Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi NHC
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi NHC

Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) Dkt. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 30 Oktoba 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

Katika hatua nyingine, taarifa hiyo inaeleza kuwa, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi amemteua aliyekuwa Mhadhiri wa ARU, Dkt. Maulid Banyani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa.

“Uteuzi wa viongozi hao umeanza leo tarehe 30 Oktoba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!