MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali haijarudi Dar es Salaam bali imehamia moja kwa moja Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema sheria zinazopitishwa na Bunge zimekuwa zikilidhalilisha Bunge na kusababisha watu...
By Danson KaijageOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema bado kinaendelea kukaa mezani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu kujadili muafaka kuhusu...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitasita kuanzisha hoja au ajenda ya kuhakikisha wote (wakuu wa mikoa, wilaya) wanaokiuka maelekezo ya namna ya...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza marufuku ya waendesha bodaboda na bajaji kutofika au kufanya shughuli zao katikati jiji la Dar isitishwe mara...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA cha siasa cha upinzani cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimewataka viongozi mbalimbali wa chama hicho kuwasemea na kuwapigania wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema, kikao baina ya Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan na viongozi...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amekumbushia machungu ya uchaguzi mkuu uliopita wa Oktoba 2020 akisema, chama...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021MIKOA ya Lindi, Mara na Dodoma, imetajwa kinara kwa kuwa na kiwango kikubwa cha ufaulu wa mtihani wa darasa la saba, katika...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limefuta matokeo ya watahiniwa 393, waliobainika kufanya udanganyifu wakati wa kufanyika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi....
By Regina MkondeOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limesema asilimia 81.97 ya wanafunzi 1,107,460, waliotunukiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba, uliofanyika tarehe 8...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) mwaka 2021....
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021NYOTA wa muziki wa rhumba na soukous ambao ni maarufu zaidi Barani Afrika, Koffi Olomidé amekumbwa na majanga mengine huko nchini Ufaransa...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021KLABU ya Simba imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani Akilimali Yahya kilichotokea usiku nwa kumkia leo katika Hospitali...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha ndani ya muda...
By Danson KaijageOctober 30, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amevitaka vya siasa vya upinzani nchini kuungana pamoja kupigania madai ya katiba mpya...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021SHULE tatu za msingi katika jimbo la New York nchini Marekani zimepiga marufuku mavazi ya ‘Halloween’ yanayofanana na yale yaliyovaliwa na washiriki...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021KAMISHINA wa Sensa na Makazi ya Watu nchini Anna Makinda ameziomba Asasi za kiraia kuwahamasisha watanzania kujitokeza kuhesabiwa wakati wa siku ya...
By Danson KaijageOctober 30, 2021RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa tayari kuanza shughuli za kawaida ifikapo Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Uganda...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021WACHIMBAJI wadogo wa Madini ya Dhahabu katika Kijiji cha Mwasabuka Kata ya Iyenze wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wamelalamikia kitendo cha kutimuliwa na...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021MKAZI wa kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani Songwe, Kabula Kuba ambaye pia ni mjane, ameibuka katika Mkutano wa Mkuu wa mkoa...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA) kinalaani tukio la Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Peter Mswahili kutuhumiwa kujihusisha na mahusiano...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza mawaziri na naibu waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2021SHAHIDI wa tatu wa Jamhuri, Koplo Hafidhi Abdllah Mohammed, katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chama...
By Regina MkondeOctober 29, 2021KOPLO Hafidh Abdallah Mohamed, mwenye namba F 5914 D ambaye ni shahidi wa tatu upande wa Jamhuri, ameanza kutoa ushahidi katika kesi...
By Regina MkondeOctober 29, 2021CHUO kikuu cha Dodoma (UDOM) nchini Tanzania, kimemsimisha kazi Mhadhiri wake, Petro Bazil Mswahili ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ngono kati...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021BENKI ya NMB nchini Tanzania imevunja rekodi kwa mara nyingine kwa kupata faida ya Sh.211 bilioni baada ya kodi, ikiwa ni ongezeko...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021CHAMA kikuu cha siasa nchini Tanzania cha Chadema, kimeendelea kusisitiza umuhimu wa majadiliano baina yao na Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amewaangukia viongozi wa dini, kisiasa na Watanzania kwa ujumla, akiwaomba wapaze sauti zao ili mamlaka zimuache huru...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021DAKIKA chache baada ya Aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe kumbwaga Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba katika hukumu...
By Masalu ErastoOctober 28, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa mahakama kuendelea kutoa hukumu na maamuzi ya haki kwa watu wote kwani hata vitabu vya...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021SHAHIDI wa pili wa Jamhuri, Justine Elia Kaaya leo Alhamisi tarehe 28 Oktoba 2021, ameendelea kutoa shahidi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...
By Regina MkondeOctober 28, 2021MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe kiasi cha...
By Masalu ErastoOctober 28, 2021KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu Geita (GGML) imekabidhi rasmi zana/vifaa mbalimbali kwa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Moshi...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kadi mpya ‘NBC Visa Debit Card’ yenye kuwawezesha wateja binafsi kufanya miamala inayofikia hadi Sh...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo inatarajiwa kuketi tarehe 31 Oktoba mwaka huu huku jambo kubwa likitarajiwa kumsaka mrithi...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021MAWAKILI wa utetezi, Jeremiah Mtobesya na John Mallya wamembana shahidi wa pili wa Jamhuri, Justin Elia Kaaya kuhusu maelezo aliyoyatoa kuhusu kesi...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema atawapima Waziri wa Sanaa, Michezo na Utamaduni, Inocent Bashungwa pamoja na naibu wake, Pauline Gekul kwa kuwa...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021JUSTIN Elia Kaaya, shahidi wa pili wa Jamhuri ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam,...
By Regina MkondeOctober 27, 2021JUSTIN Elia Kaaya, aliyekuwa mfanyakazi wa Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...
By Regina MkondeOctober 27, 2021KIONGOZI mwandamizi katika mhimili mmoja wa Dola nchini Tanzania, anaweza kuitwa mahakamani kuwa shahidi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021KAMANDA wa Polisi Kinondoni, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Ramadhan Kingai amehitimisha kutoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeielekeza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kutoa kipaumbele kwa kundi la watoto...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2021Asasi mbalimbali za kiraia – AZAKI zimeibana Serikali na kuitaka ieleze ni faida iliyopatikana tangu yalipofanyika kwa Marekebisho ya Sheria ya Madini...
By Danson KaijageOctober 26, 2021MAHOJIANO aliyoyafanya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kugusia kesi inayomkabili kiongozi wa chama...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Anaripoti Mwandishi...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021KLABU ya soka ya Simba inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imepangiwa kumenyana na kikosi cha Red Arrows ya kutoka nchini Zambia, kwenye...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021MARA baada ya kuchukua nafasi ya Sven Vandebroeck tarehe 24, Januari 2021, na kuanza kazi ya kukikonoa kikosi cha Simba katika kipindi...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021KLABU ya Soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imevunja mkataba na aliyekuwa kocha wake Mkuu, Didier Gomes Da Rosa, mara...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021KIELEZO cha kwanza cha ushahidi wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha...
By Regina MkondeOctober 26, 2021