Friday , 29 March 2024
Home danson
966 Articles61 Comments
Habari Mchanganyiko

DC Dodoma: Waliokatiza masomo rudini darasani

  MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Shekimweri Jabiri amewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanapeleka watoto wao shule hususani walioshindwa kuendelea na masomo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Udanganyifu, magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio NHIF

  WIZARA ya Afya imeeleza chanzo cha kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF), ni kuongezeka kwa idadi kubwa ya wananchi...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yatoa gawio la Sh 2.2/- ikiahidi makubwa

  SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limetoa gawio kwa Serikali kiasi cha Sh 2.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/21 huku wakitarajia...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango atoa maagizo 6 Wizara, STAMICO, NEMC

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Philip Mpango ameagiza wizara ya Madini, STAMICO na NEMC kuongeza kasi ya ukaguzi...

Habari Mchanganyiko

Usiri thamani halisi ya ardhi yatajwa changamoto kwa wathamini

  ASILIMIA kubwa ya migogoro ya ardhi kwa upande wa uthamini unasabishwa na wahusika kushindwa kutambulisha mali zao kwa usahihi. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Jafo awafunda wanahabari, awakumbuka utunzaji mazingira

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Seleman Jafo amewataka wanahabari nchini kujenga tabia ya upendo na kujaliana wakati...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji waiangukia Serikali uhaba wa maofisa mifugo

SERIKALI imeombwa kuhakikisha inapeleka wataalamu wa mifugo kwa wafugaji ili kuweza kufanya ufugaji wenye tija. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza Dodoma kununua vifaa vya usafi

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameiagiza Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kutenga...

Habari

Serikali yaombwa kupeleka wataalamu wa mifugo kwa wafugaji

  SERIKALI imeombwa kuhakikisha inapeleka wataalamu wa mifugo kwa wafugaji ili kuweza kufanya ufugaji wenye tija. Anaripoti Danson Kaijage,Dodoma(Endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...

AfyaTangulizi

MOI wakana kufyeka kiholela miguu majeruhi bodaboda

MKURUGENZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface amesema si kweli kwamba majeruhi wa ajali za bodaboda hukatwa miguu...

Habari Mchanganyiko

TUCTA yawasilisha mapendekezo ya viwango vya mishahara serikalini

  SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) limepeleka mapendekezo yake Serikalini ya kutoridhika na nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma iliyoanza...

Habari Mchanganyiko

Fedha za Uviko-19 kufikisha maji kwa wakazi 40,000 Dodoma

  WAKAZI wa Jiji la Dodoma wapatao 40,000 wanatarajiwa kunufaika kwa kuunganishiwa maji kutokana na fedha za mkopo wa masharti nafuu za UVIKO...

Habari Mchanganyiko

Kibano mabasi ya mikoani yasiotoa tiketi za kielekroniki

IFIKAPO mwisho wa mwezi Julai mwaka huu mabasi yote yaendayo mikoani na nchi jirani yatalazimika kuingia katika mfumo wa tiketi za kielekroniki vingenevyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Dodoma ni makao makuu, hakuna kurudi nyuma

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa Serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza maono ya shujaa Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwamba makao makuu ya...

Habari za Siasa

Rais Samia mgeni rasmi siku ya mashujaa

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani anatarajiwa kuwa ngeni rasmi katika sherehe za kumbukumbu ya mashujaa itakayofanyika kitaifa...

Habari Mchanganyiko

DUWASA yaita wananchi Ntyuka kuunganishiwa maji kwa mkopo

  MKUU wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Pendo Mkali amewataka wananchi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti Jumuiya Wazazi CCM asema kipindi cha nyuma walikalia msumari

  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Dk. Edmund Mndolwa, meupiga madogo uongozi uliopita kwa kile alichoeleza kuwa ni kupitia kipindi kigumu...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wazuia bomoabomoa, Polisi yawatawanya kwa mabomu ya machozi

  JESHI la Polisi jijini Dodoma limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakazi wa Muhuji mtaa wa relini waliokuwa wamelikamata gari lililotumika kuwabeba...

Habari

Wito wazazi, walezi kulea watoto kwa misingi ya kidini

  WAZAZI na walezi wametakiwa kuwalea watoto wao katika misingi ya dini ili kuepukana na kizazi chenye ukatili na unyanyasaji hapo baadaye. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma akemea ukatili, unyanyasaji

  SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma, Alhaji Mustafa Rajabu amekemea vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji ambavyo vinafanywa na baadhi ya watu na...

ElimuHabari za Siasa

Watakao kwamisha mradi wa kuboresha Elimu Sekondari kukiona

  NAIBU Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Davidi Silinde,amesema kwa uzembe wowote utakaofanyika kwa na kukwamisha mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari...

Afya

Wataalam wa afya watakiwa kutumia weledi

  WATAALAMU wa Afya Nchini Tanzania, wameshauriliwa kufanya kazi kwa kuzingatia weledi, uadilifu na maadili ya taaluma yao kwa kutunza miundominu ya majengo...

Elimu

Wanafunzi Shule ya Peaceland wapongeza elimu bure hadi kidato cha sita

  WANAFUNZI wa shule ya msingi Peaceland English Medium iliyopo Ukerewe Jijini Mwanza wamesema kuwa kitendo cha serikali kupitisha elimu bure kuanzia shule...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yakubali kufufua mchakato Katiba mpya, kesi za kisiasa…

  KIKAO cha Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeishauri Serikali kuona namna bora ya kufufua, kukwamua na...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso awaonya RUWASA, atoa maagizo

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amewataka Mameneja wa Wilaya na Mikoa wa Mamlaka za Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) kufanya kazi...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu: Anayekwepa kuhesabiwa ni mtenda dhambi

  BARAZA la Maaskofu wa Kanisa la Kipentecost Tanzania (CPCT) limesema litawahamasisha waumini wake na kuwapatia elimu juu ya umuhimu wa kujitokeza wakati...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa faida

  NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Emmanuel Chibango amewaomba Watanzania kuitumia mitandao mbalimbali ya mawasiliano kwa lengo la kujiletea maendeleo na kusaidia...

