Tuesday , 30 April 2024

Month: November 2021

Habari

Wakulima watakiwa kuchangamkia Kampeni ya ‘Vuna Zaidi Na NBC Shambani’

  Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali wenye nia thabiti na mipango inayolenga kuwasaidia...

Michezo

Yanga yaipiga Mbeya Kwanza, yaisubiri Simba

  TIMU ya Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2021/22, kwa kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo: Umewakosea wenye ulemavu, omba toba

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kithuleri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo ametoa wito kwa wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Pingamizi la Serikali latupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhumuku Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imetupilia mbali pingamizi la jamhuri la...

Habari Mchanganyiko

JWTZ watangaza kiama kwa matapeli ajira jeshini

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio...

Burudika

Nabii mrembo, bilionea Lucy Natasha achumbiwa na Nabii wa Kihindi

  “Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamuona mpendwa wa nafsi yangu, nikamshika, nisimuache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mama yangu, chumbani mwake aliyenizaa.”...

Michezo

Ronaldo awatolea uvivu waandaji tuzo Ballon d’Or

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo amemjia juu muandaaji wa tuzo ya Ballor d’Or Pascar Ferre ambaye pia ni mhariri...

Habari Mchanganyiko

GGML wamwaga milioni 50 kuelekea Siku ya UKIMWI duniani

  Katika hafla ya hisani iliyofanyika jijini Mbeya chini ya uongozi wa Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson kuelekea siku ya Ukimwi...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe; Jamhuri yapinga nyaraka za utetezi zisipokelewe na mahakama

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi imayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamepinga upokeaji wa nyaraka za upande wa...

MichezoTangulizi

Messi awabwaga, Lewandowski, Salah tuzo Ballon d’Or

  MSHAMBULIAJI wa Psg na timu ya Taifa ya Argentina Lionel Messi, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya  mchezaji bora...

Michezo

Aucho arejea, Yanga dimbani leo dhidi ya Mbeya kwanza

  KLABU ya soka ya Yanga, hii leo itashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza huku kiungo...

Habari za Siasa

Wizara ya ulinzi yajipanga kumaliza migogoro ya ardhi, kulipa fidia

  WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa amesema ipo katika mchakato wa kupima maeneo 96 ili kutatua migogoro ya ardhi iliyopo...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wawaongoza wanaume Chou cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Z’bar

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema, shabaha ya chuo hicho ni kutoa elimu...

Tangulizi

Wazee wa kichaga wamtaka Mbunge kufuta kauli

BAADHI ya wazee wa kabila la Wachagga wamelaani kauli ya Mbunge wa jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei aliyoitoa hivi karibuni Bungeni ya...

Habari za Siasa

Kada wa Chadema aibua mapya kesi ya Mbowe wenzake

  LEMBRUS Mchome, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) mkoani Kilimanjaro, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za Siasa

Shule ya Museveni kusajili wanafunzi 630, Serikali kujenga mabweni, barabara

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika kutimiza malengo ya Hayati Rais Dk. John Magufuli, Serikali itajenga mabweni, kuongeza nyumba za walimu, barabara na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awatoa hofu wanaohoji uamuzi wa kuwarejesha shule waliopata ujauzito

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeamua kuwarejesha shule watoto wote walioacha shule kwa sababu mbalimbali kama vile, utoro, sababu za kisheria...

Michezo

Rangnick mwalimu wa Klopp, Tuchel ashushwa Manchester United

  KLABU ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa kocha mkuu wa muda wa klabu hiyo mara baada ya kumtimua Ole gunnar solskjaer...

Tangulizi

Kesi ya Makonda: Serikali, Mahakama mtegoni

  HATUA ya kufunguliwa kesi mahakamani, kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda na mtu binafsi, kumeelezwa...

Habari Mchanganyiko

Huawei yatoa vifaa vya maabara ya TEHAMA kwa Chuo Kikuu Dodoma

 Kampuni ya Huawei Technologies Tanzania imetoa msaada wa maabara ya TEHAMA kwa Chuo Kikuu cha Dodoma ikiwa na nia ya kuibua mawazo ya...

Habari Mchanganyiko

Madalali nyumba za NHC watumiwa salamu

  NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Tanzania, Angeline Mabula ameagiza watu wote wanaoishi nyumba za Shirika la Nyumba...

Tangulizi

Kina Mbowe wakwaa kisiki tena

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea barua ya utetezi katika kesi ndogo...

Tangulizi

Rais Samia atua Chato, kumpokea Mseven

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewasili saa 3 asubuhi ya leo...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga 3-0 Red Arrows, Morrison usipime

  TIMU ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katikap Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini...

Habari za Siasa

Rais Samia akumbushia kuku walivyochomwa mipakani, awaweka mtegoni mawaziri

  Rais Samia Suluhu Hassani amesema amekubaliana na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwamba mawaziri wa kisekta kutoka pande zote mbili wakutane haraka...

Habari za Siasa

Tanzania kupeleka gesi Uganda

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amesema Serikali ya Tanzania ameanza mazungumzo ya awali na Serikali ya Uganda kutekeleza mpango wa kupeleka gesi...

