Sunday , 28 April 2024

Month: October 2018

Michezo

Kiungo Yanga afungiwa miezi 14

KAMATI ya kuzuia na kupambana na dawa zisizo ruhusiwa michezoni ya kanda ya tano Afrika (RADO) imemfungia kiungo wa Yanga, Mohamed Issa ‘Banka’...

Habari Mchanganyiko

Makonda: Mashoga wamekimbia Dar, wamehamia Dodoma

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuna baadhi ya watu wanaofanya biashara ya kuuza mwili (machangudoa na mashoga) wamehamia...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe akamatwa Dar

KIONGOZI wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zubery Kabwe, amekamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge zaidi kuzidi kupukutika

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewatishia wabunge na madiwani wa vyama vya upinzani, kuwa kama wanataka kujiunga na chama hicho, wafanye haraka, vinginevyo wanaweza...

Habari Mchanganyiko

Operesheni fagia mashoga yaiva

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa ameshatumiwa majina ya wanaume 100 wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na...

Kimataifa

Mbunge azua taharuki akifyatua risasi bungeni

MBUNGE wa M’baiki Mashariki nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, Alfred Yekatom amekamatwa ndani ya bunge baada ya kufyatua risasi hewani, wakati wabunge...

Habari za SiasaTangulizi

Tibaijuka azungumzia sekeseke la utekaji

MBUNGE wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka amewataka watanzania kuwa makini kuhusu usalama wao kutokana na uwepo wa makundi ya wahuni na watekaji...

Michezo

Nahodha wa Madrid amkataa Conte

NAHODHA wa Real Madrid, Sergio Ramos anaonekana kutokukubaliana na ujio wa kocha wa zamani wa Chelsea Antonio Conte ndani ya kikosi hicho baada...

Habari za Siasa

JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani

RAIS John Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (FCC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi NHC

RAIS John Magufuli amemteua aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) Dkt. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kilichomuua Isack Gamba hiki hapa

KILICHOSABABISHA kifo cha aliyekuwa Mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW), Isack Gamba, ni tatizo la kuvuja damu kwenye ubongo lililotokana...

Habari za Siasa

Samia akemea ‘vita’ ya uwekezaji

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amekemea vita baina ya wawekezaji hasa wanaozalisha bidhaa zinazofanana. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza kabla ya...

Habari za Siasa

Mwijage: Bila ‘Tax Clearence’ hupati mchumba

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage ametahadharisha kuwa, wasiokuwa na utamaduni wa kulipa kodi yanaweza kuwakuta aliyoyakuta kwenye nchi nyingine, ya kunyimwa...

Kimataifa

Watu 188 wahofiwa kupoteza maisha kwenye ajali ya ndege

WATU takribani 188 wanahofiwa kupoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya abiria ya Shirika la Lion Air iliyokuwa safarini kutoka mji mkuu wa...

Kimataifa

Video ya ngono ya Waziri yavuja, aomba radhi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Afrika Kusini, Malusi Gigaba yuko katika wakati mgumu baada ya video ya ngono iliyomhusisha yeye na mkewe...

Makala & UchambuziTangulizi

Rais Magufuli, ‘toka mafichoni’ ujiandikie historia yako

DK. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano, anakaribia kutimiza miaka mitatu kamili madarakani. Aliapishwa tarehe 5 Novemba 2015. Anaandika Sead Kubenea...

Habari za Siasa

Alichozungumza Zitto Kabwe leo

Serikali Imevuruga Zao La Korosho, Imeshindwa Kulinda Ustawi na Usalama wa Raia A: Utangulizi Jana, Kamati ya Uongozi ya Chama cha ACT Wazalendo,...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto awavaa Polisi mapigano ya Kigoma

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), amelitaka Jeshi la Polisi Tanzania kutoa taarifa ya kina kuhusu tukio la mapigano kati ya askari...

MichezoTangulizi

Nandy azindua Nandy Beauty Product

KATIKA kuhakikisha anaunga juhudi za serikali ya viwanda na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, Msanii wa muziki wa kizazi kipya Faustina Mfinanga...

Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara anaswa na dawa za kulevya chooni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar ss Salaam linamshikilia Mfanyabiashara Kageta Kageta (35) mkazi wa Tabata Kinyerezi, kwa kosa la kukutwa na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafuta minada ya korosho

SERIKALI imefuta minada ya korosho hadi itakapotoa utaratibu mpya ifikapo tarehe 30 Oktoba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo ya serikali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shamba la Rais Kikwete lavamiwa

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema shamba la baba yake, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete lililoko kata ya Kibindu wilayani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi aliyetumbukia chooni aokolewa, Polisi kuchunguza

MWANAFUNZI wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha, Emanuel Zacharia amenusurika kifo baada ya kutumbukia katika shimo la...

Tangulizi

Wema Sepetu afungiwa muda usiojulikana

ALIYEKUWA Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu amefungiwa kwa muda usiojulikana kujishughulisha na filamu na uigizaji, na Bodi ya Filamu Tanzania. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni

WANAFUNZI kadhaa katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha wanadaiwa kutumbukia katika shimo la choo cha shule hiyo mchana huu. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali: Watumishi wa Acacia wapo salama

SERIKALI imekanusha madai ya Kampuni ya Madini ya Acacia, ya kwamba usalama wa watumishi wake uko hatarini kutokana na kuwindwa na vyombo vya...

