Kimataifa
MAREKANI inasema mamluki wa Urusi wananyonya maliasili katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Mali na Sudan ili kufadhili vita vya Moscow nchini Ukraine....
By Mwandishi WetuOctober 7, 2022MAZUNGUMZO kuhusu suala la ukiukwaji wa haki za Binaadam jimboni Kashmir yameendelea kwenye kikao cha 51 cha Tume ya Haki ya Haki za...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2022RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewaomba radhi wakenya kwa machapisho ya mtoto wake aliyoyatoa wiki hii kupitia mtandao wa twitter. Katika kaarifa yake...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Madini Afrika uliondaliwa na Umoja wa Afrika na kufanyika...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022TAKRIBAN watu 174 wamefariki katika mkanyagano kwenye mechi ya soka ya Indonesia ambayo imekuwa mojawapo ya majanga mabaya zaidi ya viwanja duniani. Vinaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2022YUPO wapi Masood Azhar, Mkuu wa kikosi cha Jaish e Mohammad (JeM). Ni swali linalojiuliza Serikali ya Pakistani. Ni siri iliyo wazi...
By Mwandishi MaalumSeptember 30, 2022KIMBUNGA Ian kimetokea Florida nchini Marekani na kusababisha madhara makubwa ikiwemo mafuriko. Anaripoti Helena Mkonyi TUDARCo, kwa msaada wa vyombo vya habari vya...
By Helena MkonyiSeptember 29, 2022KIONGOZI wa Azimio Raila Odinga amewataka polisi wa Kimataifa wa Interpol kuanzisha uchunguzi kuhusiana na kifo cha mshukiwa wa Mahakama ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto jana tarehe 27 Septemba, 2022 amemteua Japhet Koome kuwa Inspekta Jenerali mpya wa Jeshi la polisi...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022RAIS mpya wa Kenya, William Ruto, ametangaza baraza lake la mawaziri, lenye mawaziri 21. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Kiongozi huyo...
By Regina MkondeSeptember 27, 2022KAMPENI ya China dhidi ya Wauyghur imesambaa katika mipaka yake, na kuwakumba mamia ya Wapakistani ambao wanailalamikia China kwenye masuala ya imani zao...
By Faki SosiSeptember 27, 2022RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amempa uraia kachero na mhandisi wa zamani wa Marekani, Edward Snowden, ambaye tangu mwaka 2020 amekuwa mkaazi...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2022RAIS wa Benki ya Dunia, David Malpass amesema kwamba hatajiuzulu kutokana ukosoaji dhidi ya matamshi yake aliyoyatoa kuhusiana na mabadiliko ya tabianchi....
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2022INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...
By Mwandishi MaalumSeptember 24, 2022WAKATI vyombo vya habari vikiripoti kuwa nchi ya Saudi Arabia ipo kwenye maandalizi ya kumpokea Rais wa China Xi Jinping, Waziri wa Mambo...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022HATIMAYE majaji sita ambao walikuwa wameteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) nchini Kenya mwaka 2019 na majina yao kukataliwa na...
By Helena MkonyiSeptember 14, 2022SAA chache baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameonekana kuanza kazi kwa kasi ya ajabu, baada...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022Mfalme wa Uingereza Charles amelihutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza kama kiongozi wa ufalme. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Alitoa hotuba...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022RAIS mteule William Ruto leo Jumatatu tarehe 12 Septemba, 2022, amekutana na rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Rais Jijini Nairobi....
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022WAKATI dunia ikiomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, watumiaji wa mtandao wa Twitter wameibua Tweet ya mganga mmoja matata aliyebashiri...
By Felister MwaipetaSeptember 10, 2022BARAZA la Kukabidhi Mamlaka la Uingereza, limetangaza rasmi mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth II, Charles Philip Arthur George, kuwa mfalme wa...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2022MARA tu baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II, kiti cha ufalme kinapitishwa mara moja bila sherehe yoyote kwa mrithi wake ambaye...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kimila nchini Uingereza, Malkia Elizabeth II....
By Regina MkondeSeptember 9, 2022MAKUNDI ya wafuasi wa Dini ya Kiislam na wafanyabiashara nchini Pakistani wameandamana kupinga watuhumiwa wa makosa ya kumdhihaki Mtume Muhammad (S.A.W) ‘kufuru’ jijini...
