Tuesday , 19 March 2024
Home idrissa

+255 774 226248

71 Articles0 Comments
Habari Mchanganyiko

Mfuko wa SELF ngazi ya ‘kubadilisha maisha’

  MFUKO wa Self unaoendeshwa na Serikali, unakusudia kupanua wigo wa utoaji ukilenga kutimiza idadi ya matawi 20 nchi nzima, hatua inayotokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi amgusa Simai, “atakayejiuzulu aseme ukweli”

RAIS Dk. Hussein Mwinyi ameapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni huku akiasa kwa anayeamua kujiuzulu “aseme ukweli.” Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar…(endelea). “Kujiuzulu si...

Habari Mchanganyiko

Mkandarasi afurahia kufanya kazi Zanzibar

  MKANDARASI wa CCECC kutoka China amesema wanafurahia kufanya kazi na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na kuridhishwa na namna walivyopokewa na wananchi...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo walinda kiti Mtambwe

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimelinda kiti cha uwakilishi jimboni Mtambwe lakini kimelalamikia mbinu chafu za makada wa Chama Cha Mapinduzi zilizolenga kulazimisha...

Habari za SiasaTangulizi

Makamu Othman: Hatutaki uongozi fisadi, wa uongo

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema uchaguzi mdogo wa uwakilishi jimboni Mtambwe, unaooigwa kesho, ni alama...

Habari za SiasaTangulizi

SMZ yasalimu amri, yashusha viwango vya malipo Bandari ya Malindi

  SERIKALI imerudisha viwango vya malipo ya uingizaji mizigo kupitia Bandari Kuu ya Malindi, mjini hapa, baada ya “kishindo kikubwa” cha malalamiko ya...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Zanzibar inahitaji sheria kumaliza udhalilishaji na ukatili wa kijinsia

  DAKTARI Sikujua Omar Hamdan anaamini Zanzibar inahitaji “sheria za pamoja” za kushughulikia tatizo linalokua la udhalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wazanzibari waoneshwa ya 2035

CHAMA cha ACT Wazalendo kimebuni utaratibu mpya wa kujisogeza kwa umma mapema hata kuliko kawaida ya uendeshaji siasa nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Habari za kuiwajibisha Serikali nadra – Utafiti

  KIWANGO cha uandishi unaochagiza uwajibikaji nchini Tanzania kinapanda taratibu mno huku magazeti yakijitutumua kwenye eneo la kuwapa haki ya kusema wale wanaotuhumiwa....

Habari za Siasa

Msilalamike, tunadhibiti uhalifu – Mwinyi

  MALALAMIKO yaliyojaa mitaani yakihusu mfumo wa kukabiliana na kukua kwa kiwango cha uhalifu Zanzibar hayajamsukuma Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi...

Habari za SiasaTangulizi

Maridhiano ndo chachu ya uchumi Zbar – Mwinyi

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema jukumu muhimu la kuipatia nchi uchumi mzuri, halitafanikiwa iwapo hakuna amani na utulivu katika...

Habari za Siasa

Ado Shaibu: Tandahimba imesahaulika japo…

SERIKALI imekumbushwa wajibu wa kikatiba wa kurahisisha na kuharakisha maendeleo ya wananchi kwa kuwajengea miundombinu imara bila ya kuchelewa. Anaripoti Jabir Idrissa, Tandahimba …...

Habari Mchanganyiko

Maji chini ya ardhi ndio tegemeo – Mwinyi

  WAKATI mataifa kadhaa yanatumia raslimalifedha kubadilisha maji ya chumvi ili kupata maji ya matumizi ya nyumbani, Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali...

Habari Mchanganyiko

Sheria mpya ya habari Z’bar inakuja’

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sheria mpya ya masuala ya habari ya Zanzibar inaandaliwa....

Habari za Siasa

Hakuna mwizi atakayeachiwa – Rais Mwinyi

  HAKUNA mtuhumiwa hata mmoja wa rushwa au ubadhirifu wa fedha za serikali atakayeachiwa ikithibitika ushahidi upo, anasema Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein...

