Saturday , 25 March 2023
Home jona
30 Articles3 Comments
Habari Mchanganyiko

Asilimia 96 ya Watanzania wamefikiwa na mawasiliano ya simu

MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba, amesema asilimia ya 96 ya Watanzania wamefikiwa na huduma ya mawasiliano ya...

Habari Mchanganyiko

Meli ya MV Mwanza yashushwa majini Ziwa Victoria, itakuwa na ‘disco’, zahanati

MELI ya MV  Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika Ziwa Victoria, imeshuhwa rasmi majini kutoka juu ya chelezo ambamo ilikuwa ikijengwa. Anaripoti Jonas...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu:Suluhu ya ugumu wa maisha ni Katiba Mpya

  MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema amekuja na “dawa” ya kupanda kwa bei za vitu kulikosababisha...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu aagiza watendaji: Anayeanzisha shughuli ya uzalishaji aheshimiwe

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa watendaji wa Serikali kuhakikisha wanawasaidia wale wanaotaka kuanzisha uwekezaji kwani hao...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakanusha uvumi wa Wanyama kusafirishwa Loliondo

  SERIKALI imekanusha taarifa za uwepo wa ndege iliyoingia hifadhini na kusafirisha wanyama na rasilimali ambapo imedai kuwa taarifa zilizosambazwa mitandaoni “ni uzushi...

Habari za Siasa

Mambo 6 kutikisa vikao Kamati za Bunge

MAMBO sita yanatarajiwa kutikisa katika vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitakavyoanza Januari 19 hadi 29...

Habari Mchanganyiko

TFS yaweka mpaka Msitu wa Kuni Morogoro

  WAKALA wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TFS) imeanza zoezi la kuweka mpaka katika Msitu wa Morogoro maarufu Msitu wa Kuni uliopo Wilayani...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi huru na haki ni msingi wa demokrasia: Dk. Jingu

  KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dk. John Jingu, amefunga warsha ya siku nne kwa makamishna na maafisa...

Habari za Siasa

Watanzania wamegawanyika kuhusu Katiba: Kikosi Kazi

TOFAUTI na masuala mengine yaliyofanyiwa kazi na Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi, suala la Katiba limetajwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi: Mikutano ya hadhara iruhusiwe, matokeo ya urais yahojiwe mahakamani

HATIMAYE Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kimeitimisha kazi...

Habari Mchanganyiko

33,000 hufariki kila mwaka kwa matumizi ya nishati chafu ya kupikia

INAELEZWA kuwa takribani watu 33,000 hufariki dunia nchini Tanzania kutokana na magonjwa ya mfumo wa hewa yanayosababishwa na matumizi ya nishati chafu za...

AfyaTangulizi

Rais Samia ataja lishe duni sababu matumizi ‘vumbi la kongo’

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema lishe duni ndiyo chanzo kikubwa cha uwepo wa watu wenye matatizo ya afya ya uzazi na...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu:Mashauri ya kodi ya Trilioni 360/- yalifutwa

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mashauri ya kikodi ya Sh 360 trilioni yalifutwa kufuatia makubaliano ya Serikali na kampuni...

HabariTangulizi

Wizara ya afya yafunga utoaji taarifa za homa ya mgunda

Wizara ya Afya nchini Tanzania imetangaza kuisha kwa visa vya homa ya mgunda baada ya wagonjwa 17 kupona kabisa huku kukiwa hakuna kisa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

TANTRADE yatakiwa kujiwekea malengo, kutoa elimu masoko

  MAMLAKA ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imetakiwa kujiwekea malengo kwa kila maonyesho na baadae kufanya tathimini ya kufanikiwa au tutofanikiwa. Anaripoti Jonas Mushi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango atoa maelekezo saba matumizi ya Kiswahili

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa maelekezo saba kwa Wizara na taasisi mablimbali nchini katika kuhakikisha Kiswahili kinatumika ipasavyo katika shughuli...

Habari Mchanganyiko

Fahamu vigezo na mchakato Kiswahili kutambulika kimataifa

  TAREHE 7 Julai kila mwaka sasa inatambulika kuwa ni siku ya Kiswahili duniani ambapo leo ndiyo mara ya kwanza siku hiyo kusheherekewa...

Afya

Ubakaji watajwa chanzo fistula wasichana wa umri mdogo

  TATIZO la ubakaji limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa matatizo ya fistula kwa wasichana wenye umri mdogo. Anaripoti Jonas Mushi, Dar es...

Afya

Mkakati CCBRT wapunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa asilimia 47

  MPANGO wa kuboresha huduma ya afya ya uzazi mkoa wa Dar es Salaam, inayoratibiwa na Hospitali ya CCBRT, imesaidia kupunguza vifo vya...

Habari Mchanganyiko

Mfumo ETS wa TRA waonesha mafanikio ukusanyaji mapato

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema, tangu kuanza kwa matumizi ya Mfumo wa Stempu za Kodi za Kielektroniki (ETS) umeonesha mafanikio makubwa...

Habari Mchanganyiko

Dart kutumia mfumo mpya ‘mwendokasi,’ mikakati yatangazwa

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) nchini Tanzania imeanzisha kutumia mfumo mpya wa ukataji wa tiketi wa kielektroniki ili kuhakikisha inazuia upotevu...

Habari za Siasa

Waliotoswa uwaziri wafunguka

  SIKU moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan aengue mawaziri na naibu mawaziri kutoka Baraza lake, wamemshukuru wakisema, hawawanii urais na au kuunga...

Habari Mchanganyiko

Mkufunzi DSJ afariki dunia

  JOYCE Mbongo, aliyekuwa mkufunzi katika Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) nchini Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wamgomea Jaji Mutungi

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti Chadema watoa ya moyoni kesi ya Mbowe, Sabaya

  WENYEVITI wa mikoa ya chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema wamesema, kilichomtokea Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai,...

Habari za Siasa

CAG kutumia maabara kufanya ukaguzi, uchunguzi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania ameanza mchakato wa kutumia maabara katika kufanya kaguzi mbalimbali za maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Moto soko la K’koo: Rais Samia atoa pole, maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla na wafanyabiashara wa Soko...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis ateua maaskofu wawili Dar

  KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewateua mapadre, Henry Mchamungu na Stephano Musomba, kuwa Maaskofu wasaidizi Jimbo Kuu la Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awapa milion 10 wafanyakazi Dawasa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa Sh.10 milioni kwa wafanyakazi bora wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso azipa siku 30 mamlaka za maji, aipongeza Dawasa

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, ametoa siku 30 kwa mamlaka zote za maji, kufanya ukaguzi kwa wateja wote wanaowahudumia ili kupata takwimu...

error: Content is protected !!