Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani
Habari za Siasa

JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (FCC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu leo tarehe 30 Oktoba 2018.

Sehemu ya taairifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa Prof. Moshi unaanza leo. Prof. Moshi alikuwa Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

error: Content is protected !!