Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ataka vijana watumike kuleta mageuzi uchumi Afrika
Habari za Siasa

Rais Samia ataka vijana watumike kuleta mageuzi uchumi Afrika

Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan, amezitaka nchi za Afrika kutumia vijana katika kuleta mageuzi ya kiuchumi barani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Mkuu huyo wa nchi, ametoa wito huo leo tarehe 26 Julai 2023 wakati akihutubia mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu rasilimali watu, uliofanyika jijini Dar es Salaam.

“Idadi kubwa ya vijana tulionayo Afrika ni fursa ya kipekee kwa ajili ya mageuzi ya kiuchumi, badala ya kuwaacha vijana hawa wavuke hizo bahari wapigwe njiani , wazamishwe kwamba wanaenda Ulaya kutafuta maisha bora, maisha bora watayapata Afrika tukiwaendeleza,” amesema Rais Samia.

Aidha, Rais Samia amezitaka nchi za Afrika kuweka mipango madhubuti ya kuendeleza rasilimali watu kwa manufaa ya bara hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!