Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF kwazidi kufukuta, kufikishana kortini
Habari za Siasa

CUF kwazidi kufukuta, kufikishana kortini

Prof. Ibrahim Lipumba
Spread the love

 

JUMUIYA ya Wanawake ya chama cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (JUKECUF), imekiomba chama kuwafungulia kesi wanachama waliofukuzwa kwa madai ya kukikiibia chama hicho. Anaripoti Seleiman Msuya, Dar es Salaam … (endelea).

Hata hivyo, waliofukuzwa wamesema wao ndio watafungua kesi ili watoa tuhuma wathibitishe tuhuma zao.

Aidha, waliofukuzwa wamedai Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amezungukwa na genge la wapigaji.

Waliofutiwa uanachama CUF ni Ahmed Hamis, Mohamed Vuai, Ali Makame, Mtumwa Ambari, Hamida Huweshi, Dhifaa Mohamed Bakari, Chande Jidawi na Abdul Kambaya.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mtendaji wa JUKECUF, Anna Ryoba akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho Buguruni, Dar es Salaam huku kwa upande wa waliofukuzwa akizungumza Kambaya.

Undani wa habari hii, soma Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu 15 Novemba 2021

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

error: Content is protected !!