Sunday , 28 April 2024

Month: April 2018

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mawio yamponza Mwendesha Mashtaka

KWA mara nyingine Mahakama imehoji sababu ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoa kauli nyepesi za kushawishi kutoendelea kwa kesi ya tuhuma za uchochezi...

Habari za Siasa

Mabalozi nao kuhamishiwa Dodoma

JUMLA ya Mabalozi 63 wameshakabidhiwa maeneo ya kujenga ofisi zao Katika Jiji la Dodoma lakini Ubalozi wa Zambia tayari umeshaanza mchakato huo kwa...

Habari za Siasa

Serikali yapiga stop kuagiza mita za luku

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema kuanzia Julai mwaka huu, serikali itasitisha uagizaji wa mita za luku ya umeme kutoka nje ya...

MichezoTangulizi

Hans Poppe aongezwa kwenye kesi ya Aveva, Kaburu

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameongezwa katika kesi ya tuhuma za kughushi nyaraka na kujipatia fedha inayowakabili Rais...

Habari Mchanganyiko

Wahitimu SUA waomba fedha kununulia vifaa

SERIKALI imeombwa kuweka utaratibu wa upatikanaji wa fedha za kununua visanduku vya tiba kwa wanyama na kuweza kumkabidhi kila wanafunzi ili wanafunzi wanaomaliza...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi watakiwa kupeleka vilio vyao Mei Mosi

WAFANYAKAZI nchini wametakiwa kuendelea kuhamasika kujitokeza kwa wingi wakati wa maandamano kwenye siku ya maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ili...

Habari Mchanganyiko

Nondo apewa tuzo kwa kuwatetea vijana

MWENYEKITI wa Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo amepata tuzo kama mtetezi kijana chipukizi wa haki za binadamu (wanafunzi) Tanzania, tuzo aliyopewa...

Habari za SiasaTangulizi

Meya wa Chadema aliyejiuzuru Iringa, avuliwa uanachama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Iringa kimemvua uanachama Dady Igogo aliyekuwa diwani wa Kata ya Gangilonga na Naibu Meya wa...

Habari Mchanganyiko

Makao Makuu ya Mahakama Dodoma yaiva

JAJI Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amezindua zoezi la upandaji miti katika kiwanja ambacho itajengwa Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania mkoani...

Habari za Siasa

Waliokula Bil 1.5 kukiona cha moto

RAIS John Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinawachukulia hatua kali watu wote waliohusika katika kufanya ubadhilifu wa zaidi ya Sh....

Habari za SiasaTangulizi

Mdogo wa Heche adaiwa kuuwawa mikononi mwa Polisi

MDOGO wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche aitwaye Chacha Heche Suguta, adaiwa kuuwawa akiwa chini ya Jeshi la Polisi baada ya kukutwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Lema yafutwa, akamatwa tena

JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli atangaza Dodoma kuwa jiji

RAIS John Magufuli jana katika sherehe za Muungano, ametumia sherehe hizo kutangaza Dodoma kuwa jiji badala ya kuwa Manispaa na kumtangaza aliyekuwa Mkurugenzi...

Habari za SiasaMichezoTangulizi

Ujumbe mzito wa kifo cha Masogange

JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF ameandika ujumbe mzito wenye kufikirisha wengi juu ya msiba wa Agnes Gerrald “Masogange.’ Mtatiro...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wadogo wapigiwa debe kuhudhuria 88

MKUU wa Idara ya mazao ya Utafiti wa kilimo Kanda ya Mashariki, Salvatory Kundi ameiomba Serikali kutafuta njia mbadala ya kuwawezesha wakulima wadogo...

Habari za SiasaTangulizi

Joseph Selasini aanza kusakamwa

MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Rombo, Joseph Selasini, naye ameanza kuonja “machungu ya utawala wa Rais John Magufuli.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wadau, wawekezaji watakiwa kutoilalamikia Serikali

SERIKALI imewataka wawekezadi na wadau mbalimbali kuachana na tabia ya kulalamika serikali na badala yake watoe ushauri kwa serikali ni jinsi gani ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT, CCM wameendelea kuparuana juu ya ripoti ya CAG

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kuwa uchambuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kimepotosha...

Habari Mchanganyiko

TCAA watakiwa kufuata kanuni za kazi

SERIKALI aimeitaka Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na sheria za nchi katika utendaji wake wa kazi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

ATCL watakiwa kubadilika

WATUMISHI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) wamewashauriwa kuchukua hatua ya kubadilika kuendana na mabadiliko yaliyopo katika usafiri wa ndege kwa sasa ili...

