Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa kwamba, zawadi wanazopeana wakati wa furaha, ni marufuku kunyang’anyana wakiwa katika mifarakano. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyopo Moshi, mkoani Kilimanjaro kama sehemu ya mchango...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Benki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) iliyopo Moshi mkoani Kilimanjaro ikilenga kuboresha mazingira ya maladhi...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Dola za Kimarekani 70,000 (Sh....

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

MAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa shauri la rufaa lililokatwa na Benki ya Equity Tanzania Limited na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

MADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya elimu ya usalama barabarani yalivyo wafumbua macho na kuwafanya kufahamu sheria mbalimbali za...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) katika...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani Pwani jana tarehe 22 Aprili, 2024 wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Kampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya Akmenite Limited Lithuania, inatarajia kutumia dola za Marekani milioni 15 (Sh 38.9 bilioni)...

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni mbalimbali imeahidi kuendelea kusimamia mipango ya kuimarisha na kusimamia afya za wafanyakazi dhidi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120 milioni kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya ya Tawala za...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

MWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare ametoa msaada wa tani tano za mchele kwa waathirika wa mafuriko wa jimbo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

WIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake ya kiasi cha Sh. 121.3 bilioni, katika mwaka ujao wa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi ya uzalishaji wahitimu katika taaluma ambazo nafasi za ajira zimepungua ikiwemo walimu, badala...

Habari Mchanganyiko

DCEA yakamata kilo 767.2 za dawa za kulevya, 21 mbaroni

  MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanya operesheni na kufanikiwa kukamata jumla ya kilo 767.2 za dawa za...

Habari Mchanganyiko

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake ya kiasi cha Sh. 121.3 bilioni, katika mwaka ujao...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League juzi Jumamosi...

Habari Mchanganyiko

OSHA watakiwa kuwa wakali kwa waajiri, wawekezaji wasiozingatia sheria

WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), umetakiwa kuwa wakali na kuhakikisha sheria, taratibu na kanuni za usalama na afya mahali...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaja na “Shinda Mechi Zako Kinamna Yako”  kuchochea biashara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni mpya ya akiba inayofahamika kama “Shinda Mechi Zako Kinamna Yako” mahususi kwa wateja wake wa...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi CBE waonyesha vipaji lukuki siku ya taaluma

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinakusudia kuanzisha mafunzo ya uanagenzi kwa wanafunzi wanaosoma shahada ya masuala ya benki na fedha, metrolojia na...

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

ALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha Redio cha Clouds Fm, Gardner G Habash, maarufu kama Captain, amefariki dunia leo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia makubaliano kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio kikubwa kwenye mkutano...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, wamesaini hati ya makubaliano ya kufanya biashara ya hewa ukaa...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuua mke wake, Mariam Ulacha (42), chanzo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

SERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000 katika sekta mbalimbali, ikiwemo  12,000 katika sekta ya elimu na zaidi ya 10,000...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa katika...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

  DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

  JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuuwa mke wake, Mariam Ulacha (42),...

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

SERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia vikao na mikutano ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) ambapo sekta binafsi...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa kilimo ikolojia kutoa elimu kuhusu kilimo hicho ambacho kina tija kwenye soko na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapata hasara 113 milioni hospitali kuwapa misamaha wagonjwa wasiostahili

SERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada ya baadhi ya hospitali za rufaa za mikoa kutoa msamaha wa matibabu kwa...

Habari Mchanganyiko

GGML, TAKUKURU wazindua kampeni kutokomeza rushwa

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wamezindua warsha ya siku nne ili kuongeza...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu ya Soka ya Yanga wamezindua kadi za kimataifa za uanachama wa klabu hiyo...

Habari Mchanganyiko

Biashara kuanza kufanyika saa 24 Dar

UONGOZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, unaendelea na vikao vya kuandaa mpango wa wafanyabiashara kutekeleza shughuli zao usiku na mchana (saa 24)....

Habari Mchanganyiko

Serikali yatakiwa kutunga sheria kudhibiti ajali mabasi ya shule

KUFUATIA ajali ya basi la shule ya msingi ya Ghati Memorial, iliyogharimu maisha ya wanafunzi nane, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu...

Habari Mchanganyiko

Makusanyo ya Serikali mwaka 2022/2023 yapaa kwa 9%

MAKUSANYO ya Serikali katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 yameongezeka kwa Sh. 3.582 trilioni, hadi kufikia Sh. 41.880 trilioni, kutoka Sh. 38.398 trilioni...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

WATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu, basi wafuatilie kuona ilivyofunga masikio yake kusikiliza malalamiko ya wananchi zaidi ya 1,800...

Habari Mchanganyiko

AMEND warejea kuwanoa madereva bodaboda

Shirika la Amend Tanzania kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi linatarajiwa tena kuanza kutoa mafunzo ya elimu ya usalama barabara ni kwa madereva...

Habari Mchanganyiko

DED Msalala: Tukilipa kodi, tumeisaidia serikali

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Khamis Katimba amesema wananchi wakilipa tozo na kodi vizuri, wanakuwa wameishaidia serikali kutekeleza majukumu yake kwao. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yawafariji wagonjwa wa saratani Ocean Road, Amana

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeunga mkono jitihada za Serikali katika kuchangia matibabu ya wagonjwa wa saratani...

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas, ASAS wawafuta machozi waathiriwa mafuriko Rufiji

KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya Oryx kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Askofu ataka mafisadi, wauza mihadarati washughulikiwe kumuenzi Sokoine

  MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Amani, ameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya dola kuwashughulikia watu wanaofanya ubadhirifu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mafuriko yaua 33 Morogoro, Pwani

  SERIKALI ya Tanzania imetoa tathmini ya athari ya mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa inayonyesha mfululizo katika baadhi ya mikoa nchini, ikisema yameua...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 7 wahofiwa kufariki gari la shule likitumbukia korongoni

  WANAFUNZI saba wanahofiwa kupoteza maisha, huku watatu wakinusurika katika ajali ya gari la shule ya msingi Ghati Memorial, lililotumbukia katika korongo lililopo...

Habari Mchanganyiko

Wazazi, walezi watakiwa kuwa karibu na watoto wao

  WAZAZI na walezi wameagizwa kuwalea watoto wao katika maadili mema yenye kuwa na hofu ya Kimungu pamoja na wanafamilia hao kuishi kwa...

error: Content is protected !!