Friday , 29 March 2024

Kitaifa

HabariKitaifa

Mabasi ya New Force yapigwa kitanzi kisa ajali

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imefuta ratiba za safari kwa mabasi 38 ya Kampuni ya New Force Enterprises kutokana na kile kilichoelezwa...

HabariKitaifa

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

HabariKitaifaTangulizi

Ni Bajeti ya kulipa madeni, mzigo wa kodi

WAZIRI wa fedha, Mwigulu Nchemba, amewasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024, huku sehemu kubwa ya fedha iliyotengwa ikielekezwa kwenye ulipaji...

Kitaifa

Serikali yatenga eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa kufanya kilimo

  SERIKALI nchini Tanzania imetenga eka 10 kwa kila kijana atakayechaguliwa kujiunga na mafunzo ya kilimo na baadae kushiriki katika kilimo. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoKitaifa

Wananchi KIA walia kunyang’anywa ardhi

WANANCHI wa vijiji vinavyozunguka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, (KIA), wamelalamikia serikali kwa kudai kuwanyang’anya ardhi bila kuzingatia sheria. Anaripoti Mwandishi...

HabariKitaifa

Rais Samia apewa mbinu za kuwainua wanawake kiuchumi

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshauriwa kuongeza juhudi katika dhamira yake ya kuimarisha usawa wa kijinsia na kumuinua mwanamke kiuchumi, ili kuondoa...

HabariKitaifa

Wafiwa 19 ajali ya ndege Bukoba wagawiwa ubani wa milioni 1

  SERIKALI imetoa mkono wa pole kwa familia 19 za wafiwa wa ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea jana tarehe 6 Novemba,...

HabariKitaifa

Uhaba Maji: Aweso aagiza tenki kubwa kuwekwa Hospitali ya Muhimbili

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameagiza kuwekwa kwa tenki kubwa la maji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kuhakikisha huduma ya maji...

HabariKitaifaTangulizi

Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia ajali ya ndege Bukoba

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu ametoa pole kwa wafiwa na majeruhi wa ajali ya ndege iliyotokea Jumapili huko Bukoba, Kagera. Watu 19...

HabariKitaifa

Ripoti ya Kamati kuhusu Bodi ya Mikopo yachafua hali ya hewa bungeni

  RIPOTI ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, kuhusu Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya...

HabariKitaifa

Majaliwa awapa maagizo mameya, wenyeviti wa h’shauri

WAZIRI MKUU wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka Mameya na Wenyeviti wa Halmashauri wasimamie ipasavyo matumizi ya fedha zilizokusanywa na zile zinazotoka Serikali Kuu...

Kitaifa

CAG akuta dawa zilizoisha muda katika hospitali 15

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania kwa mwaka 2020/2021 imebaini maduka ya dawa ya hospitali...

Habari MchanganyikoKitaifa

UNYAMA; mtoto adaiwa kulawitiwa, afariki, wazazi waiangukia Serikali

NI unyama ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya mtoto Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane kudaiwa kutendewa ukatili wa kingono,...

KitaifaUtalii

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Damas Ndumbaro leo tarehe 18 Februari, 2022 ameongoza zoezi la...

BurudikaKitaifa

Harmonize ajiandaa kuitikisa Dar

Msanii wa Bongo fleva, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’ ametangaza ujio wa tamasha lake katika jiji la Dar es salaam liitwalo (Afro East...

KitaifaTangulizi

TLS yalia Serikali kutumia mawakili wa nje, kuwaunganisha

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeishauri Serikali ya Tanzania iwatumie mawakili wazawa, ili kuwaongezea ujuzi na kupunguza gharama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaKitaifa

Babu Duni, Hamad wapitishwa kumrithi Maalim Seif – ACT Wazalendo

Halmshauri Kuu ya Chama imepokea na kuthibitisha mapendekezo ya Kamati Kuu ya Chama juu wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Makamu Mwenyekiti...

Kitaifa

Waziri mkuu aongoza waombolezaji mazishi ya Askofu Mpango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo tarehe 22 Januari 2022 ameongoza waombolezaji katika mazishi ya kaka wa Makamu wa Rais na Askofu Mstaafu wa...

HabariKitaifa

Airtel yaeleza miamala ya Mbowe mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imepokea taarifa za miamala na usajili wa simu, kutoka...

Kitaifa

Majaliwa awapa ujumbe wakandarasi TPSF

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wakandarasi na taasisi nyingine za sekta binafsi kuzingatia weledi, maadili na uaminifu katika majukumu...

Kitaifa

Rais Samia afichua alivyokamatwa na polisi mara 3, aling’atwa mbu

Rais Samia Suluhu Hassan amefichua namna alivyokamatwa na askari wa usalama barabarani mara tatu kwa makosa madogo ambayo yangetatulika bila kupoteza muda na...

Kitaifa

Rais Samia aonya polisi kukamata watu kwa vitisho, kutia hofu

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka polisi kutowakamata wananchi kwa vitisho, wala kuwatia hofu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume na misingi na kiapo...

KitaifaMichezo

Yanga wamvaa Mwenyekiti Simba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu kutokana na tuhuma alizoishusha Yanga...

KitaifaTangulizi

Makada CCM wamvaa Polepole

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoani Shinyanga, Hamis Mgeja wakiwemo makada wengine, wazee wastaafu wa chama hicho na serikali, wamewataka...

Kitaifa

Marais wanne, wastaafu watinga kushuhudia sherehe za Uhuru

JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara...

KitaifaTangulizi

Ajali ya bodaboda, mwendokasi yauwa wawili Dar

  WATU wawili wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki ‘bodaboda’, kwenye barabara ya mwendokasi, maeneo ya Lumumba jijini Dar...

Kitaifa

Aliyeongoza kumng’oa  Rais al-Bashir Sudan ajiuzulu

MKUU wa Jeshi la Sudan, Awad Ibn Auf aliyeongoza mapambano ya kumng’oa madarakani Rais wa nchi hiyo, Omar al-Bashiri amejiuzulu katika wadhifa wa...

error: Content is protected !!