ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini mkoani Lindi, Said Bungara ‘Bwege’, amelazwa katika wodi ya Sewahaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiugua kwa...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021UONGOZI wa klabu ya Simba, umevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza tukio la penalti lilitokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara,...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2021SIKU chache baada ya Msanii wa Bongofleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize au Konde Boy kutema cheche kuhusu mapito na changamoto alizokumbana nazo...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021TAASISI ya Usimamizi wa Dawa nchini Uingereza (NHS) pamoja na mashirika mengine ya msaada imeidhinisha matibabu ya sindano mpya yenye ufanisi wa...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika mwaka 2022 pamoja...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka wasimamizi na wafanyakazi wa mizani nchini kujitafakari kuhusu mienendo yao ya utendaji kazi...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imejipatia ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting....
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021KATIKA kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, Tanzania imefanikiwa kuchimba visima 96 vya mafuta na gesi ambapo visima 44 vimegundulika kuwa na...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021SERIKALI ya Tanzania imewataka waajiri wote nchini humo katika taasisi za umma kuhakikisha watumishi wanaoajiriwa kwenye taasisi zao wanapata mafunzo elekezi kutoka...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021KOCHA mpya wa klabu ya Simba Pablo Franco Martin, leo kwa mara ya kwanza atakiongoza kikosi cha Simba kwenye kibarua chake cha kwanza,...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021WAKATI tukiwa ukingoni kuuhitimisha mwaka huu, Zamaradi Mketema ambaye ni mtangazaji maarufu nchini, atamshusha mchekeshaji bora kutoka Uganda, Anna Kansiime jijini Dar...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021JUMUIYA ya Vijana Chama cha Wananchi (JUVICUF), inajiandaa kuifungulia kesi Serikali ya awamu ya nne nchini Tanzania kwa madai ya kusababishia nchi...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021MJADALA juu ya mgawo wa umeme na uhaba wa maji, umeiweka Serikali ya Tanzania njia panda, baada ya baadhi ya viongozi wake...
By Gabriel MushiNovember 19, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Seleman Jafo kukamilisha andiko...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance wamezindua huduma ya bima maalum ya kilimo...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021WAJUMBE wa Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar (TUZ) wametembelea Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini Dar es Salaam....
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, Watoto na Walemavu kushirikiana na Hospitali ya Kanda ya...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mojawapo ya chanzo cha uhaba wa maji jijini Dar es Salaam ni watu kujenga blocks ‘vizuizi’ kwenye...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021BENKI ya NMB na Kampuni ya Selcom Tanzania wameanzisha ushirikiano wenye lengo la kusaidia kupunguza matumizi ya fedha taslimu nchini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021JOYCE Mbongo, aliyekuwa mkufunzi katika Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) nchini Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...
By Jonas MushiNovember 18, 2021JOACHIM Tiganga, Jaji anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, ameiahirisha hadi Jumatatu, tarehe 22 Novemba...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, atakuwa mgeni rasmi wa kongamano la...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021MAWAKILI wa pande mbili katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanachuana katika pingamizi la utetezi...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021SERIKALI imeikabidhi Halmashauri ya wilaya ya Hanang usimamizi na uangalizi wa muda wa mali zote zilizopo katika shamba la ngano la Basotu...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umepewa ‘diary’ aliyokutwa nayo kizimbani shahidi...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021SIKU chache baada ya wafungwa watatu wa ugaidi nchini Kenya kutoroka katika gereza lenye ulinzi mkali, askari saba waliokuwa wanalinda gereza hilo...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021PINGAMIZI la utetezi dhidi ya kumkataa shahidi wa Jamhuri katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, limetupiliwa mbali...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021JUMLA ya watu sita wameripotiwa kupoteza maisha nchini Uganda na wengine 33 kujeruhiwa vibaya kutokana na milipuko ya bomu iliyotokea leo asubuhi...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria mbalimbali zinazogusa tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Regina MkondeNovember 16, 2021MWANAMKE mmoja raia wa Kenya amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya mumewe waliyetengana naye na kusababisha hasara ya zaidi...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021KLABU ya soka ya Simba inatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka wa wanachama, huku sehemu kubwa ya shughuli hiyo ikiwa imeshakamilika....
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021SAMAKI ni kitoweo pendwa kwa watu wengi duniani, hususani wakazi wa maeneo ya pwani na kando ya mito na maziwa. Lakini kwa...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021KATIKA milipuko miwili ya bomu iliyotokea leo asubuhi katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda, imedaiwa kusababisha majeruhi na vifo vya watu...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021JUMLA ya watu 400 raia wa Misri wamelazwa hospitalini baada ya kung’atwa na nge na kujeruhiwa katika sehemu mbalimbali za miili yao. Pia...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021MATAIFA tisa kutoka Barani Ulaya, yameafanikiwa kufuzu moja kwa moja kwenye michuano ya kombe la Dunia, mara baada ya kumalizika vinara kwenye...
By Kelvin MwaipunguNovember 16, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi iliyopo Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi madogo katika kesi...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021Milipuko miwili imetokea katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda na kujeruhi watu kadhaa ambao idadi yao haijajulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo ameziagiza halmashauri zote kuhimiza uvunaji wa maji ya mvua...
By Danson KaijageNovember 16, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, leo Jumanne, tarehe 16 Novemba 2021, itatoa uamuzo mdogo...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada wa Kisheria (LSF)...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku tatu (sawa na saa 72) kuanzia leo Jumatatu tarehe 15 Novemba 2021, kwa wasimamizi...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dastan Kyobya ameiomba Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuangalia uwezekano wa kuongeza zaidi matawi yake katika...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MSHINDI wa Droo ya Nne ya Msimu wa Pili wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde inayoendeshwa na Benki ya NMB ‘NMB...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MAWAKILI wa utetezi na jamhuri katika kesi ya makosa ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameonesha umwamba wa...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka makamanda wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuijadili changamoto ya ugaidi na kuzidi kuimarisha weledi katika mapambano...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imekubali kupokea barua inayomthibitisha Askari Mpelelezi, Ricardo Msemwa, kuwa...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Hassan amewatakia kheri wanafunzi wa kidato cha nne, walioanza mitihani yao ya Taifa leo Jumatatu tarehe...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021JUMUIYA ya Wanawake ya chama cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (JUKECUF), imekiomba chama kuwafungulia kesi wanachama waliofukuzwa kwa madai ya...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kufikishwa mahakamani, wakati wowote kuanzia sasa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MICHEZO ya kundi J kuwania kufuzu kombe la dunia Qatar 2022, imemalizika kwa timu ya DR Congo kusonga hatua inayofuata huku Taifa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021