Monday , 29 May 2023

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Kirigini kuzikwa leo Butiama

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini (1980-1985), Herman Kirigini, unatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi, kijijini kwao Muryaza, Wilaya ya Butiama. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jeshi la Polisi kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika utafiti

  JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa katika kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na technolojia limepanga kuja na mkakati wa Pamoja kwa kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Kampeni ya Samia Legal Aid yazinduliwa Manyara, kesi 45 zapokelewa

  KAMPENI ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, imezinduliwa mkoani Manyara, ambapo mamia ya wananchi wamepatiwa huduma hiyo na wasaidizi wa kisheria...

Habari Mchanganyiko

NMB ya kwanza kuzindua Malipo kwa QR na UnionPay International

BENKI ya NMB kwa kushirikiana na UnionPay International (UPI), wamezindua suluhisho la malipo ya kimtandao kupitia QR kwa wateja wao (NMB – UPI...

Habari Mchanganyiko

Shuwasa yaainisha maeneo yatakayotwaliwa kwa ajili ya mradi wa AFD

  MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imeainisha maeneo matatu katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ambayo yatatumika kujenga...

Habari Mchanganyiko

NMB yaahidi kutoa bidhaa zinazokidhi mahitaji wanadiaspora

Benki ya NMB imeahidi kutoa bidhaa zinazokidhi mahitaji ya wanadiaspora ilikuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za ujenzi wa Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Wajibika yaja na muarobaini malalamiko huduma duni za afya

TAASISI ya Wajibika, imeanzisha mradi wa Afya Shirikishi mkoani Dodoma, wenye lengo la kuimarisha mifumo ya utoaji na upokeaji huduma za afya kupitia...

Habari Mchanganyiko

Shule ya St Mary Goreti kuotesha miti 2000 Kilimanjaro

  SHULE ya sekondari St. Mary Goreti iliyoko Moshi, mkoani Kilimanjaro, imepanga kuotesha miti 2,000 mkoani humo ili kuunga mkono juhudi za Serikali...

Habari Mchanganyiko

Fomma yakumbuka wanafunzi wa Bugiri wasioona

JAMII imetakiwa kujenga desturi ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingiramagumu kwa kuwapatia elimu na haitaji muhimu ya kibanadamu na siyo kuwanyanyasa na kuwanyanyapaa...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wanaotumia madaraka vibaya waonywa

VIONGOZI mbalimbali wametakiwa kutokutumia madaraka yao vibaya kwa ajili ya kujiufaisha wenyewe badala yake watambue kuwa nafasi walizonazo ni kwaajili ya kuwatumikia watu...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yazindua huduma ya NBC Connect Kanda ya Ziwa

KAMPUNI pamoja na taasisi mbalimbali ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC), sasa wanaweza kupata uzoefu mpya wa huduma...

Habari Mchanganyiko

SBL yazindua mfumo wa kufanya mauzo kiganjani kwa wasambazaji wake

  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua mfumo wa aina yake wa kufanya mauzo wenye lengo la kurahisisha na kuongeza ufanisi wa...

Habari Mchanganyiko

ITM Tanzania yaadhimisha miaka 5, serikali kuwezesha sekta ya rasilimali watu

  KATIKA jitihada za kuibua na kuhakikisha ukuaji wa vipaji vya ndani katika soko la ajira linalohitajika kila mara, serikali ya Tanzania itaendelea...

Habari Mchanganyiko

NMB yaahidi kuunga mkono kuupaisha utalii wa Tanzania

BENKI ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono juhudi za kukuza maendeleo ya sekta ya utalii nchini ikiwa ni sehemu ya...

Habari Mchanganyiko

Vodacom, Tecno wazindua Camon 20 series, atakayenunua kuzawadiwa GB 96

KAMPUNI ya Vodacom Tanzania ikishirikiana na Tecno Tanzania wamezindua simu mpya aina ya Tecno Camon 20 series iliyotengenezwa kwa ubora wa hali ya...

Habari Mchanganyiko

Kikwete aongoza harambee ya GGML Kili Challenge, yapatikana bilioni 1.6

JUMLA ya Dola za Marekani 700,000 (sawa na Sh bilioni 1.6) zimepatikana katika uzinduzi wa harambee Ya kampeni ya GGML Kili Challenge iliyoongozwa...