Habari za SiasaTangulizi

Waliotekwa Pemba wapatikana, waelezea kilichowakuta

VIJANA sita wa kijiji cha Mtambwe Mtambuuni, wilayani Wete Pemba, waliokuwa wametekwa mapema mwezi huu na watu wanaodhaniwa ni wa dola, wamepatikana. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wamtelekeza Mzee Makamba

JANUARY Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira ametoa madai mazito kwa chama chake, kuwa Chama cha Mapinduzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa Chadema ang’ang’aniwa Polisi

MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya (Chadema) ameshikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Central) kwa madai amebakishwa kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kupasuliwa kwa mara nyingine

TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), muda huu atafanyiwa upasuaji mwingine katika mguu wake wa kulia, ikiwa ni mara ya 20 tangu alipoanza kutibiwa...

Michezo

Wanamichezo Jumuiya ya Madola ‘wazamia’

WANAMICHEZO nane wa Cameroon hawaonekani katika makazi yao katika michezo ya Jumuiya madola nchini Australia, maafisa wa timu hiyo wamethibitisha. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Mch. Msigwa aweka rehani ubunge wake kisa Makonda

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema yupo tayari kujiuzuru ubunge wake kama itathibitika kuwa amemtelekeza mtoto kwa mwanamke mmoja jijini Dar...

Habari za Siasa

Mbunge wa CCM aikaba serikali

MBUNGE wa Chemba, Juma Nkamia (CCM) ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itaana ujenzi wa kituo cha polisi na nyumba za askari....

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wa ng’ombe watishia kugoma

WAFANYABISHARA wa mifugo wanaopeleka katika machinjio ya kisasa ya Kizota mkoani Dodoma wametishia kuacha biashara hiyo baada ya kuibuka kwa faini kubwa mbalimbali...

AfyaTangulizi

Vifaa tiba visivyofaa vyakamatwa mitaani

SERIKALI imesema kuwa imefanikiwa kukamata vifaa mbalimbali ambavyo ni dawa na vifaa tiba ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu, katika vituo vya tiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mch. Msigwa ayamwaga bungeni aliyoyaona Segerea

MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema) amedai Tanzania kwa sasa kuna msongamano mkubwa wa wafungwa ambapo amehoji Serikali inachukua hatua gani kupunguza...

Tangulizi

Mfungwa mmoja kutumia laki moja kwa siku

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema gharama za chakula kwa mfungwa mmoja kwa siku ni wastani wa shilingi 1,342. Anaripoti Dany...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema amvaa waziri wa mifugo

MBUNGE wa Tarime Mjini, Ester Matiko (Chadema) amehoji serikali ni kwanini Mnada wa Magena umefungwa licha ya kuwa na miundombinu yote. Anaripoti Dany...

ElimuTangulizi

Wanachuo waaswa kutotegemea kuajiriwa na Serikali

VIJANA wengi wanaomaliza elimu ya juu wanatakiwa kuachana na fikra za kutaka kuajiriwa na serikali na badala yake wafikirie kutumia elimu yao kwa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa, Mohamed Maje kuanzia leo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Wambura ashindwa rufaa, sasa kuburuzwa mahakamani

KAMATI ya Rufaa za Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetupilia mbali rufaa ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa TFF, Michael...

Elimu

Shule, Vyuo binafsi walalamikiwa rushwa ya ngono

SERIKALI imesema kuwa baadhi ya Mameneja, Wakurugenzi pamoja na wamiliki wa shule binafsi na vyuo wanalalamikiwa kwa vitendo vya rushwa ya ngono hasa...

Habari za SiasaTangulizi

Shonza aitwa mahakamani kesho

MAHAKAMA ya Hakim Mkazi mkoani Dodoma imemuagiza naibu waziri wa utamaduni, Sanaa na michezo, Juliana Shonza, kufika mahakamani kwa “hiari kesho” Ijumaa, vinginevyo...

Habari za Siasa

Serikali watilia shaka uraia wa Abdul Nondo

MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameitwa Makao Makuu ya Uhamiaji kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu uraia wake. Anaripoti Faki...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Abbasi: Waandishi msiogope, kosoeni serikali

DAKTARI Hassan Abbasi, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari, MAELEZO amewataka waandishi wa habari nchini kufanya kazi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake wakamilisha dhamana, waachiwa huru

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wenzake sita akiwemo Halima Mdee, Mbunge wa Kawe aliyeunganishwa katika kesi hiyo leo, wamekamilisha masharti ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Tume huru itasaidia kuepusha uhasama, visasi baada ya uchaguzi

MJADALA juu ya umuhimu wa katiba mpya na “tume huru ya uchaguzi nchini,” bado ungali mbichi. Anaandika Saed Kubenea … (endelea). Ubichi huu unatokana...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wamshikilia Halima Mdee na ugonjwa wake

JESHI la Polisi limemkamata Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na kuendelea kumshikiria hadi sasa pamoja na kuwa mgonjwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

error: Content is protected !!