Tuesday , 30 April 2024

Month: July 2023

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma: Nane nane iwe na tija kwa wakulima, wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaijibu CCM mashambulizi dhidi ya Rais Samia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema maridhiano yanayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, hayatazuia kuikosoa Serikali yake katika mikutano ya hadhara. Anaripoti...

Michezo

Ukarabati Uwanja wa Mkapa: Sababu, mantiki na umuhimu

  BAADA ya Serikali kutangaza gharama za ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa zilizokadiriwa kufikia shilingi bilioni 31, baadhi ya wadau wa michezo...

Tangulizi

Makamba awataka Watanzania kuvumilia machungu ya mageuzi Tanesco

WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amewataka wananchi wawe na subira wakati Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linafanya mageuzi ya utendaji kazi wake. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Makamba: ‘Madalali’ nifuateni mimi, iacheni Tanesco

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amewataka watu wasiingize siasa katika utendaji wa wizara yake, kwa kuwa kitendo hicho kinaathiri maendeleo ya nchi. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mitumbwi 2 yazama Ziwa Victoria, 14 wafariki dunia

WAUMINI 14 wa Kanisa la KTMK, Kijiji cha Ichigondo, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, wamefariki dunia, huku 14 wakijeruhiwa baada ya mitumbwi waliyokuwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amlilia Sheikh Basaleh

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Sheikh wa Msikiti wa Idrisa, Karikoo, jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuanza kuzipa meno taasisi za umma

SERIKALI inakusudia kuanza kuzipa uhuru baadhi ya taasisi za umma, ili kuongeza ufanisi wa utendaji wake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo...

KimataifaTangulizi

Raila, Ruto sasa kupatanishwa na Obasanjo

RAIS mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo ataongoza kamati ya watu 10 katika mazungumzo kati ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasikia kilio changamoto hedhi salama, yatoa ahadi

SERIKALI imesema inafanyia kazi maombi ya wadau kuhusu uboreshaji mazingira ya hedhi salama kwa watoto wa kike. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa milioni 80 maonyesho ya Nanenane

MAONESHO makubwa ya Siku ya wakulima Nane nane yanayotarajiwa kuzikutanisha zaidi ya nchi 30 jijini Mbeya yamepewa sapoti kubwa na Benki ya NMB...

Biashara

EASTL yatambulisha bia mpya ‘GOLDBERG na HANSON’S LITE’

Kampuni ya Uzalishaji Vinywaji Vikali ya East African Spirits (T) Limited (EASTL) Shinyanga inayotengeneza vinywaji vya Diamond Rock na Hanson’s Choice imetambulisha rasmi...

Habari Mchanganyiko

Chongolo: Mabasi DART Mbagala yarejeshwe

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuhakikisha mabasi ya mwendokasi yanarejeshwa katika njia...

Habari Mchanganyiko

Serikali yazipa maagizo NGO’s

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), mkoani Dar es Salaam, yametakiwa kufuatia sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu Yao, ili kulinda maadili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo: Hili la bandari wanataka kutupiga ‘break’

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo leo Jumamosi amesema upotoshaji unaofanywa na wanasiasa wa upinzani kuhusu uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Wasira amshangaa Lissu kwenda Chato “Hakuna aliyemtukana kama yeye”

MWANASIASA mkongwe nchini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira ameeleza kushangazwa na hatua ya Makamu Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wassira: Ni aibu bandari Dar kudorora

MWANASIASA mkongwe nchini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema itakuwa ni aibu kwa Serikali iwapo itashindwa...

Habari Mchanganyiko

Tani 13 za dawa za kulevya za kamatwa na watuhumiwa 4,983 hapa nchini

  JESHI la Polisi kupitia kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania limefanikiwa kukamata tani 13 .717 za dawa za...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma awataka Watanzania kutumia gesi badala ya mkaa

WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Katiba mpya muarobaini kudhibiti wizi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, amesema Katiba mpya ndio njia pekee ya kudhibiti ‘wizi’ unaotendeka kila awamu ya...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda watakiwa wafuate sheria iliyopo sasa

JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa limeendelea kupokea maswali toka kwa wanahabari na wananchi wa kada mbalimbali kufuatia matamshi ya Abdulrahman Kinana, Makamu...

Habari za Siasa

Majaliwa ateta na Rais Putin, aalika wawekezaji wa mbolea

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Ametoa...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa msaada wa madawati 8,823 mkoani Geita

KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya usawa, Kampuni ya Geita Gold Mining...

Habari Mchanganyiko

NGOs zabisha hodi kwa Rais Samia

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yameomba kuonana na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ili kumkabidhi changamoto zao zilizoshindwa kutatuliwa na Mamlaka ya Mapato...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bundi atua kanisa la Kakobe, mchungaji atimuliwa

BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...

