Monday , 29 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Viongozi wa Chadema watinga Polisi kwa mahojiano
Habari za Siasa

Viongozi wa Chadema watinga Polisi kwa mahojiano

Spread the love

VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamewasili kituo cha Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa mahojiano kama walivyotakiwa na jeshi hilo jana. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Viongozi wa Chadema wanaotakiwa kuhojiwa ni Freeman Mbowe, John Mnyika, Salum Mwalim, Ester Matiko, Ester Bulaya, Dk. Vincent Mashinji na Halima Mdee.

Polisi wamewataka viongozi hao kuhoajiwa kuhusiana na kupigwa risasi kwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji (NIT), Akwelina Akwilini katika maandamano ya wafuasi wa Chadema yaliyofanyika Februari 16, mwaka huu, maeneo ya Mkwajuni jijini Dar es Salaam.

Mbali na viongozi hao lakini polisi wanawashikilia wanachama 42 wa Chadema pamoja na polisi sita kwa ajili ya tukio hilo na uchunguzi unaendelea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!