By Gabriel MushiSeptember 9, 2022MALKIA Elizabeth II aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi nchini Uingereza, amefariki dunia leo Alhamis nyumbani kwake Balmoral akiwa na umri wa miaka 96...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2022RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye leo Jumatano amemfuta kazi waziri wake mkuu Alain Guillaume Bunyoni baada ya kuonya kwamba kulikuwa na mpango wa...
By Gabriel MushiSeptember 7, 2022HATIMAYE Rais mteule wa Kenya, Dk. William Ruto leo Jumatano amezungumza na Rais Uhuru Kenyatta wa taifa hilo anayemaliza muda wake madarani. Wawili...
By Gabriel MushiSeptember 7, 2022LIZ Truss anatarajiwa kuchukua nafasi ya Boris Johnson kama Waziri Mkuu wa Uingereza leo tarehe 6 Septemba, 2022 atakapokwenda kumuona Malkia Elizabeth huko...
By Gabriel MushiSeptember 6, 2022RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amevunja ukimya kwa kishindo cha aina yake tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu wa 2022 baada ya jana tarehe...
By Gabriel MushiSeptember 6, 2022RAIS mteule wa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa Jumanne, tarehe 13 Septemba, 2022. Hii ni baada ya Mahakama ya Juu Milimani kutupilia mbali...
By Gabriel MushiSeptember 6, 2022ALIYEKUWA mgombea kiti cha Urais wa Kenya, Raila Odinga, pamoja na mgombea mwenza wake, Martha Karua, wamesema wanaheshimu maoni ya Mahakama ya Juu...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2022MAJAJI saba wa Mahakama ya Juu nchini Kenya wametoa uamuzi wa pamoja wa kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Rais Mteule...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2022LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2022LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa kuanzia...
By Gabriel MushiSeptember 5, 2022UBALOZI wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo , mahakama ya juu inatarajiwa kutoa...
By Mwandishi WetuSeptember 2, 2022KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...
By Mwandishi WetuSeptember 2, 2022MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022, imeamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumpa mgombea urais wa Muungano...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022 imeanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022JAJI Mkuu wa Kenya, Martha Koome leo mchana ameahirisha kesi ya kupinga matokeo ya urais nchini humo baada ya kuibuka mabishano ya...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022JENGO la makao makuu ya chama cha Jubilee lililopo katika mtaa wa Pangani, kaunti ya Nairobi nchini Kenya linatarajiwa kupigwa mnada Septemba...
By Mwandishi WetuAugust 29, 2022WAZIRI Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amepimwa na kukutwa na maambukizi Covid-19 wakati akiwasili nchini Tunisia kushiriki mkutano wa nane wa Kimataifa...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2022SHIRIKISHO la Kimataifa la kufuatilia utakatishaji fedha haramu na Ugaidi (FATF) linarajia kufika nchini Pakistani Mwezi ujao ili kuhakikisha kuwa nchi hiyo...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2022MAHAKAMA nchini Kenya imeanza kuwaapisha magavana 45 katika kaunti zao walikochaguliwa kwa mujibu wa masharti ya Sheria ya kukabidhiwa Ofisi ya Ugavana. Sheria...
By Gabriel MushiAugust 25, 2022RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy, ameeleza kuwa taifa lake limezaliwa upya wakati Urusi ilipoamua kuivamia kijeshi, Februari mwaka huu na kamwe haliwezi...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2022MWILI wa Rais wa zamani wa Angola Jose Eduardo Dos Santos, aliyefariki nchini Uhispania mwezi Julai, umewasili katika mji mkuu wa Angola,...
By Apaikunda MoshaAugust 22, 2022MGOMBEA wa urais nchini Kenya, kupitia Muungano wa Azimio, Raila Odinga, hatimaye amewasilisha rasmi ombi la kupinga uchaguzi wa William Ruto kuwa...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2022Jina la Juliana Cherera ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka kutoka nchini Kenya (IEBC), limepata umaarufu mkubwa baada...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2022BINTI wa Rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Uhispania ulioamuru mjane...
By Helena MkonyiAugust 20, 2022WAKATI vitendo vya biashara haramu ya kusafirisha binadamu nchini Pakistani vikizidi kushika kasi huku wahanga wakuu wakiwa wanawake, Tume ya Haki za Binadamu...
By Gabriel MushiAugust 20, 2022KAMPUNI ya nyuklia ya serikali ya Energoatom ya Ukrein imesema vikosi vya Urusi vilipanga kuzima mtambo wa kuendesha umeme kwenye mtambo wa nyuklia...
By Apaikunda MoshaAugust 19, 2022