Friday , 17 May 2024

Month: June 2023

Afya

NMB yatumia Sh10 milioni kusaidia vifaa vya wajawazito Korogwe

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa kina mama wajawazito zaidi ya 500 katika kituo cha afya cha Mombo kilichopo...

Biashara

NMB yasherehekea safari ya mafanikio miaka 25 Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeipongeza Benki ya NMB kwa safari yake ya mafanikio yaliyotukuka ya miaka 25! Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yamesemwa...

Kimataifa

Kiwango cha chini cha uhuru habari China chaongeza mashaka

  RIPOTI ya waandishi wa Habari wasiokuwa na mipaka duniani wanaosimamia tovuti ya ‘Just Earth News’ iliyotolewa mwezi Mei mwaka huu inaiweka China...

Biashara

SBL kuongeza kiwango cha malighafi kutoka kwa wakulima wadogo hadi 85%

   KAMPUNI ya Bia ya Serengeti, mmoja wa wazalishaji wakubwa wa bia nchini, amefichua kuwa analenga kuongeza vyanzo vyake vya malighafi kutoka kwa...

Michezo

Bonanza la NMB vuta nikuvute lafana Zanzibar

BENKI ya NMB ikiwa inaendeea kusherehekea safari yake ya mafanikio ya miaka 25, iliandaa bonanza la Michezo waliloliita Vuta Nikuvute visiwani Zanzibar. Kikosi...

Biashara

Slaa aunga mkono uwekezaji, ashauri kurekebisha dosari mkataba wa DP World

  BALOZI Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji...

Biashara

  Wachimbaji dhahabu Kahama waunda ushirika, wapewa ujumbe mzito

WACHIMBAJI wa madini ya dhahabu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwa kushirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ambazo...

Habari Mchanganyiko

Wataka kibano kwa wanaoajiri watoto

MTANDAO wa kupinga utumikishwaji watoto Tanzania, umeiomba Serikali iweke mikakati itakayosaidia kutokomeza ajira za watoto ili kulinda ustawi wao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Shinyanga yajipanga utekelezaji kampeni msaada kisheria ya Mama Samia

MKOA wa Shinyanga umeahidi kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Shirika la Legal Services Facility (LSF), katika utekelezaji wa kampeni...

HabariKimataifaTangulizi

Ajali ya ndege Colombia: Mama aliwaambia watoto wamuache na waende kutafuta usaidizi

WANAJESHI wa Colombia wanahudumia watoto hao wanne muda mfupi baada ya kupatikana, Wanajeshi wa Colombia wanahudumia watoto hao wanne muda mfupi baada ya...

Biashara

Wafanyabiashara, wasindikaji 600 wapigwa msasa kuhusu sumukuvu

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwenye mahindi, karanga na bidhaa zake katika wilaya za Kiteto, Kongwa,...

Michezo

Timu ya walemavu wa akili yapaa Ujerumani kushiriki Kombe la Dunia

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi...

Biashara

Infinix Note 30 yafanya kufuru sokoni, yauzika kwa wingi

KAMPUNI ya simu za mkononi Infinix mwanzoni mwa Mwezihuu ilizindua toleo la Infinix NOTE 30 Series nakusindikizwa na promosheni kubwa ya #Gusanishaijaekuvunja Record...

Habari Mchanganyiko

Askofu Dk. Chande ahimiza Watanzania kuweka akiba ya chakula

ASKOFU mkuu wa Kanisa la Karmali Assembles of God Tanzania,( KAGT) na Mwenyekiti wa Tume ya Maridhiano mkoa wa Dodoma ,Dk. Evance Chande...

Biashara

DC Ileje aipongeza STAMICO kwa huduma za kijamii

MKUU wa wilaya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amelipongeza Shirika la Madini Taifa (STAMICO) kupitia mgodi wa Kiwira-Kabulo kwa kusaidia wananchi wanaozunguka mgodi...

Biashara

Zanzibar yazungumzia miaka 25 ya mafanikio ya NMB

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa mafanikio yaliyotukuka katika kipindi cha miaka 25 ya kuhudumia Watanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Watumishi 7 Tunduma wafutwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu

BARAZA la madiwani katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe, wameazimia kutoa adhabu ya  kuwafuta kazi watumishi saba huku kati yao...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara: Mbowe amuombe radhi Rais Samia, Mbarawa

MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amuombe radhi Rais Samia Suluhu...

BiasharaTangulizi

Bandari za Tanga na Mtwara hazihusiki uwekezaji DP World

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Biashara

Mbarawa: Ufanisi bandarini hauridhishi

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo Jumamosi amewasilisha bungeni maelezo ya awali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali...

Elimu

NBC yatoa milioni 100/- kufadhili masomo ufundi stadi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC ) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wamezindua mpango rasmi wa ufadhili wa masomo...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya Wahandisi watakiwa kuongeza idadi ya Wahandisi washauri

KARIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, (Sekta ya Ujenzi), Balozi Mhandisi Aisha Amour amezungumzia umuhimu wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini,...

BiasharaTangulizi

Sakata la ukodishaji Bandari: Bunge limekubali, wananchi wamekataa

  HATIMAYE Serikali ya Tanzania, imeamua kujiandikia historia yake nyingine ya kuingiza nchi katika mikataba tata ya kinyonyaji, kufuatia hatua ya Bunge lake,...