Habari Mchanganyiko

Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lazinduliwa

  JUKWAA la kitaifa la kuwawezesha wanawake kiuchumi limezinduliwa ili kuliwezesha kundi hilo kufikia fursa zinazowazunguka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Uzinduzi...

Habari Mchanganyiko

USAID yasaini mkataba wa Bil. 11.8 kuiunga mkono serikali utekelezaji wa mfumo wa M-mama

  TAASISI ya Vodacom Tanzania Foundation na USAID zimesaini mkataba wa makubaliano ili kuunga mkono utekelezaji wa afya ya uzazi na mfumo wa...

Habari Mchanganyiko

ALP yazindua ripoti ya soko la Pamoja la Afrika ya Mashariki

  KAMPUNI inayojihusisha na usimamizi wa shughuli za kisheria katika nchi za Afrika ya Mashariki, ALP East Africa, imezindua ripoti inayohusu taarifa za...

Habari Mchanganyiko

NMB yajitosa uwezeshaji watalii kutoka China kutembelea Tanzania  

BENKI ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuwa benki chaguo katika kuwezesha watalii kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo China kutembelea Tanzania kwa kutoa huduma...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aibeba tena Yanga, aahidi 20 milioni kwa goli la ushindi

RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan ameibeba tena klabu ya Yanga baada ya kutangaza dau nono la Sh 20 milioni katika mechi za fainali ya...

Habari Mchanganyiko

Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi waridhishwa na kasi ya usambazaji maji

  BODI ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga-Shuwasa wameridhishwa na kasi ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na mamlaka hiyo...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi gawio la 20 bilioni kwa wanahisa wake

SERIKALI imepokea kiasi cha Sh. sita bilioni kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni sehemu ya gawio la kiasi cha Tsh...

Habari Mchanganyiko

Kafulila awapa darasa wahariri kuhusu idara ya PPP

KAMISHNA wa Idara ya Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema msukumo wa kuunda taasisi hiyo ulitokana na kuwepo...

Habari Mchanganyiko

NMB yatumia mamilioni kupeleka viti, meza sekondari Mafia

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa viti 100 na meza 100 vyenye thamani ya Sh15 milioni kwa matumizi ya wanafunzi wa Shule za...

Habari Mchanganyiko

Neema yafunguliwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania-India

  NEEMA imefunguliwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania na India, baada ya Kampuni ya Silent Ocean, kuzindua Huduma za usafirishaji mizigo katika mataifa hayo...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Vodacom wachangia damu na kutoa msaada hospitali ya Rufaa Dodoma

  WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Vodacom Tanzania mkoa wa Dodoma wamefanya zoezi la kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wagongwa wenye mahitaji ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

6 wadakwa tuhuma za mauaji ya daktari Tarime, mfanyakazi GGML

HATIMAYE Jeshi la Polisi nchini limewadaka watuhumiwa watatu wa mauaji ya Dk. Isack Daniel Athumani aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende...

Habari Mchanganyiko

Rostam aungana na wawekezaji kuleta mageuzi ya nishati Zanzibar, bilioni 330 kutumika

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Rostam Azizi kupitia Kampuni yake ya Taifa Group, ameungana na kampuni ya Generation Capital Limited (GCL) kutoka Mauritius kuanzisha mradi...

Habari Mchanganyiko

FEMATA walilia benki ya wachimbaji wadogo

  SHIRIKISHO la vyama vya wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA) limetoa wito kwa Serikali kuunga mkono wazo la kuanzishwa kwa benki ya wachimbaji...

Habari Mchanganyiko

Mgomo Kariakoo ngoma nzito, wafanyabiashara wamtaka Rais Samia

  MGOGORO wa kodi katika Soko la Kimataifa la Kariakoo umechukua sura mpya baada ya baadhi ya wafanyabiashara kutishia kuendelea kufunga maduka yao...

Habari Mchanganyiko

Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wa kigeni waiangukia Serikali

  WAKATI mgomo wa kufungua Biashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ukishika Kasi, baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchi jirani wameomba...

