JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi kuota. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili Lema kutokana na ndoto alizoota miaka miwili iliyopita, ilifutwa lakini muda mchache baadaye polisi walimkamata tena na kumfungulia kesi upya kwa mashtaka yale yale.
Kesi hii ni mwendelezo wa kesi iliyokua ikimkabili Lema na ambayo ilimsotesha mahabusu (Magereza) kwa zaidi ya miezi mnne mwaka juzi kabla ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwaka jana.
Leave a comment