Tuesday , 30 April 2024

Month: August 2022

Habari Mchanganyiko

Rais Dk.Mwinyi aongoza mamia ya wananchi maziko ya kaka yake

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe 31 Agosti, 2022 amejumuika na viongozi wa...

Habari za Siasa

CCM yataka hatua Z’bar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa msimamo madhubuti dhidi ya mwenendo wa ufisadi ndani ya Serikali ya Zanzibar na kutaka hatua za kisheria zichukuliwe...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Qatar kushirikiana sekta ya afya

KATIKA jitihada za kutafuta fursa mbalimbali za ajira kwenye sekta ya afya, ujumbe wa Tanzania uliopo ziarani nchini Qatar umekutana na kufanya mazungumzo...

Habari Mchanganyiko

NMB yapongeza ushirikiano wa Jeshi la Polisi

SERIKALI ya Tanzania imelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kusimamia usalama na ulinzi wa taifa jukumu ambalo Benki ya NMB imesema limechangia kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi yamwachia kwa dhamana Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam leo Jumatano tarehe 31, 2022, limemwachia kwa dhamana laiyekuwa Ofisa wa Shirika la Reli...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Madeni ya Serikali yameifilisi NHIF

MSEMAJI wa sekta ya uwekezaji, mashirika ya umma na hifadhi ya jamii wa ACT wazalendo, Mwanaisha Mndeme, amesema kuanzia mwaka 2018 hadi 2022...

Habari Mchanganyiko

Mawakala wa ajira binafsi wa Tanzania, Qatar wajadili fursa za ajira

MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini Tanzania wamekutana na kujadili fursa za ajira na Mawakala wenzao wa ajira binafsi wa Qatar, Jijini...

Habari Mchanganyiko

Ujumbe wa Serikali ya Tanzania waendelea na ziara nchini Qatar

UJUMBE wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua ATM kubadili fedha uwanja wa KIA

BENKI ya NMB imezindua mashine ya kutolea fedha (Automated Teller Machine – ATM) ya kwanza katika Uwanja wa Ndege ya Kimataifa ya Kilimanjaro...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeporwa ‘Range’ na Makonda alipuka, amtaja mtoto wa Malecela, amuangukia Samia

MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Doreen apokea watoto 3 wa Mrema wa nje ya ndoa

  MJANE wa Marehemu Agustino Mrema amesema hadi sasa ameshapokea watoto watatu wa nje ya ndoa wa mume wake ambao walikuwa hawajapokewa na...

Habari za Siasa

Makosa ya jinai, ajali za barabarani zaongezeka

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillius Wambura amesema takwimu zinaonesha makosa ya jinai pamoja na  ajali za barabara zimeongezeka katika kipindi...

Habari Mchanganyiko

Tume haki za Binadamu Pakistan yapinga sheria mpya ya ndoa

TUME ya Haki za Kibinadamu nchini Pakistani (HRCP) imepinga hatua ya serikali nchini humo ya kuingiza tamko la imani ya Kiislam katika fomu...

Kimataifa

Mahakama yaiamuru IEBC imruhusu Odinga kuona matokeo ya uchaguzi

MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022, imeamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumpa mgombea urais wa Muungano...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza polisi kuimarisha TEHAMA kudhibiti uhalifu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi nchini kujikita katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa lengo la...

Habari za Siasa

Masauni: Vijana wanalipwa kuichafua serikali mitandaoni

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi kuboresha kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliani...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo kumjadili mgombea EALA, uchaguzi mkuu

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kufanya kikao cha Halmashauri Kuu tarehe 4 Septemba mwaka huu ambapo pamoja na mambo mengine kitaidhinisha jina la...

KimataifaTangulizi

Masuala tisa yatakayoamuliwa na Mahakama ya Juu kuhusu kesi ya uchaguzi Kenya

  MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022 imeanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika...

Kimataifa

Mabishano yaibuka Mahakama Kuu IEBC kuchelewa kuwasilisha kiapo

  JAJI Mkuu wa Kenya, Martha Koome leo mchana ameahirisha kesi ya kupinga matokeo ya urais nchini humo baada ya kuibuka mabishano ya...

Habari Mchanganyiko

GGML watoa magodoro 50 kwa Kituo cha Wazee Bukumbi

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kuwajali na kuboresha maisha ya wazee nchini, Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu Geita (GGML) imetoa msaada...

Michezo

Azam FC wambadilishia majukumu kocha wao

  MATAJIRI wa jiji la Dar es Salaam – Azam FC leo tarehe 29 Agosti, 2022 wamethibitisha kumbadilishia majukumu kocha wao mkuu, Abdihamid...

Habari Mchanganyiko

Huu hapa mchakato wa uteuzi wa majaji nchini

  JAJI mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema mitandao ya kijamii haitoi taarifa sahihi kuhusu namna au utaratibu ambao wanautumia kupata majaji...

Habari Mchanganyiko

Kurekebisha tabia, haki za wafungwa kipaumbele magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amesema upo umuhimu wa kutenganisha shughuli za msingi za magereza na zile shughuli za...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua majaji 52 ndani ya miezi 15

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema ndani ya miezi 15 mahakama imepata ongezeko la majaji 52, tisa wakiwa wa Mahakama ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wakwaa kisiki mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Mkoa...