Habari Mchanganyiko

Balaa! Samaki aua sita Zanzibar, walimvua na kumla kwa siri

  JUMLA ya watu sita wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 11 wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Micheweni baada ya...

Habari Mchanganyiko

Benki za Tanzania zaahidi kuongeza ukopeshaji

  LICHA ya janga la corona kuathirika ukopeshaji, Benki nchini Tanzania, zimeahidi kuongeza mikopo kwa ajili ya sekta binafsi kufuatia kuimarika kwa uchumi...

Elimu

NBC yatoa mifuko 920 ya saruji, madawati 100 kuboresha elimu Mara, Mtwara

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa msaada wa mifuko ya saruji 920 (sawa na tani 46) yenye thamani ya sh milioni...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uganda zakubaliana mambo saba, ‘Bomba la mafuta chakula kipo mezani’

  SERIKALI za Tanzania na Uganda zimekubaliana mambo saba katika nyanja mbalimbali kwa lengo la kuimarisha uhusiano pamoja na ushirikiano wa nchi hizo...

Kimataifa

Kisa machinga kuuza senene ndani ya ndege, waziri awatimua wafanyakazi

WAZIRI wa Ujenzi na Usafirishaji nchini Uganda, Jenerali Edward Wamala ameagiza kusimamishwa kazi wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Uganda baada ya video...

Habari Mchanganyiko

Majaji, Hakimu Zanzibar wapewa kibarua

  MAJAJI wa Mahakama Kuu Zanzibar na mahakimu visiwani humo, wameombwa kuwa mstari wa mbele katika kudhibiti vitendo vya ukiukwaji wa haki za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jenerali Mabeyo:Vita ya ugaidi ngumu

  MKUU wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, amewaomba wananchi watoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama katika kukabiliana na...

Afya

Wataalamu watahadharisha wimbi la nne UVIKO-19, wahimiza chanjo

  WATAALAMU wa sekta ya afya nchini, wameitahadharisha jamii juu ya ujio wa wimbi la nne la Ugonjwa wa Korona (Uviko-19), huku wakihimiza...

Afya

Prof. Kakoko: Chanjo UVIKO-19 haisababishi ugumba, upungufu nguvu za kiume

  MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Profesa Deodatus Kakoko, ametoa wito kwa wananchi kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa...

Kimataifa

Kirusi kipya tishio, mataifa yazuia ndege kutoka Kusini mwa Afrika

MATAIFA mbalimbali duniani ikiwemo Ufaransa yameanza kuzuia safari za ndege kutoka mataifa ya Kusini mwa bara la Afrika, baada ya aina mpya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda aburuzwa mahakamani, kesi Desemba 3

  HATIMAYE Paulo Christian Makonda,  ameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya jinai yanayomkabili.  Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Wasira awapa mbinu wahitimu Chuo cha Mwalimu Nyerere

  MWENYEKITI wa bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania, Stephen Wasira amewataka wahitimu wa chuo hicho kuangalia fursa zitakazowasaidia katika maisha...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Hatima pingamizi la Serikali J3

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa pingamizi la Jamhuri...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wamtega Jaji Tiganga

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ba wenzake, wameiomba Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Michezo

Hamisa Mabetto, Rick Ross wajiachia Dubai

  MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza amekutana na mwanamuziki wa Kimataifa kutoka Marekani, Rick Ross huko Dubai. Anaripoti Matilda...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wa KKKT Shoo, Malasusa wafikishwa kortini

  VIONGOZI wawili wa madhehebu ya Kikristo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo na Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yazidi kuikomalia barua ya kina Mbowe

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umemaliza kuwasilisha hoja zao za kupinga...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Hatutavumilia ukatili wowote

  WAZIRI Mkuu wa Tanania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendeleza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsi na haitavumilia aina yoyote ya ukatili wa...

Habari za Siasa

Kicheko riba mikopo, BoT wajipanga kushusha, Rais Samia akomaa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amebaini kuwa ukuaji wa sekta binafsi umedorora kwa sababu mikopo haiendi sana kwenye sekta hiyo licha ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa aeleza alivyokamatwa, kuteswa na kubadilishwa jina

  MOHAMED Abdillah Ling’wenya, ambaye ni mshtakiwa wa tatu katika kesi ya ugaidi inayomkabili yeye na wenzake watatu akiwemo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri waweka pingamizi barua ya kina Mbowe isipokelewa

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umeweka pingamizi dhidi ya kupokelewa kwa...

Habari Mchanganyiko

Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’

  BENKI ya Exim imetangaza washindi wa droo ya kwanza ya  kampeni  ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’inayoendeshwa na benki hiyo ikilenga kuhamasisha watanzania kujiwekea...

Michezo

Aisha Mashauzi, Hadija Kopa na Mzee Yusuf kutikisa Dodoma

  WAIMBA taarabu maarufu nchini Tanzania, Aisha Ramadhani maarufu Aisha Mashauzi, Hadija Kopa na Mzee Yusuph watalitikisa Jiji la Dodoma Jumamosi hii tarehe...

Habari Mchanganyiko

RC Dar: Mgawo wa maji utaendelea

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mgawo wa maji jijini humo utaendelea kuwepo mpaka pale mvua zitakapoanza...

error: Content is protected !!