Saturday , 27 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu kuanzia kesho Ijumaa kutokana na kifo cha Mkuu wa Majeshi nchini hiyo CDF-...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Majaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma ataruhusiwa kugombea kwenye uchaguzi wa Mei mwaka...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huku kukiwa na uchunguzi wa tuhuma za rushwa wakati akiwa waziri...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Watu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuikumba nchi ya Taiwan leo Jumatano...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Faye amteua aliyekuwa mfungwa mwenzie kuwa waziri mkuu

Rais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko kama Waziri Mkuu saa chache baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa nchi hiyo...

Habari za SiasaKimataifa

Mahakama ya katiba Uganda kuamua hatima ya mashoga

Mahakama ya katiba ya Uganda leo Jumatano inatarajiwa kutoa uamuzi juu ya ombi la kutaka kubatilisha Sheria kali ya Kupambana na Ushoga nchini...

Kimataifa

DRC wampata waziri mkuu wa kwanza mwanamke

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi amemteua waziri wa mipango, Judith Suminwa kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na hivyo...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa zamani Jacob Zuma kwenye kiny’anganyiro cha uchaguzi uliopangwa Mei mwaka huu na...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Mwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya Marekani kwa kuongoza mtandao wa kimataifa wa ulanguzi...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Mgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais baada ya mpinzani wake mkuu kutoka chama tawala kukubali kushindwa, kufuatia uchaguzi uliofanyika...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Zaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na sekondari Kuriga waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Mgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ambao ulifanyika jana Jumapili baada...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanne walioishambulia Urusi washtakiwa kwa ugaidi

Watu wanne wanaotuhumiwa kwa kufanya shambulizi lililotokea kwenye ukumbi wa tamasha nchini Urusi ambalo limeua watu 137 wamefikishwa mahakamani mjini Moscow. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Watu milioni 7.3 kuamua hatima ya Senegal leo

RAIA milioni 7.3 wa Senegal leo Jumapili wanatarajiwa kupiga kura kuamua kati ya wagombea 17 ambao wanapepetana katika kinyang’anyiro cha kumrithi Macky Sall,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Magaidi waua 93 Urusi, 4 wadakwa

Watu takribani 93 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 140 wamejeruhiwa baada ya watu wenye silaha za moto kufyatua risasi katika tamasha la...

Habari MchanganyikoKimataifa

Rais Museveni amteua mwanaye kuwa mkuu wa majeshi

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa mkuu wa majeshiya nchi hiyo uteuzi ambao umetajwa kudhihirisha...

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...

Kimataifa

Tanzania, Italia kuimarisha ushirikiano sekta za kimkakati

  SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...

Habari za SiasaKimataifa

Odinga avuka kihunzi cha kwanza uenyekiti AUC

AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...

Kimataifa

‘Wachawi’ 50 wafariki baada ya kumeza dawa mitishamba

Watu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini Angola baada ya kulazimishwa kunywa mchanganyiko wa mitishamba ili kubaini kama wanafanya vitendo...

Kimataifa

Urusi yafanya uchaguzi wa urais

Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir...

Kimataifa

Mpinzani mkuu Senegal aachiwa huru

KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, aliachiliwa kutoka jela jana Alhamisi jioni ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Urusi yamdaka raia wa Korea Kusini kwa ushushushu

Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...

Kimataifa

Rais Kagame akubali kukutana na Tshisekedi

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola, Tete Antonio amesema jana Jumatatu jioni Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na...

Habari za SiasaKimataifa

Kiongozi mkuu upinzani Burundi ang’olewa kwenye chama

Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mpango wa kuajiri mwanamke kushika mimba wafufuliwa

SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...

Kimataifa

Wanafunzi 280 watekwa nyara Nigeria

Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa...

Kimataifa

Wanajeshi Ukraine waishiwa risasi, 31,000 wauawa

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema zaidi ya wanajeshi 31,000 wamefariki vitani katika muda wa miaka miwili tangu Urusi ilipoivamia Ukraine. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Waziri mkuu Palestina ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammed Shtayyeh ametangaza kujiuzulu pamoja na serikali yake katika hatua ambayo huenda ikafungua njia ya mageuzi yanayoungwa mkono na...

Kimataifa

Rais mstaafu ahukumiwa miaka 4 jela

Mahakama ya mjini Tunis imemhukumu rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki kifungo cha miaka nane jela baada ya kupatikana na hatia kwa...

