Friday , 29 September 2023
Home danson
937 Articles59 Comments
BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...

Habari Mchanganyiko

Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya bilioni 224 Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba amesema Mwenge wa Uhuru ambao umetoa mkoani humo kutokea Tabora, unatarajiwa kuzindua miradi yenye thamani ya...

Habari Mchanganyiko

Polisi waahidi ushirikiano kwa waandishi wa habari, wataka masilahi ya Taifa yalindwe

MSEMAJI wa Jeshi la polisi Tanzania David Misime SACP amewataka waandishi wandishi wa habari kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kukuza maslahi...

Elimu

Rc Singida atoa siku 7 kukamilisha miradi elimu ya sekondari

MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Selukamba ametoa siku saba kwa halmashauri ya Iramba, Mkarama, Singida Dc na Manispaa kuhakikisha miradi ya elimu...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa malezi, makuzi ya mtoto wapigwa msasa

WADAU wanaoshughulika na malezi na makuzi ya watoto wametakiwa kushirikiana ili kufanikisha malengo ya Programu Jumuishi ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya awali...

Habari Mchanganyiko

Askofu aonya Watanzania kufanya kazi badala ya kutegemea misaada

ASKOFU Mkuu wa kanisa la Glory to God Ministry for All Nations lenye makao makuu Mailimbili Jijini Dodoma, Dk. Benson Rutta amewataka watanzania...

Habari za Siasa

Bashungwa aanza na wadaiwa sugu TBA, aagiza watimuliwe

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Majengo (TBA) kuhakikisha unakusanya deni la Sh 81.5 bilioni wanazodai kwa wapangaji wao sambamba na...

Habari za Siasa

UVCCM yakemea vijana kuilalamikia Serikali, yawataka kugeukia kilimo, ufugaji

VIJANA wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji ili waweze kujiajiri na kuajiri wezao...

Biashara

MC ajenga ukumbi wa bilioni 1.5, vijana wapewa ujumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) jijini Dodoma, Wisdom Gowele ametoa wito kwa vijana kutumia nguvu zao ujanani kuwekeza...

Biashara

Wakulima walia anguko bei ya Vanila, Serikali yawa bubu

LICHA ya Serikali kuhamasisha kilimo kwa ajili ya kuwainua wakulima kipato cha chini, wakulima wa zao la vanila katika kata ya Kanyangereko Wilaya...

Habari Mchanganyiko

Genge la matapeli latua Chamwino, wananchi watahadharishwa

MTENDAJI wa Kijiji cha Huzi Kata ya Huzi Wilayani Chamwino mkoani Dodoma, Sospeter Ngalongwa amewataadharisha baadhi ya watu wanaoingia kijijini hapo kununua ardhi...

Habari Mchanganyiko

RC Singida atahadharisha wafanyabiashara kukopa katika taasisi zilizosajiliwa

WAFANYABIASHARA wanaotarajia kukopa ili kuendesha biashara wameshauriwa kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na Benki Kuu (BoT). Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Bahi waomba wawekezaji sekta ya kilimo, mifugo

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma: Nane nane iwe na tija kwa wakulima, wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma awataka Watanzania kutumia gesi badala ya mkaa

WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bundi atua kanisa la Kakobe, mchungaji atimuliwa

BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...

Habari Mchanganyiko

Watoto 900 kunufaika na mradi LFTW

SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za  kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...

Habari Mchanganyiko

Viongozi washauriwa kutopandikiza chuki za udini

VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...

Habari za Siasa

Askofu ashauri jopo la wanasheria liundwe kujadili upya mkataba uwekezaji bandari

ASKOFU wa Kanisa la Baptist Kanda ya Kati, Anthony Mlyashimba ametoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake kukubali kuufumua mkataba...

Habari Mchanganyiko

Hati 500,000 za kimila kupatikana katika wilaya 6

WIZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia mradi wa Uboreshaji Usalama wa Miliki za Ardhi (LTIP) inakusudia kupanga, kupima na kusajili...

