Tuesday , 30 April 2024

Month: June 2023

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Elimu

800 wahitimu masomo elimu ya watu wazima

JUMLA wanafunzi 800 wamehitimu masomo katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kati yao wanaume 279 sawa na asilimia 35  na wanawake...

Afya

NHIF yaita Watanzania kujisajili uanachama Sabasaba

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umewahimiza wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam na waliotoka katika maeneo mbalimbali nchini kufika...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ampa maagizo mazito Balozi wa Tanzania-Uturuki

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amemuagiza Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Balozi Idd Seif Bakari kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

DC Maswa aungana na REA kuhamasisha wananchi vijijini kuunganisha umeme

MKUU wa Wilaya ya Maswa, Aswege Kaminyonge amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali katika Wilaya hiyo kuunga mkono na kuendeleza jitihada zinazofanywa na Wakala...

Biashara

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda ajitosa sakata la DP World, atoa msimamo

  KATIBU wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameipongeza Serikali kwa kuupeleka bungeni jijini Dodoma, mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kwa...

Kimataifa

Mahakama yapinga ombi la Trump la kuondolewa mashtaka ya ubakaji

  JAJI mmoja wa mahakama ya serikali mjini New York nchini Marekani ametupilia mbali juhudi za rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald...

KimataifaTangulizi

Mshahara wa milioni 28 kwa Rais Ruto wazua gumzo Kenya

RAIS wa Kenya, William Ruto, naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu Mkuu, Musalia Mudavadi kuwa ni moja ya maafisa wa ngazi ya...

Habari Mchanganyiko

Dk. Michael alifunda Jeshi la Polisi Songwe

MKUU wa mkoa na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Songwe, Dk. Francis Michael amewataka  askari wa mkoa huo kufanya...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua Makamu NEC, Mkaguzi mkuu wa Serikali

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Benjamin Magai kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa...

Kimataifa

Majeshi ya Urusi yadai kuua majenerali Ukraine

JESHI la Urusi lililopo katika operesheni maalum nchini Ukraine limedai kuwaua majenerali wawili katika shambulizi la mapema wiki hii. Anaripoti Joseph Nyoni kwa...

Michezo

Mamdonga atambulisha ngumi yake mpya sabasaba

BONDIA machachari nchini Karim Said maarufu ‘Mandonga Mtu kazi’ ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na kutangaza ngumi mpya iitwayo...

Elimu

Wanafunzi 275 watumia darasa moja kusoma, Serikali yataja mikakati

KUTOKANA na uwepo wa msongamano mkubwa wa wanafunzi katika shule ya msingi Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe uliosababisha wanafunzi 270 kusomea katika darasa...

Habari Mchanganyiko

NMB, Agricom kukopesha wakulima matrekta, pembejeo za kilimo

KATIKA kukuza mchango wa sekta ya kilimo kwenye pato la Taifa na kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa mkulima mmoja mmoja na wadau...

Habari Mchanganyiko

Wakala wa meli Tanzania: Uwekezaji DP World ni muhimu

CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

MwanaHALISI kurejea mtaani kesho, Rais Samia atajwa

GAZETI bingwa la habari za uchunguzi nchini Tanzania, MwanaHALISI, linatarajiwa kuanza kurejea mtaani kesho Alhamisi, tarehe 29 Juni 2023, baada ya kuwa kifungoni...

Biashara

Wakala wa meli Tanzania waunga mkono ujio wa DP World

  CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari...

Habari Mchanganyiko

Zanzibar yataka taasisi uhisani kuongeza nguvu utatuzi wa changamoto za jamii

TAASISI zinazojishughulisha na masuala ya uhisani Afrika Mashariki, zimetakiwa kuongeza nguvu katika kutatua changamoto zinazoikabili jamii ili kuimarisha ustawi wa wananchi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge laazimia mambo 4, laahirishwa, Majaliwa atoa hofu mkataba bandari

HATIMAYE Bunge la Bajeti limeahirishwa baada ya kutumia siku 85 tangu lilipoanza tarehe 4 Aprili 2023, huku azimio lake la kuridhia makubaliano ya...

Habari za Siasa

ACT yajipanga kuimarisha ushiriki wa wanawake kwenye uongozi

  KATIBU Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amesema Chama hicho kimejipanga kuongeza ushiriki wa wanawake kwenye nafasi mbalimbali za uongozi za...

Biashara

Waziri Nape aipongeza Vodacom, azindua ofisi ya kisasa Jijini Dodoma

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amepongeza jitihada za Vodacom Tanzania kwa kufungua ofisi ya kisasa katika makao...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wa uhisani Afrika kuunguruma Zanzibar

MKUTANO wa nane wa uhisani Afrika Mashariki (EAPC), unatarajiwa kuanza kufanyika  tarehe 28  hadi 30 Juni 2023, visiwani Zanzibar.Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea). Kwa...

Kimataifa

Rais wa zamani alaani mali zake kutwaliwa na utawala mpya

WAKILI wa Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu, amelaani hatua ya serikali ya nchi hiyo, kutwaa mali mbalimbali zinazohusishwa na familia mwanasiasa...