MichezoTangulizi

Kocha Yanga amvaa Makambo

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera katika hali ya kushangaza ameonekana kutofurahishwa na kiwango cha mshambuliaji wake, Heritier Makambo katika mchezo wa Ligi Kuu...

Michezo

Milioni 350 kuiangamiza Lesotho

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inahitaji kiasi cha Sh. 350 milioni kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo ujao wa kutafuta tiketi...

Habari Mchanganyiko

Marufuku kulima mahindi ndani ya Jiji la Dodoma

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amepiga marufuku kulima kilimo cha mazao ya mahindi, mtama na uwele katika kata 20...

Habari Mchanganyiko

Takukuru watakiwa kutoa ruhusa Sethi kuhojiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeombwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuamuru mtuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi, Harbinder...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Shilingi ya Tanzania shakani

KUYUMBA kwa uzalishaji na uuzaji wa zao la korosho nchini katika msimu wa korosho wa 2018/2019, kunatajwa kuweza kuporomosha thamani ya Shilingi ya...

Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Usalama Shirika la Posta atoweka kusikojulikana

SHIRIKA la Posta Tanzania (TPC) linamsaka Mkuu wake wa Kitengo cha Usalama, George Mwamgabe anayedaiwa kutoweka kusiko julikana wiki moja iliyopita. Anaripoti Regina...

MichezoTangulizi

Mtemi Ramadhani ajiengua Uchaguzi Mkuu Simba

MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Simba, Mtemi Ramadhani amejondoa kwenye kinyang’anyiro hicho kwa sababu ya kuwa na...

Habari Mchanganyiko

Upepo mkali waleta maafa Mafia

UPEPO unaoendelea kuvuma kwenye Ukanda wa Pwani umesababisha kifo cha mtu mmoja aliyedondokewa na mnazi kisiwani Mafia. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mtu...

Habari Mchanganyiko

TBS yapiga ‘stop’ tairi zilizotumika

SHIRIKA la Viwango Nchini (TBS) limepiga marufuku matumizi ya tairi za vyombo vya moto zilizotumika na kuisha muda wake. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Sumatra waanzisha ruti ya kwenda Hospitali ya Mloganzila

MAMLAKA ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imetangaza ruti mpya za kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili tawi la Mloganzila. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yamjibu Mtatiro

TAARIFA KWA UMMA Imetolewa 24/October/2018 Kuhusu ufafanuzi wa Mtatiro kufuatia Mazungumzo yake na Wanahabari yaliofanyika Kisiwa cha Unguja . CUF-Chama cha Wananchi kinayachukulia...

Habari Mchanganyiko

Makaburi Pwani, Moro kuhamishwa kupisha Standard Gauge

SHIRIKA la Reli nchini (TRC) linatarajia kuhamisha makaburi kwenye mikoa ya Pwani na Morogoro ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa ‘Standar Gauge....

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya JPM yawafuta machozi wajane wa Aboud Jumbe

SERIKALI ya Rais John Magufuli imewafuta machozi wajane wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe...

Kimataifa

Trump: Wauaji Khashoggi walikuwa na mawazo duni

SERIKALI ya Saudi Arabia inatokomea kwenye tope baada ya siri za mauaji ya mwandishi wa habari wa gazeti la Washington Post, Jamal Khashoggi...

Habari Mchanganyiko

Ufaulu darasa la saba wapaa kwa miaka minne mfululizo

UFAULU wa mtihani wa darasa la saba nchini umeongezeka maradufu kwa miaka minne mfululizo kuanzia mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 56.99 hadi...

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa Acacia kizimbani kwa utakatishaji fedha

ASA Mwaipopo (55), Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni za Madini za Bulyanhulu, North Mara na Pangea zilizokuwa chini ya Acacia, amepandishwa kizimbani katika Mahakama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete leo tarehe 23 Oktoba 2018 Ikulu...

Habari Mchanganyiko

Walioshika mkia ukusanyaji mapato 2017/18 wapewa agizo zito

WAZIRI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jaffo, amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela John Wanga,...

Habari Mchanganyiko

Tisa mbaroni kwa mauaji ya watoto wa familia moja

JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu tisa wanaoshukiwa kuhusika na tukio la kuwauwa kinyama watoto wawili wa familia moja na kuwatupa kichakani...

ElimuTangulizi

Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka

WATAHINIWA 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wa mwaka 2018. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akitangaza matokeo hayo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri wa meli kutoka Dar- Z’bar wasitishwa

USAFIRI wa majini kati ya Dar es Salaam na Zanzibar umesitishwa siku ya leo hadi hapo utakapotangazwa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Elimu yapunguza ukeketaji Simanjiro

KUTOKANA na juhudi zinazofanywa na wanaharakati kwa kupinga unyanyasaji na utatili kwa watoto wa kike na akina mama na kutoa elimu juu ya...

Habari Mchanganyiko

Asasi za Kiraia hatarini kutakatisha fedha

IMEELEZWA kuwa Asasi za kiraia nchini zipo katika hatari ya kutumika kama sehemu ya kupitishia fedha chafu na watu wasiokuwa na nia njema....

Habari Mchanganyiko

CRDB, Mmiliki wa Batco ‘wakaliwa’ kooni

MAHAKAMA Kuu kanda ya Mwanza, imetupilia mbali mapingamizi mawili yaliyowekwa na wakili wa upande wa mlalamikiwa namba mbili, mfanyabiashara wa mabasi ya Batco,...

error: Content is protected !!