Habari Mchanganyiko

VETA yarasimisha vijana 10,000

  MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) nchini Tanzania imetoa mafunzo na vyeti kwa vijana zaidi ya 10,000 nchi nzima...

Habari za Siasa

Ummy Mwalimu: Marufuku shisha, ugoro inakuja

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameiagiza Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kufanya tathmini ya kina kuhusu matumizi ya shisha, ugoro...

Habari za Siasa

Spika afafanua uamuzi wake kutowafukuza Mdee, wenzake bungeni

  Spika wa Bunge la Tanzania Dk.Tulia Akson, ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu uamuzi wake wa kutowafukuza bungeni wabunge 19 wa Chadema baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai: Sitagombea ubunge 2025

  MWANASIASA mkongwe na Spika mstaafu nchini Tanzania, Job Ndugai ametangaza kutogombea tena nafasi ya ubunge wa Kongwa mkoani Dodoma katika uchaguzi mkuu...

Habari Mchanganyiko

Mwangalizi Baptist aitaka Serikali kubana matumizi

  MWANGALIZI wa Makanisani ya Baptist Kanda ya Kati, Antony Mlyashimba ametoa wito kwa serikali kupunguza matumizi ya anasa ili kukabiliana na hali...

ElimuHabari za Siasa

CWT yakoshwa na utendaji wa Rais Samia

  CHAMA cha walimu Tanzania(CWT) kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na namna inavyowajali watumishi nchini wakiwemo walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Mbunge amnyooshea kidole DC Nkasi

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (Chadema) amesema iwapo serikali haitachukua hatua za kumuonya mkuu wa wilaya ya Nkasi dhidi ya matumizi...

Habari za SiasaMpya

Mbunge viti maalum CCM afariki

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Viti Maalum,CCM, Irene Alex Ndyamkama ambaye...

Habari za Siasa

Chongolo ateta na bodaboda, bajaji

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaahidi vijana 26 wa shina la namba tano la kata Kilimani mkoani Dodoma...

Habari za Siasa

Serikali yazinyooshea kidole halmashauri

  SERIKALI ya Tanzania imeziagiza halmashauri zote nchini humo ambazo zimepokea kiasi cha sh.50 milioni kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa vituo...

Habari Mchanganyiko

Shekhe aonya wafanyabiashara kutopandisha bei za bidhaa Ramadhani

  SHEKHE wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu amewataka wafanyabiashara kutougeuza mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa wa kujitajirisha kwa kupandisha bei za bidhaa...

Afya

Manyara, Songwe zashika mkia chanjo Uviko-19

  MKOA wa Manyara umeshika nafasi ya mwisho kwa uchanjaji wa UVIKO-19 ikiwa na asilimia tatu tu ya watu waliopata chanjo hadi sasa....

Afya

803 wafariki, 33,789 wakiambukizwa Uviko-19 Tanzania

  SERIKALI imesema jumla ya watu 803 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa korona huku 33,789 wakiambukizwa tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza nchini....

Afya

Serikali yatoa taadhari ya ugonjwa wa manjano

  SERIKALI ya Tanzania imetoa taadhari kwa kwa wananchi dhidi ya ugonjwa wa homa ya manjano ambao umeonekana kutokea katika nchi ya jirani...

Habari Mchanganyiko

Wataalam manunuzu ugavi waonywa

  NAIBU Katibu Mkuu Wizara wa Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema bado kuna watu ambao sio waaminifu katika Bodi ya wataalamu wa...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa mtama Dodoma wavuna bilioni 13.5

  WAKULIMA 22,000 waliopo kwenye Mradi wa Kilimo Himilivu cha Mtama (CSA), kutoka wilaya sita za mkoa wa Dodoma, wamefanikiwa kuingiza Sh. bilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia mgeni rasmi Siku ya Maridhiano

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika...

Habari Mchanganyiko

Mitaa 222 Dodoma kuboreshwa kwa anuani za makazi

  KATIKA uboreshaji na urahisishaji wa huduma katika jiji la Dodoma jumla ya mitaa 222 iliyopo ndani ya kata 41 za halmashauri ya...

Afya

Hospitali ya Mkapa yapandikiza figo wagonjwa 26

  HOSPITALI ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma nchini Tanzania, imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 26 kuanzia tarehe 22 Machi 2018 kutoka mikoa mbalimbali nchini...

BurudikaTangulizi

Rais Samia: Serikali itagharamikia matibabu ya Profesa Jay

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu yote anayopata aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule maarufu...

Habari

Chemba wapigwa msasa huduma ya afya ya mama na mtoto

  TAASISI ya Benjamini Mkapa Foundation imeendelea kuyanoa makundi manne ndani ya wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma kwa lengo la kuwapatia elimu kuhusu...

Afya

Waziri Ummy achambua takwimu za saratani

  WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema, katika kila watu 100,000 watu 76 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Mpango kumuenzi Mwalimu Nyerere wazinduliwa

  WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imezindua mpango wa miaka 10 wa kumuezi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere. Anaripoti...

error: Content is protected !!