Habari Mchanganyiko

Wanandoa watakiwa kutatua migogoro kudhibiti wimbi la watoto mitaani

AFISA ustawi wa jamii manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaama, Naamini Nguve ametoa wito kwa wanandoa nchini kujitahidi kumaliza migogoro yao ili...

Habari za Siasa

Silaa: Mkataba umetaja maeneo machache, tz nzima

MBUNGE wa Ukonga, Jerry Silaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), amesema...

Habari Mchanganyiko

TAOMAC: Hatuna mtafaruku na EWURA

CHAMA cha waagizaji na wasambazaji mafuta Tanzania (TAOMAC) kimekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kudai kuwa waagizaji na wasambazaji wa mafuta wamekaa...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Chang’a achaguliwa Makamu Mwenyekiti jopo la Sayansi ya mabadiliko ya tabianchi

  TANZANIA kupitia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Shirika la...

Habari za Siasa

Msalala yaweka msimamo makusanyo 2023/24

  MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, Khamis Katimba amesema, halmashauri hiyo imepanga kuvuka lengo la makusanyo ya mapato...

Elimu

NMB yaimarisha elimu, afya Tabora, Simiyu na Mwanza

BENKI ya NMB imeshiriki katika utatuzi wa changamoto za afya na elimu kwa kutoa michango muhimu katika kuimarisha huduma hizo kwenye maeneo mbalimbali...

BiasharaTangulizi

Marufuku nguo za mitumba yazua kizaazaa, wafanyabiashara wachachamaa

WAFANYABIASHARA pamoja na watuaji wa nguo za mitumba nchini Kenya, wameitaka serikali nchi hiyo kusitisha mpango wake wa kupiga marufuku wa uingizwaji wa...

Kimataifa

Viongozi Afrika watua Urusi, wateta na Putin

MKUTANO wa kilele kati ya Urusi na Afrika unaanza leo Alhamisi, ambapo Rais wa nchi hiyo, Vladmir Putin anapanga kuimarisha ushirikiano na mataifa...

Kimataifa

Wanajeshi Niger wadai kumpindua Rais

KUNDI la wanajeshi wa Niger limetangaza kumuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum wa nchi hiyo, saa chache baada ya rais huyo kuzuiliwa ikulu na...

Biashara

Vodacom kinara wa teknolojia miongoni mwa makampuni ya Vodacom Afrika 

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania Plc imepata tuzo ya kuwa  kinara wa teknolojia miongoni mwa makampuni ya Vodacom yaliyoko Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Watoto walioweka rekodi GGML KiliChallenge, wang’ara siku ya mashujaa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama amewapongesa watoto Abel Mussa na Rebbeca Damian wenye umri wa...

Kimataifa

Ukosefu wa ajira kwa vijana wa China ni tishio kiasi gani kwa serikali

  WAKATI takwimu zikionesha kuwa kijana mmoja kati ya watano ndio anayepata ajira nchini China inaelezwa kuwa kiwango cha ukaidi cha vijana wasio...

Elimu

Chuo cha Uhasibu Arusha (AIA) chapanua wigo wa kitaaluma nchini

  WAKATI maendeleo ya Elimu nchini yakiongezeka Chuo cha Uhasibu Arusha kimeongeza usanifu ili kuendana na kasi ya mabadiliko hayo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Samia aleta marais sita Tanzania

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kuipaisha Tanzania kimataifa baada ya kufanikisha ujio jijini Dar es Salaam wa marais wasiopungua sita na Makamu...

Habari Mchanganyiko

Watoto 900 kunufaika na mradi LFTW

SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za  kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu agomea wito wa DCI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amegoma kufika katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi kina Mdee, Chadema

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekwama kusikilizwa baada ya shahidi kushindwa...

Biashara

2075 Waafrika kushika theluthi moja ya ajira

BENKI ya Dunia (WB), imesema ifikapo mwaka 2075, theluthi moja ya idadi ya watu watakaokuwa wanafanya kazi duniani watakuwa Waafrika. Anaripoti Selemani Msuya…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Hoja sita kutikisa kesi kupinga mkataba wa bandari

HOJA sita zinatarajiwa kutikisa katika usikilizwaji kesi ya kikatiba iliyofunguliwa kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai,...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka vijana watumike kuleta mageuzi uchumi Afrika

RAIS Samia Suluhu Hassan, amezitaka nchi za Afrika kutumia vijana katika kuleta mageuzi ya kiuchumi barani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Viongozi washauriwa kutopandikiza chuki za udini

VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka ubunifu kusaka suluhu changamoto za kifedha

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema taasisi za kifedha za kikanda na kimataifa zinapaswa kujishughulisha zaidi katika kubuni na kutoa masuluhisho ya...

Habari Mchanganyiko

TCRA yazuia vifaa 108,395

JUMLA ya simu 108,395 na vifaa vingine vya mawasiliano vimezuiliwa kwa kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuhusishwa na vitendo vingi vya jinai,...

error: Content is protected !!