Habari Mchanganyiko

NMB kushiriki Tamasha la Kizimkazi

BENKI ya NMB ni miongoni mwa taasisi zilishiriki uzinduzi wa Tamasha Kubwa la Kizimkazi, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kimataifa

Jengo la chama cha Kenyatta kupigwa mnada

  JENGO la makao makuu ya chama cha Jubilee lililopo katika mtaa wa Pangani, kaunti ya Nairobi nchini Kenya linatarajiwa kupigwa mnada Septemba...

Habari Mchanganyiko

Mongella apongeza UNDP  kufadhili mradi wa uhifadhi

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili ambao  utatekelezwa na Shirika la...

Habari za SiasaTangulizi

Simbachawene aingilia kati mgogoro NCCR-Mageuzi

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene, ameitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kushughulikia mgogoro...

Habari Mchanganyiko

NMB yaufadhili mfumo wa Diaspora

BENKI ya NMB na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wamesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ambapo NMB itafadhili Matengenezo...

Habari Mchanganyiko

Mikoa 5 Bara, Visiwani kupigwa msasa kujikinga na UVIKO-19

MASHIRIKA mbalimbali ya maendeleo ya kimataifa yameungana kuendesha mafunzo maalumu juu ya matumizi bora ya vyombo vya habari kuhamasisha umma wa Watanzania kujikinga...

Michezo

Samia awapongeza Simba Queen kutwaa CECAFA

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Soka ya Simba Qeens SC kwa kutwaa ubingwa wa Afrika Mashariki wa CECAFA 2022 kwa Wanawake...

Kimataifa

Waziri Mkuu akutwa na Uviko-19, awekwa karantini

  WAZIRI Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amepimwa na kukutwa na maambukizi Covid-19 wakati akiwasili nchini Tunisia kushiriki mkutano wa nane wa Kimataifa...

Habari Mchanganyiko

Makongoro ataka ‘macho’ Mirerani, Biteko amjibu

MKUU wa mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere ameitaka Serikali kurejesha watu maalumu wa kufuatilia mienendo ya mauzo ya madini ya Tanzanite maarufu kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kavishe bilionea mpya wa Tanzanite- Mirerani

  MJI mdogo wa Mirerani uliopo katika wilaya Simanjiro mkoani Manyara umeongeza bilione mpya wa madini ya Tanzanite baada ya mchimbaji mdogo Anselim...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mjane wa Mrema aonja joto ya jiwe

MKE wa marehemu Augustine Mrema, mwanasisasa mashuhuri nchini aliyefariki dunia 21 Agosti na kuzikwa juzi Alahmisi, Doreen Kimbi Mrema, ameanza kuonja joto ya...

Habari za Siasa

TARURA yashauriwa kuacha ujenzi wa barabara za uzito wa tani 10

  WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kuachana na ujenzi wa barabara za kiwango cha lami zenye uwezo wa kubeba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa

TAARIFA zilizotufikia hivi punde Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limemkamata aliyekuwa Meneja wa TRC mkoa wa Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mawakili wabishana Mdee wenzake kuhojiwa, uamuzi Septemba 2

  MAWAKILI wa upande wa waleta maombi wamepinga upande wa washtakiwa (Chadema), kuwahoji Halima Mdee na wenzake saba ambao waliitwa mahakamani leo kwaajili...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yabadilisha namba za malipo ya ankara

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imetangaza kuanza rasmi kutumia mfumo wa malipo ya Serikali kuanzia malipo...

Kimataifa

FATF kuipima tena Pakistani kwenye ugaidi, utakatishaji fedha

  SHIRIKISHO la Kimataifa la kufuatilia utakatishaji fedha haramu na Ugaidi (FATF) linarajia kufika nchini Pakistani Mwezi ujao ili kuhakikisha kuwa nchi hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wafika mahakamani, kesi yaanza kunguruma

  KWA mara ya kwanza Halima Mdee na wenzake sita, ambao ni Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chadema, wamefika mahakamani kuitika...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateua Mkurugezi STAMICO, wenyeviti 8 wa bodi

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti nane wa Bodi za Mazao na Taasisi zinazosimamiwa na Wizara ya Kilimo pamoja na Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Mazishi ya Mrema, familia yaaswa, aibu kugombana

  MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti wa TLP, Agustino Mrema umezikwa jana kijijini kwake Kiraracha- Marangu mkoani Kilimanjaro huku viongozi wa dini na wanasiasa...

Habari MchanganyikoTangulizi

TWAWEZA: Tozo imewagawa wananchi

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wampa tano Samia uboreshaji huduma za kijamii

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari Mchanganyiko

Utafiti Twaweza: Uchumi tatizo kubwa linalosumbua kaya

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari za Siasa

Nyumba ya James Mapalala yabomolewa kwa amri ya mahakama

  NYUMBA ya mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, marehemu James Mapalala imebomelewa kwa amri ya mahakama baada ya Mahakama Kuu Tanzania kutupilia mbali kesi...

Habari Mchanganyiko

JKT yafungua dirisha la maombi ya mafunzo kwa vijana

  JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limefungua dirisha la maombi kwa vijana wa Kitanzania kujitolea kujiunga na mafunzo ya Jeshi hilo kuanza mchakato...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mdee na wenzake rasmi kesho, Kibatala ajipanga kuwahoji

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kuanza kusikiliza rasmi shauri la kupinga kuvuliwa uanachama la Halima Mdee na wenzake 18...

error: Content is protected !!