Habari Mchanganyiko

Kamishna Makarani wa ZAECA ajiuzulu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA), Ahmed Khamis Makarani amejiuzulu. Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar … (endelea)....

Habari za Siasa

CCM yataka hatua Z’bar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa msimamo madhubuti dhidi ya mwenendo wa ufisadi ndani ya Serikali ya Zanzibar na kutaka hatua za kisheria zichukuliwe...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaiasa Z’bar

MAREKANI imeipa nasaha Zanzibar kuendeleza moyo wa maridhiano ya kisiasa kwa kuamini kuwa ni fursa nzuri ya kuimarisha umoja na mshikamano ambao ni...

Habari za Siasa

‘Mbunge’ Mtambile aaga dunia

KIONGOZI Mwandamizi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa muda mrefu wa Mtambile, Masoud Abdalla Salim amefariki dunia leo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Tutaendelea kuhoji – Jussa

  KAIMU Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa Ladhu amesema mjadala kuhusu kasoro za kiutendaji katika utekelezaji miradi ya maendeleo hautasimama...

Habari Mchanganyiko

Jaji Imani awapa ujumbe waandishi wa habari

  RAIS wa Mahakama ya Haki za Kibinaadamu na Watu ya Afrika, Jaji Imani Daudi Aboud amehimiza vyombo vya habari vya Tanzania kuchukua...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awazungumzia wanaopinga miradi anayotekeleza

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi anaamini watu wanaohoji na kupinga miradi inayoanza kutekelezwa hapa Zanzibar ni wapinzani wake. Anaripoti Jabir...

Habari za Siasa

Mgombea uenyekiti ACT-Wazalendo aweka masharti kukubali matokeo

  HAMAD Masoud Hamad, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo amesema, iwapo uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho utakuwa huru...

Habari za Siasa

Z’bar na taswira ya kifo cha Mzee Bindu

MZEE Ameir Ameir bin Soud, Mzanzibari kindakindaki, mjuzi mkubwa wa historia ya Zanzibar inayohusisha nyanja ya siasa, utamaduni, kilimo na ustawi wa jamii...

Habari za Siasa

Maalim Seif awaangukia Watanzania

MAALIM Seif Shariff Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewasihi Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na...

Makala & Uchambuzi

Maalim Seif jabali kuu ACT-Wazalendo 

HAIKUWA rahisi hivyo kwa wafuasi wa mwanasiasa gwiji nchini na mtetezi mkuu wa Zanzibar yenye mamlaka kamili, Maalim Seif Shariff Hamad, kuamini kuwa...

Makala & Uchambuzi

Tendai kama Lwaitama wapamba ACT-Wazalendo

KUJA kwa kiongozi wa upinzani wa Zimbabwe na mwingine kutoka Afrika Kusini kushuhudiwa akihutubia kwa njia ya video kwenye jukwaa la kielektroniki, kulichangia...

Habari za Siasa

Nondo: Maumivu ya Chadema tunayahisi ACT–Wazalendo 

CHAMA cha ACT – Wazalendo kitaendelea kupigania umoja na mshikamano ndani na nje ya chama kwa lengo la kuunga mkono mikakati ya kuirudisha...

Habari za Siasa

Polepole aondoka Z’bar kichwa chini

ZANZIBAR ni ngumu. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuondoka patupu visiwani humo. Anaripoti Jabir Idrissa,...

Habari za Siasa

Maalim atilia neno kitambulisho cha Mzanzibari

MAALIM Seif Shariff Hamad amepokea kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi huku akitoa neno kwamba “wala hakuna sababu ya msingi ya kutolewa kitambulisho kipya.” Anaripoti...

Habari za Siasa

Mtego anaoundiwa Maalim Seif Z’bar wavuja

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), visiwani Zanzibar kinahaha namna ya kumzima Maalim Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Jabir Idrissa,...

Habari za Siasa

Duni: Ningali na nguvu, salam zao CCM

BABU Juma Duni Haji, mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti akitarajia kuwa mmoja wa viongozi wa...

