Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani
Habari za Siasa

JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (FCC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu leo tarehe 30 Oktoba 2018.

Sehemu ya taairifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa Prof. Moshi unaanza leo. Prof. Moshi alikuwa Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!