Habari Mchanganyiko

Wastaaafu wengi wanakufa kutokana na kutumia vibaya mafao

IMEELEZWA kuwa kitendo cha wastaafu kuwekeza fedha zao za fao katika miradi ambayo hawana uzoefu nayo imetajwa kuwa ni moja ya chanzo cha...

Habari Mchanganyiko

TAWA wacharuka ujenzi wa hifadhi

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeitahadharisha jamii kuacha tabia ya kujenga makazi yao karibu na hifadhi za wanyamapori zikiwemo shughuli za...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa TASAF washauri kuondoa dosari

  WADAU wanaofadhiri fedha kwa ajili ya kuwezesha mpango wa kunusuru kaya maskini katika kipindi cha pili kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

Habari Mchanganyiko

Mkazi wa Kakonko amwangukia Samia, Majaliwa kuingilia mgogoro wake wa ardhi

JUMA Nyakanyenge, mkazi wa Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma, amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Rais  Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro wake...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 30 ya watoto nchini wana udumavu wa akili

IMEELEZWA kuwa asilimia 30 ya watoto wenye umri kuanzia siku 0 hadi miaka nane wanakabiliwa na udumavu wa akili huku mikoa yenye uzalishaji...

Biashara

TASAF yafaidisha kaya 160 Kondoa

KATIKA mwaka wa fedha wa 2021/23 jumla ya fedha kiasi cha Sh 102  milioni zimewanufaisha wakazi wa Kijiji cha Itundwi kata ya Mnina...

Biashara

CMSA yawekeza trilioni 35 katika masoko ya mitaji

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji ya Dhamana (CMSA) imesema mpaka sasa thamani ya uwekezaji kwa masoko na mitaji imefikia  Sh 35 trilioni. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Machifu wajinasibu kufanya kazi kwa ukaribu na makanisa, serikali

UMOJA wa Machifu wa Chigogo katika Mkoa wa Dodoma umesema kuwa umejipanga kufanya  kazi kwa ukaribu na mashirika ya dini pamoja na serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yasaini mikataba saba ya ujenzi wa Barabara ya Sh. 3.7 trilioni

SERIKALI ya Tanzania chini ya usimamizi wa Wakala wa barabara nchini (TANROAD) imsaini mitakaba 7 ya ujenzi wa barabara 7 kwa kiwango cha...

Habari Mchanganyiko

Askofu Dk. Chande ahimiza Watanzania kuweka akiba ya chakula

ASKOFU mkuu wa Kanisa la Karmali Assembles of God Tanzania,( KAGT) na Mwenyekiti wa Tume ya Maridhiano mkoa wa Dodoma ,Dk. Evance Chande...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima atoa maelekezo kwa maofisa maendeleo nchini

  WAZIRI wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Watoto, Wazee na Makundi Maalum Dk.Dorothy Gwajima leo tarehe Mosi Juni 2023 amewaagiza  maafisa...

Habari Mchanganyiko

Migogoro ndani ya familia chanzo cha watoto wa mitaani

IMETAJWA kuwa migogoro ndani ya ndoa au kwenye familia zilizo nyingi imechangia kwa kiasi  kikubwa cha kuwepo kwa kazi kubwa ya watoto wa...

Biashara

IFC yazindua programu ya kuwawezesha wanawake kiuchumi nchini

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Benki ya Dunia (IFC) imezindua mpango mpya wa kuwezesha wanawake kiuchumi ujulikanao kwa jina la...

Habari Mchanganyiko

Wachafuzi wa mazingira Dodoma ‘kukiona cha moto’

AFISA  Mazingira wa Jiji la Dodoma Dickson Kimaro amewaagiza watendaji wote wa kata na mitaa ndani ya jiji la Dodoma kuwakamata watu ambao...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri Dodoma yadaiwa kuwaliza bilioni 2 wafanyabiashara soko la Majengo

  KWA kipindi cha miezi 16 mpaka sasa wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo Jijini Dodoma wamedai kupata hasara ya zaidi ya Sh...

