MAHAKAMA imewaachia huru wafuasi saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuwapa dhamana wanachama watatu wenye majeraha ya risasi baada ya kufyatuliwa...
By Faki SosiFebruary 28, 2018WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ametoa onyo kwa mashirika mbalimbali kutotoa taarifa za makadirio ya takwimu za Watanzania na kuzichapisha...
By Bupe MwakitelekoFebruary 28, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema kuwa jeshi la Polisi limewajeruhi waandamanaji wa tano wa risasi za moto...
By Faki SosiFebruary 27, 2018BAADA ya Mwanariadha Usain Bolt wa Jamaika kutamba katika mbio fupi duniani na kuweka rekodi kadhaa ameamua kugeukia mchezo wa soka baada ya...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2018MUDA mchache baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mbeya, kumhukumu kwenda jela, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Emmanuel Masonga, Katibu...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitahadharisha serikali kuwa mashambulizi ya demokrasia yanaweza kuleta athari kwa jamii. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo yameelezwa leo...
By Faki SosiFebruary 26, 2018BALOZI wa Tanzania nchini Kenya, Pindi Chana imeiomba sekta binafsi kujitokeza ili kushiriki maadimisho ya biashara hapa nchini yatakayofanyika Aprili 26 mwaka huu...
By Bupe MwakitelekoFebruary 26, 2018MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (SUGU) na Emmanuel Masonga, Katibu wa Kanda ya Nyasa Chadema, wamehukumiwa kwenda jela miezi mitano kwa kosa...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2018SIRI imefichuka, kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashirikiana na baadhi ya viongozi serikalini, kumtumia msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Sales Katabazi...
By Saed KubeneaFebruary 25, 2018CHAMA cha Wananchi-CUF kinawataka wanachama, viongozi na wapenzi wa CUF waliopo Pemba kuwa watulivu kuendelea na shughuli zao za maisha za kawaida na...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2018MWANASHERIA wa Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi aache vitisho vya...
By Mwandishi MaalumFebruary 23, 2018NI binti wa miaka 18 ambaye alikimbia kwa zaidi ya mita 100 ili kujiokoa na shambulizi, hatimaye alianguka chini kwa uchovu, wauaji wakamfikia...
By Faki SosiFebruary 23, 2018MWANDISHI wa gazeti la Uhuru, Mariam Mziwanda amenusurika kifo katika ajali ya gari iliyotokea usiku huu maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2018DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kata ya Namwawala, Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro, Godfrey Luena ameuawa usiku huu nyumbani kwake...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2018KOMBA amepewa sifa nyingi za ujanja. Kwa wanaomjua wanampa sifa nyengine, nayo ni ya ujasiri. Anaandika Othman Masoud Othman … (endelea). Anapotafuta anachokitaka, hachelei...
By Mwandishi MaalumFebruary 23, 2018WAZIRI wa Elimu na Mafunzo, Prof. Joyce Ndalichako amesutwa na wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT) baada ya kutaka kuwatetea wauaji wa...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2018MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Lameck Nchemba, kujiuzulu mara moja wadhifa wake. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiFebruary 21, 2018MBUNGE wa Chadema, katika jimbo la Tunduma, mkoani Mbeya, Frank Mwakajoka, amewekwa ndani muda huu kwa amri ya mkuu wa wilaya. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2018VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamewasili kituo cha Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa mahojiano kama walivyotakiwa na...
By Faki SosiFebruary 20, 2018MAOFISA waandamizi wa jeshi la polisi jijini Dar es Salaam, wamevamia makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jioni hii ya...
By Saed KubeneaFebruary 19, 2018RISASI iliyokatisha maisha ya mwanafunzi wa chuo cha usafirishaji cha taifa (NIT), jijini Dar es Salaam, Akwilina Akwilini, huenda ilifyatuliwa na askari wa...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2018AFISA mmoja mwandamizi wa serikali amepora sanduku la kupigia kura na kutoweka nalo, kwenye eneo la Magomeni, mtaa wa Idrisa, jimbo la Kinondoni,...