Kimataifa

Malawi yaondoa vikwazo vya viza kwa nchi 79 ikiwamo TZ

Waziri wa usalama wa ndani nchini Malawi, Ken Zikhałe ametangaza mabadiliko ya kanuni za uhamiaji nchini humo kwa kuondoa vizuizi vya viza kwa...

Kimataifa

Jeshi Kongo lazima jaribio la M23

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana Jumatano lilizima jaribio la waasi wa M23 waliokuwa tayari wameukaribia mji wa Sake uliopo kilomita...

KimataifaTangulizi

Rais wa Namibia amefariki dunia

HAGE Gengob, Rais wa Namibia, amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Makamu wa...

Kimataifa

Mlipuko wa gesi wauawa 2, wajeruhi 222

MLIPUKO wa gesi umeuwa watu wawili huku wengine 222 wakijeruhiwa, jijini Nairobi, nchini Kenya. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa mujibu wa mitandao ya...

Kimataifa

Kiongozi chama kikuu cha upinzani ang’atuka

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uanachama wa Chama cha Citizens Coalition for Change...

AfyaKimataifa

Corona yaua 10,000 sikukuu za Krismasi, mwaka mpya

Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema mikusanyiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka imesababisha kasi...

Kimataifa

Kesi mauaji ya wanaharakati wapinga ubaguzi yafufuliwa

Wizara ya sheria ya Afrika Kusini inatarajia kufungua tena jalada la uchunguzi wa mauaji ya wanaharakati wanne wapinga ubaguzi moja tukio baya ambalo...

AfyaKimataifa

Kipindupindu chasababisha shule kutofunguliwa Zambia

Serikali ya Zambia imetangaza kuahirisha kuanza kwa muhula mpya ya masomo kwa wiki tatu zaidi kutokana mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaua...

Kimataifa

Sudan yamrejesha nyumbani balozi wake nchini Kenya

Sudan imemrejesha nyumbani balozi wake nchini Kenya kufuatia ziara na kikao kati ya Rais wa Kenya, William Ruto na Kamanda wa kikosi cha...

KimataifaTangulizi

Felix Tshisekedi ashinda tena urais DRC

RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kutangazwa mshindi kwenye uchaguzi wa urais...

Kimataifa

Vita Gaza: Afrika Kusini yaishtaki Israel ICC

NCHI ya Afrika Kusini, imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ta Uhalifu wa Jinai (ICC), dhidi ya Israel ikiituhumu kwa kufanya mauaji ya...

KimataifaTangulizi

Anne mkosoaji wa Kagame afariki, kifo chaibua utata

Anne Rwigara (41), aliyekuwa mkosoaji wa Serikali ya Rwanda na mtoto wa mfanyabiashara maarufu wa zamani nchini Rwanda, Assinapol Rwigara amefariki dunia nchini...

Kimataifa

Sherehe za Christmas chungu kwa wapalestina, 241 wauawa

WAPALESTINA 241 wameripotiwa kuuawa, huku 382 wakijeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyofanywa na vikosi vya kijeshi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza, ndani...

Habari za SiasaKimataifa

Tshisekedi aongoza kwa 81%, Katumbi 15% uchaguzi DRC

TUME ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi...

Habari za SiasaKimataifa

Askofu Mkuu: Uchaguzi DRC umekuwa wa machafuko

Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...

Kimataifa

Wananchi DRC kuamua hatima yao leo

NCHI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), leo tarehe 20 Disemba 2023, inafanya uchaguzi wake mkuu huku vigogo watatu, Rais anayemaliza muda...

Kimataifa

Mahakama yamwekea kigingi Trump urais 2024

MBIO za aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump kuliongoza tena taifa hilo, zimeingia doa baada ya kuwekewa kipingamizi cha kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi lauwa watu 118 China

TETEMEKO la ardhi lililotokea nchini China maeneo ya Kaskazini-Magharibi, limesababisha vifo vya watu zaidi ya 100 na kujeruhi 397. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....

Kimataifa

Mpinzani DRC atangaza kuungana na waasi wa M23

Kiongozi wa upinzani wa Congo anayeishi uhamishoni, Corneille Nangaa jana Ijumaa ametangaza kuunda kitengo cha kisiasa cha kijeshi kitakachokuwa mshirika wa kundi la...

error: Content is protected !!