MichezoTangulizi

Benki ya NBC yakabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu kwa Yanga

MDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara(NBC) leo Ijumaa aimekabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania...

Biashara

NMB kuchuana na Baraza la Wawakilishi Z’bar

BONANZA la Kudumisha Mashirikiano baina ya Benki ya NMB na Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), linafanyika Jumamosi hii tarehe 10 Juni, 2023 kwenye...

BiasharaTangulizi

TLS wajitosa sakata la ukodishaji wa bandari

  CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la umilikishwaji wa bandari baada ya serikali kuanzisha makubaliano ya awali na kampuni ya...

Afya

GGML yasikia kilio cha akina mama Geita, yagawa vitanda vya kujifungulia katika vituo Nyankumbu, Kasamwa

 KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imetoa msaada wa vitanda vinne vya akina mama kujifungulia katika vituo vya afya vya Nyankumbu na...

Kimataifa

China kutohudhuria mkutano wa Washington, ishara ya kutotoa nafuu ya deni la Sri Lanka?

  KUTOHUDHURIA kwa China katika mkutano wa kurekebisha deni la Sri Lanka huko Washington kilichoitishwa mwezi Aprili mwaka kumetoa taswira ya Beijing kuendelea...

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa bandari nchini Tanzania kati ya Mamlaka ya Bandari (TPA) na kampuni ya DP...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mikataba ya utekelezaji bado haijasainiwa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema Serikali ya Tanzania bado haijasaini mikataba ya utekelezaji wa mkataba...

Makala & Uchambuzi

Jinsi GGML inavyovunja ukimya juu ya usafi wa hedhi

HEDHI ni sehemu ya maisha ya kawaida na yenye afya, lakini kwa watu wengi wanaopata hedhi, ni chanzo cha aibu, hofu na ubaguzi....

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote juu ya muda wa miaka 100 wa uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es...

HabariMichezo

Benki ya NBC yazindua kombe jipya la Ligi Kuu Tanzania Bara

MDHAMINI Mkuu wa Ligi ya NBC , Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Jumatano imezindua kombe jipya la ligi kuu ya soka...

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi zaidi ya 100 wapigwa msasa wa udereva kukabiliana na ajali

  KATIKA kuhakikisha wimbi la ajali za barabarani zinapungua kama sio kumalizika kabisa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kwa kushirikiana na Chuo cha...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil United Front – Chama cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya...

Kimataifa

Kagame afumua tena Jeshi, awafuta kazi maofisa zaidi ya 200 wakiwemo majenerali

  RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda, pamoja na maafisa wengine 14 wa Jeshi...

Biashara

Uongo na upotoshaji unaosambazwa kuhusu ujio wa DP Workd Tanzania

  UONGO 1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100* Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa...

Afya

GGML yaadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kutoa elimu kuhusu taka za plastiki

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo ni moja ya migodi maarufu ya AngloGold Ashanti nchini Tanzania, imeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani...

Elimu

Wanafunzi wa St Joseph Dar wabuni Satellite

WANAFUNZI na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha jijini Dar es Salaam, wamebuni Satellite ambayo hadi kukamilika kwake itagharimu Dola za...

Biashara

BoT: Akiba fedha za kigeni inaweza kuagiza bidhaa miezi minne

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewatoa hofu Watanzania kuhusu uhaba wa fedha za kigeni hususani Dola za Marekani na kubainisha kuwa mbali na...

Makala & UchambuziTangulizi

Profesa Hoseah ajitosa sakata la Tanga Cement

  “HAKUNA namna ambayo serikali yaweza kukimbia maamuzi ya Mahakama kwa kutekeleza kile ambacho kimeamriwa kisimame; na au kinyume cha sheria. Pale ambapo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yakana kuhamisha kwa nguvu jamii ya Kimasai Loliondo

WAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk. Damas Ndumbaro, amekana madai kuwa serikali  yake, alisema, baadhi ya wananchi wa kabila la Wamasai,...

Biashara

DP World kuleta mageuzi makubwa bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam...

Kimataifa

Urusi imelipua bwawa kuu la umeme nchini Ukraine

SERIKALI mjini Kyiv nchini, Ukraine imeushutumu utawala wa Rais Vladimir Putin wa Urusi, kwa kulipua bwawa lake kubwa katika kituo cha kuzalisha umeme...

Kimataifa

Rais Kagame afanyia mabadiliko makubwa jeshi, usalama wa taifa

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amefanye uteuzi wa wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi nchini mwake, katika mojawapo ya mabadiliko makubwa kabisa ya...

Biashara

Vodacom yawazawadia mawakala wa usajili kupitia kampeni ya ‘Loyalty Program’ nchini kote

KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imewazawadia mawakala wa usajili wa (Freelancer) ya jiko la gezi na mtungi wake ikiwa ni sehemu ya kampeni yake...

MichezoTangulizi

Yanga malizeni ugomvi na Fei Toto – Rais Samia

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameitaka klabu ya Yanga kumaliza tofauti zake na mchezaji wake wa...

Biashara

Uzinduzi wa Infinix Note 30 wakutanisha wafanyabiashara

  KAMPUNI ya simu za mkononi ya Infinix Tanzania mwisho mwa wiki iliyopita imezindua series ya Infinix NOTE 30 ambazo zimekuja maalum kwa...

Michezo

Samia aipongeza klabu ya Yanga kwa hatua iliyofikia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga, kwa hatua waliyofikia katika michuano ya...

error: Content is protected !!