Habari Mchanganyiko

NMB yajidhatiti kuendelea kuchangia ukuaji matumizi ya bima

BENKI ya NMB imesisitiza kuendelea kutoa huduma za bima zinazoendana na matakwa ya wateja ikiwa ni utekelezaji wa dhamira yake ya kuongeza matumizi...

Habari Mchanganyiko

Wateja wa Vodacom wafanya miamala ya tril 6, yapata faida bil. 44.6

KAMPUNI pekee ya mawasiliano ya simu iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam, Vodacom Tanzania Plc, imetangaza taarifa ya ripoti ya...

Habari Mchanganyiko

Madaktari bingwa wa moyo JKCI watia fora Malawi

MADAKTARI bingwa wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamefanikiwa kuwapatia matibabu ya kibingwa wagonjwa zaidi ya 724 wa moyo nchini Malawi...

Habari Mchanganyiko

Fisi aliyeua na kujeruhi watu mkoani Lindi auawa na askari wa TAWA

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumuua fisi aliyeua watu wawili na kujeruhi watano katika Wilaya ya Lindi Vijijini Mkoani...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji wanaotorosha mifugo nje ya nchi waonywa

  WAFUGAJI wanaotorosha mifugo yao kwenda nje ya nchi bila kufuata utaratibu uliowekwa na Serikali wametakiwa kuacha vitendo hivyo kwani hatua za kisheria...

Habari Mchanganyiko

Balile, Kalinaki waula jumuiya ya wahariri EAC

JUMUIYA ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aagiza mawakili wala rushwa ‘vigeugeu’ washughulikiwe

  MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) na Kamati ya Mawakili kuchukua hatua kali...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa 630 milioni kufaidisha wakazi 12,500

  ZAIDI ya wakazi 12,500 wa vijiji vya Milola na Mavimba Wilayani Ulanga mkoani Morogoro wanatarajia kunuafaika na mradi wa maji wenye thamani...

Habari Mchanganyiko

Wabunge watembelea pori la akiba Kilombero, waahidi ushirikiano kulinda mazingira

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema pori la Akiba Kilombero ni chachu ya kufungua fursa za utalii ikiwemo shughuli za...

Habari Mchanganyiko

GGML Kili Challenge-2023 kukusanya bilioni 2 kudhibiti VVU/UKIMWI

KAMPENI ya GGML Kili Challenge inayoratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS)...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Uganda zakubaliana kuondoa vikwazo vya kibiashara

TANZANIA na Uganda zimekubaliana kuondoa vikwazo vya biashara ili kuendelea kuboresha ushirikiano kati ya mataifa hayo kwenye nyanja mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Makubaliano...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atembelea Banda la NMB, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zote za wilaya na miji, kwenye maeneo yenye madini ziandae sheria ndogo (by-laws) kwa kushirikiana na wadau...

Habari Mchanganyiko

Polisi wamuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro

JESHI la Polisi Tanzania, limemuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro leo tarehe 10 Mei  2023 baada ya kustaafu Utumishi ndani ya Jeshi...

Habari Mchanganyiko

NMB, ZIPA zasaini makubaliano kukuza uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji...

Habari Mchanganyiko

Maji yaendelea kusambazwa Musoma Vijijini

  WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umeendelea kusambaza maji katika vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango akemea viongozi wa dini kuburuzana mahakamani

MAKAMU wa Rais  Dk. Philip Mpango amewataka viongozi wa dini nchini kuwa na utaratibu wa kusuluhisha migogoro yao wenyewe badala ya kuipeleka mahakamani....

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo cha mwanamke anayehusishwa katika ajali ya Naibu Waziri

JESHI la Polisi nchini limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafuzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom),  Nusura Hassan Abdallah kinachodaiwa kutokana na kipigo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa atoa wiki moja kuweka ‘bicon’ eneo la wawekezaji Kilimanjaro

NAIBU Waziri wa Madin Dk. Steven Kiruswa ametoa wiki moja kuweka alama (bicon) kwenye mipaka baina ya wawekezaji wawili wa uchimbaji wa madini...

error: Content is protected !!