Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya Lema yafutwa, akamatwa tena
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Lema yafutwa, akamatwa tena

Spread the love

JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi kuota. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili Lema kutokana na ndoto alizoota miaka miwili iliyopita, ilifutwa lakini muda mchache baadaye polisi walimkamata tena na kumfungulia kesi upya kwa mashtaka yale yale.

Kesi hii ni mwendelezo wa kesi iliyokua ikimkabili Lema na ambayo ilimsotesha mahabusu (Magereza) kwa zaidi ya miezi mnne mwaka juzi kabla ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwaka jana.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!