Habari Mchanganyiko

11,580 wasota mahabusu kusubiri kesi zao kusikilizwa

  MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu amesema kuwa mpaka kufikia Aprili mwaka huu, takwimu...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wa barcodes, Qrcodes mkombozi kwa wafanyabiashara na nyaraka muhimu

  WAFANYABIASHARA nchini wameshauliwa kulinda bidhaa zao na kuziongezea ubora wa  thamani kwa kutumia mfumo wa Barcodes huku watumiaji wa nyaraka muhimu ambazo...

Habari Mchanganyiko

Watu milioni 2.9 hufariki dunia wakiwa sehemu za kazi

  SERIKALI imesema kuwa takwimu zilizokusanywa mwaka 2022 zinaonesha jumla ya watu milioni 2.9 hupoteza maisha duniani wakiwa katika mazingira ya kazini huku...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kuthamini bunifu za ndani

  MKURUGENZI  Mkuu wa  COSTECH, Dk. Amos Nungu amewataka watanzania kuziamini na kuzitumia bunifu zinabuniwa na vijana wa kitanzania ikiwemo kuzinunua na kurejesha...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dodoma waua wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi

JESHI la Polisi mkoani Dodoma limewathibiti na kuwaua majambazi wanne wa kiume ambao majina yao bado hayajatambulika wenye umri kati ya miaka kati...

Habari Mchanganyiko

Mradi mpya wa AMDT, TARI wazalisha tani 40 za mbegu za alizeti

  MFUKO wa Maendeleo ya Masoko ya Kilimo (AMDT) kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) umeanza kutekeleza mradi endelevu...

Habari Mchanganyiko

Jamii yatakiwa kuwajibika kulinda maadili

  SHEIKH wa mkoa wa Dodoma Alhaji Mustapha Rajabu Shaabani amesema suala la kukemea au kupinga vitendo haramu vya ushoga na ndoa za...

Habari Mchanganyiko

Mzee Malecela aipa mbinu Serikali kukomesha ushoga

MWANASIASA nguli nchini ambaye pia Waziri Mkuu mstaafu,John Samwel Mallecela ameitaka serikali kuweka sheria ngumu au kifungo cha muda mrefu kwa mtu yeyote...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

IMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na wakunga pamoja na ‘vishoka’ ambao wamekuwa wakijiingiza katika taaluma hiyo bado ni kikwazo...

Habari Mchanganyiko

BAKWATA wafanya matembezi ya kupinga ushoga

UONGOZI wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) Kata ya Chamwino mkoani Dodoma umefanya matembezi ya amani ya kuunga mkono kauli ya Muft Mkuu...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutembelea hifadhi za Taifa ili kuongeza mapato

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kufanya utalii wa ndani ili kuinua pato la Taifa ikiwa ni pamoja na kujivunia rasilimali muhimu za nchi...

Habari Mchanganyiko

IRUWASA yafunga mita za maji 6,700 za malipo ya kabla

  MAMLAKA ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Iringa (IRUWASA) imefanikiwa kufunga dira za maji 6700 za malipo ya kabla...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutojitumbukiza kwenye mikopo bila malengo

WATANZANIA  wameshauriwa kutopenda kujitumbukiza kwenye masuala ya mikopo kama hawajajipanga kwa kujua wanachotakiwa kukifanya. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Rai hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya WRRB yaweka wazi mafanikio yake kwa mwaka 2021/22

MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangya Bangu amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa bodi hiyo kumeonesha kuwepo kwa...

Habari Mchanganyiko

TBA yakabiliwa na uhaba wa watumishi, vifaa

  PAMOJA na Wakala wa Majengo Tanzania TBA kuweza kufanya kazi kwa mafanikio makubwa lakini bado inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa watumishi....

error: Content is protected !!