Habari za Siasa

Maalim Seif agombea uenyekiti ACT-Wazalendo

MAALIM Seif Sharif Hamad, mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho. Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Babu Duni: Dhamira yetu Z’bar haijatimia, hatuchoki

JUMA Duni Haji, mwanasiasa mkongo wa upinzani visiwani Zanzibar amesema, dhamira ya ‘kuwanusuru’ Wazanzibari haijatimia na hawatachoka. Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea). Ametoa kauli...

Habari za Siasa

Maalim Seif awatia ‘ndimu’ Wazanzibari

MAALIM Seif Shariff Hamad, anaendelea kukaza ‘msuli’ dhamira yake ya kuichomoa Zanzibar katika mikono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea). Mwansiasa...

Makala & Uchambuzi

Z’bar itafakari kauli ya Polepole

TANGU Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole afanye ziara ya kikazi Zanzibar mwaka jana, akili za wanachama...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif, Mzee Moyo, wakinukisha Zanzibar

MAKAMU wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, amemtuhumu Dk. Ali Mohamed Shein, rais wa sasa wa Zanzibar, kuwa anavivuruga visiwa...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Wamepanga kunikamata 

MAALIM Seif Shariff Hamad, mwanachama namba moja wa Chama cha ACT-Wazalendo amedai kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Jeshi la Polisi wamepanga kumkamata...

Makala & Uchambuzi

Spika Ndugai ajuaje moyo wa Rais?

UNAPOTAFAKARI kauli zinazotolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri kuhusu sakata lake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Msajili wa Vyama afute ACT-Wazalendo

KISHINDO cha Maalim Seif Shariff Hamad kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo tayari kimeyumbisha chama chake cha awali, Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Jabir Idrissa …...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: 2020 tunachukua Z’bar

HARAKATI za kutambulisha na kuimarisha Chama cha ACT-Wazalendo visiwani Zanzibar zinashika kasi ambapo sasa kinadai kitashinda nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa...

Makala & UchambuziTangulizi

“Haki inayocheleweshwa ni haki inayonyimwa.”

NI wachache kati ya wananchi wanaokuwa kwenye ukumbi wa mahakama huendelea kutarajia kusikia hukumu ya kesi wanayoifuatilia baada ya kumuona asiyekuwa jaji msikilizaji...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama kuhitimisha safari ya Prof. Lipumba kisiasa?

KESHO tarehe 22 Februari 2019, Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, anaweza kuhitimisha...

Habari za SiasaTangulizi

Hakuna serikali moja – Dk. Shein

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amekana kuwepo mpango wa kuupeleka Muungano wa Tanzania kuwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Haihitajiki ‘damu mpya’ kuijenga Z’bar

WAZANZIBARI wanaoamini katika utawala mwema unaojali haki, ushirikishwaji na utu, wameshiriki kwa mara nyengine tukio la kukumbuka mauaji ya wananchi wenzao yaliyotokea miaka...

Makala & Uchambuzi

Z’bar itarejea asili yake?

HIVI ninavyojadili haja ya kuiona Zanzibar inarudia asili yake ya kuwa nchi yenye wastaarabu na iliyopiga hatua kubwa ya maendeleo ya kiuchumi, kunatokea...

Makala & UchambuziTangulizi

Urais Zanzibar si rahisi (3)

ZANZIBAR katika maisha yake, imepigwa mapigo ya aina kwa aina. Imepigwa kwenye pande zote za kimaendeleo; pembe zote – Kaskazini, Kusini, Mashariki na...

Makala & Uchambuzi

Urais Zanzibar si rahisi (2)  

NDANI ya Baraza la Wawakilishi lililoanza mkutano wake wa kujadili na ikibidi kuidhinisha bajeti ya serikali ya mwaka mpya wa fedha unaoanza mwezi...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali Z’bar yafuta kongamano la maridhiano

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imefuta kongamano la kimataifa la kujadili mustakbali wa maridhiano Zanzibar lililokuwa lifanyike kesho. Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar … (endelea)....

Makala & UchambuziTangulizi

Shetani ameweka kambi Z’bar?

NINAZIONA jitihada za nguvu na waziwazi za uongozi wa serikalini kuwasukumia wafanyakazi wa Shirika la Meli Zanzibar lawama na shutuma kuhusu kulala kwa...

error: Content is protected !!