Kimataifa
Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu kuanzia kesho Ijumaa kutokana na kifo cha Mkuu wa Majeshi nchini hiyo CDF-...
By Gabriel MushiApril 18, 2024Majaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma ataruhusiwa kugombea kwenye uchaguzi wa Mei mwaka...
By Mwandishi WetuApril 9, 2024Spika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huku kukiwa na uchunguzi wa tuhuma za rushwa wakati akiwa waziri...
By Mwandishi WetuApril 4, 2024Watu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba nchi ya Taiwan leo Jumatano...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Rais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko kama Waziri Mkuu saa chache baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa nchi hiyo...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Mahakama ya katiba ya Uganda leo Jumatano inatarajiwa kutoa uamuzi juu ya ombi la kutaka kubatilisha Sheria kali ya Kupambana na Ushoga nchini...
By Mwandishi WetuApril 3, 2024Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi amemteua waziri wa mipango, Judith Suminwa kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuApril 2, 2024TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na hivyo...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2024TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2024Mwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya Marekani kwa kuongoza mtandao wa kimataifa wa ulanguzi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2024Mgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais baada ya mpinzani wake mkuu kutoka chama tawala kukubali kushindwa, kufuatia uchaguzi uliofanyika...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2024Zaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na sekondari Kuriga waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2024Mgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ambao ulifanyika jana Jumapili baada...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2024Watu wanne wanaotuhumiwa kwa kufanya shambulizi lililotokea kwenye ukumbi wa tamasha nchini Urusi ambalo limeua watu 137 wamefikishwa mahakamani mjini Moscow. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2024RAIA milioni 7.3 wa Senegal leo Jumapili wanatarajiwa kupiga kura kuamua kati ya wagombea 17 ambao wanapepetana katika kinyang’anyiro cha kumrithi Macky Sall,...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Watu takribani 93 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 140 wamejeruhiwa baada ya watu wenye silaha za moto kufyatua risasi katika tamasha la...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa mkuu wa majeshiya nchi hiyo uteuzi ambao umetajwa kudhihirisha...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024Watu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini Angola baada ya kulazimishwa kunywa mchanganyiko wa mitishamba ili kubaini kama wanafanya vitendo...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, aliachiliwa kutoka jela jana Alhamisi jioni ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola, Tete Antonio amesema jana Jumatatu jioni Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema zaidi ya wanajeshi 31,000 wamefariki vitani katika muda wa miaka miwili tangu Urusi ilipoivamia Ukraine. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2024Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammed Shtayyeh ametangaza kujiuzulu pamoja na serikali yake katika hatua ambayo huenda ikafungua njia ya mageuzi yanayoungwa mkono na...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2024Mahakama ya mjini Tunis imemhukumu rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki kifungo cha miaka nane jela baada ya kupatikana na hatia kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2024Waziri wa usalama wa ndani nchini Malawi, Ken Zikhałe ametangaza mabadiliko ya kanuni za uhamiaji nchini humo kwa kuondoa vizuizi vya viza kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2024Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana Jumatano lilizima jaribio la waasi wa M23 waliokuwa tayari wameukaribia mji wa Sake uliopo kilomita...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2024HAGE Gengob, Rais wa Namibia, amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Makamu wa...
By Gabriel MushiFebruary 4, 2024MLIPUKO wa gesi umeuwa watu wawili huku wengine 222 wakijeruhiwa, jijini Nairobi, nchini Kenya. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa mujibu wa mitandao ya...
By Regina MkondeFebruary 2, 2024Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uanachama wa Chama cha Citizens Coalition for Change...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2024Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema mikusanyiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka imesababisha kasi...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2024Wizara ya sheria ya Afrika Kusini inatarajia kufungua tena jalada la uchunguzi wa mauaji ya wanaharakati wanne wapinga ubaguzi moja tukio baya ambalo...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2024Serikali ya Zambia imetangaza kuahirisha kuanza kwa muhula mpya ya masomo kwa wiki tatu zaidi kutokana mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaua...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2024Sudan imemrejesha nyumbani balozi wake nchini Kenya kufuatia ziara na kikao kati ya Rais wa Kenya, William Ruto na Kamanda wa kikosi cha...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2024RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kutangazwa mshindi kwenye uchaguzi wa urais...
By Regina MkondeDecember 31, 2023NCHI ya Afrika Kusini, imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ta Uhalifu wa Jinai (ICC), dhidi ya Israel ikiituhumu kwa kufanya mauaji ya...
By Regina MkondeDecember 30, 2023Anne Rwigara (41), aliyekuwa mkosoaji wa Serikali ya Rwanda na mtoto wa mfanyabiashara maarufu wa zamani nchini Rwanda, Assinapol Rwigara amefariki dunia nchini...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2023WAPALESTINA 241 wameripotiwa kuuawa, huku 382 wakijeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyofanywa na vikosi vya kijeshi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza, ndani...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023TUME ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2023NCHI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), leo tarehe 20 Disemba 2023, inafanya uchaguzi wake mkuu huku vigogo watatu, Rais anayemaliza muda...
By Regina MkondeDecember 20, 2023MBIO za aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump kuliongoza tena taifa hilo, zimeingia doa baada ya kuwekewa kipingamizi cha kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu...
By Regina MkondeDecember 20, 2023TETEMEKO la ardhi lililotokea nchini China maeneo ya Kaskazini-Magharibi, limesababisha vifo vya watu zaidi ya 100 na kujeruhi 397. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023Kiongozi wa upinzani wa Congo anayeishi uhamishoni, Corneille Nangaa jana Ijumaa ametangaza kuunda kitengo cha kisiasa cha kijeshi kitakachokuwa mshirika wa kundi la...
By Mwandishi WetuDecember 16, 2023