejea Tanzania akitokea nchini Ubelgiji, utakuwa...

Kimataifa

El Chapo aomba kurejeshwa Mexico

  RAIS wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amesema atazingatia ombi la mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin ‘El Chapo’ Guzman, anayetumikia kifungo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndugu wa Mtanzania aliyefariki vitani Ukraine walala matanga siku 10 wakisubiri mwili

  NDUGU wa Tarimo Nemes Raymond Raia wa Tanzania aliyefariki kwenye uwanja wa vita katika mji wa Bakhmut nchini Ukraine akipigana upande wa...

Habari za Siasa

Chadema wamvaa Waziri Mkuu Majaliwa, Waziri Bashe

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kuwa uhaba wa mbolea nchini umesababishwa na Serikali kushindwa kulipa deni la Sh. 325 bililioni,...

Habari Mchanganyiko

Kada wa Chadema afia vitani Ukraine, akitetea Urusi

  RAIA wa Tanzania, mwanachama mwandamizi na kada mashuhuri wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tarimo Nemes Raymond, amefariki dunia akiwa vitani...

Kimataifa

Rais Congo: M23 bado wapo, wamedanganya

  RAIS wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi amesema waasi wa M23 bado hawajaondoka kikamilifu katika maeneo wanayoshikilia mashariki mwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali kufanya utafiti wa hali ya umasikini

SERIKALI ya Tanzania ipo katika maandalizi ya mwisho ya kufanya utafiti wa hali ya umasikini nchini kwa mwaka 2023/2024. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

NBS yatabiri mfumuko wa bei kupungua

  OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kupungua kwa mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi, kutoka asilimia 9.7, kufikia Machi...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa majina ya vijana walioitwa kwenye usaili Jeshi la Polisi Tanzania

  MKUU wa Jeshi la Polisi IGP Camilus Wambura leo tarehe 17 Januari, 2023 amewatangazia vijana walioomba kuajiriwa na Jeshi la Polisi usaili...

error: Content is protected !!