Biashara

Wafanyabiashara Tunduma watoa dukuduku ujenzi soko la bilioni 1.9

WAFANYABIASHARA katika soko la Majengo halmashauri ya mji Tunduma wameio na Serikali iharakishe ujenzi soko jipya ili waweze kuendelea na zao katika maeneo...

Habari Mchanganyiko

Bosi wa kampuni akutwa amefariki gesti

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limeona taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Deogratius...

BiasharaTangulizi

TLS yaishauri Serikali kufuta vifungu tata mkataba DP World, “vinakiuka masilahi ya Taifa”

CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeshauri Serikali kuondoa vifungu vinavyominya maslahi ya Taifa katika mkataba wa makubaliano ya kiserikali kati yake na...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

Biashara

RC Chalamila azindua NMB Onja Unogewe, aiita akili kubwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ameipongeza Benki ya NMB  kwa kuzindua huduma mpya chini ya Mwamvuli wa Teleza...

Kimataifa

Biden asisitiza kuwa Rais Xi Jinping ni ‘Dikteta’

  RAIS wa Marekani Joe Biden amesisitiza kuwa ataendelea kumwita Rais wa China Xi Jinping ‘Dikteta.’  Imeripotiwa na VOA … (endelea). Biden alitoa...

HabariKitaifa

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

GazetiHabari

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla, larejea

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

Habari za SiasaTangulizi

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

Habari Mchanganyiko

RBWD kujenga mabwawa mapya

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) inatarajia kujenga mabwawa ya maji mapya matano katika mikoa wanayohudumia, ili kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za...

Biashara

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi atoa maneno mazito mjadala wa DP World

  MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam amlipua Dk. Slaa… “ni kizabizabina”

MFANYABISHARA wa Kimataifa ambaye pia ni mwanasiasa, Rostam Aziz amejibu Balozi Dk. Wilbrod Slaa ambaye alimtuhumu kwa mambo mbalimbali na kusisitiza kwamba Katibu...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam Aziz: Sihusiki na uwekezaji wa DP World

MFANYABIASHARA wa kimataifa nchini, Rostam Aziz amesema hahusiki lakini pia kampuni zake hazihusiki wala hazina uhusiano wowote na Kampuni ya DP World kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje, Makamba watikisa Bunge likipitisha bajeti kuu

WABUNGE wa viti maalumu Nusrat Hanje, Salome Makamba ambao ni sehemu ya wabunge 19 waliotimuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Elimu

Tunduma waiangukia Serikali kukamilisha ujenzi sekondari ya Samia

WADAU wa elimu mkoani Songwe wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa mabweni katika shule mpya ya wasichana ya Dk. Samia S.H sekondari inayojengwa kwa...

Habari za Siasa

JUVICUF wataka elimu zaidi kuhusu mkataba bandari

WAKATI Serikali ikiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu mkataba wake na Kampuni ya DP World, kuhusu ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, Jumuiya...

Biashara

NMB yatangaza neema Zanzibar, Rais Samia atoa neno

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya NMB kwa jitihada zake za kuendelea kuiunga mkono Serikali kwa kuongeza ushirikishwaji wa kifedha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Simulizi mwanafunzi aliyedaiwa kuwekwa kinyumba na Baba Jose inasikitisha, RC aonya viboko

TAKRIBANI mwezi mmoja na siku kadhaa tangu Mwanafunzi Ester Noah (18) wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari ya Pandahili mkoani Mbeya...

Habari za Siasa

Mkutano wa CHADEMA Temeke kupinga bandari wasusiwa na viongozi, wananchi

MKUTANO ulioandaliwa leo na chama cha upinzani cha CHADEMA na kada wake wa zamani, Wilbrod Slaa, kwenye viwanja vya Bulyaga, Temeke, jijini Dar...

Habari Mchanganyiko

Polisi Kutoka Ujerumani na Thailand wabadilisha Uzoefu katika Maswala ya Polisi Jamii

  ASKARI Polisi kutoka Ujeruman na Thailand wametoa uzoefu wao katika maswala ya Polisi Jamii na namna ambavyo wanatoa huduma kwa jamii katika...

Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu Maji apokea taarifa ya utekelezaji Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu

KARIBU Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba amefanya ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo amekutana  na viongozi pamoja na watumishi wa sekta...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa yakagua miradi ya bilioni 9.3 Ileje, yabaini madudu

KAMATI YA siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Songwe  imekagua miradi nane yenye thamani ya Sh 9.3 bilioni katika wilaya ya Ileje...

Biashara

NBC Connect yabisha hodi Dodoma

KAMPUNI pamoja na taasisi mbalimbali  ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) mkoani Dodoma, sasa zinaweza kupata uzoefu mpya...

Habari za Siasa

Tanzania yafungua rasmi ubalozi wake nchini Indonesia

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Alhamisi imefungua rasmi Ubalozi wake Jijini Jakarta nchini Indonesia. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza katika...

Habari Mchanganyiko

ATE yapata mwenyekiti, wajumbe wapya

WANACHAMA wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamemchagua Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Morgage Refinance Company Limited – TMRC, Oscar Mgaya kuwa mwenyekiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yaonya waajiri kutopendelea ‘cheap labour’

NAIBU Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amewatahadharisha waajiri kutopendelea kuwalipa masilahi duni wafanyakazi wao kwani hali...

error: Content is protected !!