By Faki SosiFebruary 17, 2018JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilifuta picha mnato (video), zilizochukuliwa na waandishi wa habari zikionesha askari wakiwaadhibu vikali waandamanaji...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2018FREEMAN Aikael Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Salum Mwalim ambaye ni mgombea ubunge wa Chadema katika Jimbo la Kinondoni wameapa kukabiliana na...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2018VURUMAI kubwa imeibuka jijini Dar es Salaam, jioni hii, kufuatia jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya...
By Faki SosiFebruary 16, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiongozana na Mgombea Ubunge Jimbo la Kinodnoni, Salumu Mwalimu pamoja na wabunge wa...
By Faki SosiFebruary 15, 2018KIWEWE kimetawala ndani ya Chama Cha Mapinduzi baada ya wapinzani wao wakuu kwenye uchaguzi unaotarajia kufanyika Februari 17 kuapa kulinda kura kwa gharama...
By Masalu ErastoFebruary 15, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma imemwachia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Hamis baada ya Jamhuri kuwasilisha ombi la kuifuta kesi...
By Faki SosiFebruary 15, 2018NAIBU Meya wa Manispaa ya Iringa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gangalonga (Chadema), mkoani Iringa Dady Igogo, amenusururika kuwa baada ya kuvamiwa...
By Faki SosiFebruary 14, 2018WAFANYABIASHARA wametakiwa kufuata utaratibu na kutumia mizani iliyohakikiwa na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) ili waweze kuuza bidhaa kihalali na kuepuka kuwapunja wateja...
By Christina HauleFebruary 14, 2018RIPOTI ya Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limeiweka kwenye mazingira magumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuonesha chama hicho kutoa...
By Faki SosiFebruary 12, 2018TAMKO LA BARAZA LA MAASKOTU KATOLIKI TANZANIA UTANGULIZI Wapendwa Familia ya Mungu, Na Watu Wote wenye Mapenzi Mema, “Neema na iwe kwenu, na...
By Masalu ErastoFebruary 12, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumuenzi mwanachama wake Richard Tambwe Hiza kwa kushinda na kutangazwa washindi katika jimbo la Kinondoni. Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 10, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi-Mbeya imewaachia kwa dhamana washtakiwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu...
By Faki SosiFebruary 9, 2018DAKTARI Vincent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), amesema chama hicho kitamzika kwa heshima kubwa, Richard Tamwilay Hiza, mwanachama...
By Charles WilliamFebruary 9, 2018MMOJA kati ya waathirika wa vitendo vya ubakaji ni motto wa umri wa miaka 13 (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kubakwa na kijana anayeitwa Baraka...
By Faki SosiFebruary 8, 2018UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umepata pigo kutokana na kifo cha mwanasiasa machachari, Richard Tambwe Hizza. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Ukawa ni...
By Faki SosiFebruary 8, 2018CHAMA cha Chadema kimehusisha tukio kutekwa kwa mgombea wa udiwani wa kata ya Buhangazi wilayani Muleba Mkoani Kagera, Nelson Makoti kuwa ni njama...
By Faki SosiFebruary 7, 2018IMANI sugu za ushirikiana mkoani Iringa ni mojawapo ya chanzo cha imani potofu zinazochochea vitendo viovu vya ubakaji, ulawiti na udhalilishaji wa watoto...
By Faki SosiFebruary 7, 2018MBUNGE wa Chadema jimbo la Ubungo, Saed Kubenea amesema, ni lazima chama chake kiibuke kidedea kwenye kinyang’anyiro cha ubunge jimboni Kinondoni. Anaripoti Faki...
By Faki SosiFebruary 7, 2018ALIYEKUWA “mchungaji mkuu” wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), msemaji wa chama hicho na muumini wa itikadi yake iliyokufa ya ujamaa, Kingunge Ngombale-Mwiru (87),...
By Saed KubeneaFebruary 6, 2018VIONGOZI watatu wandamizi ndani ya serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanasuka mkakati mzito wa wizi wa kura, kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2018